Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya leo kuichapa Nkana FC ya Zambia magoli 3-1 katika mchezo wa marudiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita.
Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea.
Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi.
Simba SC beats Zambia giants Nkana FC 3-1 in Dar Es Salaam to qualify for CAF Champions League group stage. 23/12/2018.
#simbankana #simbascnkanafc #simba3-nkana1
Tazama LIVE mechi za Vodacom Premier League na vipindi vingine kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App.
Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► play.google.co...
Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Nipo Tena hapa 2024 ama kweli simba tumetoka mbali❤❤❤
This clip make me always happy like here who still watching like me frequently 💪💪💪simbaaa
September 2022 still watching this fantastic event, unforgettable memory for simba fans......gonga like tusonge......I love Simba
Mechi bora sana ,what game what goal.. MUNGU naomba anipe maisha marefu sana niwaadisie kuhusu mguu ya chama,uimara wa manula
Simba have added a flavour to our African football. Love from Sudan.
E
Aloo haha inaxiximua xana
@@willsonshadrack543simba
2024
Nan anapenda kuangalia mara kwa mara hii mechi ajawai kunichosha 😍😍
Mm pia sichok kuangalia hii ilikua t.game kali mnoo
Mimi apaa😂😂
Mimi ni jilani yenu simba fc shabiki ninaejierewa leo. Mmefanya kazi nzuri sana safi sana simba
Hapa Kenya tunasema kongole kwa team simba wakilisha Africa mashariki.... Pamoja twaweza. Mkude, Kagere n Chama goals 💪💪💪🙌🙌🙌👏👏👏
yeah we are together brother
All the best
Our Best Simba SC game of All Times 💥 kipind Iko Yanga walikua wapokeaji wageni leo wanaongea sana Sana wanajisahau... BUT I promise Simba will be the First Team from Tz to get CAF CUP
Was a great and unbelievable match simba nguvu moja 🇹🇿🇹🇿💪💪💪
kV BV v
Chama chama chama mwamba wa rusaka ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥kwa wana simba fc,sema nguvu moja kwa wana simba.
Chama ni kitu kingine
ANOTHER MAFISANGO
Mk14 je,mwamba huyu wataria Pole.
Simba wamefanya wonders
daimond
Eti mzee wa masaptasapta,, mpenja mbavu zangu huku,, hongera sana simba
Mambo
Nimefurai mpaka nimelia jamani Asante kaka zetu kwakujituma nimefurai sana kama mnahamini simba nguvu moja lake zenu apa
xn 2
ivi chama unaruhusiwa kufunga magori kama hayaaaa?
Mwanahamisi Hassani sxc
Mwanahamisi Hassani mamb
Saf simb
SIMBA hii noma sanaaa 👊
Simba sports club big time Africa 👊🇹🇿❤️🦁
Kama unaicheki hii video 2023 gonga like taujuane mapema
je suis un
supporteur
de wydad mais je pense que cette equipe simba la plus populaire au tanzania
Exactement
Not only from Tanzania but also east and central africa
Tunakupenda sana Mo wetu,endelea kutupa hamasa wana SIMBA
Chama Chama More 🔥🔥🔥
Tanks Your Jah Kwa Uxhindi
This is Simba brother the great
Team Of Tanzania Best Like Kama
Wew Mwana Simba Damu😍😍😍
Still watching this game 2022 what performance by simba✊
Is good
@@wakembetajaphary3648
Ba ba
@@wakembetajaphary3648qqq
@@dornaldbantura5978 😂😂😂
Oya 😂😂😂ladha haiishi
I will never forget this day it was unbelievable comeback nice moment for simba fans
Chama JR,made in Lusaka deliverd in Dar-es-salaam for SIMBA SC,this is Simba 🦁💪 nguvu moja
Naipenda San simba
Da mimi kama mkenya naipenda simba sana..
