#MNATUCHANGANYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege

ความคิดเห็น • 325

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 3 ปีที่แล้ว +68

    tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 3 ปีที่แล้ว

      Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)

    • @mariamjuma2908
      @mariamjuma2908 3 ปีที่แล้ว

      Kwa hiyo kuimba ni dhambi au

    • @richardsikazwe9197
      @richardsikazwe9197 3 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe baba

    • @danielofcars2920
      @danielofcars2920 ปีที่แล้ว

      Tu ungane tu

    • @kennethkasese1933
      @kennethkasese1933 ปีที่แล้ว

      @@khalfanifarisy7398 11

  • @ifakisetumbaboy3749
    @ifakisetumbaboy3749 6 หลายเดือนก่อน +3

    Amen
    1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani??
    2 Tembea Na Jesus haleluya Amen.
    3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena.
    4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo

  • @ombenimathias5275
    @ombenimathias5275 3 ปีที่แล้ว +10

    Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....

    • @rizikimshindo2177
      @rizikimshindo2177 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa

    • @dieudonneniyokwizera3124
      @dieudonneniyokwizera3124 3 ปีที่แล้ว +2

      Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale

    • @stevenomanga4637
      @stevenomanga4637 3 ปีที่แล้ว +1

      Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,

    • @ombenimathias5275
      @ombenimathias5275 3 ปีที่แล้ว +1

      Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense

    • @twinkleeddy9263
      @twinkleeddy9263 ปีที่แล้ว +1

      Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako

  • @modesteessau8032
    @modesteessau8032 3 ปีที่แล้ว +11

    Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 หลายเดือนก่อน

      Ni kupondana tu hamfundishi kumcha Mungu ni wivu tu unawasumbua

  • @jimmlnsn4123
    @jimmlnsn4123 3 ปีที่แล้ว +8

    Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule

    • @ELIPHAZAMON-ex9zc
      @ELIPHAZAMON-ex9zc 6 หลายเดือนก่อน +1

      Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache

    • @bestkatunzi2824
      @bestkatunzi2824 11 วันที่ผ่านมา

      ​soma vizuri utamuelewa@@ELIPHAZAMON-ex9zc

  • @nellisongodfrey5847
    @nellisongodfrey5847 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli

  • @traffedrdc3585
    @traffedrdc3585 3 ปีที่แล้ว +1

    Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste.
    Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo.
    Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille
    Amina

  • @saudakabogo
    @saudakabogo 3 ปีที่แล้ว +3

    Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman

  • @user-ni1vi3oh5p
    @user-ni1vi3oh5p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu

  • @metridamihama3087
    @metridamihama3087 3 ปีที่แล้ว +8

    Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob ปีที่แล้ว +1

    Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana.
    Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana

  • @josephsibale4283
    @josephsibale4283 3 ปีที่แล้ว +8

    Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo ปีที่แล้ว +1

    Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....

  • @user-cc3vs5di6y
    @user-cc3vs5di6y 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan

  • @mariamchimbombwe2571
    @mariamchimbombwe2571 2 ปีที่แล้ว +2

    What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 ปีที่แล้ว

    Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana

  • @furahamwemera4570
    @furahamwemera4570 3 ปีที่แล้ว +2

    Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!

  • @atukuzwegwayovye8504
    @atukuzwegwayovye8504 2 ปีที่แล้ว

    Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.

  • @ewhite2806
    @ewhite2806 3 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa7843 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 3 ปีที่แล้ว +3

    Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9

  • @isayajuliuskaombwe4675
    @isayajuliuskaombwe4675 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻

  • @mrambaalphonce2164
    @mrambaalphonce2164 3 ปีที่แล้ว +1

    Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 ปีที่แล้ว +5

    Pastor machachari Sana

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 ปีที่แล้ว

    Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial626 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b 3 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.

  • @fredkitigwa436
    @fredkitigwa436 3 ปีที่แล้ว +4

    Nakuelewa sana Mch. Maghembe.

  • @simionlutebuka2914
    @simionlutebuka2914 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake.
    Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari.
    Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake.
    Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.

  • @user-jl1db6lc1w
    @user-jl1db6lc1w 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana pastor.

