Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
- Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78. - กีฬา
Kama na wewe n mwananchi like hapa ❤
Wow 💛💛💛💚💚💪 yanga mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉
Goli la tatu nimependa sana sprint ya Mzize, mtu wa maana kabisa huyu.
Maixha ghali xAna
😂😂😂😂😂😂kabixa
Aloooh tuachane na goal lenyew is azizi, mm mempenda sanaaa mzize aseeeee big up sanaaaa kwa mzize.......🎉🎉
Yaani utopolo wanapenda sifa
Mnooooo yaaaani
Tunamshukuru Allah kwamafanikio nakusema Alhamndulilah Allah tuzidishie zaidi Inshaallah
aziz hakuwa makini angefunga nyingi tyu
Yaan ni kweli kabisa maana mech zilizobakia watu wanabana sana magoli
Hahah eti chunga sana uwazi mr matobo yupo kazini😂😂
Man of the match is msheri
Azizi ki huwaga anashangilia hata kama ajafunga yeye namkubali sana huyu mwamba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mtangazaji una misemo ww chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nashkuru
Anaitwaga nani
Goli la tatu limeonesha ni kiasi gani safu ya ushambuliaji ya Yanga ina upendo usioelezeka✌️
Vipo vikaukavyo lakini si kinywa kukauka mate 😅😅😅😅
Unaamka asubuh unamuuliza mlinzi umeamkaje😅😅
🎉Haki nimecheka adi machoziyakanitoka
😂😂😂😂
Goal keeper wa yanga tunae jamani, chukua maua yako abul 🌺🌺💐💐🌻🌻🌻
Yanga inacheza kama inatafuta ubingwa 💛💚💚💚💚
Goli la tatu clement kafanya upendo mkubwa sana Kwa ki Azizi na hicho ndicho ambacho wachezaji wa yanga wanatakiwa kuwa nacho ili kumfanya Azizi kupata kiatu maana Kuna Faisal nae Anaandaliwa Kwa hiyo wachezaji wa Yanga lazima waicheze hii game
Azam mtuwekee video maalum ya Gwaride la Heshima (Guard of Honor) - Kabla ya mchezo kulikuwa na tukio maalum la wachezaji wa Dodoma Jiji kuwapongeza Yanga kwa kuwa Mabingwa wa ligi kuu
Huwaga wanatueka nusu yani ata hatufaidi vizuri 😢
Yes
Huyu mtangazaji ni nan😂😂😂 kanichekesha sana😂😂
Vibe kama la Wananchi kabisa analo hyu Mtangazaji😂😂😂
Yanga ndo Kila kitu❤❤❤❤
Naomba mzize aongezewe sharara nzito kwahii asist
Mzize yaan ni zaidi ya uoendo raha sana
Pongeziii sana kwakooo mzize
Mzize aiseee
😂😂😂😂😂Mtangazaji misemo yako tuu 😂😂 yanga bingwaa 😂😂😂
😂😂
Asante
Yangaaaaaa ubingwa aaaaah
Et operation bila ganzi😂😂
😂😂
Yanga sifa zimezidi Sasa mnatakaa Kila kitu nyinyii muwe juuuu kilelenii
Chama langu pendwa 💚💛💚🔰
Pongezi kwa kipa wanayanga, Msheli anautulivu mzuri sana gorini, na hili nahisi linatokana na uwepo wa Diara, #MSHELI
No pacome, aucho,musonda, Mudathiri,yao, mwamnyeto na matata hakuna wamewekwa kwa ajili ya azam😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kibwana shomar moto❤
❤❤❤❤
Vipo vikaukavyo lakin si kinywa kukauka mate- hii nmeikubali fro al watan ramadhan ngoda
Jamani ni wakati wa makolo kujua sisi tunafunga kwa clean sheet afu haturuki kwacha kama wanavyofanya daima mbele!
Maneno Yako mtangazaji yananipa raha sana
Kipa tunae💚💛
Raha sana yan Bingwa tayari imebaki battle ya mfungaji bora😂😂😂 kama mcm uliopita
Mfungaji bora ameshajulikana, hivi sasa Feisal anadawa goli moja.
Mechi ijayo Yanga na Tabora Azizi anabiga hatric.Kwahiyo Ki anaongeza magoli matatu zaidi.
Azam na Kagera Feisal hana uwezo wakufunga magoli mengi Kagera.
Kiujumla Feisal hamuwezi Aziz.