Simba
Ieo mnakazi
Uko sawa, mshikaji,wangu
@@ysy3458 simba oyee
@@ysy3458 kazi,imesha,Ha2na,Presha
Simbaa what the come back !!! What the chamaa goal THIS IS SIMBA
Jax Paul
18/12/2022 and I'm still not tired to watch this clip simba is unstoppable
Asantee sanaaa chama langu la SIMBA 🙏 Mw/MUNGU awajalie afya njema wachezaji wote
Simba sports club big time Africa 👊🇹🇿❤️🦁❤️
Sichoki kuiangalia kama nawewe huchoki gonga👍
🙄🙄🙄✌️
Haichoshii kuitazamaa
Timu KUBWAAA muumwaaa utachoka kweli kutazama?.
Mimi.hapa❤
Nashukuru Sana Watanzania wenzangu kwa mi nipo Zambia kwa game ya kwanza niliumia Sana na nilichekwa Sana ila saiz ni zamu yao kuwacheka, Gonga like Kama unaamini mi Shabiki wa kweli wa 🦁.
Ww c mtanzania lazma uwe simba lu
Pamoja sana
Future Ken waambie kuimba kupokezana Leo zam yako
pamoja na watani wetu kushangilia Sana bao la wageni ngoja wakome, hiyo ndiyo Simba ya MO
Watakoma
2019/13/11 meche bora ya muda wote kwangu
Hata like moja ina tosha
Zßàz
Mech ya kihistoria
Tena mechi mhim zaid
Tunaangalia Januari Mwaka 2021 Like Hapa Za Upendo ❤️❤️❤️
March 2021
Thanks y y
Dec 22 , 2018 nikiwa kazini na karedio kangu Mbulyanhulu gold mine ( barrick) maeneo ya kakola kahama , nilishangilia nusura kuvunja mguu !! Unforgettable match in my life carriah!!
Now 02 Dec 2021 in Dar watching it again
Amazing Unforgettable ....!
Uchebe tutakukumbuka sana tu (Patrick Ausems) Binafsi nakukubali kinoma noma
Nakula Christmas 🎄🌲🎅Vizuri Sana Baada Ya Simba 🦁🦁 Kushinda Kwa Kishindo
*Naipenda simba kufa*
judith paul aaaah jmn usikufe jama
Halfan Itambu hahah nna raha mpk bhc
hahah kmb na we ulikuA unateseka wkt tnlitft goli LA 3 pole bana
Halfan Itambu acha kbs, shukran... chezea goli la kisigino
huyu chama atamaliza mb zangu ujue....aache misifa yake
Kama bado unaangalia kama mimi gonga like
Hii mechi haijawahi kunichosha kuitazama,💪 gonga like kama upo na mimi
Kwel kabila broo
Ainichoshi
Me chama tyu
Huyu sports analyst wa Azam nimemkubalii asee. Kama nawe umemkubali gonga likes twende sawa... kwani kuna mtu anateseka 😂😂😂#SimbaSc #NguvuMoja #afcon 🔥🔥🔥⭐⭐⭐
Haaaaaa nalia pole nalia pole Sana. Haaaaaaa hii ndio simba bhaana
Agnes Kabate Hahahahah ni noma sana
Zitizenrediokenu
Emmanuel Sakafu konki💪
@@emmanuelskmtanzania24 mmanimn i
Mashabiki wa simba wote gonga like twende sawa
Budagala 2019
a online *
isma company no
2020 Nani yupo hapa wadau wangu wa Nguvu wekundu msimbazi gonga like twende pamoja Kama hutoisahau hii mechi!!
Hi mechi inanipa matain Sana ndan ya kikosi changu Cha msimbazi
Lllii
Yanga vs tp mazembe
Og
@@renathaalois2499 v6
Unforgettable match.. i'm so proud to a simba fan....💪🏽💪🏽💪🏽2022 stiil watching this one...
