ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

DUDUBAYA AFICHUA YA MWAMPOSA, NGUVU ZA GIZA, KUUZA MAFUTA NA MAJI, ONA FACT ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 97

  • @JoycePius-em9ki
    @JoycePius-em9ki หลายเดือนก่อน +5

    Kaka dudu baya uko vizur mungu akuweke miaka mia mbil

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +11

    Amina kaka yangu mungu aendelee kukibariki

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu dudu ninamuekewa anatema madini kweli kweli big up dudu 😂

  • @NiceWatson
    @NiceWatson หลายเดือนก่อน +4

    Mwamposa ni mtume mzur Alerujha Alerujha Alerujha wamuache kabisaaaa mtume wetu Mungu asante kwa mtu mwema kwetu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏻🙏

    • @rechokusilimka5739
      @rechokusilimka5739 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niko pale nimekaa😂😂😂

    • @chrisshonga
      @chrisshonga 7 วันที่ผ่านมา

      Mmemsahau kumuamini MUNGU na sasa hivi mnamuamini mwanadamu! NENO liko pale pale na litabaki pale pale milele AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU

  • @japhetferuzi1219
    @japhetferuzi1219 หลายเดือนก่อน +4

    Uko vizuri mtumishi

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf หลายเดือนก่อน +3

    Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 หลายเดือนก่อน +11

    BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya หลายเดือนก่อน

      It is what it is mwanaume haujui uchungu Wala maumuvu ya mimba

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow หลายเดือนก่อน

      Ultimately mwenyewe mimba​@@FiollaIsaya

    • @levygasper7438
      @levygasper7438 24 วันที่ผ่านมา

      @@FiollaIsaya kwani ww mwanaume??Nami nasema hivi mwanamke hayajui maumivu tunapitia mwanaume ili mtoto akuweufikiye uutuzima

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya 24 วันที่ผ่านมา

      @@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 17 วันที่ผ่านมา

    Kaka dudu uko vizuri sn,✔️ Mungu azidi kukubariki sn.

  • @zakariakapinga9862
    @zakariakapinga9862 29 วันที่ผ่านมา +4

    jamaa ana hilca na silca za uchungaji ndani yake

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 หลายเดือนก่อน +2

    Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege9325 หลายเดือนก่อน +2

    Ashukuriwe Mungu anayeweza kudhihirisha kweli kupitia waja wake

  • @emmanuelshilagi3302
    @emmanuelshilagi3302 27 วันที่ผ่านมา +2

    kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 หลายเดือนก่อน +2

    Like kapelo lako liko wapi linakupendeza mno Mr konk

  • @nurdinally3451
    @nurdinally3451 หลายเดือนก่อน +5

    Mbona kanyoka jamaa anaongea kweli mnao mtukana mko sawa kweli

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 หลายเดือนก่อน

      Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.

  • @user-qe6ym5no8l
    @user-qe6ym5no8l 4 วันที่ผ่านมา

    Amina brow

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Mchungaji Dudu baya

  • @mussaisaac
    @mussaisaac หลายเดือนก่อน +2

    Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu kuombewa sio shida Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake iweni na imani kubwa.

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny 28 วันที่ผ่านมา

      Hujalielewa andiko hilo,

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@SimonHaule-tp3nyyaani mnachekesha sana kwa sababutu A mtuakisoma andiko lilivupnajidai hatukaelews

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba ulipata lanayamungu hebu jalibu kuunzisha kanisa mungu akubaliki unajichelewashwa

  • @SaiSitta-kj7wh
    @SaiSitta-kj7wh 11 วันที่ผ่านมา

    Uko sawa mtakatifu

  • @Princewaweru
    @Princewaweru หลายเดือนก่อน

    Nyimbo zako tu nyingi zinaonekana we ni mtumishi wa Mungu kwa sisi wenye macho ya roho tunajua

  • @ianak4
    @ianak4 หลายเดือนก่อน +1

    Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.

