Dr. Chris Mauki: Mwanaume Mwenye Tabia hizi 7 kamwe usimuache

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 1.2K

  • @rianamunishi2701
    @rianamunishi2701 ปีที่แล้ว +21

    Mungu nijalie nimpate mweny hzo sifa amen

  • @zaitunkhamis5943
    @zaitunkhamis5943 3 ปีที่แล้ว +18

    Namshukulu mungu kwahakika mme wangu alikua n mtu kajkatia tamaa na alikua mwenye kuzalaulika sana na nlpoanza nae watu had ndugu wa kalbu walsema ctoweza kwa dua na kumtegemea mungu nlimwambia mungu ikiwa nmekuomba mme umenpa huyu kwa ridhaa yako naomba mbadlshe ww Hakika amekua mme mzur sanaaaaaaa had watu wakasema nmemloga ila Kiukwel ndugu zangu haijalsh kwa dn gan ukimtegemea muumba WA vyote anatenda mungu akubalk sana mauki

    • @EvelnLaison
      @EvelnLaison 9 หลายเดือนก่อน +1

      Aksante

    • @KelvinGeorge-wo8nk
      @KelvinGeorge-wo8nk 7 หลายเดือนก่อน

      Dah pole

    • @maryamChumas
      @maryamChumas 5 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah mbarikiwe sanaa❤❤❤❤❤

    • @GraceMadata-t3b
      @GraceMadata-t3b 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amen....mungu bariki wanaume wetu

  • @helenwailly1558
    @helenwailly1558 2 ปีที่แล้ว +173

    Umesahau point ya muhimu sana Mcha Mungu, God fearing 🙏

    • @eunicenjeri3393
      @eunicenjeri3393 2 ปีที่แล้ว +13

      Kuna pretenders

    • @jenniferojango7823
      @jenniferojango7823 2 ปีที่แล้ว +6

      Je mwenye haongei hakushugulish na mambo yake anayo Fanya mpaka umulize huyo utamu chukuliaje

    • @Ashsultana
      @Ashsultana 2 ปีที่แล้ว +11

      Kumcha Mungu sio tabia na amesema tabia

    • @calebmutiso8387
      @calebmutiso8387 2 ปีที่แล้ว +3

      @@eunicenjeri3393q

    • @happinessjuvenile2349
      @happinessjuvenile2349 ปีที่แล้ว +3

      Asante sana Dr nimejifunza vitu vingi sana kutokana kwako is good blessings

  • @sarahdamian5043
    @sarahdamian5043 3 ปีที่แล้ว +32

    Ooh Asante Yesu kwaajili ya mume wangu, anazo zoteeee, mwaka wa nne sasa hajawahi kubadilika toka tuoane🙏🤗

    • @sweetymamu6568
      @sweetymamu6568 3 ปีที่แล้ว

      Kwamfano izo tabia zote zipo ila hana uwezo landa wa kipesa iyo inakuaje

    • @belak999
      @belak999 3 ปีที่แล้ว

      Hana nguvu za kiume huyo wakah ndio pungufu lake sema hauwezi kusema hapa. HAWEZI KUWA NA SIFA ZOTE HIZO UONGOOO

    • @theodoratesha7065
      @theodoratesha7065 2 ปีที่แล้ว

      Tafuteni pesa pamoja.

    • @winfridapeter9455
      @winfridapeter9455 2 ปีที่แล้ว +1

      Mjengee sanamu japo la mbao ndani 😂

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว

      @@belak999 😆😆😆😆😆

  • @bskumekuchahamza9865
    @bskumekuchahamza9865 2 ปีที่แล้ว +5

    BabaB wangu Mungu akuweke rehemani sifa zote ulikua nazo Mungu amekupenda zaidi

  • @NajmaSaid-p1n
    @NajmaSaid-p1n ปีที่แล้ว +1

    Sifa nying zoztaj mpenz wang anazo nashukuru kwa kuligundua hilo na mungu ampe maish maref na penz letu lizd kudumu inshallah🙏🙏

