Dr. Chris Mauki: Mwanaume Mwenye Tabia hizi 7 kamwe usimuache
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Wengi sana huniuliza nitajuaje kama kweli ananipenda. Nitajuaje kama huyu mwanaume sio msanii. Najua maswali haya yanawatatiza wengi. Nimekuletea tabia 7 za mwanaume ambaye hautakiwi kumpoteza kabisa kama unaye.#DrChrisMauki#Tabia#Mwanaume
Umesahau point ya muhimu sana Mcha Mungu, God fearing 🙏
Kuna pretenders
Je mwenye haongei hakushugulish na mambo yake anayo Fanya mpaka umulize huyo utamu chukuliaje
Kumcha Mungu sio tabia na amesema tabia
@@eunicenjeri3393q
Asante sana Dr nimejifunza vitu vingi sana kutokana kwako is good blessings
Thanx dr.and i thank God naona zote 7 mume wangu anazo.ubarikiwe kwa darasa
Sifa zote ziko kwa mchumba wangu!😊 Mungu asimamie uhusiano wetu 🙏🏾
Hongera sana
Mashaallah mashaallah hongera inshaallah khery kwenu nyote❤❤❤❤❤❤niombee nami
Namu shukuru mungu kupata mume hakweli zote 7 Quality lakini ana tano❤️ thank you Dr Chris mungu akubariki zaidi
Ahsantee, nimejifunza anazo sifa 6 ulizozitaja simuachi ng'ooooo tena SIMUACHIIIIIIIII
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Mungu azidi kukuza kipaji chako, na kizidi kufunza pia vizaza vya kesho 🤝🙏🙏👊congratulations, DR MAUKI
Thank you Dr. My boyfriend anazo zote tabia7 MUNGU ni mwemaa sn🙏🏽❤️
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante sana kwa somo lako zuuuri doc umefanya niwe happy nimemwelewa mpenz'wng
Nashukuru Sana Dr Kati ya saba anazo tano na yupo makini sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Mungu ni mwema na muaminifu. Tabia nne Kati ya ulizozitaja ubavu wangu anazo. Asante kwa SoMo zuri Dr.
Wewe ndio ubavu!
Wangu amazon anapitoliz asante mungu
Neema ya Mungu imuongoze popote alipo may be one day atatokea mwenye sifa hizo🙏
I thank God for this 🙏 my man 👞 keep going 🙏
I pray for you 🙏
Oh God maintain my man ,asije akabadilika
Yaani hizo tabia zote anayo❤❤❤
1. Mugunduzi/mtambuzi wa hisia zako
2. Msikivu
Anasikiliza ushauri& anakusikiliza
3. Mwenye huruma
4. Mwaminifu
Anaweza kusimamia maneno yake
5. Unayeweza kumtegemea
6. Anayeweza kusamehe
7. Mbunifu
Kufanya namna tofauti ya malezi, Ndoa et cetera
Karibu tuendee kujifunza
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante docta mauke naomba msaada mke wangu hana hisia na mimi baada ya kumkosea ila nilijirejebisha makosa yangu naomba ushauri wako nifanye nini ili ni rudi she mapenzi yetu kama mwanzo
Namshukur mungu aslimia 98 anazo mwenza wangu,ni kam baba kwangu anajali san
@@maulidnuhu7733 Mpe muda, Endelea kumpenda hata kama yeye anakupotezea, mjali na ufanye vitu anavyo vipenda bila kuchoka,,, taratibu atarudisha moyo,,, onesha kwamba unalijua KOSA lako na usimlaumu kwa kuchelewa kukusamehe maana hujui alitumia jitihada gani kukufanya umpende badala yake ukamkosea! So, Muda Ni Tiba. Kuwa mvumilivu na onesha kumpenda kweli
@@ChrisMauki1 nimepata mwaume was aina hiyo, , na ana nipenda sana, Ila Alisha kuwa na mwanamke mwingine, ambae huwa ambaealisha zaa naye, na huwa anamzungumzia vibaya na kwa miaka yote wameish mbalimbali hukutana likizo tu, ,, na sasa anataman waachane aanzishe mahusiano mengine, awe na furaha ,ila anaogopa kwao mwanamke asije fanyiwa vibaya , kwa hiyo yuko njia panda nikama anataka Tuoane, akikumbuka yule mke wambali anasita, basi Mimi nilimwambia ningetamani wayamalize kwanza wenyewe then ndo aendelee na Mimi maana najiona kama namkosea mwanamke mwenzaangu, nikimwambia nimpe nafasi afanye maamuzi hataki, basi nimebaki njia panda , kumpenda nampenda ila sikuwahi taka kuchangia mume maishani, pia sikuwahi taka kutembea na mume wa MTU, nikmueleza hayo yote anasema nivumilie , nisikate tamaa mapema, na tuendelee na mahusiano, naomba ushauri
BabaB wangu Mungu akuweke rehemani sifa zote ulikua nazo Mungu amekupenda zaidi
Pole dada yangu mungu atamrehemu🙏
Thank you so much teacher, for the first time kukujua, umekuja kutufindisha counselling mwaka huu, today I was just passing through TH-cam I saw your video, mefurahi na nimesubscribe na kulike..keep it up My teacher 👏👏👏👏✍️👊.