  • @AyubaYahyazawad
    @AyubaYahyazawad 2 วันที่ผ่านมา

    Ndiyo ukiombewa ukapona endelea na maombi usilale mbaya wako halali we utalalaje

  • @Magreth-e2q
    @Magreth-e2q 7 วันที่ผ่านมา

    Dudubaya. Mbona. We were. Wanasema. Nimkorofi

  • @ianak4
    @ianak4 หลายเดือนก่อน +1

    Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi

  • @profamanzala1693
    @profamanzala1693 11 วันที่ผ่านมา

    Alleluia

  • @andyjk5974
    @andyjk5974 หลายเดือนก่อน +3

    jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน +1

      Acha waendelee kununua mafuta na udongo mwamposa aendelee kuongeza mahoteli , alafu wao wakae na mafuta na udongo, watu hawaelewi😮

  • @JulianaMwanjala
    @JulianaMwanjala หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana mwanangu Dudu baya

  • @KenethKibona
    @KenethKibona หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri

  • @jonasmbala1326
    @jonasmbala1326 หลายเดือนก่อน

    usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน +2

    Dudu baya amefanya sana ushoga kwahiyo kisaikolojia kichwani ni taka taka tu😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน

      Ulilala naye akakupa utamu wa ushoga anacheka kwa raha alizo Kupa hongera

    • @rajabmkuya9023
      @rajabmkuya9023 หลายเดือนก่อน

      ​@@zebedayokatamaduni9676😅

  • @Dominant97
    @Dominant97 27 วันที่ผ่านมา

    Exactly

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly หลายเดือนก่อน

    Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI.
    Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.

    • @wilhelminshauri7410
      @wilhelminshauri7410 หลายเดือนก่อน

      Bahati mbaya sana hakuna mtume au nabii ndio maana kuna roho mtakatifu

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 หลายเดือนก่อน +1

    Konki tunakupendaga Sana

  • @HusseinJamal-v9v
    @HusseinJamal-v9v หลายเดือนก่อน

    Kaongea ukwel,mengne tumuachie mungu tusijudge vibaya

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv 23 วันที่ผ่านมา

    Jamaaa anaa akili sana

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 หลายเดือนก่อน +2

    Dudu baya kapungua sana, ni bora akabidhi maisha yake kwa Yesu

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 10 วันที่ผ่านมา

      mwili huo ndio mzuri ule alibongeka sana mwili mkubwa sio afya ndgu

  • @user-ld3yh5kv5n
    @user-ld3yh5kv5n 20 วันที่ผ่านมา

    Jamaa alienda kuomba msaada

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 29 วันที่ผ่านมา

    Leo kama nimemwewa sana

  • @MOHAMEDYUSUPH-oq1th
    @MOHAMEDYUSUPH-oq1th 24 วันที่ผ่านมา

    Oyo jamaa c almpiga Mr nice uyo njaa tu

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r หลายเดือนก่อน +1

    Mulicho andika nakinachoongelewa tofaut

    • @RajabuJumanne-pl8ir
      @RajabuJumanne-pl8ir 22 วันที่ผ่านมา

      Nikweli kichwa cha habari na yanayoongelewa ni vitu viwili tofauti, hilo nitatizo la waandishi wakibongo.

  • @HalimaNgenzi
    @HalimaNgenzi หลายเดือนก่อน +3

    Ww huna akili na hata hvyo unaonekana una mapepo mrudie mung ww ni tomaso

  • @annanamuyala
    @annanamuyala หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka nikufanya kazi kwa iman utabarikiwa

  • @AnastinaIshisha-lt2rn
    @AnastinaIshisha-lt2rn หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ubalikiwe

  • @user-ib3tc4dc4s
    @user-ib3tc4dc4s หลายเดือนก่อน +1

    Dudu maisha yamemshinda na analaana ya kumpiga mr nice na alimvunja kiuno laana inamuandama ana wivu huyooo

  • @kingdavidmoto6149
    @kingdavidmoto6149 หลายเดือนก่อน

    Dudubaya umekuwa mchungaji

  • @LobikiekiMarko
    @LobikiekiMarko หลายเดือนก่อน +1

    UMEMALIZA DARASA LA TATU🤑🤑🤑🤑

  • @user-sh6ch6ex1h
    @user-sh6ch6ex1h หลายเดือนก่อน +1

    OILIchaFu

  • @Magreth-e2q
    @Magreth-e2q 7 วันที่ผ่านมา

    Dude. Having. Mwaposa. Ameowa

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv 23 วันที่ผ่านมา

    Tesha tumia akiliiii

  • @norahfrank
    @norahfrank หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo หลายเดือนก่อน

