Mchungaji HANANJA Amfunika MASANJA Kuchekesha Mbele Ya WAZIRI Watu Hoi Kama Cheka Tu...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 มี.ค. 2023
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
#Mchungajihananja #masanjamkandamizaji #tanzania #zumaridi #trending - บันเทิง
Hananja real meaning of pastor anakutia moyo anakufanya unasahau stress 😅😅😅😅😅😅😅😅 nabarikiw sana na huyu mchungaji
Kiukweli hatamm omari bakari nakupenda Sana lakini huyumzee anakichwa chenye maneno yamoto yenyefuraha mzee hananja no hazina kubwa kwa wakiristo mkimpoteza mtamkuka Sana mungu tutunzie huyu baba
Ameen
Wapinga kristo poleni.mtaumia sana,ukristo una TAASISI nyingi sana,hebu njoo huku wewe mpinzani uonje raha hii.amen
Kila aliehai hai bado neema inamuhusu, injili zakuhukumiana zaweza kuwa tanzi Kwa muhusika zikiendekezwa
Subuhanallah unapotea ndugu yang ila had siku yako ya mwisho ndy utakuja kujuta baada mauti
anavichekesho vya kurudia rudia, na kukashifu waislam
Ukafiri
Ameeeen ❤❤❤kuna raha kabisa
Huyu mzee anakuwag na madini sanaa
Kwa mchungaj Huyu nisingekosa kanisan maana nikitoka nakuwa nime refresh sana
Unajua wachungaji wengine wanang'ang'ania mahubili ya sadaka muda wote,,Ila huyu mzee anagusa Maisha yetu ya kila siku na changamoto tunazopitia,,ukweli ukimsikiliza lazima ufarike.
Hata mimi
Jaman mchungaji alivyo simama sasa 🤣🤣🤣
Una madini sana MCHUNGAJI. Mungu akubariki sana
Anatuchekesha ila ana ongea point nyingi kwa muda mchache
Mchungaji Ananja ana kipawa kweli.. mistari ya Biblia inatoka kichwani dah!!!
Mungu akubaliki
Mm napenda huyu mchungaji sana
Amina mtumishi
Hananja oyeee😂😂😂😂😂
Masanja humuwez hananja hata kidogo.. namkubal hananja mbaka bas😅😅😅😅
Huyu mchungaji namuelewa sana
wanadam wengi wanapenda mizaha kuliko ukwel
Huyu mchungaji afungue TH-cam channel yake, Mzee anafurahisha sana
Anayo inaitwa Pastor Richard Hananja
Anayo
th-cam.com/video/LYlDptjFxNg/w-d-xo.html
Unataka kupona au kufurahishaw
@@SifaelMpagike-gt1gz Samahani, Mimi siumwi ndugu yangu
WOOOW MMESHAANZA CHURCH ON FIRE!!! CONGRATULATIONS SN MAY THE LORD N GOD BLESS IT ABUNDANTLY WELL. I HAD HEARD THIS LIKE 6DAYS AGO AND I WAS REALLY LOOKING FOR THIS.
IAM SOOO HAPPY TO SEE YOU LILIAN N MASABJA WITH PST RICHY. GOD BLESS U SANAAAA
MUNGU ATENDE MAMBO MAPYAA MAZURIII KWENYE HII PROGRAM AMEN❤
Okooo
].?@@user-ne5me5tx3m
Baba Mungu akutunze. Mistari ya biblical umeiweka kichwani. Wewe ni jembe baba
Uwezo mkubwa kwa kakariri mistari ni ajabu mnooo huyu ni hazina tunamchukulia powa
Waislamu huwa wanahifadhi quran nzima ( msaafu wote) !!! Sio kukariri hapana !! Ni kuhifadhi
Yesu ni njia.
BWANA YESU KRISTO ANATISHA ANAVIFAA KWELIKWELI❤❤❤
Vizur
Amen pastor masanja
Pastor Hananja shikamoo
Nakubali m2mishi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila waha wanapg pesa za wezao
Hapa mwisho umezingua mzee na kuthubutusha kuwa kweli ulikuwa Teja, unapoongelea mambo yanayohusu Imani Yako usikebehi wala kudhihaki Imani za wengine kwa maana siku unaowakebehi watakuja kukebehi Imani Yako na huenda isiwe nzuri kwako au kwa unao waongoza 🤐
Mbona hajakebehi acha kudadavua tofauti
Mzee wamadini
Kweli
Amen mtumishi wa Mungu
❤ safi sana
Nice one
Best of all time
Huyu baba kiboko kwakweli
Naomba mwenye namba ya Mchungaji Hananja pls
Ninayo
Hananja na masanja mmetofautiana hn...ms...2
Noma
Ahahahaaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂
comedian aliyekosea barabara, inawezekana wazazi wake walimlazimisha
Ubalikiwe baba
mmh! mzee Mungu akutetee
Ameeeeen Mchungaji🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Abraham angesubiri, asimparamie Hajiri tusingepata Boko Haram na Alshabab 😂😂😂😂😂😂
😂
😁
Kwani Al-shabab na Boko haramu dini gani?
@@machoguhamery3731 hawana Dini, wanaabudu kuua na kuiba
@@nurukwilabya2790 Wana dini soma majina yao utaifahamu
🙏🙏🙏
Hananja nakukubali from r mbuyuni iringa
Mchungaj wa kweli
Amen 🙏❤
Adhabu zimetolewa tayari Kwa Wenye Mizaha. Mithali 24:1, 19:29 au?
