Dr. Chris Mauki: Mbinu 3 za kuongeza mahaba kwenye penzi lénu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Je penzi lenu linaendeleaje? Unalifurahia au linaboa? Unaona mahaba baina yenu yamepanda au yameshuka? Au mmepungukiwa mbinu? Nifuatilie hapa nikupe mbinu 3 za kuyaongeza mahaba kwenye penzi lenu.#DrChrisMauki#Mahaba#Penzi
by summary
1.use your words prpl
2.put open your minds
3.thinking positive talk positive
be positively
Thanks for summary
Asante kwa ushauri Nina mpenzi yeye mkristo na Mie muislam tunapendana Kikwazo kwetu ni utofauti wa dini airuhusiwi muislam kuolewa na mkristo tufanye nini ili tuweze kuoana
Ety tufanye nin ?? Tombaneni th
Em mungu wangu mbn linashangaza huku najua me wanakubali kuoa au kuolewa ila ni maelewano mmoja kubadili din 2u mbn mapya hayo uwii
Waooo umenifundisha Jambo jipya hapo Dct. Nitalifanyia kaz!! Mungu AKUBARIK!!
Asante sana daktari wetu 🙏
Najifunza mengi sana Dr Chris,,Mungu akutunze
Ahsante kwa mafundisho mazuri, Mwenyeezi Mungu akujaalie afya njema na akubariki kadri apendavyo.
Asante kwa kunifunguliya akili ya kudumisha penzi langu .mungu akuzidishiye Mara 💯
Najifunza na najiona kubadilika kuelewa na kufanya ndoa yangu isimame Tena mungu akubarik
Ubarikiwe sana baba nakupenda sana kwa masomo yako
Kwa kweliii upo vizurii mtumish Kuna maswali nilikuwa najiuliza Sana nmepata majibu na Sasa ubarikiwe
Shukrani mzee
Maashaa ALLAAH,nimependa mshauri yako sana.
Najifunza mengi dr ubarikiwe sana
Somo ni zuri. Tafadhali Mtu akiwa na shida ambayo hawezi kueleza hapa nakufikiaje? Tafadhali.
God bless you,mashauri yako bora saidi am glady to find it...yamenisaidia sana...
Asantee sana Dr mauki Kwa mafundisho mazuri
Jaman ubarikiwe Dr mauki
Asantee kaka angu kwa ushaur wako mzur
Mungu akubari Dr somo limenigusa sana tyuuuu.. Natamani KUSUNGUMZA {}
Upo Sahii Doct shukrani Sana
Jinsi ya kuongeza mahaba
1.tumia maneno yako vzr usiwe na ambiguity
2.weka wazi kile unachokipendelea Sema vile unapenda vitu vifanyike naomba hiki na hiki
3.eleza mambo katika hali chanya tumia neno naomba nisikilize
Asante kwa samale
Nime jifunza mengi doct asante
Nakubali kazi ya kk niko Kenya
Asantee tunaendelea kuelimika god bless you
Asant sana mtumish naomb endelea kutufundish
Asante kwa mafundisho yako mwalimu
Asante kwamafundisho yako
Nakupenda w w jmn
Nashukuru Nimejifunza, naomba uendele kutufundisha
Asante
Asante kwa somo lako
Asante kwa mafundisho mazuri
Asanteee sanaaaaa kaka💖💖💖
Ahsante Sana dr
Upo vizur sana
Asante kwa darasa lako nimelipenda xaana, je Kama unachomwambia hakufanyii?
habari kaka
Samaan Dr me nimekukosea mala nyingi mume Wangu tukikosana tuu kidogo nilikuwa nauza vitu vyandani kama vitu vyalaki ti9 ivi adi akaamuwa tuachane akanifukuza kama umbwaa nisaidie tamuingiaje plz
Asante mwalim
Aki Dr uko sawa
Nimeendelea u
Kubadilisha mahusiano yangu
Asante San kwa somo lako Dr🇨🇦
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Jmani kumbe zako nzur np na mchumba wangu hapa anacheka tu
Doctor naomba unisaidie mbona mpenzi wangu huwaga haniamini?
