baba mchungaji waimbaji wengi,hawana maombi,nguvu za Mungu hana, Rohomtakatifu mtakatifu ,ndio maana nyimbo zingine kavu.mchunga nakupenda magembe,lnjili yakweri,
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU th-cam.com/video/r3gsfk3zbDQ/w-d-xo.html MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Mkoi Tv online Ilifunga safari hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +2555713575718 🙏🏻
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila jamani mzee anasema kweli tusimchukie sisi wanamziki atujuhesabu kama niwatumishi hapo kwenye kukaaa nje wakati waneno hapo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli kabisa mtakuja kumkumbuka huyuuu mzeee mimi nipo palee😂😂
Pagan mkubwa. Nyoka mwana wa joka utaponaje na jehanam? Geuka YESU ANAKUPENDA.❤ 👉“Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum? ” - Mathayo 23:33 (Biblia Takatifu)
Hakika huyu obedi atubu na abadirike la sivyo HUKUMU ya MUNGU haitakuacha salama , Nini amekosea hapo Baba yetu! Kwanza unapata wapi ujasiri wa kusema unamchukia Masih wa Bwana huogopii??? MUNGU akusaidie Sana ndugu ila pia haikuwa lazima umsikilize
Pagan mkubwa. Nyoka mwana wa joka utaponaje na jehanam? Geuka YESU ANAKUPENDA.❤ 👉“Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum? ” - Mathayo 23:33 (Biblia Takatifu
Amina
baba mchungaji waimbaji wengi,hawana maombi,nguvu za Mungu hana, Rohomtakatifu mtakatifu ,ndio maana nyimbo zingine kavu.mchunga nakupenda magembe,lnjili yakweri,
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU
th-cam.com/video/r3gsfk3zbDQ/w-d-xo.html
MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa.
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka.
Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita.
Mkoi Tv online Ilifunga safari hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full.
Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻
Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +2555713575718 🙏🏻
Napenda mahubiri yako baba mungu akuinue ,unasema kweli
Pianist tujuane hapa weka like hapa
Wapiga vyombo wengi wanaroho ya lusifa ndio maana wengi Awana uduma zingine makanisan mwao
Amen pastor
Ameeen mchungaji
Du unapasua kama magufuri nataman ungekuwa baba yangu.
Aminaaa baba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila jamani mzee anasema kweli tusimchukie sisi wanamziki atujuhesabu kama niwatumishi hapo kwenye kukaaa nje wakati waneno hapo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli kabisa mtakuja kumkumbuka huyuuu mzeee mimi nipo palee😂😂
Uko sahihi kabisa mwalungukosi
😂😂😂😂 viwanakwaya vipone
Kuhukumu si kazi yako
Fatilia ufaham nn maana ya kuhukum biblically. Kama anahukum bas Yesu alihukumu 100%. NB hakuja kuuhukum ulimwengu bali ulimwengu uokolewe kwa Yeye.
Kweli inaposemwanhuwa inahukumu, wapiga vyombo na waimbaji wahuni wahuni wabadilike.
Huwezi kumuelewa kama huna d 2
Kwahiyo msionywe, kwa sababu mnaona kama mnahukumiwa, nini kazi ya wachungaji sasa? Au kuwabariki magari na majumba
Ni kweli hajahukum, anaonya!!!
Tunaomba kupitia vyomb
Tumefikiwa 😂😂
Tumefikiwa jamani
basi wakati wa maombi tuache vyombo tuombe
Ila kweli vijana hamjazwi loho ,kwa Nini ?
Kumuelewa huyu mzee unahitaji akili kubwa
Mzee nimekuchoka bwana huna lolote siku hizi umejaa taarabu tu.
Pagan mkubwa. Nyoka mwana wa joka utaponaje na jehanam? Geuka YESU ANAKUPENDA.❤
👉“Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
”
- Mathayo 23:33 (Biblia Takatifu)
Hakika huyu obedi atubu na abadirike la sivyo HUKUMU ya MUNGU haitakuacha salama ,
Nini amekosea hapo Baba yetu!
Kwanza unapata wapi ujasiri wa kusema unamchukia Masih wa Bwana huogopii???
MUNGU akusaidie Sana ndugu ila pia haikuwa lazima umsikilize
Sio bure Obed utakuwa mpiga kinanda 🤣🤣🤣
Hukulazimishwa kumwangalia
Usihukumu usije uka hukumiwa
Haukumuu anaonyaa kanisa.na watumishi wa MUNGU
@@Tanza24anahukumu, kama ww sio mwanamziki huwezi elewa
@@bestkatunzi2824Biblia imesema na mtoto apewe maonyo wapi kahukumu ilihali ni kweli tupu
Mbona ww ukihubiri hujazwi roho mtakatifu apo unazodoa watu acha uzee
Pagan mkubwa. Nyoka mwana wa joka utaponaje na jehanam? Geuka YESU ANAKUPENDA.❤
👉“Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
”
- Mathayo 23:33 (Biblia Takatifu
Umeandika ujinga@@Werema3760
Uzee naoo,,, yeye anaweza kupiga na kujazwa roho mtakatifu kwa wakati mmoja ????
Inawezekana kabisa. Na ndivyo inavyopaswa.
Inawezekana labda iwe kwako tu mzee
Amina