Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • Je kuna nyakati huwa huyaelewielewi mahusiano yako? Je unahisi mpenzi wako ni mtu wa kubadilikabadilika? Unagunduaje kama uko kwenye mahusiano feki? Kumbuka mahusiano feki hayakupeleki sehemu, yanakupotezea muda tu. Ungana nami nikusaidie kufahamu dalili 5 za kukuonyesha kuwa upo kwenye mahusiano feki.
    #DrChrisMauki#Dalili#Mahusiano

ความคิดเห็น • 824

  • @heavenlightfrank6203
    @heavenlightfrank6203 ปีที่แล้ว +62

    Through your channel nimeweza kufanya maamuzi magumu ya kumove on baada ya kupoteza miaka 8 kasoro pasipo ndoa , hii channel imeniwezesha kujitambua na kutambua hali halisi ya mahusiano niliyokuwa nayo, barikiwa sana Dr. Endelea kuwasaidia wengine

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana kaka CRIS kwakweli unatuelimisha saana ,Mungu akubarik naomba taaratibu za kukuona live kiushaur Nasaha.

  • @zaitunisingano8295
    @zaitunisingano8295 ปีที่แล้ว +12

    Daah kwa mara ya kwanza leo nimepata nafasi ya kusikiliza somo lako hakika kuna vitu nimejifunza 🙏🙏 barikiwa sana asilimia 90 ya maneno yako ndio tunayoyaishi kwenye mahusiano lkn wengi tunaishi kwa dhana potofu yakusema #ATABADILIKA pasipo kufaham kipindi unachosubiri mabadiliko yake ndo kipindi ambacho yey anakupotezea muda na njia ya maisha yako.

    • @halifaalliy6332
      @halifaalliy6332 ปีที่แล้ว

      😭😭😭true

    • @mariamponera6386
      @mariamponera6386 ปีที่แล้ว

      Sana kupoteza muda atabadilika wapi mpk unazeeka ndoa unakumbuka kama hiki choo sicho

  • @neemasamwel27
    @neemasamwel27 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana doct chris nimejifunza kitu kupitia mafundisho yako mazuri

  • @metrinembone9861
    @metrinembone9861 2 ปีที่แล้ว +12

    Aki nilkua na stress ya mausiano yangu lkin after kuskiza haya maubili am okay and I know what to do now thank you so much God bless you

  • @ossyhaule5128
    @ossyhaule5128 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Dr. Chriss umeniongezea maarifa...Mungu akubariki sana

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 3 ปีที่แล้ว +9

    Naam Dr nathibitisha sasa kwa somo lako hili kuwa nipo na mtu sahihi kwa ndani ys miaka 37 ya ndoa..shukran saaana Dr

  • @RhodaSilass-wq3xl
    @RhodaSilass-wq3xl 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana ubarikiwe na Mungu mapenzi yametup shida kwa kweli

  • @juliawnjeri5913
    @juliawnjeri5913 3 ปีที่แล้ว +1

    Wow I get dhis link today...thankyou Jesus kwa kupatana na mutumish wako anayefuza watoto wako maneno matamu hivi🙏🙏🙏God bless u mutumishi.....

  • @DBrownstain
    @DBrownstain ปีที่แล้ว +1

    Wow! Wow! Wow! Asante sana Doc,... Hakika Mb zangu hazijaenda Bure.
    Mwenye sikio na asikie.
    God bless you sir.

  • @lindaminja7969
    @lindaminja7969 2 ปีที่แล้ว +5

    Daaaah!!! Shukrani sana kwa somo zuri mno. Nimejifunza mengi na dalili zote zilikuwepo kwenye mahusiano yangu yaliyopita ila ninamshukuru Mungu nimejitoa mapema japo ilikuwa ni ngumu kwangu kijitoa. Barikiwa mno dr.chris🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @lindaminja7969
      @lindaminja7969 2 ปีที่แล้ว

      Ndio, nimeshafanya hivyo ondoa hofu. Nafurahi kwa masomo yako ni imani yangu tukisikiliza na kuzingatia kwa vitendo hakika maisha yatakwenda vizuri kuliko tunavyotarajia. Barikiwa mno kiongozi wetu kwa jamii nzima.

