Mchungaji HANANJA Amfunika MASANJA Kuchekesha Mbele Ya WAZIRI Watu Hoi Kama Cheka Tu...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 มี.ค. 2023
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    #Mchungajihananja #masanjamkandamizaji #tanzania #zumaridi #trending
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 148

  • @Iamwinningspirit27
    @Iamwinningspirit27 8 หลายเดือนก่อน +13

    Hananja real meaning of pastor anakutia moyo anakufanya unasahau stress 😅😅😅😅😅😅😅😅 nabarikiw sana na huyu mchungaji

  • @user-cq5rs5in2y
    @user-cq5rs5in2y 9 หลายเดือนก่อน +13

    Kiukweli hatamm omari bakari nakupenda Sana lakini huyumzee anakichwa chenye maneno yamoto yenyefuraha mzee hananja no hazina kubwa kwa wakiristo mkimpoteza mtamkuka Sana mungu tutunzie huyu baba

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj 8 หลายเดือนก่อน +17

    Wapinga kristo poleni.mtaumia sana,ukristo una TAASISI nyingi sana,hebu njoo huku wewe mpinzani uonje raha hii.amen

    • @francofrederick972
      @francofrederick972 7 หลายเดือนก่อน

      Kila aliehai hai bado neema inamuhusu, injili zakuhukumiana zaweza kuwa tanzi Kwa muhusika zikiendekezwa

    • @Khamisbuda-oy3ow
      @Khamisbuda-oy3ow 7 หลายเดือนก่อน

      Subuhanallah unapotea ndugu yang ila had siku yako ya mwisho ndy utakuja kujuta baada mauti

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 7 หลายเดือนก่อน +1

      anavichekesho vya kurudia rudia, na kukashifu waislam

    • @MomadeMohammed
      @MomadeMohammed 5 หลายเดือนก่อน

      Ukafiri

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ameeeen ❤❤❤kuna raha kabisa

  • @venfreysand8835
    @venfreysand8835 ปีที่แล้ว +9

    Huyu mzee anakuwag na madini sanaa

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 ปีที่แล้ว +13

    Kwa mchungaj Huyu nisingekosa kanisan maana nikitoka nakuwa nime refresh sana

    • @Auntybetty_tz
      @Auntybetty_tz 8 หลายเดือนก่อน

      Unajua wachungaji wengine wanang'ang'ania mahubili ya sadaka muda wote,,Ila huyu mzee anagusa Maisha yetu ya kila siku na changamoto tunazopitia,,ukweli ukimsikiliza lazima ufarike.

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 6 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi

  • @DoreenLembriss-xd1bz
    @DoreenLembriss-xd1bz 8 หลายเดือนก่อน +4

    Jaman mchungaji alivyo simama sasa 🤣🤣🤣

  • @thomasjohn7176
    @thomasjohn7176 ปีที่แล้ว +15

    Una madini sana MCHUNGAJI. Mungu akubariki sana

    • @williamkavuta8066
      @williamkavuta8066 ปีที่แล้ว +1

      Anatuchekesha ila ana ongea point nyingi kwa muda mchache

  • @WilliamPeter-ky7sx
    @WilliamPeter-ky7sx 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mchungaji Ananja ana kipawa kweli.. mistari ya Biblia inatoka kichwani dah!!!

  • @JastiniJastinlobati-dk2br
    @JastiniJastinlobati-dk2br 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubaliki

  • @barakakomondawa2767
    @barakakomondawa2767 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mm napenda huyu mchungaji sana

  • @waltersesuru43
    @waltersesuru43 ปีที่แล้ว +5

    Amina mtumishi

  • @BarakaPaulotzsiria-
    @BarakaPaulotzsiria- หลายเดือนก่อน +1

    Hananja oyeee😂😂😂😂😂

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 ปีที่แล้ว +2

    Masanja humuwez hananja hata kidogo.. namkubal hananja mbaka bas😅😅😅😅

  • @user-sw6bj7tn6t
    @user-sw6bj7tn6t 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mchungaji namuelewa sana