Asante
Nashukuru sana Dr mimi nashukuru Mungu kwakweli sifa zote mume wangu ananzo ❤🙏🙏🙏
I am very happy you have address this. I just found one with these manners thanks simuachi🥰
Usimuache katu, natumaini umesubscribe
Namba za Chris mauki zinapatikanaje
@@ChrisMauki1 Dr namba zako
Naipenda hii channel
Asante Dr chris MUNGU akutunze Mtumishi najifunza zaidi nije kuwa mke mwema
You're so talented 👊👏.
Habari yako dr. Chris Mauki
Naomba unielekeze Namna ya kukupata moja kwa moja
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
0713407182
@@ChrisMauki1 kama anana mke mingene
He promised to be a father figure after he knew i lost a father , he talks and then asks me babe what do u think give me yo opinion,he knows when am angry and pretend am ok🤣, he says sorry when he knows kakosea , faithful beyond.
heee he has a Sharp mind,very creative. Wee Dr am grateful he has all those . I am grateful for having such a husband
Dear Lord... Protect my man this is more than my prayers ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
I wish i knew this earlier😣, nilkua na mwanaume wa namna hii lakin nilidanganywa na urembo nikidhan ntampata mwanaume yeyote muda wowote coz at that time nlikua napata marriage proposal nying na mm sikua tayari now naona ningum sana namkumbuka nataman nisingemuachia aoe now nawish ingekua ni mimi 28yrs na sina ndoa hata wa kuzungumza nae akaniskiliza kama yey na kunielewa kama yeye sina. Sina wa kumlaum tho and am still praying to the Almighty God i beleive one day ntampata mwingne atae nifaa.
Uzuri ulikudanganyaa
Polee😢
Asante Mungu kwaajili ya zawadi uliyonipatia,Asante sana mtumishi kwa maneno yenye kutia moyo.
Thanks Dr. For your lesson its so good
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Woooiii
Asante xna mwenyezi mungu kwakuni panguza machozi,ni kwarehema yako eewe yesu🙏🙏🙏
Daaah Asante Sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Nashukuru kwa mafundisho Dr mume wangu anasifa zote nitampenda mume wangu Sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Kak unamafundisho mazur
My boyfriend has the 7characteristics while my xhusband has only one. Now am convinced that I made the right decision to separate with him. Thank you Jesus for giving me such a wonderful boyfriend. I pray that our marriage plans come true.
Asante
Amen
Due wangu hana hats moja
Amwachaye mumewe na kuolewa na mwingine azini. Better change.
@@laurentraphael5470 Mhmm shida kwenye ukiristo huwezi kuachwa ukishaolewa inabidi uzini tu tena maisha yako yote
Asantee,,,,,, hubby wangu katika hizo sababu Hana zote ila ana 4 tu lakini nashukuru MUNGU kwani maisha yanaenda,,,simuachi,,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mungu nijalie nimpate mweny hzo sifa amen
Ahsantee sana Dkt. Kwa somo zuri ubarikiwe
Ooh Asante Yesu kwaajili ya mume wangu, anazo zoteeee, mwaka wa nne sasa hajawahi kubadilika toka tuoane🙏🤗
Kwamfano izo tabia zote zipo ila hana uwezo landa wa kipesa iyo inakuaje
Hana nguvu za kiume huyo wakah ndio pungufu lake sema hauwezi kusema hapa. HAWEZI KUWA NA SIFA ZOTE HIZO UONGOOO
Tafuteni pesa pamoja.
