Makonda Amchana Huyu Dada usiongee na mimi hivyo nina Mke wangu mzuri Huongei na mchumba wako hapa

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 96

  • @frankmfuse6990
    @frankmfuse6990 27 วันที่ผ่านมา +6

    Viongozi wehu sana , mungu ikomboe Tanzania yangu wehu kama hawa ifike siku watuachie nchi yetu

    • @erickkagisa833
      @erickkagisa833 23 วันที่ผ่านมา +1

      Wawaachie nchi yenu wewe na nani sasa?

  • @andrewsayi2152
    @andrewsayi2152 27 วันที่ผ่านมา +8

    Pamoja na jitihada zote anazofanya mkuu wa mkoa lakini kuheshimu utu wa mtu ni jambo la busara sana wote ni watumishi kama yeye alivyo. Kuna muda hawa watu wanafanya kazi katika mazingira magumu sana

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 27 วันที่ผ่านมา +5

    Hawa wafanyakaz walishazoea kuwadanganya danganya wananchi.sasa mtatafutana huko ofisini maana mlikua mnapokea mishahara ya bure, Makonda piga kaz wanaokuchukia waacha wakuchukie ,Mama yangu mh Rais ulifanya vizuri sana kumpeleka MAKONDA Arusha.

  • @ngolobulugu9525
    @ngolobulugu9525 23 วันที่ผ่านมา +3

    nimejisikia vibaya sana

  • @thadeusmambo7576
    @thadeusmambo7576 22 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu ndio ziro brain!

  • @jameskiroka2549
    @jameskiroka2549 27 วันที่ผ่านมา +3

    Makonda fanya kazi
    Sisi tusipokulipa mungu atakulipa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 12 วันที่ผ่านมา

    hapa Mh Makonda hakufanya vizuri..dada wa watu amekuwa akijieleza bila shida yoyote..hapa sijaona ni fair kwa kweli jmni

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n 25 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂 kukalipiwa kukizidi ndio hapo unapoambiwa ,lete kikombe ,unapeleka kitana.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 24 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂 kweli😂😂😂😂😂lete chumvi unapelekwa mwiko😂😂😂😂😂

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 21 วันที่ผ่านมา

      Sana

  • @dianamakatu9298
    @dianamakatu9298 23 วันที่ผ่านมา +3

    Ngoma ililia sana hupasuka .mdogo wangu.😢

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 27 วันที่ผ่านมา +5

    Ukitaka mama Samia akufute kabisa urudi ulikokua endelea kuwakemea au kuwanyanyasa wanawake, kwani nani hajui kama una mke mkuu? Mi sijaona kosa la huyo dada

    • @rommyshabby3959
      @rommyshabby3959 27 วันที่ผ่านมา +2

      Kamwe haitotokea hilo weka akilini

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 26 วันที่ผ่านมา +6

    Msikilize mtu kwanza Kisha ndio uhoji

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152 27 วันที่ผ่านมา +8

    Sasa huyu kaleta dharau gani. Mbona kama unamdhalilisha. Issue ya kuwa na mke yani kweli umeona kua anakutaka?

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 24 วันที่ผ่านมา

      Amtake huyo jangili ampeleke wapi dada wa wenyewe

  • @SamRay1-pf7te
    @SamRay1-pf7te 23 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda Niko na wewe hao wanaosema sijui umemzalilisha ndo wale wezi,wala rushwa na mafisad new vasion of magu

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 27 วันที่ผ่านมา +8

    Maskini jamani dada wa watu du

  • @thadeusmambo7576
    @thadeusmambo7576 22 วันที่ผ่านมา +3

    Huu ni mfano mzuri wa kiongozi ambae ni stereotype (mfumo dume) too bad!

  • @FaidhaMbilinyi
    @FaidhaMbilinyi 26 วันที่ผ่านมา +3

    Hawa n lazima wakoromewe wanakaa maofisini kungoja ripoti bila kuhakiki ndio utasikia darasa moja limegarimu million 500

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 26 วันที่ผ่านมา +7

    Mkuu wa mkoa wa Arusha wa ovyo sana usiwe unawafokea watendaji hivyo kwanza huna adabu mtumishi yeyote yule usimfanye kama mtoto wako

  • @frankmfuse6990
    @frankmfuse6990 27 วันที่ผ่านมา +6

    Wehu tu ndio wanaomsifia huyo bwege
    Watu wanadhalilishwa , watanzania wajinga wanashangilia

