Kagera Sugar 1-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 12/05/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 พ.ค. 2024
  • Simba imebanwa mbavu na Kagera Sugar kwenye Dimba la Kaitaba Bukoba kwa sare ya bao 1-1, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara....
    Ladaki Chasambi ndiye aliyetangulia kufunga dakika ya 24 kabla ya Obrey Chirwa kusazisha dakika ya 62.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 102

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 10 วันที่ผ่านมา +13

    mishamba sana michezaji ya simba. mechi mbili tu wamelewa sifa kjla mmoja anataka afunge yeye

    • @GagahWilsone
      @GagahWilsone 10 วันที่ผ่านมา

      Hunaaakil ww haujui mpira unajua maana ya game,kama haujui maana ya game ni mchez unaohitj mbinu na ushndqni kwahiy hao kagera ni wat rafk

    • @johnmbise8996
      @johnmbise8996 10 วันที่ผ่านมา +3

      Mm nakusapoti michezaji ya ovyo hawatoi pasi mtu anangangana na chenga tu badala ampasie mwenzie

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 10 วันที่ผ่านมา +1

    Simba kinachokosekana tu nibahati tu kama wenzetu lakini nafasi zinatengenezwa sana jamani wala tusikate tama Simba Nguvu moja ❤️❤️❤️

  • @frenkmwatanyaga306
    @frenkmwatanyaga306 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kabla ya kutoa lawama lazima pia tutoe credit kwa Kagera sugar kwa sasa nayo ni timu bora sana

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 10 วันที่ผ่านมา +4

    Simba msimu huu ndio iliyonipa ubingwa imechangia Dabi point 6. Pia ilipunguza gape ilipocheza na Azam kutoka point 5 hadi point 4. Na leo wamemaliza kabisa na kuniambia kazi kwako.
    Sasa naazaje kuichukia simba labda sio mimi.😂

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 10 วันที่ผ่านมา +2

    Barua, chasambi kuna sehmu ilikuwa ni za kutoa pasi tu lakin wao wanafosi kupiga mashuti yasiyo na malengo, been tryin to be hero of the match wakat inahitajika point 3

  • @KamaraJoseline
    @KamaraJoseline 10 วันที่ผ่านมา +3

    Yani hii Simba hakuna kitu kabisa Yani huyu Fred ni shati huyu balua chisambi wote Hawa ni wachezaji wa mafungu wanacheza mpira wa uswazi Sana wao wakipata mpira wanawaza kufungu tu na sio kutengeneza nafasi.

  • @cesaryaudax6647
    @cesaryaudax6647 10 วันที่ผ่านมา +3

    Nadhani iwepo timu ya kuangalia comments za mashabiki, kwani tunacomment kila siku kuhusu wafungaji, hata Freddy tumemsema sana

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w 10 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga hata isipocheza mechi zilizobaki tayari ni bingwa 2023 - 2024 kwa sababu hawa makolo hawatamaliza salama mechi zao zilizobakia

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 10 วันที่ผ่านมา +4

    Tuwe wakweli Yanga inaheshimiwa na timu zote ndo maana timu zinapokutana na Yanga zinacheza kwa adabu lakini wanapokutana na simba wanajua Kiwango kiko sawa ndo maana timu hazilindi

    • @ElizaYanga
      @ElizaYanga 10 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂

  • @user-hr8gi6kg1y
    @user-hr8gi6kg1y 10 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂 Kapiga nje kwenye mashavu ya nyavuuu😂
    Huyuu jamaa kibarua kilikuwa kishaota nyasii

  • @user-go8lq7cl8s
    @user-go8lq7cl8s 10 วันที่ผ่านมา +3

    Nakumbka msemaji baada ya ku win mechi mbili akaropoka kwa simba hii tunacheza na yeyote,,,,,haya tuimbe ule wimbo wa kiko wapiiiiiiii😅😅😅

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 10 วันที่ผ่านมา +3

    Striker linakosa magoli kama senge

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 10 วันที่ผ่านมา +1

    Asante mgunda

  • @GraceRichard-gy9he
    @GraceRichard-gy9he 10 วันที่ผ่านมา +2

    Uchoyo mmezidi, kila mtu anataka agunge yeye

  • @saimonrodgers8262
    @saimonrodgers8262 10 วันที่ผ่านมา +2

    Simba hatuchezi kitimu

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ndio simba sasa

  • @user-el8pu9dm3r
    @user-el8pu9dm3r 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa fundi shiki hawo 1:22

