SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 มี.ค. 2024
- NYTV COMPANY.
Ni channel ya habari za Injili ,Mahubiri,Miziki ya Gospel na Mahojiano na watu maarufui kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM TH-cam (@NYTV) na kwenye NYTV.CO.TZ
Amina Amina napokea baraka kwa jina la yesu kupitia mahibiri haya in the mighty of the Jesus name
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji.fanya ziala uje kigoma maeneo ya Mnanila tunabarikiwa na huduma yako.uje baba tutapendezwa sana
Karibu sana MWANZA mchungaji Magembe baraka kubwa sana kwa kizazi hiki
Amen . Mchungaji anaongea kwa mamlaka hata vibwengo lazma viufyante... Barikiwa mtumishi wa Mungu , chapa kazi ya Mungu ulimwengu uokoke ktk Jina la Yesu
Barikiwa baba Yesu wako nimemwelewa Aminaàaaaaaa
❤❤❤ Yôoooooo MUNGU MUUMBAJI AWE NAWE past MAGEMBE TUNAKUSHUKURU
Asante baba kwa mafundisho yenye nguvu za Roho
Amina Amina Amina Amina MUNGU akubariki
Mchungaji Magembe Mungu akubariki sana hii nchi ingekuwa na hawa watu 33 tu pangechimbika
Hii sio tu kwa TAG hii ni UAMSHO kwa Mwili wa Kristo Tanzania nzima
Nafuta naandika ubarikiwe sana mzee wangu kilichopo ndani Yako ni Cha Mungu wa kweli kabisa nakupenda sana mzee nakipenda kilichopo ndani Yako niombee baba ukisoma comment yangu nakupenda😭😭
Ee Mungu nisaidie niwe muijilist nifanye watu wanafunzi wake.huu ujumbe umenitisha. Ee Mungu nifundishe.
Naguswa sana na neno lake Mungu nisaidie niokoke kwerikweri
Hallelujah,haka ka bibi Yesu akatunze kwa ajili ya ushuhuda
Barikiwa baba
Mungu akubariki sana baba yetu kwa injili na neno lenye nguvu za Mungu.
Mungu akupe afya na siku tele ili kusudi la Mungu lifike kila mahali.
Halleluya! Ninaomba mtusaidie kuya-share mafundisho kamili! Shalom
Ahsante YESU Kwa zawadi hiii katika kuujenga mwili wa krsto
Oooh my Load nisaidie mimi niwe hodari na moyo wa ushujaa 😢😢
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana man of God Pastor Maghembe🙌
Mungu atusaidie hii injili Moto kweli kweli turudi kwenye viwango
HIZI NDO INJILI THABITI,BARIKIWA SN
Amina mtumishi magembe Mungu akupe siku nyingi za kuishi
Mchunganji tunahitaji hilo neno la kweli tufunguliwe na neno la Mungu
Tafathali njo kwetu Kenya,Nakuru city
HAPO KWA KUMULETA WAKALA NIMEGoNGA ukiokoka na mchungaji akiwa na Nguvu za Mungu wakala wa shetani atakimbia,
ubarikiwe sana baba mchungaji natamani sana nijuwe unapatikana wapi ili nije uniwekee mikono juu ya kichwa changu nahisi kuokoka
Njoo ndg yangu heri wamutumainio bwana
Mungu wa mbingu atusaidie mm na familia yangu mume na watoto wangu tudirudi nyuma
Amina pastor.
Amen, Mubarikiwe sana. Tume barikiwa kweli
Amina mtumishi wa mungu magembe mungu akutunze uziponye dini
Mungu nisaidie
Absolutely you Yes man of God 💯%
Ubarikiwe sana Baba nakuelewa msukuma mwezangu
Injili isiyogushiwa ni tamu sanaaa.Amen Siogopi sirudi nyuma nakaza mwendo niifikie ile mede
Mungu na akubariki sana baba Magembe sema tupone
Amina Sana barikiwa Sana Sana mtumishi Mungu akutunze Baba
Amina baba hakika ijili ya kiwango sana hadi inaogopesha Mungu akubariki sana mchungaji turudi igale
Baba yangu na Mungu wangu utusaidie tuweze kuelewa maneno haya mazito kutoka kwa baba yetu wa imani mchungaji Moses Magembe.
Naomba tusaidie kuelewa eee Bwana wetu hili neno ambalo Roho Mtakatifu asema na kanisa lake.
