Dr. Chris Mauki: Mambo 3 mumeo ana kiu kuyaona kwako
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Mahitaji ya mume wako kutoka kwako yana tofauti sana na mahitaji yako kutoka kwake, ukishindwa kumpa kiu yake unaweza kumpoteza na kuipoteza ndoa yako. Haya hapa mambo 3 mumeo ana kiu sana kuyaona kwako. Jitahidi umpatie
Asante kwa hizo point:nimekuwa mnyenyekevu sana staha vilevile miaka9 na nimekuwa na mhudumia mume wangu kila kitu anachostahili kufanyiwa hadi na mkata kucha lkn hajawaikuona umuhimu wangu nikaishia kufukuzwa. Sasa hivi nimeamua tu niishi peke yangu.dr cris lbd nisaidie pengine siko sahihi
Duh😢😢😢 pole sana
I'm sorry 😞 😔 😟 nimeumia sana jaman.
Huyo hakua Rizki yako Sister, Amini mwanaume aliekupangia Mungu, hawezi kukosa kuthamini jitihada zko hata ziwe ndogo kiasi gni, Muombe sna Mungu utakuj kkutana na mtu sahihi, na utakuja usahau hayo yte ulio yapitia ndani ya muda mchache🙏kikubwa usikate tamaa wanaume sahihi wapo, na wakwko yupo pia atakufkia soon, just keep praying
@@bilalybarisesa5206 kabisaaa
@@bilalybarisesa5206 yaan umeongea point, unaeza ukafanya kila kitu lkn akakudharau, haki mtu akiwa ubavu wako unaeza ukawa Simpooo, na mkadumu hatari ukapendwa vibaya mnoo
Dr christ asante sana ,naona safari yangu ya maisha itafika vizuri licha ya mabonde na mashimo yaliyomo.
Huwa inahuzunisha kama unajitahidi kuhudumia mtu alafu anafanya kuwa mazoea , hata ukiwa mgonjwa yeye hajali bali anasisitiza apewe huduma tu. Kuna wanaume wanafiki na wakatili wa moyo. Dr. Chukua mda pia uweze kufunza wanaume jinzi ya kutunza wake zao.
Asante kwa mafundisho barikiwa
Asante dr nitazid kujitahid hayo kwa mumewang...nakushkur kwa video zako za ukumbusho kwenye ndoa zetu..
Mungu akubariki tutajitahidi kuyafata maneno yako
Uwiiii niliishia kuambiwa sina akili ya kutafuta hela nikapiga magot namuomba nitaishije akanijib mnafik mkubwa, akaamua kuishi na aliekuwa mfanyakaz wake wa kampun, pigo la 1, Gari ilipata ajali ikaua dreva akaambiwa kamtoa sadaka, pigo la 2 kila akienda kwenye mabenk hawampi hela na ni mfanya biashara mkubwa, nikaamua kusimama ktk zam yangu maana nilizaliwa peke yangu, kila ninacho kifanya kinaenda, nikajenga frem na kufungua biashara nikamalizia fance, na ninaongeza biashara jaman kisicho rizik hakiliki tumuache MUNGU afanye kazi yake.
Pole sana
😊
Kipenzi hata mim ananiambia ivo
Bg up sana kk n kwel
Kabisa acha mungu atende kama hakupendi muache endelea na yako Kwan ye nan😢😢😊
Mungu nisaidie niwe mke bora kwa mume wangu jamani ❤
Mungu anijalie niwe make Bora Kwa mume wangu
Shukran Dr kwa mafunzo ❤❤❤
Watu wako tofaut wakwangu hataki kuhutumiwa anasema Kwan Sina mikono
Kaka Chris Mauki..watching from Germany...
Asante baba🙏
MUNGU akubariki sana
Daaah
Asante Sana 🙏🙏
Mashallaah nzur sana mimi nataka kitabu icho nakipataje nipo Zanzibar
Ubarikiwe sana baba
Asante Sana mauki
Mungu akubariki kwa mafunzo yako 🙏🙏🙏🙏
Mafunzo mazuri Sana lakini wengine ukijinyenyekeza anakuona we punguani
Mungu nijaalie niwe make mwema Kwa mime wangu
Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana baba nakukubali sana💪💪
asante sana dr tumejifunza
Ubalikiwe sana Dr, Mauki
Asante Sana Dr!
Nimejengeka sanaaaaaaaa, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Asante sana dr
Asante baba kwa somo lako
Me nakuelewa sana ubarkiwe san❤
Ahsante sanaaa
Uko vizur kk maan nimejifunza mengi san yananisaidia kwenye mausiano yng
Mm nanashuru kwa maelezo haya mazuri na ya busara. Naomba sisi wanawake tubadilike kwa kuhudumia waume zetu ipasavyo.