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 24 วันที่ผ่านมา

      Mwenyewe ni muuaji na jambazi ndugu yetu Ben saanane 😢😢😢

  • @taratibu
    @taratibu 24 วันที่ผ่านมา +2

    Dada Eng. Yupo VIZURI upstairs, kinacho fanyika nikutimiza Ahadi ya kwamba ziara itakuwa ya moto,

  • @RhobiMatiku
    @RhobiMatiku 27 วันที่ผ่านมา +7

    Nae ana mume

    • @BethaKululinda
      @BethaKululinda 17 วันที่ผ่านมา

      Mpaka nimecheka kwa sauti.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 27 วันที่ผ่านมา +5

    Chapa kazi makonda hii Inchi inatakiwa wanao wakikisha wananchi wawe na nidhamu kwenye matumiz ya pesa ili iwasaidie watoto wa masikini mim nikupongeza sana kubembembelezana kumeoitwa na wakati

  • @VeronicaMhapa
    @VeronicaMhapa 21 วันที่ผ่านมา +1

    Haipo sawa hii

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 25 วันที่ผ่านมา +2

    Haa! Kumbe huo ndiyo uongozi bora

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 26 วันที่ผ่านมา +2

    Biongozi wote Africa mm naonaga wezi tuu wanajiibia wenyewe

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 27 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe bashite huna hekima na busara, zungumza na wanadamu wenzio kwa hekima na staha hata kama wamekosea.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 24 วันที่ผ่านมา

      Unakumbuka alichosema Mzee ngurumo kumhusu? Ni mtu hovyo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 21 วันที่ผ่านมา +1

    .
    Maskini dada wa watu

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 27 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu Makonda jeuri sn nyie mnamchekelea 2 nyie

    • @e.mbalazichannel4135
      @e.mbalazichannel4135 27 วันที่ผ่านมา

      Sasa unataka tulie kwa wezi

    • @frankmlinda1181
      @frankmlinda1181 25 วันที่ผ่านมา

      Acha dawa iwaingie nyuma na mbele kotekote

  • @CalsonMbisha-iw4co
    @CalsonMbisha-iw4co 27 วันที่ผ่านมา +7

    Una mlegezea mkuu macho jambaz ww umeshutukiwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mm naona ningekosa na kibarua😂😂😂

  • @NassoroMbawala
    @NassoroMbawala 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Mpe uwaziri mkuu huyu anatosha sana kwa viongozi wanao jijari wao na matumbo yao

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 27 วันที่ผ่านมา +4

    Kuna mapengo mmoja acheka balaa hapo.

  • @pastormoseschami7208
    @pastormoseschami7208 27 วันที่ผ่านมา +8

    Huu ni udhalilishaji wa kisaikolojia, sasa kwani mke wake anaingiaje hapo jamani

    • @YamunguMuha
      @YamunguMuha 27 วันที่ผ่านมา

      Pastor uchwala ndo wewe

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 27 วันที่ผ่านมา +4

      Huyu jamaaa katili sn sn hafai

    • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
      @EmanuelyMbagalla-rt2vm 27 วันที่ผ่านมา

      Nafikiri appearance ya mwanadada imemgharimu, hasa hiyo miwani. Makonda amempassive negatively ikichagizwa zaidi na majibu yao yaliyokosa hoja.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 27 วันที่ผ่านมา +2

      Lakini kweli hata kama mtu kakosea hakupaswa kumwambia hayo

    • @e.mbalazichannel4135
      @e.mbalazichannel4135 27 วันที่ผ่านมา +1

      Watanzania tuna matatizo sana mkiibiwa watu kawa kimya kelele watu wakisimama kusimamia mali za umma mnalalamika sijui mnatuchosha bhana mtu aendelee kucheka na majizi we Makonda komaa nayo Majizi yote mpaka yanyooke

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 27 วันที่ผ่านมา +8

    Ndo ongea yake jamanii

  • @CalsonMbisha-iw4co
    @CalsonMbisha-iw4co 27 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu dada mpuuz kwely

  • @user-fz1kh9in2c
    @user-fz1kh9in2c 21 วันที่ผ่านมา

    Mimi sijaona hapo kitu kibaya alichofanya makonda Ila umemuambia ukweli kwamba aongei namchumba wake

  • @NassoroMbawala
    @NassoroMbawala 23 วันที่ผ่านมา

    Mama mpe uwaziri mkuu makonda nakuomba please atakuachia alama kwenye uongozi wako na atakueshimisha kuliko kuwa na viongozi wezi

  • @octavinaalphonce6898
    @octavinaalphonce6898 19 วันที่ผ่านมา

    Jamani jamani

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdom 16 วันที่ผ่านมา

    Mnawafokea fokea wa chini
    Akati ufisadi unaanzia ngazi za juu

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 27 วันที่ผ่านมา +2

    Sio wote wanajua kutumia microphone

  • @ellytech9757
    @ellytech9757 21 วันที่ผ่านมา

    Nadhani ni Mheshimiwa Mkuu wa naniliu...