  • @macrinacaesar1564
    @macrinacaesar1564 ปีที่แล้ว +3

    Thanx dr.and i thank God naona zote 7 mume wangu anazo.ubarikiwe kwa darasa

  • @zuwenajuma8944
    @zuwenajuma8944 ปีที่แล้ว +34

    Sifa zote ziko kwa mchumba wangu!😊 Mungu asimamie uhusiano wetu 🙏🏾

    • @dayana5513story
      @dayana5513story ปีที่แล้ว

      Hongera sana

    • @maryamChumas
      @maryamChumas 5 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah mashaallah hongera inshaallah khery kwenu nyote❤❤❤❤❤❤niombee nami

  • @shamilakatumba1701
    @shamilakatumba1701 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah asante mung baba watot wang amejaaliwa sifa zot nimebalikiwa mno asante mungu mikon kwa mikon had pepon nakupenda san baba jay wangu akuna kam weh ❤❤❤:

  • @hashilalkharusi5926
    @hashilalkharusi5926 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante dr duuuu ninae wallah hizi sifa zooote anazo i swear to Allah Alhamdulillah to have him in my life 😘😘😘😘😘

    • @priscerjohn5788
      @priscerjohn5788 2 ปีที่แล้ว

      Mwenye sifa izi amasharudi kwa baba,
      Ebu tuangalie huyu🙄🙄

  • @AminaMashavu
    @AminaMashavu หลายเดือนก่อน

    Ahsante munguu umenipa mme boraaa sanaaa nilichokuombaaa ndicho ulichonipatiaa asanteee asantee asante kila iitwayo leooo

  • @jonisiamdulingwamdulingwa3336
    @jonisiamdulingwamdulingwa3336 2 ปีที่แล้ว +7

    Nakushukuru Sana Mungu kwa kunipa mume wa aina hii🙏🙏🙏 na simuachi.

    • @janethmush3158
      @janethmush3158 ปีที่แล้ว

      Jaman mungu naomba uniletee huyu kiumbe

  • @Eunice-fx2ls
    @Eunice-fx2ls ปีที่แล้ว

    Asante MUNGU Kwa kunipa mume Bora nakuomba zidi kuitunza ndoa yetu

  • @josephmartinswai151
    @josephmartinswai151 2 ปีที่แล้ว +8

    Asante sana Doctor Chris Leo nimepata lesson nanimetokea kumpenda sana mume wangu kiukweli huwa ananifanyia haya yote nkajua nikunifunika nisijue mambo yake kumbe huwa serious Thank you God for the kind of a man you gave me Leo nimefarijika sana I deserve to love him so much nakupenda sana Joseph wangu you deserve to be loved by me

  • @RachelMapenzi-b7l
    @RachelMapenzi-b7l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ambariki mume wangu nampenda sana

  • @Esthermwalimu7732
    @Esthermwalimu7732 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa ushauri huu,umenipa motisha wa kuzidi kumpenda aliyepo

  • @RebeccaJohn-h8c
    @RebeccaJohn-h8c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anijalie mwenye hiz sifa zote 🙏🙏🙏

  • @badriyahemed3663
    @badriyahemed3663 3 ปีที่แล้ว +7

    I got this men after so much struggle am glad

  • @FfFf-yb9cp
    @FfFf-yb9cp ปีที่แล้ว

    Amina .mungu akubariki kwa ushauri wako wa kutia nguvu nasikia nikibarikiwa na ushuhuda wako.barikiwa ❤❤🎉

  • @miriamogada5097
    @miriamogada5097 3 ปีที่แล้ว +45

    I thank God almighty my husband Ako na zote Saba, thank you Jesus for giving me that kind of a man 🙏🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +5

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @pastoreliedhahaule4562
      @pastoreliedhahaule4562 3 ปีที่แล้ว +2

      Una fundisha vizuli yani nikwer kabisa

    • @richaelmichael2655
      @richaelmichael2655 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 Mimi nyingi anazo ila moja umenigusa kweli nilifanya kosa moja akanisamehe lakini sasa unalitumia kunichapa kila siku naumia mnoo

    • @selechacha8283
      @selechacha8283 2 ปีที่แล้ว +1

      mm mume wangu nilifiwa na baba angu muzazi alinite lekezea

    • @selechacha8283
      @selechacha8283 2 ปีที่แล้ว

      kilasiku ugovi nalawa manyingi

  • @restutamfoi7325
    @restutamfoi7325 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana dr ninejifunza kitu kupitia somo lako