    Konk 3 master Putin 🎉🎉🎉

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mwamposa kanunua gari la wagonjwa unafanya mchezo mpeni jizo hela watoto wake wapo mbea baadae wataishi maisha mazuri baadae

  • @Furahazawadi-ym4be
    @Furahazawadi-ym4be หลายเดือนก่อน

    Miyesisikiye anamusema mumbaya mwaposa dudu

  • @K-go1qj
    @K-go1qj หลายเดือนก่อน

    Dudu afungue kanisa sasa

  • @VeloniceDonard
    @VeloniceDonard หลายเดือนก่อน +1

    Ww hakili zako haziko vinzur Kaz ya kujadil ya wenzio yako umeyaweka wap toa na yako tuone

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 10 วันที่ผ่านมา

      da wewe unachelewa kuelewa kwan mbona kaongea vzr tu jmn si anahojiwa

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 28 วันที่ผ่านมา

    aka yake Imemponza😂😂OIL CHAFU HUWA HAINA MVUTO

    • @selemanshaban7496
      @selemanshaban7496 28 วันที่ผ่านมา

      Shetan ww mvuto gan unataka awe nao Ili iweje

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 27 วันที่ผ่านมา

      @@selemanshaban7496 umekurupuka tu MVUTO wa jina. OIL CHAFU SIO JINA ZURI KUJIITA. NDO HIVYO

  • @Laizer3
    @Laizer3 หลายเดือนก่อน +2

    Mambobya dini hamna ajuae ukweli.

  • @NiceWatson
    @NiceWatson หลายเดือนก่อน

    Navona inawachona sana hii ya juzi Baba mwamposa kujjaza watu ya usiku usio sahaulika Alerujha Alerujha Alerujha

    • @sarahrichard2813
      @sarahrichard2813 หลายเดือนก่อน

      Msikilizeni alichokiongea ni positive

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k หลายเดือนก่อน

    Acha kutukana waganga

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed หลายเดือนก่อน

    Dudubaya we mtu wamungu tangu llini sauti sura vyote vinekufa na gongo

    • @SimonHaule-tp3ny
      @SimonHaule-tp3ny 28 วันที่ผ่านมา

      Yesu alisema mwenye afya hamhitaji tabibu,bali mgonjwa,udhaifu wake ndy unaomsogeza jirani na Mungu.

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz หลายเดือนก่อน +1

    Jesus is everything

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m หลายเดือนก่อน

    Toka hapa chizi

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni หลายเดือนก่อน

    Ufunuo 22:17-18

  • @user-tr4ib1pr1t
    @user-tr4ib1pr1t หลายเดือนก่อน

    Umeokoka?

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama2877 หลายเดือนก่อน

    Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z หลายเดือนก่อน

    Mbona sauti inaonyesha imekauka kwa ajili ya bangi na pombe kali ,afu una maneno ya kiuni tu eti konki master hatar

    • @napendahuruma3320
      @napendahuruma3320 หลายเดือนก่อน

      Hanywi pombe wala havuti bangi wala sigara so usimjaji mtu kama humjui

  • @augustinemainde
    @augustinemainde หลายเดือนก่อน +5

    Dudu baya Kama unaweza na wewe tumia nguvu za Giza uvute watu acheni ujinga wenu,na wivu wenu

    • @samwelsitta5089
      @samwelsitta5089 หลายเดือนก่อน

      Braza samahani naomba ukasome warumi 10:2-3

    • @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
      @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r หลายเดือนก่อน

      Ivi uyu alisikia intervew au unafata zako iyo capshen tu😂

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 หลายเดือนก่อน

      Kweliiiiiiiiii jee?

  • @PatrickTeshaTesha-zp4ld
    @PatrickTeshaTesha-zp4ld หลายเดือนก่อน

    𝕄𝕥𝕦𝕞𝕚𝕤𝕙𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖𝕧𝕚😂

    • @napendahuruma3320
      @napendahuruma3320 หลายเดือนก่อน

      Hanywi hata pombe uliza tunaomjua so usimuelezee mtu kama humjui

  • @Dominant97
    @Dominant97 27 วันที่ผ่านมา

    Saui ya kiroho iyo mkuu plus madini ulonayo utasaidia watu,fungua kanisa achana na makuu ya dunia

  • @brown5418
    @brown5418 หลายเดือนก่อน

    Endelea kusubiri Mungu anakusudi na wewe