Dr.Chris Mauki: Maneno haya 6 yatakufanya upendwe Zaidi.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @Fatima69Ng
    @Fatima69Ng ปีที่แล้ว +13

    Kweli kabisa chris haya maneno yanafanya kazi mm apa mpaka na nenepa ❤❤❤❤😂😂😂

  • @SharonwayuaMwendwa
    @SharonwayuaMwendwa หลายเดือนก่อน +8

    Mungu nipe mpenzi namii nifurahie na wengine😢

  • @janetmasasi703
    @janetmasasi703 3 ปีที่แล้ว +14

    Asante kunizindua kifikra.Nimejifunza vitu, mwanadamu tunajifunza kila siku.Mungu akubariki Dr Mauki

  • @faithmsungu3272
    @faithmsungu3272 2 ปีที่แล้ว +14

    Thanks so much Dr,Kupitia masomo yako mahusiano yangu yanazidi kuwa mapya kila siku,Mungu akubariki sana

  • @lilianelisamehe9586
    @lilianelisamehe9586 8 วันที่ผ่านมา

    My Lord my father we Dr uishi Tu, asante Kwa madini haya Aseee❤❤❤❤

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 3 ปีที่แล้ว +32

    Walk with wise so that you can be like them...I'm learning more from you Dr Chris...God bless

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +5

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @rahmamwinyimkuu3273
      @rahmamwinyimkuu3273 2 ปีที่แล้ว +1

      @@ChrisMauki1 kpp⁸888iì8

    • @queenmchapi1281
      @queenmchapi1281 2 ปีที่แล้ว

      asantee Kaka😘

    • @salha.d5060
      @salha.d5060 ปีที่แล้ว

      DR MIMI NINA SHIDA YA WIVU MKALI SANA NIMESHAACHWA NDOA 2 LAKINI SIJUI KAMA NTAWEZA DUMU KWENYE NDOA YANI NINATAKA NIMONTE MWANAUME RATIBA ZAKE ZOTE MIMI SIJAWAHI CHEAT KABISA YANI MFANO NIKIPIGA SIMU MTU ASIPOKEE MUNGU WANGU MPKA NAKWENDA KUHARISHA ASIPOPATIKA MPKA MAPIGO YA MOYO YANABADILIKA NAISHIWA NGUVU NAWEZA HATA KUPOTEZA FAHAMU NISAIDIE NIFANYE NINI

  • @Esthermwalimu7732
    @Esthermwalimu7732 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa ushauri wako,nmetumia haya yote na kwa kweli yanafanya kazi

  • @betricevictor447
    @betricevictor447 3 ปีที่แล้ว +7

    Asante Dr Chris ila daah kuna wengine hata ufanyeje ni shda

  • @JunitaMwasambungu-zm8sl
    @JunitaMwasambungu-zm8sl 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana doctor ubarkiwe sana Mungu akuimarishe zaidi

  • @preciousnyange7151
    @preciousnyange7151 3 ปีที่แล้ว +8

    Kwakweli nashukuru maneno mazuri yakujenga nilikua natumia maneno matano kati yasita uliofundisha kasoro lakujua Siku yakeimekwrndaje but nashukuru ananipenda Sana'a naminajua hivyo nitaongeza zaidi thanks

    • @SalimMpandasharo
      @SalimMpandasharo 3 หลายเดือนก่อน

      Naomba uyaandike ayo maneno hapa please

    • @VairethKennedy
      @VairethKennedy 11 วันที่ผ่านมา

      Oky Asante kwa ushauri piah

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 ปีที่แล้ว +15

    Kweli ww ni zawad kwetu mungu alietupa maana unajua kutupa madini❤hongera sana

    • @DoriceRamadhan
      @DoriceRamadhan หลายเดือนก่อน

      Nashukuru doctor naona naelekea kupata uponyaji

  • @WitnessOchora-dd1gm
    @WitnessOchora-dd1gm ปีที่แล้ว +2

    😯 jaman amazing ❤❤❤ daah ntayfnyia kazzz

  • @eunicefalex4403
    @eunicefalex4403 ปีที่แล้ว +8

    Dr Chris mie mume wangu hata ukimuandika hajibu meseji hata ukimwambia mambo mazuri hakujibu