Nabarikiwa sana na mafundisho
hongera baba kwakukumbusha njia ipaswayo kufuatwa
Yesu tusaidie
Naomba Namba ya Rev: Moss
amina mtumishi wa Mungu ni kweli ndio maana makanisa yamekufa
Napokea baba amina
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua
Nimebarikiwa na kuinuiwa kwa maneno yako ,Mungu atujalie kuinuka tena na kuihubiri injiri yenye nguvu
My pastor nakuelewa sana
Mungu akutunze Pastor, unasaidia wengi.
Amina ubarikiwe sana
Barikiwa mtumishi
Amen, kumkabiri shetani hakuna kudekadeka!!,
Mungu akubariki sana Baba Amina kubwaababa
Amina Amina Amina, Mungu yuko hapa
Ee Mungu nisaidie nikupokee rohoni mwangu 😢😢😢
Amina Mungu atusadie tunamuomba
Amen 🙏 Pastor 🙏
Sahihi kbsa nimefika igale na mazingira nineyaona na history hii nimeipata Barbara!
Mchungaji wetu hatujawahi kumdharau .yuko nae pamoja na anachokisema ndicho kanisa la leo linahitaji fanta kazi ya Mungu Baba Mungu hatakuacha wala kukupungukia popote
Jambo baba Muchungaji naomba na mamba ya simu
Ubarikiwe sana baba yetu
Mungu akubariki sana
God bless you Amen
Bwana akutunze pastor nimeinuliwa upya
amina Mchungaji Magembe nakuelewa sana baba.
Mungu akutunze
Amen
Kuna watu wanatumia neno la mungu lakini hawana upako wa mungu
Mungu tusaidie
Amina baba
ubarikiwe baba
Najua mazombi yatang'aka, kwakuwa ni mashabiki ya Dini badala ya kweli
Barikiwa Saaana Magembe Rafiki yangu acha TAG wa kudharau sisi wa madhehebu mengine tunachukua mafundisho yako na tuna jaza makanisa TAG acheni uoga
Mbona hapo ni kama yupo TAG au sijaona vizuri
Tafiti kama hizi inatakiwa afanye askofu mkuu ili ajue pakuanzia, maana yule bibi anasema aliyeingia amevaa hereni, mikufu, shanga na bangili alikutana na Roho Mt na hawakuvaa tena, kanisa la leo hivyo vitu tumehalalisha na wachungaji hawaoni kama ni uovu. Watu wasuka, wanajikilimu, wanavaa mawigi na kujinakisha. Ninachomshukuru Bwana Yesu amemsaza ili ashuhudie japo wachungaji wetu hawana mpango naye bali wanaiamini thiolojia Sana.
Mkuu mbona kama una muhemko hapo anafanya kazi ya TAG sasa wamemdharau vpi na yuko kamati kuu
@@user-ic8od4el4c hii kauli ya kudharauliwa kailudia mwenyewe mala nyingi tu hatumuwekei maneno mdomoni
Unatukosea
Yeeeesuuu njooo nisaidie
Hallelujah
Balikiwe sana mtumishi wamungu hakika injili hii itatafutwa sana mama ulimwengu nakanisa limehalibika lakin huyu Baba hakika anamjua Mungu
Hakika Ubarikiwe zaidi
Kweli tunaomba Yesu akusaidie maana kizazi ni kigumu sana kinatisha mno. Hakielewi somo!
Amin
Amina baba wewe ni hazina
Amen
Aminababa
Mungu atusaidie kutoipenda Dunia Wala kuifuatisha Ili Roho Mtakatifu adumu ndani yetu Halleluya!
Amina
Hii historia ya Igale inabidi irekodiwe NYTV nendeni Rungwe please
utukufu ni kwa Mungu
Tupate wapi Watumishi wa Mungu kama wewe, MUNGU AZIDI KUKUTUMIA SANA MCH , WATU TUPONE
❤❤
Ujue kuwa wakristo tumeishia huoni hata mlipuko wa nguvu ya Mungu ndani yao, kwa injili hiyo lazima pangechimbika hapo
Hakika wewe ni Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo wa kizazi hiki. Yesu akubariki
Mungu ni mwema kabisa
Napokea
Ameeeen
❤❤❤
tuandae vema
Mnaweza nisaidia number ya Mchungaji huu Rev Moses Magembe?
🙏🙏🙏🙏amen
Anasema ukweli huyu baba
🙏🙏🙏🙏🤝
Mimi ninamkubali huyu baba
Mungu akubariki sana Baba
Watumishi kama hawa wamebaki wachache ktk Dunia hii,
Mimi kama vile Elisha mtarajiwa naitaja roho yake mara dufu
Uyu anatari