  • @TiffaMakamba-ml2ib
    @TiffaMakamba-ml2ib 8 วันที่ผ่านมา

    Mm nilijisemea tusimsifie sana mgunda ngoja mech ya Kagera na Dodoma jiij ndio tujue tuko vizr

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa wanakitu mwilini simba

  • @JuniorShadrack-iw9ru
    @JuniorShadrack-iw9ru 10 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu balua nae kashajiona super star kufunga tu ile faul ..kaona anaeza kila ktu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 10 วันที่ผ่านมา +1

    Sema tu lile gol la mwisho lile, sidhan kama offside

  • @EmmanuelCharles-wh3in
    @EmmanuelCharles-wh3in 10 วันที่ผ่านมา

    😊😊😊😊😊mayu simba walijilipua sana kwa kagera

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wachezaji wa Simba leo hawakuwa makini kwa asilimia kubwa,hasa kwenye nafaci za mwisho.
    Kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kuvunja historian ya kagera ktk uwanja wao wa nyumbani

  • @DBIRobotics
    @DBIRobotics 10 วันที่ผ่านมา +1

    haatuchezi kitimu,Kila mchezaji anacheza anavyojua,nini maana ya timu Sasa?

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 10 วันที่ผ่านมา

    mgunda anajua kufundisha sana vijana wanatengeneza nafasi nyingi

  • @Rufinwabenga
    @Rufinwabenga 10 วันที่ผ่านมา +2

    Nita furahi niki ona YOUNG na AZAM waki akilisha TANZANIA 🇹🇿 mu CAF CHAMPIONSLEAGUE, SIMBA wa jeze confederation

  • @user-el8pu9dm3r
    @user-el8pu9dm3r 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa fundi shiki hawo

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 10 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂tukiwaambia nyie nyie ndo mnawaaribu wachezaji mnazani tunawaonea wivu kuwasifia sifia vitu vya kaeaida ndo aya Sasa matokeo yao kila mtu anataka yey afunge asifiwe😂😂😂

    • @ElishaMgaya
      @ElishaMgaya 10 วันที่ผ่านมา

      Umeandika kwa kutumia makalio si ndio

  • @kazunguclaver2539
    @kazunguclaver2539 10 วันที่ผ่านมา

    Simba wakimleta kocha mpya akishindwa kupata matokeo mazuri utasikia timu apewe Mgunda!!!

  • @kimconscious5375
    @kimconscious5375 10 วันที่ผ่านมา +1

    duuu,goal la jobe ni offside 😀😀

  • @TiffaMakamba-ml2ib
    @TiffaMakamba-ml2ib 8 วันที่ผ่านมา

    Mm naona mgunda mech za mwisho zote panga wazoefu

  • @willsonmsuya9261
    @willsonmsuya9261 10 วันที่ผ่านมา

    Tatizo la wachezaji wa simba kila mtu anataka kufunga mwenyewe

  • @MachondaMtoto
    @MachondaMtoto 10 วันที่ผ่านมา +1

    Comedy wa madunduka alisema fred vunjabei atakua top score 😂😂😂😂😂

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 10 วันที่ผ่านมา

    Alie iua Simba kwenye hii mechi ni Freddy kakosa nafasi karibu nne zawazi yani yeye na kipa na moja ni yeye na wavu. Mimi naamini jobe ni mzuri kuliko Freddy ni vile hapewi nafasi tu

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 10 วันที่ผ่านมา

    Fred simuelewi

  • @enockm6101
    @enockm6101 10 วันที่ผ่านมา

    Kocha mgunda naye alifungiwa au??

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi 10 วันที่ผ่านมา

    Huo ubingwa ulio pewa na simba kauweke kwako

  • @ANAFIMATUMLA
    @ANAFIMATUMLA 10 วันที่ผ่านมา

    Polen maana mlikuwa munawaza kuwa yanga atapoteza match ngap ili mchukue ubingwa na mkasahau kuwa nanyi mnaweza kupoteza au kudroo

  • @heiskeedkrs6810
    @heiskeedkrs6810 10 วันที่ผ่านมา +4

    MAKOLO 😂😂😂HAKUNA KLABU BINGWA MSIMU HUU UMBWA NYIEEE!!!

  • @nasibshabani7740
    @nasibshabani7740 10 วันที่ผ่านมา

    Mgunda kocha buf mabek wametuangusha

  • @EmmanuelCharles-wh3in
    @EmmanuelCharles-wh3in 10 วันที่ผ่านมา +1

    😅😅😅 matikiti kudodoka

  • @abdallahmohamed7166
    @abdallahmohamed7166 10 วันที่ผ่านมา

    Simba kwa omary wameliwa😅

  • @DBIRobotics
    @DBIRobotics 10 วันที่ผ่านมา +1

    Haatuchezi kitimu

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 9 วันที่ผ่านมา

    Yaani simba ni kama baiskel ya kunolea visu makelele kibao alafu ipo palepale!.