  • @annashem3263
    @annashem3263 3 ปีที่แล้ว +5

    Asant sana kaka namshukuru mung nipo kwwnye mhusiano nimwaka namiezi sits rakini mwanaume Wang haja wahi kubadirika nahizo tabia urizo zisema zote anazo mung akubariki kwa mafundishi yako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @stelladaud9788
      @stelladaud9788 3 ปีที่แล้ว

      mshukuru sana mungu maana wengine tunawanaume lkn hata pesa ya matumizi ujitegemee mwenye unaweza kukwama lkn hana msaada wowote hata asikie mama yako anaumwa awezi uliza wala kujali zaidi anajali ndugu zake tu muda mwingine unapatwa na matatizo unaona bora unyamaze tu bila kumwambia

    • @beatricemariki7529
      @beatricemariki7529 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 Nimesikiza Dk.lkn naomba msaada wa kibinafsi kama itawezekana..jamani ili roho yangu ipone

  • @lilianotieno5816
    @lilianotieno5816 7 หลายเดือนก่อน

    Asante xna mwenyezi mungu kwakuni panguza machozi,ni kwarehema yako eewe yesu🙏🙏🙏

  • @damarlswanjlru6935
    @damarlswanjlru6935 3 ปีที่แล้ว +3

    Niko na boyfriend ako hivyo ...hizo umetaja zooote he is like that aki nimelearn more ..thank you...😘😘

  • @MushiroseAlberth
    @MushiroseAlberth 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusaidie wanawake tunateseka sana

  • @SesiliaJosephat-zr1ki
    @SesiliaJosephat-zr1ki ปีที่แล้ว +15

    Neema ya Mungu imuongoze popote alipo may be one day atatokea mwenye sifa hizo🙏

  • @EvaluneKhalnziri
    @EvaluneKhalnziri 10 หลายเดือนก่อน

    Siyuko kweny ndoa lakini na jifunz mengi sana ubarikiwa sana❤❤❤❤

  • @agnessmathias8546
    @agnessmathias8546 3 ปีที่แล้ว +8

    Umeiimarisha sana Ndoa yangu Dr., kunawakati nilipitia mambo magumu sana kupitia post zako Hakika nikaelevuka,nikajifunza mambo Mengi ambayo siwez kuorodhesha yote MUNGU Akutunze uwe mwenye Afya njema,.

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 4 หลายเดือนก่อน

    Asante kk mungu akubaliki 🙏🙏🙏

  • @janethlaban9407
    @janethlaban9407 3 ปีที่แล้ว +18

    Ahsantee, nimejifunza anazo sifa 6 ulizozitaja simuachi ng'ooooo tena SIMUACHIIIIIIIII

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +7

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @tumuuhassan6856
    @tumuuhassan6856 3 ปีที่แล้ว

    Ww n mtu muhmu xan Dr Chris yan umejua kuinua upya ndoa yngu mn ilikuw km jino bovu....mungu akuongoze inxhaallh akuepuxhe n maradh uzid kudumu ktk dunia hii

  • @lucyezekiel3755
    @lucyezekiel3755 3 ปีที่แล้ว +5

    Barikiwa sana Dk Chris kwa mafunzo yako mazuri sana unawafungua wengi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @ImaShoka-o8y
    @ImaShoka-o8y 23 วันที่ผ่านมา

    Asantee Baba wa Mbinguni kwa ajili ya mpenzi wngu

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 3 ปีที่แล้ว +4

    Nashukuru Sana Dr Kati ya saba anazo tano na yupo makini sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @rahelmhezi
    @rahelmhezi 7 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru sana Dr mimi nashukuru Mungu kwakweli sifa zote mume wangu ananzo ❤🙏🙏🙏

  • @eddasamwely820
    @eddasamwely820 3 ปีที่แล้ว +7

    Lord this is what am looking for bring him

  • @lilianemmanuel7144
    @lilianemmanuel7144 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa somo lako zuuuri doc umefanya niwe happy nimemwelewa mpenz'wng

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 ปีที่แล้ว +8

    Thank you Dr. My boyfriend anazo zote tabia7 MUNGU ni mwemaa sn🙏🏽❤️

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 3 ปีที่แล้ว

    Shukrani xn kw maelezo ak nampenda xan mme wang maan sifa zote saba anazo xan na ya muimu zaidi ni mcha Mungu xan ak nimefurai ushauri wako