@@ChrisMauki1 Doctor mbona mpenzi wangu huwaga haniamini?
@@ChrisMauki1habari za mchana Dr ndoa yangu imeteteleka sina imani tena na mume wangu
Tnx Dr mauki
Dr uko vizuri sana nafulahia sana vipindi vyako
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Nimeipenda Sn
Asante Dr napenda kipindi chsko
Nashukuru dokta lakini sijaona umeweka kumtanguliza Mungu kwanza
Hapo xawa Dr
Ubalikiwe kwa kwel
Ubarikiwe sana baba
Asante Sana doctor 🙏
Kwann spatia hamu na kwann sptaii rahaa wakti was tendo LA ndoa
Asant kwa ushaul mzur
Sawa kaka
Thx Doctor
Sawa
Asante sana
Kaka Naomba unisaidie mkewangu yupo mbali ila nahisi upende umepungua sn kunawakati nilikuwa namukosea sn kukuwajua nakutokuja
Asantee kwa somo zuriiii sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Mashallah
Mr. Mauk me naomba msaada wako Nina mpenz wangu nampenda San lakin yeye anashida Moja kabla ya kuwa na Mimi alikiwa na mtu mwongine mpka Leo anamkumbuka TU nn nifanye anipende Mimi tu na amsahau yule
Acha kumkalipia usimlaumu laumu kwa kila jambo kuonekana yeye ndio mbaya kwa kila kitu
Dr thanks so much 🙏
👏✍️✍️✍️thx sn
Up saw kak
Hy mm nimugen but nimepend ushauri wak naona utanisaidia nitak kukutafat nitakupat vip
Kweli
Unanifundisha sana ila nataka nifike ulipo utanisaida sana maana humu ayaelezeke
Kwa mfano mnaweza mkawa mko kwenye stege yenyewe unamwambia baby naomba nishike hapa haraf hajar je? Ufanyaje?
❤❤❤
Dalili zip utazitumia kumjua msichana ambae yupo katika mahusiano?
I like it doctor
Dr hayo nimeyaongea kwa mwenza wangu lakini hayajafanya kaz
Mm wangu ni mbinafsi mpka yye akijiskia ndio atanitafuta
Woiiii me naongeaa kwa upolee taratibuu lakin wp kile unachosema hupendi ndo kinafanyika kila skku kile nachokipendaa ndo hakifanywiii kabisaa yn kwa kifup naish km nand nimemzoea tuu
❤❤❤❤❤❤❤🎉
💞
Naomba namba zako
Naomba msaada wako Dr ndoa yangu napitia changamoto
Nina swali moja
Mm ufuraisha Sana Dr natamani kupa nambar zakwako Niko kenye Nairobi plz
Kenya hau kenye?
Dr mpenz wang akiwa n mtu wakunikata nisiek picha yke kwa mitandao km dp kwa FB au Instagram je uyo ana maana gni...
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Mamb
@@ChrisMauki1 docter naomba namba ya cm.maana uko sahihi kabisa mafundisho yako
Mm nimekua mtu wa kusaritiwa hata niongee neno gn ra upendo mume wala aaangalii maneno yk🤔
😍😍😍😍
Mauki nisaidie muda mwingi mpezi wangu una nahasira n'a inapo fikia tarehh za mwisho wamwez ususha chochotte ili tugombane
Nashkuru kwa mafunzo yako
Jambo pasta. Mimi naomba kuzungumuza na wewe.
Shukran KWA mafudishi yako.shukran
Asante
habari kaka
Mr. Mauk me naomba msaada wako Nina mpenz wangu nampenda San lakin yeye anashida Moja kabla ya kuwa na Mimi alikiwa na mtu mwongine mpka Leo anamkumbuka TU nn nifanye anipende Mimi tu na amsahau yule
Pole
Achana nae huyo , anakupotrzea muda 2u