  • @Dunia129
    @Dunia129 8 หลายเดือนก่อน +6

    wanadam wengi wanapenda mizaha kuliko ukwel

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 ปีที่แล้ว +23

    Huyu mchungaji afungue TH-cam channel yake, Mzee anafurahisha sana

    • @nickmoshi8243
      @nickmoshi8243 ปีที่แล้ว +1

      Anayo inaitwa Pastor Richard Hananja

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 ปีที่แล้ว +1

      Anayo

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/LYlDptjFxNg/w-d-xo.html

    • @SifaelMpagike-gt1gz
      @SifaelMpagike-gt1gz 5 หลายเดือนก่อน

      Unataka kupona au kufurahishaw

    • @mikemutabuzi3665
      @mikemutabuzi3665 5 หลายเดือนก่อน

      @@SifaelMpagike-gt1gz Samahani, Mimi siumwi ndugu yangu

  • @rittaaziz4470
    @rittaaziz4470 ปีที่แล้ว +7

    WOOOW MMESHAANZA CHURCH ON FIRE!!! CONGRATULATIONS SN MAY THE LORD N GOD BLESS IT ABUNDANTLY WELL. I HAD HEARD THIS LIKE 6DAYS AGO AND I WAS REALLY LOOKING FOR THIS.
    IAM SOOO HAPPY TO SEE YOU LILIAN N MASABJA WITH PST RICHY. GOD BLESS U SANAAAA
    MUNGU ATENDE MAMBO MAPYAA MAZURIII KWENYE HII PROGRAM AMEN❤

    • @user-ne5me5tx3m
      @user-ne5me5tx3m 7 หลายเดือนก่อน

      Okooo

    • @rahelngaka4
      @rahelngaka4 6 หลายเดือนก่อน

      ].?​@@user-ne5me5tx3m

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 6 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Mungu akutunze. Mistari ya biblical umeiweka kichwani. Wewe ni jembe baba

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 ปีที่แล้ว +26

    Uwezo mkubwa kwa kakariri mistari ni ajabu mnooo huyu ni hazina tunamchukulia powa

    • @amouralshabiby7543
      @amouralshabiby7543 7 หลายเดือนก่อน

      Waislamu huwa wanahifadhi quran nzima ( msaafu wote) !!! Sio kukariri hapana !! Ni kuhifadhi

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 26 วันที่ผ่านมา

    Yesu ni njia.

  • @akberyuda5950
    @akberyuda5950 6 หลายเดือนก่อน

    BWANA YESU KRISTO ANATISHA ANAVIFAA KWELIKWELI❤❤❤

  • @user-gq9fe6dn2c
    @user-gq9fe6dn2c หลายเดือนก่อน +1

    Vizur

  • @TumainiENgasa
    @TumainiENgasa 29 วันที่ผ่านมา

    Amen pastor masanja

  • @deblacktz2981
    @deblacktz2981 หลายเดือนก่อน

    Pastor Hananja shikamoo

  • @user-rl1dd7ik2m
    @user-rl1dd7ik2m 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali m2mishi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nassjr6566
    @nassjr6566 ปีที่แล้ว +5

    Ila waha wanapg pesa za wezao

  • @msafirijaffary7089
    @msafirijaffary7089 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa mwisho umezingua mzee na kuthubutusha kuwa kweli ulikuwa Teja, unapoongelea mambo yanayohusu Imani Yako usikebehi wala kudhihaki Imani za wengine kwa maana siku unaowakebehi watakuja kukebehi Imani Yako na huenda isiwe nzuri kwako au kwa unao waongoza 🤐

    • @jojosky337
      @jojosky337 6 หลายเดือนก่อน

      Mbona hajakebehi acha kudadavua tofauti

  • @ernestmshanabakari1352
    @ernestmshanabakari1352 ปีที่แล้ว +12

    Mzee wamadini

  • @FaresHabel
    @FaresHabel 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 6 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @user-dw1qu1tu1d
    @user-dw1qu1tu1d 7 หลายเดือนก่อน +1