  • @franciskayanda7884
    @franciskayanda7884 10 วันที่ผ่านมา

    leo ndio nimejua wale wazee wa wa kwanza kuona wanavyojisikia 😂😂

  • @hamidghaleeb5467
    @hamidghaleeb5467 10 วันที่ผ่านมา

    tumpe muda kocha Mgunda mafanikio ni process na siyo vinginevyo

  • @mtumeananiasjohachim8760
    @mtumeananiasjohachim8760 10 วันที่ผ่านมา

    Ukimbiaji na utembeaji wa fred sielewi mimi

  • @user-iw6mx2zf6e
    @user-iw6mx2zf6e 10 วันที่ผ่านมา

    Waishe maagap

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 10 วันที่ผ่านมา

    Uyo shemalon nae nishida sana kwetu akae benchi ikibid

  • @sophiamkinga1640
    @sophiamkinga1640 10 วันที่ผ่านมา

    Wakwanza leo

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 10 วันที่ผ่านมา

    Wti Mugunda amzidi Benchika hahaaaaa

  • @user-su7np6sn7s
    @user-su7np6sn7s 10 วันที่ผ่านมา +3

    Eti offside jmn walishalala chuma mbili
    Wamebebwa na kupakatwa😂😂😂😂

  • @meshacklucas7971
    @meshacklucas7971 10 วันที่ผ่านมา

    Camera mabovu uoni hafifu

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 10 วันที่ผ่านมา

    Ahmed Ally akapimwe akili naona huyu jamaa ni MDUKULE

  • @user-dg2lt8wo7z
    @user-dg2lt8wo7z 10 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 10 วันที่ผ่านมา

    Hahaha sema bado

  • @drisackkalindi3846
    @drisackkalindi3846 10 วันที่ผ่านมา

    😅😅 Simba wameisha

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 10 วันที่ผ่านมา +2

    Hidaya football club😅😅😅

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 10 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa mpira huu wa Simba, wasijidanganye, warud chin tu wawabembeleze kina chama warud wamalizie mechi. Sivyo mabingwa wanaikosa

    • @marysaimon2213
      @marysaimon2213 10 วันที่ผ่านมา

      We bado unandoto za mchana kweli bado unawaza ubingwa?

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je 10 วันที่ผ่านมา

      Hat akina chama wakirudi haisadii hapa hata ushibde mechi zote point zinabaki 66 sawa na azam na azam ana idadi kubwa ya magoli kwa hiyo nafasi ya pili mshahahu

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 10 วันที่ผ่านมา

      I mean CAF wamalize nafas ya pili

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 10 วันที่ผ่านมา

    Jamani kwahiyo simba wasipokuwa mabingwa ligi imeshuka ubora yaani mashabiki wa simba hamna akili badala yakuzungumzia makosa ya waamuzi na ubovu wa simba yenu mnaleta utoto🤔🤔

    • @AbubakariMussa
      @AbubakariMussa 10 วันที่ผ่านมา

      Kwa SIMBA hii ya sasa hakuna Cha kuisikitikia , hicho Ndo kiwango Chao. Hakuna Mgunda Wala Matola,tafuteni COACHER mzuri na wachezaji wazuri wa AFRICA Pesa mnayo Au la ,na Mwakani mtaendelea kulia tu .

  • @tintin0019
    @tintin0019 10 วันที่ผ่านมา +1

    UBINGWA WETU BAADA MECHI YA MTIBWA TUNA NYANYUA KWAPA😅😅😅😅😅

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi 10 วันที่ผ่านมา

    Miutopolo hii inateseka na simba kweli

    • @AnnoyedBreakfast-zn2bo
      @AnnoyedBreakfast-zn2bo 10 วันที่ผ่านมา +1

      Acha umama umetoa sare 😮😮😮

    • @user-su7np6sn7s
      @user-su7np6sn7s 10 วันที่ผ่านมา +2

      Sasa Kwa ubora upi WA mikia madunduka fundenge Simba jike
      Mpaka YANGA Teseke Kwa ubora Gani makolo ambao mnaonyesha hapo uanjani
      Azam si aliwapa point tatu Tu kwasababu Ni shangazi yenu😂😂😂😂