    • @tumainimtingitingi4883
      @tumainimtingitingi4883 2 ปีที่แล้ว

      Kazi kweli

    • @khadijaramadhani3523
      @khadijaramadhani3523 2 ปีที่แล้ว

      Ebu nambiee vip ulifanya

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 ปีที่แล้ว +3

    Ndoa yangu ulikuwa ya kukatisha tamaa nilimpenda Sana mme wangu,niliposikia haha nilichukua hatua! Pole pole,nilimtoa moyoni na kuendelea na Maisha,Asante Sana,

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran Shukran Shukran Shukran sna Allah akulipe kheir

  • @tabumwaipaja5116
    @tabumwaipaja5116 ปีที่แล้ว +2

    It's first time but I understand alot but be blessed man of God

  • @jasonmwamba-mp2ql
    @jasonmwamba-mp2ql ปีที่แล้ว +1

    Shukran Kaka kwa somo lako maan umeniondoa kwenye kiza nilichofichwaa

  • @merryg5520
    @merryg5520 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana Dr nmeelewaa Asante mungu Asante kwa Somo zurii kabisa 🙏🙏🙏 tuokoe vijana

  • @tatukahumbira3317
    @tatukahumbira3317 2 ปีที่แล้ว +9

    I am seeing this after a year but am not regretting at all,be health,stay blessed THANK YOU SO MUCH🤝

    • @peshngina7430
      @peshngina7430 11 หลายเดือนก่อน

      Aki nimepitia kila kitu 😢😢I date for 4yeras na tukawachana

  • @NeemaMacpherson
    @NeemaMacpherson 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Doctor kwakutufumbua masikio ya ndani na yainje naakilizetu pia barikiwa sana , mdau mpya

  • @aberamartine123
    @aberamartine123 3 ปีที่แล้ว +18

    Daah! Doctor Chris kiukweli somo la leo limenigusa Sana dah Kila kitu kipo hivyo barikiwa Sana Kaka angu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      asante sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana

    • @happyalphonce9287
      @happyalphonce9287 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 daaah! Mch kiukweri haya yapo baba nimetendwa Sana mpaka nikakoswa mwelekeo.

    • @witnessobadia3076
      @witnessobadia3076 3 ปีที่แล้ว

      Nikweli vijana tunapaswa tujitambue ili tufikie malengo

    • @eunicemwanjile5202
      @eunicemwanjile5202 ปีที่แล้ว

      Doctor Chris nimependa somo lako ingawa nimechelewa kupata mwanga tokea mwanzo ,,,niko kwenye mahusiano ambayo siyaelewi tuna miaka miwili lkn niko na mwanaume ambae simjui rafiki ake hata mmoja na always he says he misses me lkn am the only one paying him a visit nikimuuliza anasema someday atafanya something big ,,I just don't feel love and trust to him ,when am with him its only a sexual way

  • @oliviasalivatory5934
    @oliviasalivatory5934 3 ปีที่แล้ว +2

    Asantee saana Dr umenifungua kwel mungu akubariki

  • @nufairahalex9010
    @nufairahalex9010 2 ปีที่แล้ว +1

    @Aiseee kumbe nilikua kwenye giza nene sana and sometimes naona dalili zote lkn sikuwahi kujidadavua,nadhani this time ntaweza na kulea watoto wangu,Nimekusikiliza vizuri sana Dr shukrani

  • @wilkisteregesa4845
    @wilkisteregesa4845 3 ปีที่แล้ว +17

    Hapa ni msumari lakini nimepata jibu yaani shindano inadunga kwa mfupa direct ♡

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana

    • @elizabethmwabaya6905
      @elizabethmwabaya6905 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 kaka na utajuaje kama uko mkwenye mhusiano sa hii