    ❤ safi sana

  • @GIDEONMWANGI-cn7ul
    @GIDEONMWANGI-cn7ul หลายเดือนก่อน

    Nice one

  • @Rai_online_tv
    @Rai_online_tv ปีที่แล้ว +10

    Best of all time

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 ปีที่แล้ว +7

    Huyu baba kiboko kwakweli

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 9 หลายเดือนก่อน +4

    Naomba mwenye namba ya Mchungaji Hananja pls

  • @user-to8uy8wh3c
    @user-to8uy8wh3c 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hananja na masanja mmetofautiana hn...ms...2

  • @listerlugisho52
    @listerlugisho52 5 หลายเดือนก่อน

    Noma

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 ปีที่แล้ว +6

    Ahahahaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 ปีที่แล้ว +8

    comedian aliyekosea barabara, inawezekana wazazi wake walimlazimisha

  • @Twisokahebo-sr9ic
    @Twisokahebo-sr9ic 20 วันที่ผ่านมา

    Ubalikiwe baba

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 ปีที่แล้ว +6

    mmh! mzee Mungu akutetee

  • @jojosky337
    @jojosky337 6 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeen Mchungaji🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 ปีที่แล้ว +16

    Abraham angesubiri, asimparamie Hajiri tusingepata Boko Haram na Alshabab 😂😂😂😂😂😂

  • @DigonzaKeimbe-uq1bx
    @DigonzaKeimbe-uq1bx 8 หลายเดือนก่อน +2

    🙏🙏🙏

  • @dicksonNyaulingo-zr8dn
    @dicksonNyaulingo-zr8dn 2 หลายเดือนก่อน

    Hananja nakukubali from r mbuyuni iringa

  • @changarawemichael5556
    @changarawemichael5556 ปีที่แล้ว +8

    Mchungaj wa kweli

  • @halimazahoro8467
    @halimazahoro8467 ปีที่แล้ว +4

    Amen 🙏❤

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni ปีที่แล้ว +2

    Adhabu zimetolewa tayari Kwa Wenye Mizaha. Mithali 24:1, 19:29 au?

    • @joubaplay
      @joubaplay 6 หลายเดือนก่อน

      Kuna tofaut kat ya mizaha na utani 😅

  • @NikawaidaYetu
    @NikawaidaYetu 6 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏✍️

  • @Lyro6390
    @Lyro6390 ปีที่แล้ว +1

    ,🙏🙏

  • @KonzoOraphy
    @KonzoOraphy 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @kelvinwilliam8136
    @kelvinwilliam8136 4 หลายเดือนก่อน

    Sema usikivu hauko vizuri ila naamini audience hawakujuta uwepo wa mchungaji hananja katika jukwaa

  • @gracemlihano3971
    @gracemlihano3971 ปีที่แล้ว +4

    Anakitu atafika mbali

  • @haongaaloyce7207
    @haongaaloyce7207 ปีที่แล้ว +3

    😅😅😅😅😅

  • @twahamdoe5730
    @twahamdoe5730 ปีที่แล้ว +5

    Mnatumalizia mb zetu uyu mchungaji mpeni ulinzi ila nawaambia kitu uislam ndio dini ya haki

    • @alenialex6941
      @alenialex6941 ปีที่แล้ว

      #twahamdoe5730 si nyie mnaofilana Zanzibar na nchi nyingi za kiarabu au

    • @peninanyaki1639
      @peninanyaki1639 ปีที่แล้ว +1

      Yahaki kwa nafasi yake...din yakwelnikumjua mungu

    • @361NEWS
      @361NEWS ปีที่แล้ว

      Imani ni bora kuliko Dini.

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa kweli nyoko kweli kwani hapa limekujaje hilo la uislam?

    • @lucasthomas188
      @lucasthomas188 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@peninanyaki1639 swadakta

  • @sebastiannyenza9140
    @sebastiannyenza9140 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Sana mtumishi wa Mungu naomba namba yako mi Nipo kibamba

  • @lambickmanda9125
    @lambickmanda9125 ปีที่แล้ว +5

    Iyo hospitali ni MLOGANZILA

  • @jacksonkaale.
    @jacksonkaale. 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ananja aende Cheka tuu.