  • @mwanaidimwinyi7081
    @mwanaidimwinyi7081 3 ปีที่แล้ว +6

    Masha Allah ninependa somo mungu akubariki Sana

  • @GuidoJean-Paul
    @GuidoJean-Paul 3 หลายเดือนก่อน

    Asante baba lakuni ulisaabu mwanaume mucha mungu

  • @winnieombaire1918
    @winnieombaire1918 3 ปีที่แล้ว +4

    Thanks again and again,, am also grateful as well juu hvo ndivyo my husband yuko🙏🙏🙏🙏

  • @yvonewere4012
    @yvonewere4012 2 ปีที่แล้ว +5

    I learn more about this video, thank you very much 😘😘

  • @HusnaNogi
    @HusnaNogi 11 หลายเดือนก่อน

    Dah! Nashukulu sana .kwa kunifafanulia .wangu anatabia zote ulizozisema.

  • @lianim3370
    @lianim3370 ปีที่แล้ว +19

    The Guy am dating has all of this but we are in long distance relationship ,One thing I love about him He corrects me whenever am wrong ,He's a guy who listens more than talk.

    • @davidlaidoson4038
      @davidlaidoson4038 ปีที่แล้ว +1

      He is can not have all these characters at the same time no no

  • @DottoSteven-f3o
    @DottoSteven-f3o 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie sana. Amen

  • @LatifahMaida
    @LatifahMaida 4 หลายเดือนก่อน +5

    😢Uyu wangu labda kusamehe tu, nyingine zote ulizitaja Hana... Si ni move on lakini

  • @MarthaMario-k3z
    @MarthaMario-k3z 11 หลายเดือนก่อน +1

    Thats my hubby to be!!may God keep him nampenda sana ❤

  • @happinessm1919
    @happinessm1919 3 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe kwa kazi zako

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Dr somo ni zuriiii sana yani hizo tabia zote 6 ziko kwa mmewangu kasoro hio ya mwisho ndio sijaona kama anayo. Na ni mwanafunzi wako mlimani pale enzi hizooo naona somo lako alilielewa sana

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 3 ปีที่แล้ว +6

    Ilove u my husband mungu adumishe hizi tabiya zako 7 mungu alizo kukupatiya yani sina lakusema kwako ila kukuombeya duwa kwa mungu atulinde kwenye ndowa yetu amin

    • @AminaJuma-t9t
      @AminaJuma-t9t 6 หลายเดือนก่อน

      Mwananae huyo sijawahi kk tananae namtafuta katika maisha yang sijawahi kipata kabis

    • @AminaJuma-t9t
      @AminaJuma-t9t 6 หลายเดือนก่อน

      Hapana hawez kusimama mm kila wakati

  • @RachelCharlesKasiatila
    @RachelCharlesKasiatila 10 หลายเดือนก่อน

    Mwenyez Mungu azd kukuwek uish miak ming xn Dr. Mauki

  • @kayombog1694
    @kayombog1694 3 ปีที่แล้ว +93

    1. Mugunduzi/mtambuzi wa hisia zako
    2. Msikivu
    Anasikiliza ushauri& anakusikiliza
    3. Mwenye huruma
    4. Mwaminifu
    Anaweza kusimamia maneno yake
    5. Unayeweza kumtegemea
    6. Anayeweza kusamehe
    7. Mbunifu
    Kufanya namna tofauti ya malezi, Ndoa et cetera
    Karibu tuendee kujifunza

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +14

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @maulidnuhu7733
      @maulidnuhu7733 3 ปีที่แล้ว +3

      Asante docta mauke naomba msaada mke wangu hana hisia na mimi baada ya kumkosea ila nilijirejebisha makosa yangu naomba ushauri wako nifanye nini ili ni rudi she mapenzi yetu kama mwanzo

    • @kharidmushangan3320
      @kharidmushangan3320 3 ปีที่แล้ว +2

      Namshukur mungu aslimia 98 anazo mwenza wangu,ni kam baba kwangu anajali san

    • @leahmagaiwa9099
      @leahmagaiwa9099 3 ปีที่แล้ว +2

      @@maulidnuhu7733 Mpe muda, Endelea kumpenda hata kama yeye anakupotezea, mjali na ufanye vitu anavyo vipenda bila kuchoka,,, taratibu atarudisha moyo,,, onesha kwamba unalijua KOSA lako na usimlaumu kwa kuchelewa kukusamehe maana hujui alitumia jitihada gani kukufanya umpende badala yake ukamkosea! So, Muda Ni Tiba. Kuwa mvumilivu na onesha kumpenda kweli

