Kagera Sugar 1-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 12/05/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 พ.ค. 2024
- Simba imebanwa mbavu na Kagera Sugar kwenye Dimba la Kaitaba Bukoba kwa sare ya bao 1-1, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara....
Ladaki Chasambi ndiye aliyetangulia kufunga dakika ya 24 kabla ya Obrey Chirwa kusazisha dakika ya 62. - กีฬา
mishamba sana michezaji ya simba. mechi mbili tu wamelewa sifa kjla mmoja anataka afunge yeye
Hunaaakil ww haujui mpira unajua maana ya game,kama haujui maana ya game ni mchez unaohitj mbinu na ushndqni kwahiy hao kagera ni wat rafk
Mm nakusapoti michezaji ya ovyo hawatoi pasi mtu anangangana na chenga tu badala ampasie mwenzie
Simba kinachokosekana tu nibahati tu kama wenzetu lakini nafasi zinatengenezwa sana jamani wala tusikate tama Simba Nguvu moja ❤️❤️❤️
Kabla ya kutoa lawama lazima pia tutoe credit kwa Kagera sugar kwa sasa nayo ni timu bora sana
Simba msimu huu ndio iliyonipa ubingwa imechangia Dabi point 6. Pia ilipunguza gape ilipocheza na Azam kutoka point 5 hadi point 4. Na leo wamemaliza kabisa na kuniambia kazi kwako.
Sasa naazaje kuichukia simba labda sio mimi.😂
Barua, chasambi kuna sehmu ilikuwa ni za kutoa pasi tu lakin wao wanafosi kupiga mashuti yasiyo na malengo, been tryin to be hero of the match wakat inahitajika point 3
Yani hii Simba hakuna kitu kabisa Yani huyu Fred ni shati huyu balua chisambi wote Hawa ni wachezaji wa mafungu wanacheza mpira wa uswazi Sana wao wakipata mpira wanawaza kufungu tu na sio kutengeneza nafasi.
Nadhani iwepo timu ya kuangalia comments za mashabiki, kwani tunacomment kila siku kuhusu wafungaji, hata Freddy tumemsema sana
Yanga hata isipocheza mechi zilizobaki tayari ni bingwa 2023 - 2024 kwa sababu hawa makolo hawatamaliza salama mechi zao zilizobakia
😂😂
Tuwe wakweli Yanga inaheshimiwa na timu zote ndo maana timu zinapokutana na Yanga zinacheza kwa adabu lakini wanapokutana na simba wanajua Kiwango kiko sawa ndo maana timu hazilindi
😂😂😂
😂😂😂 Kapiga nje kwenye mashavu ya nyavuuu😂
Huyuu jamaa kibarua kilikuwa kishaota nyasii
Nakumbka msemaji baada ya ku win mechi mbili akaropoka kwa simba hii tunacheza na yeyote,,,,,haya tuimbe ule wimbo wa kiko wapiiiiiiii😅😅😅
Striker linakosa magoli kama senge
Asante mgunda
Uchoyo mmezidi, kila mtu anataka agunge yeye
Simba hatuchezi kitimu
Hii ndio simba sasa
Hawa fundi shiki hawo 1:22
Mm nilijisemea tusimsifie sana mgunda ngoja mech ya Kagera na Dodoma jiij ndio tujue tuko vizr
Hawa wanakitu mwilini simba
Uyu balua nae kashajiona super star kufunga tu ile faul ..kaona anaeza kila ktu
Sema tu lile gol la mwisho lile, sidhan kama offside
😊😊😊😊😊mayu simba walijilipua sana kwa kagera
Wachezaji wa Simba leo hawakuwa makini kwa asilimia kubwa,hasa kwenye nafaci za mwisho.
Kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kuvunja historian ya kagera ktk uwanja wao wa nyumbani
haatuchezi kitimu,Kila mchezaji anacheza anavyojua,nini maana ya timu Sasa?
mgunda anajua kufundisha sana vijana wanatengeneza nafasi nyingi
Nita furahi niki ona YOUNG na AZAM waki akilisha TANZANIA 🇹🇿 mu CAF CHAMPIONSLEAGUE, SIMBA wa jeze confederation
Hawa fundi shiki hawo
😂😂😂😂tukiwaambia nyie nyie ndo mnawaaribu wachezaji mnazani tunawaonea wivu kuwasifia sifia vitu vya kaeaida ndo aya Sasa matokeo yao kila mtu anataka yey afunge asifiwe😂😂😂
Umeandika kwa kutumia makalio si ndio
Simba wakimleta kocha mpya akishindwa kupata matokeo mazuri utasikia timu apewe Mgunda!!!
duuu,goal la jobe ni offside 😀😀
Mm naona mgunda mech za mwisho zote panga wazoefu
Tatizo la wachezaji wa simba kila mtu anataka kufunga mwenyewe
Comedy wa madunduka alisema fred vunjabei atakua top score 😂😂😂😂😂
Alie iua Simba kwenye hii mechi ni Freddy kakosa nafasi karibu nne zawazi yani yeye na kipa na moja ni yeye na wavu. Mimi naamini jobe ni mzuri kuliko Freddy ni vile hapewi nafasi tu
Fred simuelewi
Kocha mgunda naye alifungiwa au??