    • @NuruChande
      @NuruChande 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@elizabethmwabaya6905vise versa ya hizo dalili fek ndio...dall sahh

  • @angelnjiku1979
    @angelnjiku1979 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana Dr Chris, japo nimechelewa kuliona hili somo ila nimejifunza, nimetoka kuachana na mtu wa hivo yan kilakitu ulichosema alikuwa ivo,

  • @anethmushi5997
    @anethmushi5997 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe kwa somo lako nimejifunza niliko na nitakapoelekea Kama kijana

  • @nasmakarim4591
    @nasmakarim4591 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mutumish kwa neno lako umenisaidia San umenifungua akil yang kwasabab mtu niliy nay nimeshoka na mambo yake tukigombana tu ana niambiy nenda Sina shida na wew ulizani upo wew tu kiukweli ana maneno ya Kashif mba San

    • @MaryamSaid-s3v
      @MaryamSaid-s3v 7 หลายเดือนก่อน

      😭😭😭 upo upo tu ucdhan km ucpokuwepo mambo yng hayataenda. Cna aman hebu tafuta pahala uwende nipumzishe akili yangu ni lashfa juu ya kashfa ndugu tunateseka sana ndugu tunaish na watu ambao hawaon thaman zetu

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dalili za mahusiano feki
    1.don't waist ur time
    2.toxic relationship
    3.mahusiano yoyote yanawagarimu wote wawili
    1)shida kwenye mawasiliano yenu
    2)anaonyesha kukupenda mbele za watu kuliko mkiwa wenyewe
    3)unahisi ubutu wa mahusiano yenu hakuna amazing feeling
    4)mahusiano yako yanakufanya confused and frustrated bora uwe na dilemma kwenye vyote si mahusiano yako
    5.hakuna mazungumzo ya kawaida unaogopa kuongea lolote
    6.ushindani mwingi mnashindana zaidi ya kuendana
    See humans before marriage you want pole approval or ur safety
    5)
    4)

  • @ااا-ظ2ي
    @ااا-ظ2ي 8 หลายเดือนก่อน

    Exactly Dr I feel so tired in my life so longtym,,,,,good point lkn mwisho nilijiondoa kwenye usiano huo Dr it's true be blessed keep it up ur lesson teaching

  • @leahmungure6538
    @leahmungure6538 ปีที่แล้ว +3

    True that man of God you have helped me a lot, am leaning more 🙏🙌

  • @MegaNasri-bv7tc
    @MegaNasri-bv7tc 4 หลายเดือนก่อน

    Sir thank you so much, nimetoka kilia dk chache nyuma baada ya apo nikaingia apa.
    Kwakweli nimepata jibu I need to move on, may God continue to bless you sir. 🙏

  • @felixchristian7912
    @felixchristian7912 ปีที่แล้ว +2

    You have touched my heart Dr i feel so pain in my life🙏

  • @marymwanga7542
    @marymwanga7542 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen ubarikiwe Sana brother hakika nimejifunza kitu kwenye somo lako🙌🙏🙏

  • @upendosollomon8998
    @upendosollomon8998 3 ปีที่แล้ว +3

    That's why you talk true dr.balikiwa kwa ushauli wako mzuli🙏🙏🙏

  • @hellennekesawanjala1860
    @hellennekesawanjala1860 2 ปีที่แล้ว +7

    Amen, amen and amen.
    You opened my eyes.
    This is my message Man of God.
    May God bless you