Mjengee sanamu japo la mbao ndani 😂
@@belak999 😆😆😆😆😆
Dr mbona kama unamsema Mme Wangu hizo sifa zote anazo,Asante Dr kwa kuniamoisha kuwa Nina mime bora na sio bora mume,MUNGU mlinde mume wangu
Zote anazo na enjoy sana Hadi nahis dunia yote yangu
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 dr asante nimejifunza kitu tabia zote hizo 7 anazo kabsa mme wangu Mungu azidi kumlinda🙏🏾🙏🏾
Habari yako dr. Chris Mauki
Naomba unielekeze Namna ya kukupata moja kwa moja
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Piga 0713407182
I thank God almighty my husband Ako na zote Saba, thank you Jesus for giving me that kind of a man 🙏🙏🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Una fundisha vizuli yani nikwer kabisa
@@ChrisMauki1 Mimi nyingi anazo ila moja umenigusa kweli nilifanya kosa moja akanisamehe lakini sasa unalitumia kunichapa kila siku naumia mnoo
mm mume wangu nilifiwa na baba angu muzazi alinite lekezea
kilasiku ugovi nalawa manyingi
Nice teachings l have learnt something important
Oooh my goodness ,,mi mgeni Hana nimekam kutoka tiktok ,,,,I was married 2010 ,,,,and by the look and listen to your words ,my husband has none of them he's a don't care ,,,we have now been separated for 3yrs now nikaenda Dubai nikamwacha ,,tuko Na watoto wawili ,,,,Ni mtu mwenye huskiza sisters Na mamake so I couldn't not do anything but to let him go ,,untill he desides what's good for him ,,,but he's begging for forgiveness ,,should I forgive or move on with my life ??
Pole dear, kama amebadilika mpe another chance
Pole sana, inawezekana kubadilika
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 Nisha subscribe you are amazing and wise words as well ,,God bless you 🙏🙏🙏
Huyo hawezi badilika ni tabia yake tena zaidi kama anafata ya mama yake na ndugu zake. Mausiano yenu si ya wawili bali yamekuwa ya yeye na ndugu zake,ndoa kama hiyo kamwe haiwezi kuwa ya furaha, labda wote wafe na hata wakifa atasema wewe ndiye uliye wauwa
@@damarinjeri4407 habit is like a skin it never change my dear ❣️
thank you God i have got what i wanted,,all these characters are with my hubby
Mimi kiukweli moyo wangu 💔💔💔mungu ndiye mwamunzi nimechoka
Pole
Pole sana
0
0
@@obabizyonly9264 0
Daktari asante sana kwa mafunzo ambae nime pata najua itanisaidia ubarikiwe
Lord this is what am looking for bring him
Asante sana kwa kutuelimisha, mm nikonaye aliwachana na bi mkubwa japo yeye uongea naye kwa jambo la mtoto aliye achwa naye mume, na pia hakona bi mdogo anaishi naye tukona 4years kwa relation bado unihaidi kila wakati atanioa miaka inasonga na hanioi.nimuelewe vipi
Namshukulu mungu kwahakika mme wangu alikua n mtu kajkatia tamaa na alikua mwenye kuzalaulika sana na nlpoanza nae watu had ndugu wa kalbu walsema ctoweza kwa dua na kumtegemea mungu nlimwambia mungu ikiwa nmekuomba mme umenpa huyu kwa ridhaa yako naomba mbadlshe ww Hakika amekua mme mzur sanaaaaaaa had watu wakasema nmemloga ila Kiukwel ndugu zangu haijalsh kwa dn gan ukimtegemea muumba WA vyote anatenda mungu akubalk sana mauki
Aksante
Dah pole
Mashaallah mbarikiwe sanaa❤❤❤❤❤
Asante sana Kuna kitu nimejifunza
I got this men after so much struggle am glad
Asante Mungu kwa Ajili ya huyu baba japo cmuelew ni muoaji au mpita njia
Umeiimarisha sana Ndoa yangu Dr., kunawakati nilipitia mambo magumu sana kupitia post zako Hakika nikaelevuka,nikajifunza mambo Mengi ambayo siwez kuorodhesha yote MUNGU Akutunze uwe mwenye Afya njema,.