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 3 ปีที่แล้ว +3

      @@ChrisMauki1 nimepata mwaume was aina hiyo, , na ana nipenda sana, Ila Alisha kuwa na mwanamke mwingine, ambae huwa ambaealisha zaa naye, na huwa anamzungumzia vibaya na kwa miaka yote wameish mbalimbali hukutana likizo tu, ,, na sasa anataman waachane aanzishe mahusiano mengine, awe na furaha ,ila anaogopa kwao mwanamke asije fanyiwa vibaya , kwa hiyo yuko njia panda nikama anataka Tuoane, akikumbuka yule mke wambali anasita, basi Mimi nilimwambia ningetamani wayamalize kwanza wenyewe then ndo aendelee na Mimi maana najiona kama namkosea mwanamke mwenzaangu, nikimwambia nimpe nafasi afanye maamuzi hataki, basi nimebaki njia panda , kumpenda nampenda ila sikuwahi taka kuchangia mume maishani, pia sikuwahi taka kutembea na mume wa MTU, nikmueleza hayo yote anasema nivumilie , nisikate tamaa mapema, na tuendelee na mahusiano, naomba ushauri

  • @JeskaMtangu
    @JeskaMtangu 23 วันที่ผ่านมา

    Mmewangu mungu akupe maisha mrefu sana nakupenda g wangu

  • @leahhyera4836
    @leahhyera4836 2 ปีที่แล้ว +11

    Kwakwel Ni ngumu Sana kupata mtu mwenye qualities za kipekee namna hiyo..Mungu aingilie Kati tu😥

  • @evawingaeli-hr6mx
    @evawingaeli-hr6mx 14 วันที่ผ่านมา

    Asante Sana kwa mfundisho yako

  • @mercyadangahi1991
    @mercyadangahi1991 3 ปีที่แล้ว +29

    Truly speaking . This is the kind of a man am looking for in my life

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @magrethjoachim4371
      @magrethjoachim4371 3 ปีที่แล้ว

      Natamani unirushie

    • @favouragripa3977
      @favouragripa3977 2 ปีที่แล้ว

      Naomba namba YAKO Dr mauki 🙏

    • @favouragripa3977
      @favouragripa3977 2 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 naomba namba YAKO naomba

    • @favouragripa3977
      @favouragripa3977 2 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 naomba nipate namba YAKO 🙏

  • @priskamayange8708
    @priskamayange8708 3 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru mungu wakwangu anahivyovyote mungu nakushukuru utukufu ukurudie mungu❤

  • @dorothyxavery6178
    @dorothyxavery6178 3 ปีที่แล้ว +13

    Thank you so much teacher, for the first time kukujua, umekuja kutufindisha counselling mwaka huu, today I was just passing through TH-cam I saw your video, mefurahi na nimesubscribe na kulike..keep it up My teacher 👏👏👏👏✍️👊.

  • @HalimaAbeid-mw9hc
    @HalimaAbeid-mw9hc หลายเดือนก่อน

    Asante mungu nakuomba nilindiy mchumba wangu sifa zote7 anazo🙏

  • @naumiwilliam6270
    @naumiwilliam6270 3 ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe sana Chris coz umetufungua wengi akil🙏🙏👍👍

  • @florencefaida1495
    @florencefaida1495 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukuza kipaji chako, na kizidi kufunza pia vizaza vya kesho 🤝🙏🙏👊congratulations, DR MAUKI

  • @princessa3060
    @princessa3060 3 ปีที่แล้ว +4

    Waaaaau doc,,,I got 1 in my life 😀😀😀 may our Almighty God bless him sanaaaa n keep him in Jesus name...🙏🙏🙏 Danke shun doc

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @HellenRhobi
    @HellenRhobi หลายเดือนก่อน

    Thank you God for the gift of a husband you gave me

  • @nurumosha9216
    @nurumosha9216 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa somo zuri

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @JehovanessDarabe-hm6tv
    @JehovanessDarabe-hm6tv 9 หลายเดือนก่อน

    Dear Lord... Protect my man this is more than my prayers ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏

  • @annireri8814
    @annireri8814 3 ปีที่แล้ว +43

    I never got it clear the kind of boifred I have. I left him 2yrs ago thinking he's not the kind of husband I need. 2 yrs away has proved it all. I thank God for meeting my man... Soon getting married. Pray for us🙏🏾🙏🏾❤️

  • @yonzyonz7343
    @yonzyonz7343 5 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa ushauri wako my dear ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @shakilashak3337
    @shakilashak3337 3 ปีที่แล้ว +3

    Jaman mm nimempata anazo zot asant san nitamganda mno ❤❤❤❤

  • @queenlisapherooz7321
    @queenlisapherooz7321 ปีที่แล้ว

    Moja kat ya zawadi bora muhimu nilio wahi kuipata Ni kua na
    ♥️ na mume bora ❤️ Asantee mungu kwaa zawadi hii

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 3 ปีที่แล้ว +4

    Dr.Thanks for this.

  • @RebecaEzekielShaban
    @RebecaEzekielShaban หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Mwanaume wangu kabisa,, Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu uliyenipa endelea kumlinda mume wangu.

  • @thozyceethemama6052
    @thozyceethemama6052 3 ปีที่แล้ว +9

    I thank God for my fiancee Brian, he has all this characters,,,,i juc love him sooo much ❤❤❤❤🥰Brian you deserve love hunie,,

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @geraldanthonchuwa3068
      @geraldanthonchuwa3068 3 ปีที่แล้ว

      Gerald Chuwa ninazo sifa zote nahivi sasa Nina miaka 35 yenye amani

  • @FaridaMhina-wi3on
    @FaridaMhina-wi3on ปีที่แล้ว

    Asante doctor kwakwel namshukuru mungu azidi kumrinda inshallah

  • @marysola5302
    @marysola5302 3 ปีที่แล้ว +19

    I am very happy you have address this. I just found one with these manners thanks simuachi🥰

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      Usimuache katu, natumaini umesubscribe

    • @sarahmsangi7243
      @sarahmsangi7243 3 ปีที่แล้ว

      Namba za Chris mauki zinapatikanaje

    • @sarahmsangi7243
      @sarahmsangi7243 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 Dr namba zako

    • @jonathannkruzehi
      @jonathannkruzehi 2 ปีที่แล้ว

      Naipenda hii channel

  • @NaomiPaulo-h9u
    @NaomiPaulo-h9u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwer kabisa kaka naona kwa baba mtoto wangu yupo hv ❤

  • @dorothyxavery6178
    @dorothyxavery6178 3 ปีที่แล้ว +5

    You're so talented 👊👏.

  • @LeahMtandika
    @LeahMtandika 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Kuna kitu nimejifunza

  • @happinessm1919
    @happinessm1919 3 ปีที่แล้ว +4

    1.Sio mwaminifu hata kidogo +muongo sana
    2. Sio mgunduzi
    3.Sio mbunifu
    4.Sio msikivu lakini ni mwenyew huruma, naweza mtegemea na anasamehe. Sasa sijui km huwa anajilazimisha kuyafanya haya maan simuamin kabisa. Dr ni ngumu sana kukupata nina shida ya huduma zako lakimi imekuwa ngumu sana kukupata, tafadhari nisaidie siko salama.

    • @esteralan5241
      @esteralan5241 3 ปีที่แล้ว

      Afadhal wewe hata moko

    • @SadaHashimhadoswa
      @SadaHashimhadoswa 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wengine ndo mahusiano yetu yapo ICU 😢

    • @zaudahalisi2241
      @zaudahalisi2241 4 หลายเดือนก่อน

      If huna imani nae hutakuwa na imani nae..Mungu akupe maamuzi sahihi

  • @rasoawekesa
    @rasoawekesa 2 ปีที่แล้ว

    Wah ako nazo zote na nlikua nataka kumuacha ju ya makosa kidogo ,mungu atuunganishe milele na mtu asiwai tutenganisha katika jina la yesu

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan 2 ปีที่แล้ว +4

    He promised to be a father figure after he knew i lost a father , he talks and then asks me babe what do u think give me yo opinion,he knows when am angry and pretend am ok🤣, he says sorry when he knows kakosea , faithful beyond.
    heee he has a Sharp mind,very creative. Wee Dr am grateful he has all those . I am grateful for having such a husband