    • @user-hl7gh8ph8u
      @user-hl7gh8ph8u 10 วันที่ผ่านมา

      Simba Haina tofaut na movie za kingwendu,,, wakina lingo tin white yn Wana 😂😂 wanafurahisha kuwataza

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 วันที่ผ่านมา

    Minziro na mgunda
    Wanafaa kupewa Tim ya taifa watafika mbali

    • @user-hl7gh8ph8u
      @user-hl7gh8ph8u 10 วันที่ผ่านมา

      taifa gani

    • @saidmansoor8528
      @saidmansoor8528 10 วันที่ผ่านมา

      Shida yetu hatuamini wazawa au hata kama taaaluma zao ziko chini TFF haiwez kuwadhamin waka bukue hapo france or German japo ka mwaka hivi

    • @FatmaJumawazir
      @FatmaJumawazir 10 วันที่ผ่านมา

      Tatizo sio kuwaamini tatizo wao wanajiaminisha

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mngekoma Leo mlikuwa mgingwe mnabebwa kila siku

  • @AnnoyedBreakfast-zn2bo
    @AnnoyedBreakfast-zn2bo 10 วันที่ผ่านมา

    Hatumutaki mgunda kolo kula chuma😢😢😢😢😮

  • @DinoOneTouch7626
    @DinoOneTouch7626 10 วันที่ผ่านมา

    Yani kolozidad bana au nguruwe fc mechi moja mmeshinda sifa tele mjuwe tu timu yenu mbovu jipangeni kwa mwakani

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 8 วันที่ผ่านมา +1

      NGURUWE MLA MIHOGO TOPOLOKWINYO WEWE 😂😂😂😂😂 MACHOGO FC 😂😂😂

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 10 วันที่ผ่านมา

    Niliwambia huyo mgunda atahakikisha hamshiliki Ligi ya mabingwa

    • @brianbatoleki6531
      @brianbatoleki6531 10 วันที่ผ่านมา

      Mbona we ni mjinga kiasi hiki? Ulitaka mgunda ndo akafunge kwenye nafasi za wazi alizokosa Fredy?

    • @EmmanuelNyinyigwa
      @EmmanuelNyinyigwa 9 วันที่ผ่านมา

      @@brianbatoleki6531 kwani kazi ya kocha nni wewe kenge

  • @user-uu7pv6ps6g
    @user-uu7pv6ps6g 10 วันที่ผ่านมา +1

    Laana ya mchome Kampala mafuta

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 10 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani vunjabei na jobe ni pipa na mfuniko hamna wafungaji pale wale hawawezi hata kuisaidia mbeya city kupanda daraja yaani hawa wanabahatisha hawastahili kucheza simba

    • @SparksGrey
      @SparksGrey 10 วันที่ผ่านมา +1

      Kabxaaaaaa

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d 10 วันที่ผ่านมา

      Utashangaaa msimu ujao Simba itaendelea kuwaacha​@@SparksGrey

    • @user-princs
      @user-princs 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

    • @SparksGrey
      @SparksGrey 8 วันที่ผ่านมา

      Tusubirie lakn team yetu hyoooo ckuiz dah YA ALLAH atusaidie na viongozi wenyew haoo mana Amna ktu kbxaaaaaa

  • @jseventz
    @jseventz 10 วันที่ผ่านมา

    kocha hatuna match kama hii unaacha kupanga wachezaj wenye uzoefu me naona mgunda bado

    • @brianbatoleki6531
      @brianbatoleki6531 10 วันที่ผ่านมา

      Wenye uzoefu ni Akina nani? Asilimia kubwa ya wachezaj ni majeruhi alafu ampange nani? Kweli huna akili maana unashindwa kufikiri hata vitu vidogo

  • @user-el8pu9dm3r
    @user-el8pu9dm3r 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa fundi shiki hawo

    • @user-ib1mu1nt8f
      @user-ib1mu1nt8f 9 วันที่ผ่านมา

      Hii timu hata ibebwe vip

  • @ericksonodhiambo9964
    @ericksonodhiambo9964 10 วันที่ผ่านมา

    Utawasikia wendawazimu wakisema ni ligi ya tano kwa bora,bure kabisa

    • @RamadhanIddyWalolo
      @RamadhanIddyWalolo 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mkikosaga matokeo mazuri hua hamkosi yakuongea hovyo sana

    • @johnjay721
      @johnjay721 10 วันที่ผ่านมา

      Wewe ulitaka ligi ipi iwe ya tano kwa ubora
      Mkataa kwao mtumwa pole