  • @nakilingwembele9504
    @nakilingwembele9504 18 วันที่ผ่านมา

    Ukute huyu ni ex wa makonda😂😂😂😂

    • @BethaKululinda
      @BethaKululinda 17 วันที่ผ่านมา

      Jamani mbavu zangu 😂😂😂

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 27 วันที่ผ่านมา +1

    Watendaji mtaomba maji ya kunywa Bila kiu 😅😅😅😅

  • @godwinmasoud7180
    @godwinmasoud7180 21 วันที่ผ่านมา

    Hajadhalilishwa kaambiwa ukweli tu

  • @ChigaBoy-dw8zc
    @ChigaBoy-dw8zc 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda mi sikuwezi

  • @RhobiMatiku
    @RhobiMatiku 27 วันที่ผ่านมา +3

    Acha kufokea watu

  • @Veni584
    @Veni584 25 วันที่ผ่านมา +1

    Wizi unaonekana katika majibu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 27 วันที่ผ่านมา

    Sijapenda lugha iliyotumika kwa huyu dada. Pengine inabidi kutokana na madudu yanayoonejana

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 25 วันที่ผ่านมา

    Ila Makonda ndio unafanya vizuri ila duh punguza ukali wa maneno usidharirishe wanawake wape nao wajitetee wasikilzwe jamani

  • @EsterAlex-dn1dx
    @EsterAlex-dn1dx 25 วันที่ผ่านมา

    Pesa ni za wananchi tueleze vzr pesa zimetumika vp

  • @josephdogani3419
    @josephdogani3419 25 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtu no mpumbavu na hila.ansjaribu kumdhalilisha huyu Dada ili aonekane anajua

  • @leinaamos
    @leinaamos 23 วันที่ผ่านมา

    Kwani shule Yao ikotofauti na shule zingine?!!wezao wamesha maliza na majengo yako vzr wao kulikoni

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 26 วันที่ผ่านมา

    Bashite anaongea kama Teja maana Teja huwa halina Aibu wala soni ni jitu la mtaani tu lenyewe hata kuporomosha mitusi ya nguoni linaona ni sawa tu😮😮😮

  • @liyasekielibariki3138
    @liyasekielibariki3138 25 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa mkoa mpe mtu amalize kuongea unamvokea sana.

  • @robinchristian3125
    @robinchristian3125 27 วันที่ผ่านมา +1

    Raisi hata siku moja hukupata kumdhalilisha mtu hadharani. Unampaje mamlaka mtu anayechupa mipaka ya heshima kiasi hiki?

    • @mussalimbe6673
      @mussalimbe6673 24 วันที่ผ่านมา

      Acheni anadhalilishwa wapi

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 25 วันที่ผ่านมา

    Hii ndiyo Tz

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 27 วันที่ผ่านมา +2

    Muheshimiwa mkuu wa mkoa huyo ni kama mahakimu na wakulugenzi nchi hii ni mungu watu ipo siku tutakuteua uwe laisi nchi hii ujinga umezidi nikua kama china majitu kama hayo ni lisasasi tu

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 27 วันที่ผ่านมา

      Mkurugenzi siyo mkulugenzi raid siyo laisi kiswahili chetu jamani

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@edsonnelson4464🤣😂😂😂😂nawe jisahihishe chupu

    • @fredyjustus2560
      @fredyjustus2560 24 วันที่ผ่านมา

      Siyo chupu ni chapu

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 27 วันที่ผ่านมา

    Mkuu

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 25 วันที่ผ่านมา

    Vyeo vinapitaga?.

  • @shadya977
    @shadya977 23 วันที่ผ่านมา

    Kamkosea sana huyu dada

  • @robinchristian3125
    @robinchristian3125 27 วันที่ผ่านมา

    Mimi

  • @frankmfuse6990
    @frankmfuse6990 27 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda ni chizi tu

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l 27 วันที่ผ่านมา

    chuga hiyo

  • @sashawambura
    @sashawambura 27 วันที่ผ่านมา +1

    He's so creepy and arrogant

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 26 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Dada Engineer yuko vizuri ndo sababu vilaza wana feel 'humuliated' akijieleza.....😂😂

  • @RoseMollel-wo3ls
    @RoseMollel-wo3ls 17 วันที่ผ่านมา

    Kiongoz Bora mungu akulinde makonda