Hiii Simba ilikuwa yamoto jamani sichoki kuiangalia 2024♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥chama langu forever ❤❤❤❤❤❤ walllahi raha mpk basi
The third goal killed me, I love Simba from Nairobi
Mimi Mkenya lakini Simda damu. WAPI LIKES ZA WA TZ
Guy Vancans
Safiiiiii sana
pamoja sana
Simba noumaaaa
Safi sana
26.08.2023
Still watching this unforgetable memory for SIMBA SC🔥
KAMA BADO UNAANGALIA HII 2020 DECEMBER 18 KUITAKIA SIMBA MEMA HUKO HARARE GONGA LIKE SIMBA IZIDI KUSONGA MBELE
This remains the greatest game in African football i have watched
Exactly
Nan hachoki kuchek hii video Kama mie like tujuane
Mm hapa yani mwezi Hu Wi-Fi lazima bili ipande
Jujom
hunishind mm
@@keyakeya8911 muziki wakenya simba mundu
Dah hii game ni hitoria
Kama umeskia goli la kigaid gonga like hapa ( mkude)
2023 na bado cjatoka kuiangalia npen maua yang jaman npen like zang
I Love Simba SC ♥️ from top of my heart
Simba nkana
This is simba from kenya
One love, East Africa forever
@@godblessjrtz.8652 hurry thou I kick on IOC
Yani Leo laha ilioje simba imeshinda na tumeipokea ndege mpya kama unaikubali simba na mzee magu gonga like
Kutombana
It was marvelous...Naona mkodisho FC walirukia gari kwa mbele wanarudi nyumbani wakiwa na michubuko ya kuburuzwa
This is Simba bandugu
Khalid Mtelemko not
Of coz,,, we call them vinyesiiiii fc
Nani mwingine hachoki kutazana video hii, like hapa tujuane
*😅☺☺Kama umelud kuchek hii bada ya pulatnamu ngonga leke*
Xx
.
Tupo mnoo🥰❤️❤️
Wee acha banaa
@@elizabethzachariah9054 X
2021 march
Kama Wewe ni Shabiki Wa Simba Mnyama Gonga Like Hapa
Ramadhani Mussa chamaaaaa na mkude ni noma wameshuka na mashetani wekundu jumla jumla ,
Haki a mungu Leo imekua jumapili njema kwangu kwa kuona couch ausemus ana shangilia
Yaani mindokwanza namuona anashangilia adi raha
@@rahmaramadhani3993 umeonae ehe alafu simba raha
👟
Hongereni majirani
I'll never forget this moment it was so amazing
Vp
Jamali
Bado nafurahia hii gem
Aliye Rudia kuitazama hii video Leo tare 5 mwez wa 4 mwaka 2024 gonga like apa
Nimemiss haya mambo mazuri yanakuja soon Simba nguvu moja
Sijui kiingereza ila leo ntajaribu This is simba
#+254Congrats neighbors....commentator uko juu napenda
Hongera zenu wana Msimbazi, hii ni nafasi kwa Yangaa kupambana na TPL.
kw kweli, wakt simba wakienda kufika ile hatua ambayo msimu ujao hana haja ya kuanza mtoano huhuhu
After watching the flavor of Simba Sc against Horoya AC played yesterday 18/3/2023 I came again to watch the clip of this match then I realize Simba's flavor remains at high.
Jaman simba ni simba tu 🦁🦁🦁 ata umpeleke poli ngan bado tu ni simbaaaaaaaaaaaaaa🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Here we go Octobre!!.. 19!!! Sichokiii aiseee daaaaaa hii Simba ilikuwa ya Moto sanaa
One among my favourite match #Simba 🔥🔥🔥🔥 #NGUVUMOJA 😍😍😍😍😍
9.1m viewers Amna wakuvunja hii record
August 2023 still watching this clip! Simba Nguvumoja
noma sana mnyama anatisha mwityuni jamani naombeni ĹÌĶƏŘ
Team coach wa simba ,Patrick ! Kwamara ya kwanza leo ,kashangiria kwa mtindo wa Masuod Djuma.