Mtupe kiatu chetu mapema
Watugei Kiatu fei hafungi tena
Anthony versus mavunde. Dooooh
Haijalishi kikubwa ushindi
Mtangazaji mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂
pia ana mapenz sana timu yske ifanikiwe hili goli angeweza kufunga lakin akamjali sana Aziz asogee mbele na magoli
Huu ndio umoja wa mabingwa mara 30
Nimeamia Young African club rasmi leo hii. 😁
I'm just kidding guys✌🏼. #simba_nguvu_moja❤️🇺🇸.
kwan kuna mtu anaekuhitaji baki huko huko ukoloni usituleteee uchafu wenu
Humu tu .. humu tu
@@jumazuberi1823 😁 your kidding right!? Huku na huko kwenu wapi pachafu bro and plz try to bring facts no b*llshiting.
#humuhumu tu
.
Dodoma hawakuwa makini tuu wangepata hata goli 3
Kama ambavyo hawakuwa making geita
Za Yanga zingefika saba😂
Gol la Mzinze makolo watasema siyo gol sahihi halikuvuka mstari🤣🤣🤣🤣
We ni mpuuzi
@@odilomwemeziernest646 Kama ulivyo ww
Nimegundua ndo maana skuiz milio ya kitandani ya binti Fran imebadilika Mara hoooooh yangaaa yangaaaa yangaaa Tam tam yaangaaa . Kumbe sas nimeelewa hamna haja yakumraumu
Ebwanae hii comment yako imefurahisha kweli swahiba😀😀😀😀
@@ukuvukiland2387 😅😅😅😅😅nilijua yanga mchepuko wake kumbe ni litimu likubwa Kias hik hata simlaumu mwanamke wangu
Nimemuona hapo Mwana FA anakodoa kodoa macho
Mnaangalia goli la3 tu ivi amjaon mbio za azizi na fard baad ya mzize kumpta yule beki fa masiala nin nakiatu
mtangazaji anavitu na vionjo, ila haunogesh mchezo kabisa, hasemi mpira upo maeneo gani, mpira ukiwa maeneo ya hatari na yasiyo hatari hatofautishi, unasikia tu kiiii, skuduuu, mzizeeee, gazaaaa, sasa kafanya nini, azam watuzingatie, mechi ya yanga ijayo jmosi wamuweke MPENJA bas
Ila clementinyo nai mtu wa maana sana huyuu mauwa yake jmn💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Mungu akupe chawa ujikune au akupe kidonda ufukuze nzi🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
tff are sirious uwanja huo vip
yaan 😂😂
😂😂😂 Skudu wamemrushia nini hizo anajimwagia
Mshery kafanya save nyingi😂😂😂😂 leo kuliko diara msimu mzima😂😂😂 tumeona keeper leo nae akihangaika mno!😂😂
Sio kweri 😢😢
@@FatumaShabani-mp9vt naelewa ni utani tu😂 ila kwa kweli leo kasave mno
kwer mzize nimtu wamana San ten mtu wamhimu San
Munaona makosa wanayofanya mabeki wa kati wa yanga ni kila mara katika mechi nyingi, kinachowasaidia yanga mafowadi wao ni tishio kwa wapinzani so timu pinzani kushambulia hawafanyi wanabaki nyuma zaidi kulinda goli lao lakini ikipatikana timu inashambulia ndo utaona mabeki madhaifu ya mabeki wa yanga ni maono yangu
Umeombwa hayo maon????
Kawaulize Mamelodi na Makolo watakueleza kama beki ya Yanga ni bora au la.
Hivi baada ya hii mechi, battle ya Ki na Feisal imekaaje? Nani yuko juu ya mwenzake katika ufungaji? Anayejua tafadhali 🤔🤔
Azizi yuko juu ya Faisal goli moja
azizi yupo juu ana magoli kumi na Saba fei 16
Azz 17 fei 16
.
Kwahiyo jana familia ya msheri waliangalia kwa pamoja
Poa tukutane final
Mtangazaji unashobo kama mwanamkeeee
Umemuona yule shabiki anaejiita simba anashangilia. Wanamuitaje vile. Mchome sijiu chomwe. Jamaa anadhihirisha wazi yy ni shabiki wa timu gani
Alishasema kua yy n shabiki wa simba na hawezi kuihama timu, ila yy penye raha na burudani ndipo alipo maana ukiikosa furaha nyumbani waitafuta kw jirani 😂
Mchome yupo sahihi hata mm huwa napenda kuingalia yanga ikiwa inacheza wanajua sana