Mungu amenipa mume sahihi
Asante kwa somo brother ❤
I learn more about this video, thank you very much 😘😘
Mungu nakushukuru..Nipo miongoni mwa wanawake wenye bahati sana
Asanteeee mungu kwa kunijalia mwanaume mwenye tabia zote 7 ulinde asibadilike ilove my husband tuje kufunga ndoa yenye baraka na kizazi chetu kiwe na Hof ya mungu
I never got it clear the kind of boifred I have. I left him 2yrs ago thinking he's not the kind of husband I need. 2 yrs away has proved it all. I thank God for meeting my man... Soon getting married. Pray for us🙏🏾🙏🏾❤️
Lllloooooooook oo thinking that haha hhggggggy III III uvuuuuuuub
Alright
@@petermatabwa4034😢
Are married now?
Asante kk mungu akubaliki 🙏🙏🙏
Asant sana kaka namshukuru mung nipo kwwnye mhusiano nimwaka namiezi sits rakini mwanaume Wang haja wahi kubadirika nahizo tabia urizo zisema zote anazo mung akubariki kwa mafundishi yako
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
mshukuru sana mungu maana wengine tunawanaume lkn hata pesa ya matumizi ujitegemee mwenye unaweza kukwama lkn hana msaada wowote hata asikie mama yako anaumwa awezi uliza wala kujali zaidi anajali ndugu zake tu muda mwingine unapatwa na matatizo unaona bora unyamaze tu bila kumwambia
@@ChrisMauki1 Nimesikiza Dk.lkn naomba msaada wa kibinafsi kama itawezekana..jamani ili roho yangu ipone
Asantee kwa good message dr mauki
Aah,, bwanangu alikua nazo zote, sifa hizo zilinifanya nimpende kweli, ila mungu kampenda zaidi, endelea kupumzika kwa amani mme wangu.
Pole Sana
Duh mpenz wangu hana hata moja mungu nisaidie
Kwakwel Ni ngumu Sana kupata mtu mwenye qualities za kipekee namna hiyo..Mungu aingilie Kati tu😥
Asante kwa ushauli ntaliangalia ilo thenkyou
Dr tunasubiri tabia za wanawake ili tusiwachee
Kweli atupe na za wanawake ili tusiwaache
Asante sana baba wakwangu zote izo sifa anazo
Nakushukuru Sana Mungu kwa kunipa mume wa aina hii🙏🙏🙏 na simuachi.
Jaman mungu naomba uniletee huyu kiumbe
Yaaani hz tabia mume wangu zote anazo mungu atudumishe inshallh
Tunafanyaje Sasa tulioangukia pia?…???
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
❤❤❤❤❤asnt docta nime gundua mchumba wangu anazo 6 mung atupiganie
Asante kwa ushauri huu,umenipa motisha wa kuzidi kumpenda aliyepo
Hakika Sitamuacha...mungu ampe Nuru. na ninampenda mnoooo.
Ilove u my husband mungu adumishe hizi tabiya zako 7 mungu alizo kukupatiya yani sina lakusema kwako ila kukuombeya duwa kwa mungu atulinde kwenye ndowa yetu amin
Mwananae huyo sijawahi kk tananae namtafuta katika maisha yang sijawahi kipata kabis
Hapana hawez kusimama mm kila wakati
Mungu tusaidie ktk mahusiano yetu
Asante dr duuuu ninae wallah hizi sifa zooote anazo i swear to Allah Alhamdulillah to have him in my life 😘😘😘😘😘
Mwenye sifa izi amasharudi kwa baba,
Ebu tuangalie huyu🙄🙄
Si rahisi kupata weeee ukipata kweli shikilia kuliko vyote thanks Chris God bless you
Masha Allah ninependa somo mungu akubariki Sana
Kipindi kimeeleweka Asante mungu kwa kunipa mume bora 🙏🙏
Ubarikiwe kwa kazi zako
Ahsante mungu kanipa mume mckivu na mwenye huruma.
The Guy am dating has all of this but we are in long distance relationship ,One thing I love about him He corrects me whenever am wrong ,He's a guy who listens more than talk.