    • @AishaNikule
      @AishaNikule 11 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂Kuna wengine vizanga jamaniii

    • @kembobindaruweshi-w3l
      @kembobindaruweshi-w3l หลายเดือนก่อน +1

      Polee my dear tupo wengi

    • @FeisalAnwar
      @FeisalAnwar 20 วันที่ผ่านมา

    • @Jastinewilbard
      @Jastinewilbard 18 วันที่ผ่านมา

      Du pole san

    • @hajraramadhani165
      @hajraramadhani165 4 วันที่ผ่านมา

      We acha 2😅​@@AishaNikule

  • @catherinekabora6766
    @catherinekabora6766 2 ปีที่แล้ว +2

    Habari Dr Asante sana Kwa Masomo yako naomba pia uongelee SoMo linalohusu 'Controlling woman'

  • @aysherrashidy1265
    @aysherrashidy1265 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru nmekuerewa nitafanya ivyo nampenda et

  • @nancypeter4300
    @nancypeter4300 ปีที่แล้ว +1

    Ngoja ebu nipunguze ukali kweli thanks

  • @SikituKamwambi
    @SikituKamwambi 3 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumish Mungu akuwek wanawake wa ndani tunajisahau San

  • @KelvinMziwanda
    @KelvinMziwanda 18 วันที่ผ่านมา

    Asante mwalim unatusaidia sana mimi mume wangu anaend kazn lkn antmn mda wote awe na mimi

  • @SIKURICHAShop
    @SIKURICHAShop 10 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mungu akubaliki

  • @taushilal590
    @taushilal590 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah nilichelewa wapi kwahaya mambo mazur kabisa mungu akubarik dr

  • @JaniferSehha
    @JaniferSehha ปีที่แล้ว

    Namshukru sana mungu akubriki ntajibadilsha Sasa dah nimechelwe kujua thanks 🙏

  • @suzanmwanja7071
    @suzanmwanja7071 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika haya mambo ndo ninayoyafanya binafsi najivunia sana pia Asante kwako mwalimu

  • @lamarashrashid3860
    @lamarashrashid3860 3 ปีที่แล้ว +8

    This really makes sense 😃.... I used it much and it gave my .......a very wonderful ... feelings...... congrats doctor 👏

  • @OmbeniMichael-w9y
    @OmbeniMichael-w9y 3 หลายเดือนก่อน

    Asante kwaelimu unayotowa yanajenga sana

  • @niwaelnathaniel5450
    @niwaelnathaniel5450 3 ปีที่แล้ว +4

    Wonderful teaching,Dr Chris,inauma sana unaondoka mpenzi wako hakuulizj umefikaje ina uma sana.

  • @SaùlKizabi-f3t
    @SaùlKizabi-f3t 19 วันที่ผ่านมา

    Tatimiza dr🇨🇩🇨🇩

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 3 ปีที่แล้ว +6

    Yani Baba unamalizaga bando yangu asante🙏❤

  • @mohamedsuleiman7215
    @mohamedsuleiman7215 3 ปีที่แล้ว +1

    dr.nakuelewa haya maneno huyatumia ila nilikua sijui na cku zote i drive women crazy...na cjawah kuwachwa na nahongwa sana na mwanamke akiondoka hurudi kwangu ila changamoto yangu mi niko bize na life wanawake huniona dharau na mwisho husepa lakin huwa moyon mwao hawajaridhika...am proud of you.