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 ปีที่แล้ว +5

    Masanja ushampata katibu mwingine? Kama hujampata nije kuwa katibu.

  • @user-ol7de5fo7j
    @user-ol7de5fo7j 6 หลายเดือนก่อน

    Mzee Hananja apewe mauwa yake,
    Na mwisho wa siku achongewe sanamu lake

  • @isayalemberua9195
    @isayalemberua9195 ปีที่แล้ว +1

    hahahahahahahaha jaman ndugu zangu kajukuweni mboga kwenu jaman

  • @ErickRichard-nw9ry
    @ErickRichard-nw9ry 8 หลายเดือนก่อน

    😂 😂

  • @user-fy2sv7bm1g
    @user-fy2sv7bm1g 6 หลายเดือนก่อน

    Yaani hawa wanatosha kuwa wasanii wa Tz jamn

  • @EliasGervas-jb6rd
    @EliasGervas-jb6rd 6 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 ปีที่แล้ว +10

    Yani kwanini asiwe anapewa scenes za mzee majuto 😂😂😂

    • @prophetzakayomkemwa5154
      @prophetzakayomkemwa5154 ปีที่แล้ว

      Kwakweli hapo umenena akaigize ila kwa UPANDE kazi ya MUNGU akapumnzike

    • @victorbugobola2276
      @victorbugobola2276 ปีที่แล้ว

      Et kwl na kufanana wanafanana na KingMajuto nayo point sema tu

    • @emmanuelerasti2405
      @emmanuelerasti2405 ปีที่แล้ว +1

      @@prophetzakayomkemwa5154 kwan wewe unataka apumzike kama nani? Kwan wewe ndo umemkitimia hicho kipawa? Tujiulize Kabla ya kunena

  • @mustaphamudhihiri-im7sg
    @mustaphamudhihiri-im7sg 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa apo ndio kanisani au wapi

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 5 หลายเดือนก่อน

      Bar hapo ndugu yangu si via umeziona?

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hananja karibu njombe tunakupenda in njombe

  • @user-cq5rs5in2y
    @user-cq5rs5in2y 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ww manage libelatus unamatatizo ya akili nenda kwenye dini yako ya sheta kamaulivyo na maneno yakishetani kwamaana huna adabu kwa wakubwa hivyoóo no laana kubwa kwako

  • @sashaskasha483
    @sashaskasha483 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ni comedian asiyetumia nguvu😂

    • @user-cq5rs5in2y
      @user-cq5rs5in2y 9 หลายเดือนก่อน

      Shasaskasha hatajina lakolenyewe bovu lazima hata Lili ya nimbovu kwasababu hunaheshima kwa wakubwa hivyoóo nilaana kwako

  • @user-sr1wr2xc5g
    @user-sr1wr2xc5g ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-kx7ob5rx4p
    @user-kx7ob5rx4p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sioni Kama ni sawa

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 ปีที่แล้ว +2

    NASHANGAA HAPA NI KANISANI AU VICHEKESHO?

  • @annaemidi8049
    @annaemidi8049 ปีที่แล้ว +2

    👨🏻‍🎨😁😅😄😂😂🔥🙏

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji Hananja anastahili kuitwa Profesa wa Bible.

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 9 หลายเดือนก่อน

      Hakika alistahili Sana lakini hizi za Taasisi za Kikristo zinawamwagia wachingaji na mManabii shahada za U-Dokta hata sala wanasoma kwenye karatasi hawewezi hata kumdu sala ya rohoni hivi huyi Mchungaji Hananja ambaye Biblia imejaa kichwani mwake,anaweza kuhubiri kwa kusoma mistaho ya Bibli toka kichwani mnamnyima hata shahada ya Doctar of Doctrine (DD) au Doctor of Bible Knowledge (DB)

