WELCOME SIMBA? NI MAKUSU MUNDELE WA HAJER/ ANAREKODI ZA KIBABE CAF...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 31

  • @SandaliSaid
    @SandaliSaid 22 วันที่ผ่านมา

    Simba n kichomi

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 23 วันที่ผ่านมา +2

    Duh huyu ni babu kabsaaaa

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 21 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee sana simba vp

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 22 วันที่ผ่านมา

    Jamani Simba angalieni kiwango chake kwanza. Acha kusajili majina eti alikuwa mahili. Hiyo ni zamani. Msirudie makosa

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 23 วันที่ผ่านมา +2

    Simba wasiletee wachezajji Wazee

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 23 วันที่ผ่านมา +2

    Kumsajili Mndele Makusu ni sawa na kumsajili Okwi wa sasa. Hana tofauti na Saidoo. Kazeeka sana. Wamuulize Ibengee kabla ya kumsajili. Kuwa na mgogoro na uongzii ni kwasababu mchango wake ni mdogo sana. Hawezi kuwa mchezaji sahihi kwa Simba.

    • @nelsonuromi2988
      @nelsonuromi2988 23 วันที่ผ่านมา

      Pia lomalissa mtambala katoka logo kubwa Kama makusu

    • @nelsonuromi2988
      @nelsonuromi2988 23 วันที่ผ่านมา

      Kabisa kwa makusu kutua Simba ni vema

    • @BarakaMwanyula
      @BarakaMwanyula 15 วันที่ผ่านมา

      Makusu mda umeenda walete vijana

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 23 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu ameshazeeka ndio tunamsajili

  • @user-sd7ho5sm8q
    @user-sd7ho5sm8q 21 วันที่ผ่านมา

    Kweli simba wameixhiw

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 23 วันที่ผ่านมา

    Sasa kama Nd.MO. AKISAJILI yeye.na akisimameya Nd.MO. mwenyewe basi nakuambeya Hawo waleio kwa wanao piga pessa za usajili. Wata ondoka wanyewe. Manake itakwa hamna upigaji.

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 23 วันที่ผ่านมา

    Mh makusu mundelee ni kama ngomaaa Hana cha ziada katika sokaaaaa

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 23 วันที่ผ่านมา

    Kwasimba yetuhii yenyeuwongozi huu siokweli inawezakumsajili mchezaji mwenyeuwezo mzuri

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo 22 วันที่ผ่านมา

    Hapa tunapigwa tena hamna mchezaj hapo

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi 23 วันที่ผ่านมา

    Yaani mcmu ujao Simba ni sawa na Abdallah kumwita Dullah au Mohamed kumwita Moo hawana jipya kabsaaa

  • @khalidfundi2600
    @khalidfundi2600 18 วันที่ผ่านมา

    Acha ujinga kamati ya usajili kurudia makosa mnTuletea maveterani Tena ambao hawana uwezo so kuichezea pesa huko makusu wa sasa anatofautiana nini na jobe acheni masihara

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 21 วันที่ผ่านมา

    Washaanza ujinga

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 23 วันที่ผ่านมา

    Simba sc A.kA kituo cha kulelea wazee ipo siku mtamleta na Okwi

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 23 วันที่ผ่านมา

    Mundele Makusu Ni rika la Musonda,Mayele,Tresor Mputu,.Chama.Mkataba Usizidi miaka miwili

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 23 วันที่ผ่านมา

    Nd. MO. kama una taka simba ive safi huyu Umondowe Chama. Simba itakuwa mzuri. Na sema ukweli huyu chama Ana taka awe mbabe kunye clabu. aondoke.

  • @GM-ix2hh
    @GM-ix2hh 23 วันที่ผ่านมา

    Baada ya kuskia umri wake tu nimetoka...kama @simba ipo serious waache kutuzingua

  • @saimonchangombe7888
    @saimonchangombe7888 23 วันที่ผ่านมา

    Nyie Simba mnazinguwa mnasajili majina na wazee😢😢

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 23 วันที่ผ่านมา

    Simba ujanja ujanja mwingi , na viongozi wa sasa wameigeuza timu kuwa genge lakufanyia siasa

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 23 วันที่ผ่านมา

    Mbona ni Mzee huyu? Aaaauuuuuwiiiiiii kama ni kweli hiii imekula kweli

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 23 วันที่ผ่านมา +1

    Matapel wakubwa hawa

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c 20 วันที่ผ่านมา

    PANCHA huyo

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu sasa si atakuwa mzee kama kapita timu zote hizo

  • @ipyanansajigwa1489
    @ipyanansajigwa1489 23 วันที่ผ่านมา

    makusu hamna kitu humo ... Huyo ni kama jobe tu

  • @heaventv4668
    @heaventv4668 23 วันที่ผ่านมา

    Eeh kwani azeekee wapi sasa aje

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 23 วันที่ผ่านมา

    Kwani anacheza Timu ya DRC?