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante dokta kwa som zuri sana ila.mimi naona kunawanaume wenye kujuwa dhamani ya hayo maneno wangu hata nimulize ntajibiwa shoti hadi naishiwa pozi kabisa anacho juwa ni kuniuliza umeamkaje na umeshindaje na umetoka kazini umekula na.usiku mwema basi mengine ntajuwa mimi na mungu wangu naumiya ila basi tu

    • @binthawa2973
      @binthawa2973 3 ปีที่แล้ว

      wew kama wangu na litakula block mana shida

  • @mugishabella5193
    @mugishabella5193 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Sana ka somo lako Mimi ndo nataka kujifunza sasa kumwambia hayo maneno

  • @barakazagabepaulin1549
    @barakazagabepaulin1549 3 ปีที่แล้ว +6

    shukrani za zati kwa mafundisho haya mwalimu.

  • @vanessamollel9950
    @vanessamollel9950 3 ปีที่แล้ว +4

    Thank you so much doc mim nlishakata tamaa kabisa but once nlionabaadhi ya video zako for sure naskia aman japo kuna vitu nkiskia naumia sanaa kwan nampenda sanaaa and thank u so much you change me 🙏🏽🙏🏽

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @joseKende
    @joseKende 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa funzo nzuri🙏

  • @Caro-g3z
    @Caro-g3z 4 หลายเดือนก่อน

    Exactly, Mr. Chris but
    it's works kwa upande wangu imenisaidia, barikiwa sanaaa kwa huduma yako

  • @Jastinewilbard
    @Jastinewilbard 18 วันที่ผ่านมา

    Na mim mungu anipe mpenzi nifanye hivo😊

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Dr Chris Mauki kwa mafundisho mazuri ya kutujenga ktk mahusiano

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @lazaroamanimakungamakhirik1342
    @lazaroamanimakungamakhirik1342 3 ปีที่แล้ว

    We ni mwalimu wa kipaji Asante kwa masomo mazur

  • @rehemalameck5283
    @rehemalameck5283 3 ปีที่แล้ว

    asate san mwalimu mungu aku barikii sana

  • @charlestz
    @charlestz 4 หลายเดือนก่อน

    Asante saana kwaushaul wak

  • @paulineimary8355
    @paulineimary8355 ปีที่แล้ว +21

    Mpenzi wangu uniambia haya yote🥰🥰mungu akatuunganishe pamoja 🙏

  • @AhmedSalim-i7j
    @AhmedSalim-i7j ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Doctor 🙏

  • @stelambezi9971
    @stelambezi9971 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Doctor Chris I have used them alot but I have not seen it's positivity.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      May be something is wrong to the one you are saying to or may be the approach

    • @lilianraynertarimo9650
      @lilianraynertarimo9650 2 ปีที่แล้ว

      Asante sana Criss am proud of you God bless you

  • @IsmaBandali
    @IsmaBandali 3 หลายเดือนก่อน

    Dr shuqran Sana kwa kutufundisha sana mm niko uganda

  • @barakabeatud5630
    @barakabeatud5630 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo zur

  • @AbubakarHamisi-vj9wb
    @AbubakarHamisi-vj9wb ปีที่แล้ว

    Chris mauki wew n noma sana🎉

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 2 ปีที่แล้ว +3

    Hakika wewe ni zaidi ya mwalimu , mungu akuongezee maarifa

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke ปีที่แล้ว

    Thank you so much kakangu unafunzo nzuri sana

  • @elizabethrichard5185
    @elizabethrichard5185 3 ปีที่แล้ว +17

    Am 18 years but you're my best teacher 🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @CleverTz-h5x
    @CleverTz-h5x 5 หลายเดือนก่อน

    Thank you Chris for another day 🙏🏾🙏🏾

  • @DainessMchomvu
    @DainessMchomvu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Una kipaji kikubwa Sana Mungu akubariki

  • @juliethhoseamnyambi6080
    @juliethhoseamnyambi6080 ปีที่แล้ว

    Kwakweli umenifundisha mungu anisaindie

  • @chamdomalukua1032
    @chamdomalukua1032 ปีที่แล้ว

    Ahsante..kaka nimejifunza

  • @Rahma-r1y
    @Rahma-r1y 11 หลายเดือนก่อน

    Shukrani Sana my brother ❤

  • @philemonmtangi1692
    @philemonmtangi1692 3 ปีที่แล้ว

    Dr ninahitaji sana kuonana na wewe ninashida imefika pabaya sana naomba mawasiliano yako, Ahsante sana kwa masaada wako nilikuwa ninakufuatilia sana vipindi vyaki Radio C, Lakini kwa sasa sijakusikia kipindi kirefu. Nakutakia maisha mema.