S SALI
S SALIvjvjc
Mmmmmmm kama umepita hapa ukaona 1k comment na haujawai ona tena pengine kwenye mpira wa tz Like plz
tar 29_03_2021 km bado unarudiarudia kuchek km mm gonga lyk
20th October 2022 still watching this match.. Unforgettable day
Engineer soma ngapi hukoooo. Angalia wasisome wa matopeni
hehehe wana zengo mna maneno dooh, co kwa dongo gizani kiasi hicho!
hahahahaha, 3 1
bao la chama lina dhamana ya kukopa pesa bank yoyote dunian this simbaaaaaaaaaaaaaa
Like kwa mtangazajj baraka mpenja
THIS HISTORY FOR THE ALL FANS OF SIMBA IT NEVER FORGET FOREVER...OOOVER!!!! 🦁🦁🦁
...
Th8s his to for the all fans of Simba it never forger
Kama kuna mtu amesikia kelele ya shabiki kabla ya goli la mkude weka like
Jamani me nilikuwa natafuta mpira umeelekea wapi nashangaa nauona kwenye goli duuh weka like kama na ww uliona mapichapicha
Najua mwaka huu Simba ushindi wen
This is Simba in Manara's voice
Chama mungu akupe uhai mrefu sana
leo nimefurah sana this is SIMBA
Kama unaangalia mpaka Leo gonga like
naangalia marudio 2024 mwezi 8 naburudika sana tupia like yako kama tupo pamoja
Napenda ligi ya Tanzania ila mimi mkenya...mafans wa TZ wanajitolea kwa mpira wao!! Hongera watanzania...ingawa mechi hii ni ya kufuzu ...
Hamia bongo upate raha
Vp
Sichoki kuitazama hii mechi kwkweli
Mapenzl
Mapeenzi
We are happy for you majirani +254
Kenya 12345
Chamaaa soma kwenye ramaniiii. Engeneer soma mkudeeee.ngapiiiiiiiii ukooooo kagereeeeeeee
Engineer soma hiyoooo😂😂😂😂
young assaidy soma kwenye ramaniiiii
@@asiajuma5784 hhhhhhhh somaaaaa iyoooo
@@reyjosee9390 engeneer somaaaa
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh soma kwenye raman
Tunajifariji 2024 Kwa kuangalia hii video like jamani
This game still on 🔥🔥 till now Simba 🦁
hii simba sjawai iyo katka maisha yangu gonga like
anaitwa chamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa +mkudeeeeeeeeeee +kagereeeeeeeeeeee this is simba brother nani anateseka nani Alisema simba hawaendi kwenye makundi 😀😁😀vyura mtapata tabu sana
Baraka mpenjaaa
Poa
Poa
Karibu 9m viewers ... Simba is another level ...
My favorite video in TH-cam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wa kwanza jaman like zenu
Pia Mimi nataka kuwa shabiki wa Simba. Nisajili nami
😘😘😘😘😘😍😍😍
@@athmanrajab7740 karibu maana hii ndo Tim pekee ilobaki Tanzania 🤣🤣🤣🤣💪
Mimi n mkenya Halisi lakini nimeipenda Simba.
Nakubali chama
Kama huchokagi kuingalia hii clip hii gonga like
chama chama chama nimekuita mara 3 kwa heshima yako bro ni kweli leo umeuwa tembo wew ni baba nawaza tungeaibika vp mbele ya mashabako elfu 45 wa Simba tuliokuwa wanjani
Huyu mtangazaji anatakiwa kupongezwa sana hajawa mnafiki kajiachia kwenye kazi mpaka raha maana amenipa raha jinsi alivyoyatangaza haya magoli du
mungu akulaze mahala pema peponi adel kocha wa viungo uliipenda sana simba😢
Yani hii ni mara yangu ya 8 naingalia hii mechi it was so fantastic 🔥🔥🔥
Hiyo ya chama inaitwa scorpion touch......mnyamaaaaaa🦂🦂🦂🦂