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 3 ปีที่แล้ว +4

    Unaimba vizuri Ila mchungaji.
    Ila acha kuwaponda waimbaji wengine
    Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa

    • @lawrencehezronmwakalebela2738
      @lawrencehezronmwakalebela2738 3 ปีที่แล้ว +1

      Hujamuelewa mchungaji

    • @WitnessSamson-qc9ie
      @WitnessSamson-qc9ie 3 หลายเดือนก่อน

      Hujaelewa alichomanisha

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.

  • @celestinoluis1326
    @celestinoluis1326 2 ปีที่แล้ว +2

    Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 3 ปีที่แล้ว +16

    SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .

    • @gadielshedaffa3333
      @gadielshedaffa3333 3 ปีที่แล้ว +2

      Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi6051 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏

  • @irakozefrancine4611
    @irakozefrancine4611 3 ปีที่แล้ว +8

    He can preach indeed.. God bless him

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze mtumishi

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 8 วันที่ผ่านมา

    Siku nikija huko razima nifike kupata baraka kwako mtumishi

  • @paul.shilagi6537
    @paul.shilagi6537 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 3 ปีที่แล้ว +8

    🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi

    • @johnfaustinechannel746
      @johnfaustinechannel746 3 ปีที่แล้ว

      Ni kweli

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigo 3 หลายเดือนก่อน

    Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti3141 3 ปีที่แล้ว

    Wawooohoo najifunza vingi sana kwako

  • @kawayarajabu3446
    @kawayarajabu3446 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 ปีที่แล้ว

    Amina mchungaji.
    Sasa hivi kuna kazi.

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!

  • @YohanaBanaba
    @YohanaBanaba 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mzee

  • @sospeternzengo1715
    @sospeternzengo1715 3 ปีที่แล้ว

    Mwachie Mungu mwenyewe ndo ahukumu cyo kusema waimbaji hivo kwani neno la bwana halipo na wangapi wanasikiliza nyimbo hizo na wanabarikiwa na kuokolewa kupitia mapambio

    • @mathiasstephano8165
      @mathiasstephano8165 3 ปีที่แล้ว

      Hajamhukumu mtu ila anazungumza ukwel, maana kunabaaz yanyimbo zingine zinaibwa kanisani hadi unahisi nimekosea kuja kanisani
      Mfano
      Nacheza kidole.....
      Huu nawenyewe tusemaje??
      Kelekele hahaaa.. Tambilamoyo cjui mann yaan dah!!! Tumelichafua kanisa (amos 6:5, muhubili 7:5)

    • @mathiasstephano8165
      @mathiasstephano8165 3 ปีที่แล้ว

      Kunanyimbo za sifa zingine zikiimbwa had kweli unahisi kubarikiwa
      Zinabariki
      Zinafariji
      Na kugusa mioyo ya watu

    • @bestkatunzi2824
      @bestkatunzi2824 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@mathiasstephano8165hata zamani hizo nyimbo zilikuwepo,.hata sasa nyimbo nzuri zipo sema ndio hazina umaarufu, kuhukumu et sasa hakuna nyimbo nzuri Sio kweli na ni dalili ya kujihesabia haki

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji Bwana akubariki sana!!!

  • @phubusa2022
    @phubusa2022 ปีที่แล้ว

    Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!

  • @josiahbota8983
    @josiahbota8983 3 ปีที่แล้ว

    Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.

  • @sarahmathias1067
    @sarahmathias1067 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia

  • @nesielias317
    @nesielias317 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe kwa kutukumbusha

  • @JoelyMtewele
    @JoelyMtewele 3 หลายเดือนก่อน

    Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 3 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishii...

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 3 ปีที่แล้ว

    Baba barikiwa saaaana

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm 10 หลายเดือนก่อน

    Amin nimebarikwa

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 3 ปีที่แล้ว +1

    Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi

  • @sangalothmusicking4292
    @sangalothmusicking4292 3 ปีที่แล้ว

    Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 ปีที่แล้ว

    Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani

  • @hannapatrick4817
    @hannapatrick4817 ปีที่แล้ว

    Asante baba yangu Magembe

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 3 ปีที่แล้ว +1

    Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.

  • @elizafumbuka8668
    @elizafumbuka8668 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee ana asili ya conedy ndani yake

  • @davidomari8660
    @davidomari8660 3 ปีที่แล้ว +3

    Ww ni mtumishi Mungu

  • @mkushiinafricatvonline3309
    @mkushiinafricatvonline3309 3 ปีที่แล้ว +21

    Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 3 ปีที่แล้ว +5

    😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 3 ปีที่แล้ว

      Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.