  • @Priscahonyango-f2o
    @Priscahonyango-f2o 5 หลายเดือนก่อน

    Nashkuru sana Dr...kwa mafunzo yako

  • @saudacharles2480
    @saudacharles2480 2 ปีที่แล้ว

    Asante Sana naendelea kujifunza mambo mengi Sana

  • @EmmanuelyMsangawale
    @EmmanuelyMsangawale 4 หลายเดือนก่อน

    Live amazing words

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran Dr Chris ❤❤

  • @Dreamchaser6692
    @Dreamchaser6692 2 ปีที่แล้ว +3

    I always learn alot from your teachings, God bless you . Have been your silent follower

  • @euniceomaore6442
    @euniceomaore6442 3 ปีที่แล้ว

    Najifunia wew wouh good teacher nafuatilia vixur

  • @ngazarajab4101
    @ngazarajab4101 3 ปีที่แล้ว

    Asante doctor kwa kutufundisha mambo muhimu nafarajika sana nitajitahidi maana mahusiano nikitu muhimu kwenye maisha y amwanadamu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @janethmrema2431
    @janethmrema2431 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu asaidie haya yawe mahusiano ya mwisho😢

  • @mercyadangahi1991
    @mercyadangahi1991 3 ปีที่แล้ว +6

    Thanks so much for the words of wisdom. Be blessed

  • @GeorgiaMacherengo-h6f
    @GeorgiaMacherengo-h6f 26 วันที่ผ่านมา

    Nitumieni hizo vide

  • @MikeMakame
    @MikeMakame 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vzl your very good

  • @baltazarmsungu9605
    @baltazarmsungu9605 2 ปีที่แล้ว

    Thanks docta kwa mafundisho ,nimejifunza kitu kwenye comment kwamba hutakiwi kujibu short unatakiwa kuonesha na wewe unamjali kwa kumjibu vizuri .

  • @nkwimbamwigulu2052
    @nkwimbamwigulu2052 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana kwa kipindi kizur mwalimu Chris mm nna swali.... Nataman kuwan mtu wa tofauti au mtu mpya kila nnapowasiliana na mpenzi wangu,ili kulitimiza hili ni mambo gan ambayo napaswa niyazingatie?

  • @evalynekyungai
    @evalynekyungai ปีที่แล้ว

    WOW greatest

  • @alwaladorcus3809
    @alwaladorcus3809 2 ปีที่แล้ว

    Umenena Dr hakika nimeskia, mengine ninayafanya , nanitaongezea ili nitengeneze doa yangu Asante sana ubarikiwe

  • @ashuraadam1874
    @ashuraadam1874 2 ปีที่แล้ว

    Shukran jambo Zur San 🙏🙏🙏🙏

  • @edsonnickernest6897
    @edsonnickernest6897 2 ปีที่แล้ว

    Thanks San Dr nimejifuna kitu nahis atanipenda tu na tutapendana👍

  • @gladnessmichael9384
    @gladnessmichael9384 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe

  • @IssabellaJohn
    @IssabellaJohn 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ngoja nipunguze ukal

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani ni mafundisho mazuri sana,ila sasa kwa waelewa Mr Mauki, yaani

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @estherdeodatus3565
    @estherdeodatus3565 3 ปีที่แล้ว +2

    These are important issue,thank u

  • @esthermichael3989
    @esthermichael3989 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli haya maneno yanahamasisha mno na huleta kufurahiana.🙏🙏🙏