  • @MwakaMngumi
    @MwakaMngumi ปีที่แล้ว

    Asante sana naona pia wangu anazo kama zote mungu ajalie maisha mema❤❤❤❤

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 ปีที่แล้ว +3

    Yaan ww ni lulu kwa kweli♥️🙏🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @wardadallu1820
    @wardadallu1820 2 ปีที่แล้ว

    Namshukuru Mungu mme wangu anazo hizo zote eee mwenyez Mungu nitunzie mume wangu tuish miaka 10000

  • @ruthjuma8302
    @ruthjuma8302 3 ปีที่แล้ว +10

    Aah,, bwanangu alikua nazo zote, sifa hizo zilinifanya nimpende kweli, ila mungu kampenda zaidi, endelea kupumzika kwa amani mme wangu.

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 3 ปีที่แล้ว

      Pole Sana

    • @HurumaBosco
      @HurumaBosco 2 หลายเดือนก่อน

      😢😢pole dear

    • @isayamarisela
      @isayamarisela 2 หลายเดือนก่อน

      Pole Dana mungu akutende sawasawa nahitajilako

  • @NicholausKikoti
    @NicholausKikoti 9 หลายเดือนก่อน

    Kaka unatufundisha vitu Vingi nainjoi
    Naninge penda kujifunza zaidi sank you❤❤

  • @Rosemary_Obadiah
    @Rosemary_Obadiah 2 ปีที่แล้ว +4

    I don't regret meeting him😊💞♥️he is such good man. Hajawahi change..

  • @ANNA-j7p2q
    @ANNA-j7p2q 6 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru mme wangu anazo zote🙏🙏🙏

  • @monicaadam5283
    @monicaadam5283 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaah Asante Sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @hannahwanjiru6886
    @hannahwanjiru6886 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana ju nimejua sasa nko na mume mwenye nko na yy ako ba hizo zote

  • @momonyange6513
    @momonyange6513 2 ปีที่แล้ว +4

    I wish i knew this earlier😣, nilkua na mwanaume wa namna hii lakin nilidanganywa na urembo nikidhan ntampata mwanaume yeyote muda wowote coz at that time nlikua napata marriage proposal nying na mm sikua tayari now naona ningum sana namkumbuka nataman nisingemuachia aoe now nawish ingekua ni mimi 28yrs na sina ndoa hata wa kuzungumza nae akaniskiliza kama yey na kunielewa kama yeye sina. Sina wa kumlaum tho and am still praying to the Almighty God i beleive one day ntampata mwingne atae nifaa.

  • @norisjoseph4867
    @norisjoseph4867 3 ปีที่แล้ว

    Asante kwa ushauli ntaliangalia ilo thenkyou

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 3 ปีที่แล้ว +9

    Doct mimi niko na mpenzi hakika Kati ya hizi nyingi anazo, shida ni moja tuu nimemzidi umri, naa wazazi wake hawakubaliani na Hilo la mimi kumzidi,,, nimesikiza haya umesema nimesikia machozi kama maji yananitoka,,,, nisaidie nisimpoteze mtu muhimu maishani mwangu

    • @RoseLiviga
      @RoseLiviga หลายเดือนก่อน

      Umemzidi miaka mingapi

    • @hawaaseif2862
      @hawaaseif2862 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂​@@RoseLiviga

  • @sifakito8491
    @sifakito8491 ปีที่แล้ว

    Haleluya nashukuru MUNGU kweli amenipa neema mume anaeneza izo tabiya zote 7 na nane ana nihimiza kwa safari ya kwenda nbinguni

  • @estermiseyeki3722
    @estermiseyeki3722 3 ปีที่แล้ว +8

    Thanks Dr. For your lesson its so good

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @annamushi1057
      @annamushi1057 ปีที่แล้ว

      Woooiii

  • @sopy3055
    @sopy3055 2 ปีที่แล้ว

    Jmn 😊 Mwenyez Mungu atusaidie

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 ปีที่แล้ว +3

    Wachache Sana.. Mungu akubariki Dr

  • @CosmaAngel
    @CosmaAngel 8 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana kaka kwa mafundisho mazuri umenipa ufahamu

  • @agnesmwizarubi7479
    @agnesmwizarubi7479 2 ปีที่แล้ว +7

    That is exactly what God has given me.
    I thank God.🙏

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Asante dokta unayosemaga yote ni ya kwel