Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
  • Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
    Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 103

  • @GodfreyTaudos
    @GodfreyTaudos 23 วันที่ผ่านมา +6

    Kama na wewe n mwananchi like hapa ❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 24 วันที่ผ่านมา +7

    Wow 💛💛💛💚💚💪 yanga mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 24 วันที่ผ่านมา +41

    Goli la tatu nimependa sana sprint ya Mzize, mtu wa maana kabisa huyu.

    • @BerthaVictor-px1bj
      @BerthaVictor-px1bj 24 วันที่ผ่านมา +6

      Maixha ghali xAna

    • @idybwoytz8485
      @idybwoytz8485 24 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂kabixa

    • @ribelathaponsian421
      @ribelathaponsian421 24 วันที่ผ่านมา +3

      Aloooh tuachane na goal lenyew is azizi, mm mempenda sanaaa mzize aseeeee big up sanaaaa kwa mzize.......🎉🎉

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h 24 วันที่ผ่านมา

      Yaani utopolo wanapenda sifa

    • @gabrielmoses6860
      @gabrielmoses6860 23 วันที่ผ่านมา

      Mnooooo yaaaani

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 24 วันที่ผ่านมา +2

    Tunamshukuru Allah kwamafanikio nakusema Alhamndulilah Allah tuzidishie zaidi Inshaallah

  • @stefanohonory7974
    @stefanohonory7974 24 วันที่ผ่านมา +11

    aziz hakuwa makini angefunga nyingi tyu

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yaan ni kweli kabisa maana mech zilizobakia watu wanabana sana magoli

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 24 วันที่ผ่านมา +5

    Hahah eti chunga sana uwazi mr matobo yupo kazini😂😂

  • @roi2554
    @roi2554 23 วันที่ผ่านมา +3

    Man of the match is msheri

  • @EmpireDRAGON-hk9ic
    @EmpireDRAGON-hk9ic 24 วันที่ผ่านมา +7

    Azizi ki huwaga anashangilia hata kama ajafunga yeye namkubali sana huyu mwamba

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 24 วันที่ผ่านมา +15

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mtangazaji una misemo ww chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ibrahimirakoze3312
    @ibrahimirakoze3312 24 วันที่ผ่านมา +5

    Goli la tatu limeonesha ni kiasi gani safu ya ushambuliaji ya Yanga ina upendo usioelezeka✌️

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 21 วันที่ผ่านมา +3

    Vipo vikaukavyo lakini si kinywa kukauka mate 😅😅😅😅

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 24 วันที่ผ่านมา +10

    Unaamka asubuh unamuuliza mlinzi umeamkaje😅😅

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 23 วันที่ผ่านมา +4

    Goal keeper wa yanga tunae jamani, chukua maua yako abul 🌺🌺💐💐🌻🌻🌻

  • @user-gw2nm1if1h
    @user-gw2nm1if1h 23 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga inacheza kama inatafuta ubingwa 💛💚💚💚💚

  • @kaonekakaoneka9815
    @kaonekakaoneka9815 24 วันที่ผ่านมา +6

    Goli la tatu clement kafanya upendo mkubwa sana Kwa ki Azizi na hicho ndicho ambacho wachezaji wa yanga wanatakiwa kuwa nacho ili kumfanya Azizi kupata kiatu maana Kuna Faisal nae Anaandaliwa Kwa hiyo wachezaji wa Yanga lazima waicheze hii game

  • @timcee2670
    @timcee2670 24 วันที่ผ่านมา +7

    Azam mtuwekee video maalum ya Gwaride la Heshima (Guard of Honor) - Kabla ya mchezo kulikuwa na tukio maalum la wachezaji wa Dodoma Jiji kuwapongeza Yanga kwa kuwa Mabingwa wa ligi kuu

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 24 วันที่ผ่านมา +1

      Huwaga wanatueka nusu yani ata hatufaidi vizuri 😢

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 24 วันที่ผ่านมา +1

      Yes

  • @dianasabu6156
    @dianasabu6156 24 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu mtangazaji ni nan😂😂😂 kanichekesha sana😂😂

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 24 วันที่ผ่านมา

      Vibe kama la Wananchi kabisa analo hyu Mtangazaji😂😂😂

  • @DaudiMathias-nq6zs
    @DaudiMathias-nq6zs 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga ndo Kila kitu❤❤❤❤

  • @fredysolly8051
    @fredysolly8051 24 วันที่ผ่านมา +3

    Naomba mzize aongezewe sharara nzito kwahii asist

  • @ZeyanaAbdi
    @ZeyanaAbdi 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize yaan ni zaidi ya uoendo raha sana

  • @EliasSirocha
    @EliasSirocha 23 วันที่ผ่านมา +3

    Pongeziii sana kwakooo mzize

  • @valencemwarabu7611
    @valencemwarabu7611 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mzize aiseee