Vizuri sana
Asante sana
Barikiwa Sana
Asant dokta mung aendelee kukupa uwez dokt
Asante
Asant kwa ukumbusho
💯 % point 3 zilizoenda shule
Ubarikiwe 🙏🙏
Asantee
Mm hanijal, hanithamin moyo wa kumfanyia hayo utatoka wp
Ubarikiwe sana ❤❤❤
Ubarikiwe
Ushauri nasaha dah pongezi dr
🇰🇪
Wao wanafanya
Mm nitazd kukufatilia maana nataman ndoa nmechoka kukaa single kwa mda mlef
Upewe maua yako baba nimekuelewa kupitiliza
Nimebarikiwa hata kama sijaingia kwenye ndoa ila nitayaishi siku moja nikiwa
Hii Video iwekewe laminanation! Wengi wanakwama kwneye iyo point ya kwanza! Mwanamke akipata mwanaume anayejitambua akizingatia iyo point ya kwanza basi hata utajiri unakuja wenyewe kwenye familia!
Natamani utajiri kwenye familia yangu.😂
Uhakika yani unakuja mwanamke anabishana na mwanaume
Somen comment ya mtu hapo juu,,,aliyafanya yote na akatimuliwa😂😂😂😂😂😂😂😂
@@drvidah7030 waambie warudie kusoma
Tayari umesema anayejitambua rfk siku hz wanaojitambua wachache sana sasa hadi ubahatike utambemba na mbeleko😅😅😅
asante sana
Allah Ibariq
Aise mm hapa nimepona
Woiiiiii so mimi mda wote niwe mtumwa wa mwanaumeee na wanaumee jee mtatunyenyekeaje
Kwa somo hili sitoki safarini.
Ni shida tu had ninataman kuachika maana kila ninapomjal kwake ni sifuri tu, what shall I do!
Ni wachache wanaume wanaotendewa hayo na kuridhika lkn walio weng hawathamin mchango wa mwanamke zaid ya kuambiwa mjinga, una nini na wewe hapa, jadilin niko pale nimekaa mtaniambia
💯💯💯
Uko sahihi
Asante sana kaka
Barikiwa sana kaka
@@novatakamala9083 Haya somo kwa wanaume nao.
amazing
🤝
Amen
Wow
asante sana kaka chriss
Shukran saaana
Nyieèe nilifanya haya yote kuna muda nilikuwa namsaprise hata kwenye siku yake ya kuzaliwa namnunulia cake akirud nyumban nasema pole na kaz lkn haitikii,, alikuwa na shida ya miguu nikawa namkanda kila akitoka kazin jaman akilewa namvua mpk viatu,, nampepelea,, alichokuja kunilipa
zaid ya Maumivu sitaman hata kupenda tena mtoto wa mtu acha maisha yaendelee 😭😭😭
Njoo kwangu
Pole mamy
Ukwel unaogea ukweli
🙏🙏🙏
❤
No ya cm naomben
waiting
Huna baya mtumishi 😚🤗🤗
❤❤❤
Mbona kila mada inahusu tu kufanyiwa wanaume mambo mazuri?kwani wanawake hawana hakki yakufanyiwa mambo mazuri? Kila siku ni nyie tu mridhishwe mbonaaa?
Naanza kujifunza leo
You don't answer calls that is my problem
Wabongoo?mmmmh,mwalimu siyo kwa hawa ?😅😂😂
Wakati alonambia sina akili ata mtoto wake ana na akili kuniliko hapo ndo nilijua dunia c duara n mchwara
😂😂😂🙌🙌....
Hiyo ya ya tatu ndyo yenyewe wanawake wapewe somo sana hapo
😂😂😂😂
Kama bwai na iwe bwai.Mnashindwa majukumu yenu,wamama wanateseka na watoto kutwa,Kisha eti upewe huduma!!?
Na mambo 3 anayotaka kufanyiwa mkeo ni yapi ? Ivi mbona kila siku mnataka kufanyiwa mazuri nyie tu?
Shangaaa na wewe labda sisi tuna mioyo ya chuma
😂😂😂😂😂
Yaani we acha tuu wameshatuona wanawake hatuhitaji hivyo vitu 😂😂😂
Kabisa😢😂
😂😂😂😂😂😂😂
Ok ok
Amen 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana
Asante sana
Shukran
🙏
Ubarikiwe sana.
Asante
Asante
Nimekuelewa sana