  • @leahmgunda5055
    @leahmgunda5055 3 ปีที่แล้ว +20

    Makanisa yanajitahidi sana kulea watu wake Mungu azidi kuwapa mafunuo.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @angelherman6690
      @angelherman6690 13 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@ChrisMauki1Dr mimi mahusiano yangu yana miezi 2 lkn uyu mwenzang ni mzito sana kweny mawasiliano saw kwa siku anaweza akanipigia au mesg asubuh lkn hata haniuliz ulizi pia hanihudumii , yani kweny kuwqsilian mpk umwambie mi napendq unifanyie iv , uniulize nimekul nn, unambie umefika salama yani yupo serious sana asa penz halielewek ni jipy au laa

  • @sirjude208
    @sirjude208 8 หลายเดือนก่อน +1

    I don't know what I was exactly looking for when this was recommended to me, but I'm sincerely grateful that I am helped, very insightful and educative. There's a very difficult decision I'm about to make😢😮

  • @Maria-fy6sj
    @Maria-fy6sj ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa kunifungua akili yangu...... ubarikiwe sanaaaaaaa....

  • @bettykusa8883
    @bettykusa8883 2 ปีที่แล้ว +2

    Asanty sana kwa haya mafunzo,,,nimejifunza mengi sana haya matano yote yako kwenye mahusiano yangu,,,nashindwa chakunya,,lakini kupitia haya mafunzo itabidi nijitoe mapema kuliko ningoje when it's too late...be blessed...

    • @zaitunidadi4805
      @zaitunidadi4805 2 ปีที่แล้ว

      Nimejifuza kitu na kuazia leo mausiano hayo ninayo ila inabidi niachanenayo

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 ปีที่แล้ว +3

    Uishi miaka mingi ukomboe nafs za watu #Smart mind✍️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @faithmsungu3272
    @faithmsungu3272 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Dr ...somo zuri sana,Nazidi kujifunza,Ubarikiwe sana.

  • @FasdaJamali
    @FasdaJamali ปีที่แล้ว

    Allahamdulilah na kushukuru sana MUNGU akuzidishie🤲🤲🤲🤲

  • @KiliyaniMahanganile-xv5mi
    @KiliyaniMahanganile-xv5mi 11 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi kila atua unayo pig unaenda kujenga mwenyez mungu akubalik

  • @magretmdachi3550
    @magretmdachi3550 3 ปีที่แล้ว +9

    duuuuh dalili zote zipo kwenye mahusiano yangu. duuuuuuh mungu asante kwa kunionyesha mapem

  • @noelathomas5770
    @noelathomas5770 ปีที่แล้ว +1

    Nakusikilizaga mara nyingi nakuelewa sana ila Huwa sicomment , but for today let me say Thanks for the lesson unaongea fact

  • @sacg9783
    @sacg9783 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,tunajengeka kiroho na kimwili🙏🙏🙏🙏🙏😍

  • @saifsaif8162
    @saifsaif8162 3 ปีที่แล้ว

    Ubarkiwe sana krish mwenyezi Mungu akuzidishie zaid na zaid katika mafundisho Amina

  • @vickngowi2779
    @vickngowi2779 3 ปีที่แล้ว +8

    Kwa Sasa nipo kwenye mahusiano sahiuo😍 thank God .naomba Mungu isibadilike

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @paulmwenisongole354
      @paulmwenisongole354 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 mtumishi umenikosha mno na kunifumbua macho

  • @mdmansoor9920
    @mdmansoor9920 3 ปีที่แล้ว +2

    Nmependa somo lako pastor barikiwa xana

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard189 3 ปีที่แล้ว +4

    Mimi huwa naanza mahusiano, lakn nikiumizwa au kukumbushwa aisee huwa piga chini, lakni kwa hii somo I have to change na sasa namwomba Mungu anijalie wa ubavu wangu.