Huo ubingwa ulio pewa na simba kauweke kwako
Polen maana mlikuwa munawaza kuwa yanga atapoteza match ngap ili mchukue ubingwa na mkasahau kuwa nanyi mnaweza kupoteza au kudroo
MAKOLO 😂😂😂HAKUNA KLABU BINGWA MSIMU HUU UMBWA NYIEEE!!!
Mgunda kocha buf mabek wametuangusha
😅😅😅 matikiti kudodoka
Simba kwa omary wameliwa😅
Haatuchezi kitimu
Yaani simba ni kama baiskel ya kunolea visu makelele kibao alafu ipo palepale!.
leo ndio nimejua wale wazee wa wa kwanza kuona wanavyojisikia 😂😂
tumpe muda kocha Mgunda mafanikio ni process na siyo vinginevyo
Ukimbiaji na utembeaji wa fred sielewi mimi
Waishe maagap
Uyo shemalon nae nishida sana kwetu akae benchi ikibid
Wakwanza leo
Wti Mugunda amzidi Benchika hahaaaaa
Eti offside jmn walishalala chuma mbili
Wamebebwa na kupakatwa😂😂😂😂
Kumbe walifunga la pili😂
Camera mabovu uoni hafifu
Ahmed Ally akapimwe akili naona huyu jamaa ni MDUKULE
😢
Hahaha sema bado
😅😅 Simba wameisha
Hidaya football club😅😅😅
Kwa mpira huu wa Simba, wasijidanganye, warud chin tu wawabembeleze kina chama warud wamalizie mechi. Sivyo mabingwa wanaikosa
We bado unandoto za mchana kweli bado unawaza ubingwa?
Hat akina chama wakirudi haisadii hapa hata ushibde mechi zote point zinabaki 66 sawa na azam na azam ana idadi kubwa ya magoli kwa hiyo nafasi ya pili mshahahu
I mean CAF wamalize nafas ya pili
Jamani kwahiyo simba wasipokuwa mabingwa ligi imeshuka ubora yaani mashabiki wa simba hamna akili badala yakuzungumzia makosa ya waamuzi na ubovu wa simba yenu mnaleta utoto🤔🤔
Kwa SIMBA hii ya sasa hakuna Cha kuisikitikia , hicho Ndo kiwango Chao. Hakuna Mgunda Wala Matola,tafuteni COACHER mzuri na wachezaji wazuri wa AFRICA Pesa mnayo Au la ,na Mwakani mtaendelea kulia tu .
UBINGWA WETU BAADA MECHI YA MTIBWA TUNA NYANYUA KWAPA😅😅😅😅😅
Uhakika
Miutopolo hii inateseka na simba kweli
Acha umama umetoa sare 😮😮😮
Sasa Kwa ubora upi WA mikia madunduka fundenge Simba jike
Mpaka YANGA Teseke Kwa ubora Gani makolo ambao mnaonyesha hapo uanjani
Azam si aliwapa point tatu Tu kwasababu Ni shangazi yenu😂😂😂😂
Simba Haina tofaut na movie za kingwendu,,, wakina lingo tin white yn Wana 😂😂 wanafurahisha kuwataza
Minziro na mgunda
Wanafaa kupewa Tim ya taifa watafika mbali
taifa gani
Shida yetu hatuamini wazawa au hata kama taaaluma zao ziko chini TFF haiwez kuwadhamin waka bukue hapo france or German japo ka mwaka hivi
Tatizo sio kuwaamini tatizo wao wanajiaminisha
Mngekoma Leo mlikuwa mgingwe mnabebwa kila siku
Hatumutaki mgunda kolo kula chuma😢😢😢😢😮
Yani kolozidad bana au nguruwe fc mechi moja mmeshinda sifa tele mjuwe tu timu yenu mbovu jipangeni kwa mwakani
NGURUWE MLA MIHOGO TOPOLOKWINYO WEWE 😂😂😂😂😂 MACHOGO FC 😂😂😂
Niliwambia huyo mgunda atahakikisha hamshiliki Ligi ya mabingwa
Mbona we ni mjinga kiasi hiki? Ulitaka mgunda ndo akafunge kwenye nafasi za wazi alizokosa Fredy?
@@brianbatoleki6531 kwani kazi ya kocha nni wewe kenge
Laana ya mchome Kampala mafuta
Yaani vunjabei na jobe ni pipa na mfuniko hamna wafungaji pale wale hawawezi hata kuisaidia mbeya city kupanda daraja yaani hawa wanabahatisha hawastahili kucheza simba
Kabxaaaaaa
Utashangaaa msimu ujao Simba itaendelea kuwaacha@@SparksGrey
😂😂😂😂😂😂
Tusubirie lakn team yetu hyoooo ckuiz dah YA ALLAH atusaidie na viongozi wenyew haoo mana Amna ktu kbxaaaaaa
kocha hatuna match kama hii unaacha kupanga wachezaj wenye uzoefu me naona mgunda bado
Wenye uzoefu ni Akina nani? Asilimia kubwa ya wachezaj ni majeruhi alafu ampange nani? Kweli huna akili maana unashindwa kufikiri hata vitu vidogo
Hawa fundi shiki hawo
Hii timu hata ibebwe vip
Utawasikia wendawazimu wakisema ni ligi ya tano kwa bora,bure kabisa
Mkikosaga matokeo mazuri hua hamkosi yakuongea hovyo sana
Wewe ulitaka ligi ipi iwe ya tano kwa ubora
Mkataa kwao mtumwa pole