  • @Shadia544
    @Shadia544 24 วันที่ผ่านมา +6

    😂😂😂😂😂Mtangazaji misemo yako tuu 😂😂 yanga bingwaa 😂😂😂

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr 24 วันที่ผ่านมา +2

    Yangaaaaaa ubingwa aaaaah

  • @ShebyKiango-bj9mq
    @ShebyKiango-bj9mq 24 วันที่ผ่านมา +4

    Et operation bila ganzi😂😂

    • @KhalfanHamza-ww8jt
      @KhalfanHamza-ww8jt 24 วันที่ผ่านมา

      😂😂

    • @fotunatusiMsongole
      @fotunatusiMsongole 24 วันที่ผ่านมา

      Yanga sifa zimezidi Sasa mnatakaa Kila kitu nyinyii muwe juuuu kilelenii

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 22 วันที่ผ่านมา +1

    Chama langu pendwa 💚💛💚🔰

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg 23 วันที่ผ่านมา +1

    Pongezi kwa kipa wanayanga, Msheli anautulivu mzuri sana gorini, na hili nahisi linatokana na uwepo wa Diara, #MSHELI

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 24 วันที่ผ่านมา +4

    No pacome, aucho,musonda, Mudathiri,yao, mwamnyeto na matata hakuna wamewekwa kwa ajili ya azam😂😂😂

  • @SuleimanAbdalla-cn5ne
    @SuleimanAbdalla-cn5ne 23 วันที่ผ่านมา

    Kibwana shomar moto❤

  • @swaumuomary1843
    @swaumuomary1843 24 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 24 วันที่ผ่านมา +2

    Vipo vikaukavyo lakin si kinywa kukauka mate- hii nmeikubali fro al watan ramadhan ngoda

  • @DativaValerian
    @DativaValerian 24 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani ni wakati wa makolo kujua sisi tunafunga kwa clean sheet afu haturuki kwacha kama wanavyofanya daima mbele!

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 24 วันที่ผ่านมา +1

    Maneno Yako mtangazaji yananipa raha sana

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i 23 วันที่ผ่านมา

    Kipa tunae💚💛

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 24 วันที่ผ่านมา +1

    Raha sana yan Bingwa tayari imebaki battle ya mfungaji bora😂😂😂 kama mcm uliopita

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 24 วันที่ผ่านมา

      Mfungaji bora ameshajulikana, hivi sasa Feisal anadawa goli moja.
      Mechi ijayo Yanga na Tabora Azizi anabiga hatric.Kwahiyo Ki anaongeza magoli matatu zaidi.
      Azam na Kagera Feisal hana uwezo wakufunga magoli mengi Kagera.
      Kiujumla Feisal hamuwezi Aziz.

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas8876 24 วันที่ผ่านมา +9

    Mtupe kiatu chetu mapema

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 24 วันที่ผ่านมา +1

    Anthony versus mavunde. Dooooh

    • @lossarungira965
      @lossarungira965 24 วันที่ผ่านมา +1

      Haijalishi kikubwa ushindi

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 24 วันที่ผ่านมา +1

    pia ana mapenz sana timu yske ifanikiwe hili goli angeweza kufunga lakin akamjali sana Aziz asogee mbele na magoli

    • @DativaValerian
      @DativaValerian 24 วันที่ผ่านมา

      Huu ndio umoja wa mabingwa mara 30

  • @giant1779
    @giant1779 24 วันที่ผ่านมา +5

    Nimeamia Young African club rasmi leo hii. 😁
    I'm just kidding guys✌🏼. #simba_nguvu_moja❤️🇺🇸.

    • @jumazuberi1823
      @jumazuberi1823 24 วันที่ผ่านมา

      kwan kuna mtu anaekuhitaji baki huko huko ukoloni usituleteee uchafu wenu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 24 วันที่ผ่านมา

      Humu tu .. humu tu

    • @giant1779
      @giant1779 24 วันที่ผ่านมา +1

      @@jumazuberi1823 😁 your kidding right!? Huku na huko kwenu wapi pachafu bro and plz try to bring facts no b*llshiting.

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 24 วันที่ผ่านมา

      #humuhumu tu

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 23 วันที่ผ่านมา

      .