    • @agnesminja9612
      @agnesminja9612 3 ปีที่แล้ว

      Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu

  • @EnockObed
    @EnockObed 7 หลายเดือนก่อน

    Good I like that 🙏🙏

  • @nicholauslaurent5454
    @nicholauslaurent5454 3 ปีที่แล้ว +9

    Hahahahahahahaha, akakubembeleze babu yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nancykaseko
      @nancykaseko หลายเดือนก่อน

      😅 cha ndomboroo

  • @aisonnjabula6662
    @aisonnjabula6662 2 ปีที่แล้ว

    Injili iliyohai safi sana baba

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 3 ปีที่แล้ว +5

    Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!

  • @adamukiula7892
    @adamukiula7892 ปีที่แล้ว

    Amina sn my pastor

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 ปีที่แล้ว

    Alleluia ni kusifu

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki

  • @willisonelija7162
    @willisonelija7162 2 ปีที่แล้ว

    Ameen mchungaji jamani mimi nabarikiwa sana na maneno ya mchungaji huyu japo sijui kanisa lake lilipo

    • @twinkleeddy9263
      @twinkleeddy9263 ปีที่แล้ว

      Lipo majumba sits njia panda segerea

  • @stevenomanga4637
    @stevenomanga4637 3 ปีที่แล้ว

    Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba

  • @esteredward6980
    @esteredward6980 3 ปีที่แล้ว +2

    Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel

  • @chariteucoun2607
    @chariteucoun2607 3 ปีที่แล้ว

    Poleni sana jamani !

  • @sakinaamoc9454
    @sakinaamoc9454 3 ปีที่แล้ว +1

    mungu akutunze

  • @christineabel9638
    @christineabel9638 3 ปีที่แล้ว +1

    Really blessed

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 3 ปีที่แล้ว +3

    Mhenga nakuelewa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 ปีที่แล้ว

    Umenitazamisha juu zaidi

  • @charlesjacksontz267
    @charlesjacksontz267 3 ปีที่แล้ว

    Hatali sana moto uliwaka apo

  • @MTWEVELENNARD
    @MTWEVELENNARD 2 หลายเดือนก่อน

    Mzeè Bwana akutie nguvu unafanya sahihi

  • @jojianaskibura3190
    @jojianaskibura3190 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie kwa sababu mapya yanakuja akina Moses Kulola walihubiri kwa kutembea lakini hawa wanapanda vyombo mbali mbali wanakaa guest wakienda kuhubiri na mambo mengi yameendelea na suti wanazovaa sio za wakati ule. Hivyo vyombo vya muziki ilikuwa ngoma tunapiga tu wenyewe Mungu ametuletea vyombo mbali mbali tunamshukuru.
    Ila kwenye utunzi wa nyimbo Roho mtakatifu atusaidie kanisa na kila mwimbaji ahimizwe kuombea huduma yake.

    • @isayajuliuskaombwe4675
      @isayajuliuskaombwe4675 2 หลายเดือนก่อน

      kwani hapo anapoimba ivyo vyombo havipingwi,Mungu azidi kumpandisha huyu mzee aendelee kuwa mwalimu wetu kupitia Kristo Yesu🙏🏻

  • @diti4899
    @diti4899 2 ปีที่แล้ว

    Hapa kafeli mzee

  • @user-cl9tl5zn2y
    @user-cl9tl5zn2y 6 หลายเดือนก่อน

    Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.

  • @robertw.zyunga9599
    @robertw.zyunga9599 ปีที่แล้ว

    He is the best pastor

  • @susanmburati8519
    @susanmburati8519 3 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Kanisa inataka kurudia mungu wa kweli

  • @samuelmdota8452
    @samuelmdota8452 3 ปีที่แล้ว +5

    Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.

  • @faustinhaule7562
    @faustinhaule7562 3 ปีที่แล้ว

    Safi Sana pastor

  • @alamusictz
    @alamusictz 3 ปีที่แล้ว

    Amina sana barikiwaaaaa

  • @malindisamwel4144
    @malindisamwel4144 3 ปีที่แล้ว +3

    Ameeee barikiwa sana

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sanaaaaaa

  • @bestinabenard2511
    @bestinabenard2511 3 ปีที่แล้ว +1

    Waaaahoooooo9 Ameizng

  • @IreneWatson3
    @IreneWatson3 2 ปีที่แล้ว +2

    2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.
    2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana.
    2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.