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 3 ปีที่แล้ว +4

    Huo ni ukweli kabisa kakaangu ubarikiwe sana

  • @belitangove704
    @belitangove704 ปีที่แล้ว +2

    Thank you for this lesson aky 😢😢😢 kutoka leo nimeacha mtoto wa wenyewe .11/2 yrs cjapelekwa introduction have turn 31 yrs.tukimet hakuna kitu huwa nambiiwa about marriage has not put things in order ni complain za doh kila saa no kasonge kasonge God bless me with another man plz 🙏

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 7 หลายเดือนก่อน +1

    Very true Dr .chris God bless you

  • @maggieabel1671
    @maggieabel1671 3 ปีที่แล้ว +3

    Woow thank you Dr. Nmejifunza mnoo,,action zifate sasa

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana sana. Pls usisahau kusubscribe

  • @neemajumbe5802
    @neemajumbe5802 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana nimejifunza ya hayo ndo maisha yangu niyoishi jaman

  • @جانيتالعبيدي
    @جانيتالعبيدي ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri Dr Chris God bless you ❤so much

  • @waridiirongo2061
    @waridiirongo2061 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda bur Baba nipo kwenye mausiano bora💕💕💕💕💕

  • @mercyaa1863
    @mercyaa1863 ปีที่แล้ว

    Ni kama umenigusa,sana umenifundisha jambo nzuri sana ,for thanks for good advice

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Sana kwa hii elimu ya mahusiano 👏👏🙏

  • @saranzunda158
    @saranzunda158 4 หลายเดือนก่อน

    Daaa sijachelewa sana kujifunza SoMo hili. Barikiwa kaka

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 ปีที่แล้ว +2

    Duh! Kwa dalili mbili nimegundua niliwah ishi kwenye mahusiano miaka 10 lkn namshukuru Mungu hatupo pamoja tena

    • @dayana5513story
      @dayana5513story ปีที่แล้ว

      Before anything ask God he will bring right person to you

  • @lilianlubanga4010
    @lilianlubanga4010 3 ปีที่แล้ว +1

    Wow Ni Mara ya kwanza kuskiza clip zako Na nimefundishika sana sana

  • @lucksonrupa3618
    @lucksonrupa3618 ปีที่แล้ว

    Duuuu aiseee Mungu akubaliki sana sana somo nzuri

  • @dianamasao1210
    @dianamasao1210 ปีที่แล้ว +9

    DO NOT IGNORE RED FLAGS.
    This is so true ni vile huwa tunakaza ubongo

  • @thomasthobias3369
    @thomasthobias3369 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupata vyema mtumishi, Barikiwa.

  • @jessiepaulthebeautifulange1749
    @jessiepaulthebeautifulange1749 2 ปีที่แล้ว +5

    My first time to watch ,Thankyou Dr .Chris ,am more educated than before🇰🇪🇰🇪🔥🔥🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @aminamohamedi5186
    @aminamohamedi5186 3 ปีที่แล้ว +5

    Imenigusa sana somo zuri muno kwakwel ubarikiwe mutumishi

  • @StanleyKatana
    @StanleyKatana 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana umenijenga Mungu akubariki mm nlikuwa vitim wa love fake sasa nimefunguka macho...

  • @imaculatemhagama3277
    @imaculatemhagama3277 ปีที่แล้ว

    Sijui nisemeje Ila umenisaidia Sana Mungu akubariki

  • @jacintakhaombi3474
    @jacintakhaombi3474 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa zaidi tena Sana mtumshi wa MUNGU,am blessed n nimejifunza mengi mno,🙏🙏🙏

  • @froliankakwezi9513
    @froliankakwezi9513 3 ปีที่แล้ว +4

    Asante Dr umenifungua

  • @floranceh5333
    @floranceh5333 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kw mafunzo mazuri

  • @aminatambi9831
    @aminatambi9831 ปีที่แล้ว

    Dr.You make me happy.Do you?Keep it up.Am not belonging to your church.