  • @ayk20
    @ayk20 24 วันที่ผ่านมา +2

    Dodoma hawakuwa makini tuu wangepata hata goli 3

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 24 วันที่ผ่านมา

      Kama ambavyo hawakuwa making geita

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 24 วันที่ผ่านมา +2

      Za Yanga zingefika saba😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 24 วันที่ผ่านมา +2

    Gol la Mzinze makolo watasema siyo gol sahihi halikuvuka mstari🤣🤣🤣🤣

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf 24 วันที่ผ่านมา +5

    Nimegundua ndo maana skuiz milio ya kitandani ya binti Fran imebadilika Mara hoooooh yangaaa yangaaaa yangaaa Tam tam yaangaaa . Kumbe sas nimeelewa hamna haja yakumraumu

    • @ukuvukiland2387
      @ukuvukiland2387 24 วันที่ผ่านมา +1

      Ebwanae hii comment yako imefurahisha kweli swahiba😀😀😀😀

    • @BennyJumah-hd8yf
      @BennyJumah-hd8yf 24 วันที่ผ่านมา

      @@ukuvukiland2387 😅😅😅😅😅nilijua yanga mchepuko wake kumbe ni litimu likubwa Kias hik hata simlaumu mwanamke wangu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 24 วันที่ผ่านมา

    Nimemuona hapo Mwana FA anakodoa kodoa macho

  • @naomysalumu1858
    @naomysalumu1858 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mnaangalia goli la3 tu ivi amjaon mbio za azizi na fard baad ya mzize kumpta yule beki fa masiala nin nakiatu

  • @kikotse-tung
    @kikotse-tung 24 วันที่ผ่านมา +1

    mtangazaji anavitu na vionjo, ila haunogesh mchezo kabisa, hasemi mpira upo maeneo gani, mpira ukiwa maeneo ya hatari na yasiyo hatari hatofautishi, unasikia tu kiiii, skuduuu, mzizeeee, gazaaaa, sasa kafanya nini, azam watuzingatie, mechi ya yanga ijayo jmosi wamuweke MPENJA bas

  • @AsiaHarouna
    @AsiaHarouna 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ila clementinyo nai mtu wa maana sana huyuu mauwa yake jmn💞💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @paulinevedastus7621
    @paulinevedastus7621 23 วันที่ผ่านมา

    Mungu akupe chawa ujikune au akupe kidonda ufukuze nzi🤣🤣🤣

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid 24 วันที่ผ่านมา +3

    tff are sirious uwanja huo vip

  • @MussaKulamakwene
    @MussaKulamakwene 24 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 Skudu wamemrushia nini hizo anajimwagia

  • @graysondavid5200
    @graysondavid5200 24 วันที่ผ่านมา +3

    Mshery kafanya save nyingi😂😂😂😂 leo kuliko diara msimu mzima😂😂😂 tumeona keeper leo nae akihangaika mno!😂😂

    • @FatumaShabani-mp9vt
      @FatumaShabani-mp9vt 24 วันที่ผ่านมา +2

      Sio kweri 😢😢

    • @graysondavid5200
      @graysondavid5200 24 วันที่ผ่านมา

      @@FatumaShabani-mp9vt naelewa ni utani tu😂 ila kwa kweli leo kasave mno

  • @StessOg-un5hy
    @StessOg-un5hy 24 วันที่ผ่านมา +2

    kwer mzize nimtu wamana San ten mtu wamhimu San

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin2345 24 วันที่ผ่านมา

    Munaona makosa wanayofanya mabeki wa kati wa yanga ni kila mara katika mechi nyingi, kinachowasaidia yanga mafowadi wao ni tishio kwa wapinzani so timu pinzani kushambulia hawafanyi wanabaki nyuma zaidi kulinda goli lao lakini ikipatikana timu inashambulia ndo utaona mabeki madhaifu ya mabeki wa yanga ni maono yangu

    • @mariamelia8688
      @mariamelia8688 23 วันที่ผ่านมา

      Umeombwa hayo maon????

    • @magesachilimila1104
      @magesachilimila1104 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kawaulize Mamelodi na Makolo watakueleza kama beki ya Yanga ni bora au la.

  • @ecostats51
    @ecostats51 24 วันที่ผ่านมา

    Hivi baada ya hii mechi, battle ya Ki na Feisal imekaaje? Nani yuko juu ya mwenzake katika ufungaji? Anayejua tafadhali 🤔🤔

  • @user-qe5lo6gz9y
    @user-qe5lo6gz9y 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwahiyo jana familia ya msheri waliangalia kwa pamoja

  • @BaricheneSelestine
    @BaricheneSelestine 23 วันที่ผ่านมา +2

    Poa tukutane final

  • @ZulfaCharlz
    @ZulfaCharlz 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji unashobo kama mwanamkeeee

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB 23 วันที่ผ่านมา

    Umemuona yule shabiki anaejiita simba anashangilia. Wanamuitaje vile. Mchome sijiu chomwe. Jamaa anadhihirisha wazi yy ni shabiki wa timu gani

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 23 วันที่ผ่านมา +3

      Alishasema kua yy n shabiki wa simba na hawezi kuihama timu, ila yy penye raha na burudani ndipo alipo maana ukiikosa furaha nyumbani waitafuta kw jirani 😂

    • @herrysonk.edward609
      @herrysonk.edward609 23 วันที่ผ่านมา

      Mchome yupo sahihi hata mm huwa napenda kuingalia yanga ikiwa inacheza wanajua sana