  • @SubiraManka
    @SubiraManka ปีที่แล้ว

    Thank you baba

  • @Kalambo-bb3sh
    @Kalambo-bb3sh ปีที่แล้ว

    Barikiwa

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 3 ปีที่แล้ว

    Shukurani saxa ...boss

  • @EzekielMalush
    @EzekielMalush หลายเดือนก่อน

    I like it

  • @latifamajengo2921
    @latifamajengo2921 3 ปีที่แล้ว +1

    Ktyu ambach nmebe understandable well ....
    1. Take care
    2.how was ur day
    3. Am proud ov yuh
    Yn ay yamenimonivate for 💯%

  • @NadjimaUwimana
    @NadjimaUwimana ปีที่แล้ว

    Asantesan

  • @evethapius5063
    @evethapius5063 ปีที่แล้ว

    Nc sana asante brother

  • @AsiaAli-m3o
    @AsiaAli-m3o หลายเดือนก่อน

    Asant sana

  • @sadymazige
    @sadymazige ปีที่แล้ว

    Thanks dear brother.That's true

  • @AlexMbunda-ye7to
    @AlexMbunda-ye7to 8 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana mafundisho yako bro

  • @revinaedward6616
    @revinaedward6616 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana ila kuna wengine hawajali kabisa yan hata ubembeleze vipi

  • @LilianEliya
    @LilianEliya ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @nasrakikombe2231
    @nasrakikombe2231 3 ปีที่แล้ว +8

    I really like it wallah 🥳♥️♥️

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wetu azidi kukubariki zaidi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @عايضالعتيبي-و3ظ
      @عايضالعتيبي-و3ظ 2 ปีที่แล้ว

      Hyln thanks bro bt wanaume wengne ata u2mie haya maneno hawaridhiki

  • @angelanderson5066
    @angelanderson5066 3 ปีที่แล้ว +1

    Waooo somo zuri asanteee kwa mafundisho🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @maduhundamo9411
    @maduhundamo9411 3 ปีที่แล้ว

    Umenikosha sana Chris mauki

  • @ZawadiKhamis
    @ZawadiKhamis ปีที่แล้ว

    shukrani

  • @happynessswai3922
    @happynessswai3922 3 ปีที่แล้ว +19

    Mmmh!
    Wengine tumefanya hvyo lakn bado chenga
    Inategemea mtu mwenyewe

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +4

      Ushauri unaweza kuleta badiliko.
      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @emmymzava9445
      @emmymzava9445 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 mm nataman kuongea nawewe lkn sion namba yako ya simu jamn mm nataka ushaur wako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      @@emmymzava9445 0713407182

  • @kuruthumrajabu2394
    @kuruthumrajabu2394 2 ปีที่แล้ว

    Sijutii kukujua na hasa kupitia mafunzo yako walahi Mungu akubariki mr mauki

  • @priscalwangili4278
    @priscalwangili4278 2 ปีที่แล้ว +7

    Dkt. Chris you're a blessing to us we get new insights every time you give a lecture. God bless 🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana rafiki

  • @ericanduye5876
    @ericanduye5876 3 ปีที่แล้ว

    Asante Sanaa kwa kuendelea kunifundisha, ila Sasa Kuna changamoto natumia haya maneno na huwa sichoki kutumia ila haoneshi kujali yaani unaweza muuliza Siku yako imeendaje mpenzi, anavyo jibu (poa) imeisha hiyo. Kidogo huwa inanitesa napata jibu ambalo sikutarajia

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana daktari

  • @ismailidrisa7685
    @ismailidrisa7685 3 ปีที่แล้ว +1

    Drive safe or fika salama
    Nijurishe ukifika or let me know ukifika
    Tunaweza kutoka wote
    Take care or be careful
    Siku yako ilikuaje or imeendaje
    Im proud of you na mshukuru mungu kwaajili yako

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 3 ปีที่แล้ว

    Asant sana nimefaidika sana