KUHUBIRI NI SWALA LA KIROHO PIA KUHUBIRI NI SHULE-REV.M.MAGEMBE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 47

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 11 วันที่ผ่านมา

    Hata yesu hakufanya kilichoandikwa marazote kama huna karama ya unabii usilosoe mananii kwakuwa huma

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 11 วันที่ผ่านมา

    Hapo umefeli mchungaji tatizo sio wasikilizaji wa wakati ule kama ni tukio maalumu mungu anasema na nabii lina fanyika maana yote hayo yalifanywa na manabii hata andazi kuwekwa kwa kidonda ni oda ya mungu sii ya maandiko

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa

  • @michaelbengesi9838
    @michaelbengesi9838 ปีที่แล้ว +4

    Nikusikia leo mzee na nimekubatiza na jina.
    Wewe ni Mzee wa Busara.

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 หลายเดือนก่อน

    Huo ni ushahidi kuwa biblia si kitabu cha Mungu.
    Na Yesu alisema, ifuateni Injili.

  • @user-ed6hp5bq1n
    @user-ed6hp5bq1n 6 หลายเดือนก่อน +2

    Barikiwa

  • @edimondhatangimana6031
    @edimondhatangimana6031 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki sana na aendelea kukufunulia ili tuelewe zaidi Mutumishi wa Mungu

  • @GregoryRenson
    @GregoryRenson 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 หลายเดือนก่อน

    Hahaha 😂, siku ya kuondoa mawe.
    Mungu akutunze Mzee wetu

  • @johnjasse1171
    @johnjasse1171 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni mwema asante kwa elimu

  • @peterkihongosipeterkihongo1154
    @peterkihongosipeterkihongo1154 ปีที่แล้ว +2

    Kweri kabisa baba shule muhimu.sana

  • @aimborannko3728
    @aimborannko3728 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu mwenyewe alikuwa mwalimu

  • @Kefa649
    @Kefa649 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akikupa amekupa maswala kusoma ni Mambo ya kidunia tu roho mtakatifu hafungwi na kusoma, uwe umsoma au haukusoma Mungu ana weza kukutumia kwa viwango atakavyo yeye🙏🙏🙏

  • @aimborannko3728
    @aimborannko3728 4 หลายเดือนก่อน

    Ni muhimu sana wachungaji kusoma kwa kweli kuto kusoma makanisa yanaibuka kila siku na miongozo hakuna akiamka asubuhi anafanya anavyotaka

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf ปีที่แล้ว

    Yesu hasomewi chuo yuko roho MTAKATIFU, kusoma ni Sawa lakini sio kwamba usipo soma huwezi kumtumikia Mungu,

  • @RobertPhilius
    @RobertPhilius 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika inastri tubadilike

  • @aimborannko3728
    @aimborannko3728 4 หลายเดือนก่อน

    Kusoma ni lazima na ni muhimu sana anayebeza Elimu bado hajitambui

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 2 ปีที่แล้ว +1

    UBARIKIWE SANA BABA MCHUNGAJI KWA NENO LA UZIMA!

  • @vincentyohanachakupewa2219
    @vincentyohanachakupewa2219 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana YESU niepushe na Imani potofu

  • @EsitaDavid2-wp1uf
    @EsitaDavid2-wp1uf 2 หลายเดือนก่อน

    Mengine ,kweli,ILA KWA WANAWAKE IMERUDIWA MARA NYINGI,

  • @janenonge8320
    @janenonge8320 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa elimu baba.

  • @user-dd8hr5rg7o
    @user-dd8hr5rg7o 4 หลายเดือนก่อน

    Good teachings on hermeneutics mzee. GOD Bless you.

  • @michaelmbura3786
    @michaelmbura3786 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi MUNGU akubariki sana.

  • @user-le3xo7wz5c
    @user-le3xo7wz5c 11 หลายเดือนก่อน

    Ubarkiwe baba,umekuwa baraka kwa taifa🙏

  • @UfunuoSt
    @UfunuoSt 2 ปีที่แล้ว

    Theolojia imetusaidia au imetuua Ndg yangu Magembe.

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU akikupa ufunua haidhuru ilimradi Ni ufunuo toka MUNGU.

  • @alphoncealphonce5438
    @alphoncealphonce5438 2 ปีที่แล้ว

    Asante baba

  • @francismselea8208
    @francismselea8208 2 ปีที่แล้ว +1

    Very true

  • @rehemahanti5800
    @rehemahanti5800 2 ปีที่แล้ว

    Sema Baba tuponee

  • @iddanestory5063
    @iddanestory5063 ปีที่แล้ว

    Balikiwa

  • @olivaluseno9057
    @olivaluseno9057 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 11 วันที่ผ่านมา

    Kama mungu ametoa oda nenda kafanye?

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf ปีที่แล้ว +1

    Mapepo hayaogopi kusomea Bible collage umesoma hutoi hata kapepo kamoja, ni kunyenyekea tu mbele ya mkono wa Mungu ulio hodari naroho MTAKATIFU atatufundisha yatupasayo kuya tenda, YESU aliwaambia wanafunza wake kaeni hapa msiondoke mpaka roho atakapowajilia

    • @EliyaJames-fn3dz
      @EliyaJames-fn3dz 6 หลายเดือนก่อน +1

      Jitahidi humwelewa Mzee kijana

  • @joelmhina9233
    @joelmhina9233 2 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @innocentndayiragije1151
    @innocentndayiragije1151 6 หลายเดือนก่อน

    Mucungaji munawongeya wukweri. sikuyizi nzambi zinamariza dunia kwanini wawubiri wengi wanaharibu washiika oooo munadarisiwa manyumba pesa Nini Nani Yani maneno yawukweri anapoteya

  • @EliyaMalelemba-rx3mf
    @EliyaMalelemba-rx3mf ปีที่แล้ว

    Mapepo hayaogopi kusomea Bible collage umesoma hutoi hata kapepo kamoja, ni kunyenyekea tu mbele ya mkono wa Mungu ulio hodari naroho MTAKATIFU atatufundisha yatupasayo kuya tenda, YESU aliwaambia wanafunza wake kaeni hapa msiondoke mpaka roho atakapowajilia,

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye jiwe mchungaji sijakuelewa,na kwanini unapokrashi mafundisho ya wengine hutumii lugha njema?kwani mafunuo yamefanana??(atakayenijibu asitukane wala kukashfu,koment tu kwa utulivu nitaelewa).Hata hapo kwenye kwenda shule mchungaji wangu sijakuelewa,wapo wengi tu hawajaenda shule na wanafundisha neno na watu wanamjua Kristo,kwa nini unaongea hivi baba?

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 6 หลายเดือนก่อน

    Hahahahahah 😅😅😅

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 ปีที่แล้ว

    Je ambao hakusoma chuo cha biblia hafai kuhubiri injili? Mtu aliyefinyangwa na Mungu mwenyewe na yule alifinyangwa na chuo yupi bora? Hapa kwa upande wangu hujanena lolote la uzima ule tunao uchuchumilia.

    • @huldamichael4445
      @huldamichael4445 8 หลายเดือนก่อน

      Sijamwelewa kabisa

    • @EliyaJames-fn3dz
      @EliyaJames-fn3dz 6 หลายเดือนก่อน

      Mzee uko vizuri sana,tunaokuelewa ni wachache mno😅

  • @aimborannko3728
    @aimborannko3728 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu mwenyewe alikuwa mwalimu

  • @GregoryRenson
    @GregoryRenson 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @aimborannko3728
    @aimborannko3728 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu mwenyewe alikuwa mwalimu