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 ปีที่แล้ว +3

    Yaaan wewe aisee

  • @fredanunda7719
    @fredanunda7719 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mchungaji ni kakaye mzee majuto???😂😂😂😂😂😂ah!! Maneno jamani yatiririka kama maji ya mfereji😂😂😂 anachangamsha

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 7 หลายเดือนก่อน +1

    Msipo slimu kuwa waislam mtakwenda kulia hamtaamini macho yenu

    • @AnnoyedCobra-lq7fb
      @AnnoyedCobra-lq7fb 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 5 หลายเดือนก่อน

      Kwani uislamu Nini wewe Mungu anaangalia moyo matendo yakumpendeza na kutii Sheria zake hizo Dini Ni mipango WA mwanadamu watu kumtafuta Mungu na Mungu Ni Roho

  • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
    @DeborahJaphethLaiser-is2ps 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ila kumbukeni mbingu haina mizaa kueni makin hapa.. Mungu hayupo kwenye mizaa.. hapo siwatii moyo kabisa

    • @user-gg2jq8mp9d
      @user-gg2jq8mp9d 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo mzaha uko wapi?

    • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
      @DeborahJaphethLaiser-is2ps 8 หลายเดือนก่อน

      @@user-gg2jq8mp9d Wala Mungu hafurahi hata kidogo

    • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
      @DeborahJaphethLaiser-is2ps 8 หลายเดือนก่อน

      @@user-gg2jq8mp9d mizaa mingii watu kucheka sio ndo tusema Mbingu zinafurahia... Ngoja wakati wa unyakuo ndo utaelewa vema sai Bado hamjatambua... Karibu Kristo Yesu anarudi tengenezeni mapito yangu na njia zenu ziwe sawa kwa Bwana.. vaeni viatu muwe tayari.... Wokovu wa kweli ni toba

    • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
      @DeborahJaphethLaiser-is2ps 8 หลายเดือนก่อน

      @@user-gg2jq8mp9d mwanadam kukusifia sio sifa.. wacha mbingu zikufurahie wanadam wasifurahi sio mbaya

    • @DeborahJaphethLaiser-is2ps
      @DeborahJaphethLaiser-is2ps 8 หลายเดือนก่อน

      Maana wanadam hawana mbingu za kukupeleka

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i 5 หลายเดือนก่อน

    Uislamu nini!mbona dhambi anatenda kama Kawa,hao hawajaokoka kama wewe

  • @abelbilia4450
    @abelbilia4450 ปีที่แล้ว +2

    Kiukweli masanja ww ni tapeli kbs ludisha pesa yangu

  • @mariakabesha3718
    @mariakabesha3718 4 หลายเดือนก่อน

    Pale Comedian wanapokutana kukusanya sadaka

  • @andrew29468
    @andrew29468 ปีที่แล้ว +3

    Uwezo mkubwa wa kushika mistari kwenye bible ni jambo kubwa mnoo na naamini ni kipaji kikubwa

  • @mcarbonic0rg211
    @mcarbonic0rg211 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni stand up comedy
    Kwa mukhtadha wa Church hakuna dini inayo kubali mzaha mzaha
    Hapo mwisho umeyumba mzee dhihaka sio njema hasa kwa imani isio kuhusu
    Nakumbusha imani sio kitu cha kuchezea
    Hukupaswa kusema hayo.
    Ingefaa utuombe radhi

  • @meshack3266
    @meshack3266 ปีที่แล้ว +3

    Masanja nimekumaind mnafiki wewe eneo dog alijenga babako

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee ni mhuni watu wanadai ana busara gani mvuta bangu no1 KKKT

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 5 หลายเดือนก่อน

      Hujui utendaro Mungu akusanehe umefungwa ufahamu

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 5 หลายเดือนก่อน

      @@tinnahagustinolyelu4247 mpuuzi eti nimefungwa fahamu wewe ndio umefungwa fahamu hauoni kati ya mtumishi wa kweli na wa uongo

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 5 หลายเดือนก่อน

    Piga hela zako masanja

  • @GoodAilon
    @GoodAilon หลายเดือนก่อน

    😂

  • @josephkahindi1713
    @josephkahindi1713 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