He is can not have all these characters at the same time no no
Asante baba angu nakushukuru ..nimempata
Asante sana Doctor Chris Leo nimepata lesson nanimetokea kumpenda sana mume wangu kiukweli huwa ananifanyia haya yote nkajua nikunifunika nisijue mambo yake kumbe huwa serious Thank you God for the kind of a man you gave me Leo nimefarijika sana I deserve to love him so much nakupenda sana Joseph wangu you deserve to be loved by me
Hongera sana
Hongera dada
❤❤❤❤❤mme wangu anazo zote hongera mme
Si tu kwaajili ya wanawake na sisi pia tijitathimini...tumekidhi vigezo kiasi gani...ili kudumu katika mahusiano... thanks bro..
Vyote hivyo mwanaume wangu hana sasa mi wa nn
Kiukweli nipo Kusoma comments,,Kama si wa ndoa kaa naye mbali Kama ndiye Mungu yupo Mwambie Shida zako, na utashinda
Pole chukua tahadhar
🙄🏃🏃🏃
Thank you so much
1.Sio mwaminifu hata kidogo +muongo sana
2. Sio mgunduzi
3.Sio mbunifu
4.Sio msikivu lakini ni mwenyew huruma, naweza mtegemea na anasamehe. Sasa sijui km huwa anajilazimisha kuyafanya haya maan simuamin kabisa. Dr ni ngumu sana kukupata nina shida ya huduma zako lakimi imekuwa ngumu sana kukupata, tafadhari nisaidie siko salama.
Afadhal wewe hata moko
Wengine ndo mahusiano yetu yapo ICU 😢
If huna imani nae hutakuwa na imani nae..Mungu akupe maamuzi sahihi
Asante sana najifunza
Barikiwa sana Dk Chris kwa mafunzo yako mazuri sana unawafungua wengi
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
We are real enjoying your class of cancelling, 3rd year 2022, UDSM..🙏🙏
Doctor wallah huy namuachaaaa🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na mm namiachaaa wallah🤒🤒🤒🤒
@@priscalukumay4241 😄
Fatums 😀😀😀Umenifanya nimecheka kwasauti hadi nimepaliwa na mate
Kiukweli me nilikua mkristo nilibadili dini kua muislam haraka coz nilimpta mwanaume ana sifa zote saba nikimuuzi nilikua namchunia me simpigii but yy anitafuta n kuniomba msamaha me wakat natakiwa me ndo nimuombe kiukweli kwa uhuni n mwaminifu sana asante Allah kwa kunipa mume alie sahihi mana karne hii kumpata mwanaume mkweli or mwanamke shukuru Mungu pili nilichompendea zaidi ana hofu ya Mungu yani kiukweli nilipata bahati sana ukimuomba Mungu ukupa mume alie bora
Truly speaking . This is the kind of a man am looking for in my life
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Natamani unirushie
Naomba namba YAKO Dr mauki 🙏
@@ChrisMauki1 naomba namba YAKO naomba
@@ChrisMauki1 naomba nipate namba YAKO 🙏
Napenda Sana mafundisho yako mazuri.
Mm nilitamani sana hata nimlete ofisini kwako, maana naona hapa naona mmh
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Karibu
Mungu ni bariki mume kama huyu nakuomba please
Dr.Thanks for this.
Thanks Dr kwa somo
Doct mimi niko na mpenzi hakika Kati ya hizi nyingi anazo, shida ni moja tuu nimemzidi umri, naa wazazi wake hawakubaliani na Hilo la mimi kumzidi,,, nimesikiza haya umesema nimesikia machozi kama maji yananitoka,,,, nisaidie nisimpoteze mtu muhimu maishani mwangu
Mmmmh Mungu nusaidie tu
Dr naomba nikutafute moja kwa moja nakupataje? Asant kwa somo zur nimejifunza kitu
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
0713407283
0713407182
Dr. Mwanaume wangu anasifa zote ila ananiumiza sana ni msaliti sana yan nashindwa kujua nimuache au niendelee tuna mtt 1
Asante kwa somo zuri
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Nampenda my baby I will keep him anahizo kwalit kama tano hapo thanks doc kutuelimisha😍❤️
Aki mmi sijaai angukia mwanaume wakunisaidia nisaidieni jameni
Asanteee mungu mme wangu 5 anazo kikamilifu nitakupenda mme wangu 💕💕💕💕💕💕💕daima kupata mkamilifu niwachache love moooooooore