Kuna tofaut kat ya mizaha na utani 😅
🙏🙏🙏✍️
,🙏🙏
Amen
Sema usikivu hauko vizuri ila naamini audience hawakujuta uwepo wa mchungaji hananja katika jukwaa
Anakitu atafika mbali
😅😅😅😅😅
Mnatumalizia mb zetu uyu mchungaji mpeni ulinzi ila nawaambia kitu uislam ndio dini ya haki
#twahamdoe5730 si nyie mnaofilana Zanzibar na nchi nyingi za kiarabu au
Yahaki kwa nafasi yake...din yakwelnikumjua mungu
Imani ni bora kuliko Dini.
Sasa kweli nyoko kweli kwani hapa limekujaje hilo la uislam?
@@peninanyaki1639 swadakta
Hongera Sana mtumishi wa Mungu naomba namba yako mi Nipo kibamba
Kweli
Iyo hospitali ni MLOGANZILA
Huyu ananja aende Cheka tuu.
Masanja ushampata katibu mwingine? Kama hujampata nije kuwa katibu.
🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Ukataliwe na wewe ujiuwe.
Mzee Hananja apewe mauwa yake,
Na mwisho wa siku achongewe sanamu lake
hahahahahahahaha jaman ndugu zangu kajukuweni mboga kwenu jaman
😂 😂
Yaani hawa wanatosha kuwa wasanii wa Tz jamn
😢
Yani kwanini asiwe anapewa scenes za mzee majuto 😂😂😂
Kwakweli hapo umenena akaigize ila kwa UPANDE kazi ya MUNGU akapumnzike
Et kwl na kufanana wanafanana na KingMajuto nayo point sema tu
@@prophetzakayomkemwa5154 kwan wewe unataka apumzike kama nani? Kwan wewe ndo umemkitimia hicho kipawa? Tujiulize Kabla ya kunena
😂
Sasa apo ndio kanisani au wapi
Bar hapo ndugu yangu si via umeziona?
Hananja karibu njombe tunakupenda in njombe
Ww manage libelatus unamatatizo ya akili nenda kwenye dini yako ya sheta kamaulivyo na maneno yakishetani kwamaana huna adabu kwa wakubwa hivyoóo no laana kubwa kwako
Huyu ni comedian asiyetumia nguvu😂
Shasaskasha hatajina lakolenyewe bovu lazima hata Lili ya nimbovu kwasababu hunaheshima kwa wakubwa hivyoóo nilaana kwako
😂😂😂😂😂😂
Sioni Kama ni sawa
NASHANGAA HAPA NI KANISANI AU VICHEKESHO?
👨🏻🎨😁😅😄😂😂🔥🙏
Mchungaji Hananja anastahili kuitwa Profesa wa Bible.
Hakika alistahili Sana lakini hizi za Taasisi za Kikristo zinawamwagia wachingaji na mManabii shahada za U-Dokta hata sala wanasoma kwenye karatasi hawewezi hata kumdu sala ya rohoni hivi huyi Mchungaji Hananja ambaye Biblia imejaa kichwani mwake,anaweza kuhubiri kwa kusoma mistaho ya Bibli toka kichwani mnamnyima hata shahada ya Doctar of Doctrine (DD) au Doctor of Bible Knowledge (DB)
Yaaan wewe aisee
Huyu mchungaji ni kakaye mzee majuto???😂😂😂😂😂😂ah!! Maneno jamani yatiririka kama maji ya mfereji😂😂😂 anachangamsha
Msipo slimu kuwa waislam mtakwenda kulia hamtaamini macho yenu
😂😂😂
Kwani uislamu Nini wewe Mungu anaangalia moyo matendo yakumpendeza na kutii Sheria zake hizo Dini Ni mipango WA mwanadamu watu kumtafuta Mungu na Mungu Ni Roho
Ila kumbukeni mbingu haina mizaa kueni makin hapa.. Mungu hayupo kwenye mizaa.. hapo siwatii moyo kabisa
Hapo mzaha uko wapi?
@@user-gg2jq8mp9d Wala Mungu hafurahi hata kidogo
@@user-gg2jq8mp9d mizaa mingii watu kucheka sio ndo tusema Mbingu zinafurahia... Ngoja wakati wa unyakuo ndo utaelewa vema sai Bado hamjatambua... Karibu Kristo Yesu anarudi tengenezeni mapito yangu na njia zenu ziwe sawa kwa Bwana.. vaeni viatu muwe tayari.... Wokovu wa kweli ni toba
@@user-gg2jq8mp9d mwanadam kukusifia sio sifa.. wacha mbingu zikufurahie wanadam wasifurahi sio mbaya
Maana wanadam hawana mbingu za kukupeleka
Uislamu nini!mbona dhambi anatenda kama Kawa,hao hawajaokoka kama wewe
Kiukweli masanja ww ni tapeli kbs ludisha pesa yangu
Alikuibia?
Beee
Kakuibiaje?
Pale Comedian wanapokutana kukusanya sadaka
Uwezo mkubwa wa kushika mistari kwenye bible ni jambo kubwa mnoo na naamini ni kipaji kikubwa
Ni stand up comedy
Kwa mukhtadha wa Church hakuna dini inayo kubali mzaha mzaha
Hapo mwisho umeyumba mzee dhihaka sio njema hasa kwa imani isio kuhusu
Nakumbusha imani sio kitu cha kuchezea
Hukupaswa kusema hayo.
Ingefaa utuombe radhi
Masanja nimekumaind mnafiki wewe eneo dog alijenga babako
Huyu mzee ni mhuni watu wanadai ana busara gani mvuta bangu no1 KKKT
Hujui utendaro Mungu akusanehe umefungwa ufahamu
@@tinnahagustinolyelu4247 mpuuzi eti nimefungwa fahamu wewe ndio umefungwa fahamu hauoni kati ya mtumishi wa kweli na wa uongo
Piga hela zako masanja
😂
😂😂😂