Kwenyw mech ya dodoma mwambieni huyo mzee azizi k alifunga kwa mguu wa kulia, na pia alipiga danadana huku anakimbia kwa miguu yote miwili kapiga kwa kushoto na kulia so anachomaanisha yeye kipi
HAO MADUNDUKA.CHAMA KAWALOGA KUANZIA VIONGOZI WAO MPAKA MADUNDUKA WOTE.KILA WAKIIWAZA TIMU YAO WAO WANAMUONA CHAMA TU.NA NDIO MAANA CHAMA ANAWEZA KUMVIMBIA MPAKA KOCHA,NA BADO KWA UDUNDUKA WALIONAO WANA MUONA CHAMA NI BORA KULIKO MWALIMU WAO ANAEWAFUNDISHA MBINU ZA UCHEZAJI.HAWA KUJIITA MADUNDUKA NI SAWA SAWA.HAKIKA UDUNDUKA NI SHIDA!!!
Yanga tam inajadiliwa na kila mtu atakae cheza kwetu ndo mchezaji wetu tuachen na yanga yetu💛💚💛💚🔥🔥🔥
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Mungu ibariki yanga
Chama mzuri sana tena saana. Lakini ukiwa unataka matokeo,magoli hakuna kocha atampanga chama mbele ya Aziz k
Kweli sioni mchezaji wa simba anaestahili kucheza yanga kwa sasa
Safi sana heshima kubwa.
Yanga baba lao
Yanga mbele.
najivunia kuwa Wana yanga
Wee chama kaa mdaa mrefuu sana simba km chama mzuri 2020 walicheza fainali ya mapinduzi zzb na mtibwa na chama alikuwepo chama wenu
Safi sana mabigwa
Yanga hoyeeeee❤❤❤
Mechi ya Dodoma na Yanga Azizi Ki alifunga goli la mguu wa kulia
Sema nilichogunduwa mh zungu hajaipenda hii 😂
Toka lini kolo akaipenda yanga
Kweli kabsa hata uso wake unaonyesha
yanga
Safi sana timu letu
Nakubali Rais wetu
Hongera watu wangu Yanga na uongozi pamoja
Yanga oyeeeee
Yanga forever 💚💛💚💛
Nimependa sana kuona
Machapioni bungeni mungu watangulie
Ameen Inshaallah
Mh Zungu umenichekesha sana, Hersi anakukera sana 😄😄. Unaruhusiwa kuhama mh.
Wou🥰❤️
Rais wa team hyoooo🎉🎉🎉🎉
Jamani Yanga yameremeta wanameremeta🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Very powerful engineer
Wow safiiiiii
simba bhana 😅raha sana kuwasikiliza povuu lao wapeleke muhimbili kufulia mashuka
Heris popular and famous one
Kwan Messi anatumia mguu gni
❤ yanga 🎉🎉🎉🎉🎉
Wamependeza mabigwa
Kwenyw mech ya dodoma mwambieni huyo mzee azizi k alifunga kwa mguu wa kulia, na pia alipiga danadana huku anakimbia kwa miguu yote miwili kapiga kwa kushoto na kulia so anachomaanisha yeye kipi
Asante yanga
Naomba namba ya msemaji watim yangu yanga jaman naipenda yanga yangaaaaa
Safi, sana yanga
Yanga ni Raha tupu ubarikiwe sana
Hadi raha, maendeleo hayana chama, waheshimiwa wachezaji.
Jamani yan kushangilia yanga ni raha sana tuu
Huyo akabiziwe kabisa na inchi ya tz🇹🇿 afanye kazi anaweza hana baya
Sababu kubwa ya kuchelewa kusaini kwa wachezaji wengi duniani Ni maslahi ili timu ione umuhimu wake na dau lipande
Jamaa Mwenye Ndevu Anaongea Vizuri kwa Anajuwa Nini Siri Za Wachezaji
Zungu ni simba daam hiyo imeeda
Unamhoji mlevi Aziz K huwezi mlinganishs na huyo mlevi Chama
Vice président Assemble Nationale de la Tanzanie il est fan de Simba sport club
Chama na Azizi k; mikataba yao kwafano,ote mikataba imeisha kwa pamoja _je nani timu zitaleta offer kubwa?(na yupi timu nyingi zitamuitaji?).
Kazi njema Isaya 41:6.7
Kumbe mzee masatu upo na ubishi wakininga namna hiyo
HAO MADUNDUKA.CHAMA KAWALOGA KUANZIA VIONGOZI WAO MPAKA MADUNDUKA WOTE.KILA WAKIIWAZA TIMU YAO WAO WANAMUONA CHAMA TU.NA NDIO MAANA CHAMA ANAWEZA KUMVIMBIA MPAKA KOCHA,NA BADO KWA UDUNDUKA WALIONAO WANA MUONA CHAMA NI BORA KULIKO MWALIMU WAO ANAEWAFUNDISHA MBINU ZA UCHEZAJI.HAWA KUJIITA MADUNDUKA NI SAWA SAWA.HAKIKA UDUNDUKA NI SHIDA!!!
😅😅😊
Huyo kusaini ni masirahi azizi ki atabaki tu
We mzee acha usenge wewe chama ananini saivi wewe acha ubwege
Watu wa maana kabisa
💚💛💚💛💚💚💚💚💚
Chamalanguuu🎉
💚💚💚💪🏽
Mulizee huyo chama mpka sahiv ana magoli mangap mfananishe na cham wewe wa Simba umeolewa wewe hujitambui unapenda huchambui mpila
Kwani huyo chama amesha Saini Simba?
Achana Na Ushindani Wakijinga Wewe Hujuwi Michezo Wachezaji..Wanasiri Kubwa Wewe Hujuwi Michezo Walawachezaji Siri Zao..Bwege
Huyo jamaa anampenda mno Chama hadi anakuwa mpumbavu. Profile ya Ki utalinganisha na ya Chama?? Hawa mnawahoji toka wapi?? Mpuuzi
Kila mtu asifie chake
simba huyo
Mzee ajuwi mpira anajamba tuu apo
Masatu atafute kazi nyingine yakufanya ushabiki hauwezi na mpira haujui kabisa.
Mshabiki koko hasira tupu.
Huyu mzee anavuta bange za arusha
Mbona jana kafunga goli kwa mguu wa kulia?
mtu wa maana kabisa
Mmmmmm
Chama hana lolote
ameonaniii wewe mzeee bwabwa kweli kwanini unaongea msichokijuwa nyinyi hamyasemi yachama mnaonelea ya aziiz
Stupidity at the highest level, wabunge hawajui kazi ya bunge! Ni mpira tu na DP world.
Jana goli la pili katupia kwa mguu wa randa?
.
Jana alifunga goli la tatu na tako au