  • @MwaminiBoniphace
    @MwaminiBoniphace ปีที่แล้ว

    Asante sana pastor MUNGU akubaliki

  • @estherezzy136
    @estherezzy136 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Doctor kwasomo zuri sasa nimeelewa nilipo naona mwenza wangu anqkatabia alikokazoe san et tukigombana kidogo tu anqniblock kisha atani unblock badaye siku kadhaa saiii hatuongei alinblock sasa achaakirudi nimpeedawa hii juumipia nimechoka it's better to be alone

  • @annajaydenjayden3517
    @annajaydenjayden3517 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa kufumbua ufahaham Wang kwa SoMo zuri...ningependa kupata no yako

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana Dr. Hakika umesema ukweli mtupu . Nadhani ndo mahusiano ndo nipo . Maana hata nikisema kitu anaona ni mkosa. Mungu wangu nisaidie

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @jellynesssemu9406
      @jellynesssemu9406 2 ปีที่แล้ว

      Tayari Nimeisha fanya hivyo

  • @floridanyabikwi9304
    @floridanyabikwi9304 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi nimeelewa niko upande upi leo

  • @winventoti3710
    @winventoti3710 ปีที่แล้ว

    Woow hayo mafundisho ni matamu sana, I love it

  • @vascoyohana5811
    @vascoyohana5811 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ushaur mzur nime upenda

  • @salmaomar5782
    @salmaomar5782 ปีที่แล้ว

    Father mimi ni muislamu lakini nimeona video zako 3 umeongea exactly kile nime pitia na ninacho pitia saa hii.kweli ni mwana sykologia asante

  • @loicewanjira7750
    @loicewanjira7750 ปีที่แล้ว +1

    Watching from Kenya 🇰🇪keep it up good work👌

  • @vailethjames1934
    @vailethjames1934 3 ปีที่แล้ว

    Ahsant mungu kwajili ya uponyaji wa mindset umenitowa kwenye shimo ni heri kuzimia kuliko kufa

  • @NeemaNjile9
    @NeemaNjile9 6 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mno mtumishi wa mungu

  • @vitaliceludovick
    @vitaliceludovick ปีที่แล้ว

    Duh! Big up paster ukwel umezungmza kimetukaa ila umetufunza

  • @faith7040
    @faith7040 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru sana dr Chris

  • @tausimickidad6733
    @tausimickidad6733 3 ปีที่แล้ว +3

    Amiiiin dr. Umetufungua wengi

  • @scholazakayo3593
    @scholazakayo3593 3 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa san dr unanitia moyo na kujifunza mengi kupitiaa wewe

  • @preciousnyange7151
    @preciousnyange7151 3 ปีที่แล้ว +7

    Mafundisho yako mazuri nilikua najua mwanaume wangu sio MTU sahihi kumbe nilikua tofauti umenisaidia sana anasifa zote japo ana hasira sana ilanimwepesi sana kuomba msamaha hata kama kosa nilangu anapenda sana suluhu

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 ปีที่แล้ว +1

    Dr Chris thank you for your knowledge 🙏
    I wish if we can talk

  • @ElinkailaKiula
    @ElinkailaKiula 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @josephmathias159
    @josephmathias159 ปีที่แล้ว

    Nakukubali Dr Chris ni kweli kabisa

  • @leahmungure6538
    @leahmungure6538 ปีที่แล้ว

    May Almighty God continue to keep you strong and healthy in Jesus name amen.

    • @annajohn8803
      @annajohn8803 ปีที่แล้ว

      Nimejifunza vitu vingi sana

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii nzuri sana kwa vijana, big up Dr

  • @cylviankwera9192
    @cylviankwera9192 ปีที่แล้ว

    Barikiwa, umenifrahisha kwenye mfano, wa sungura,.. watu wanakua serious jmn khaa

  • @vitaliceludovick
    @vitaliceludovick ปีที่แล้ว

    1 up to 5 says abaut my relation ship so am very educated on now i wll make sure dhat i choosing agood relation .paster good bless u

  • @husnaramadhani5068
    @husnaramadhani5068 2 ปีที่แล้ว

    Asante dokta mauki huyu ni mm maana niko kwenye mahusiano ambayo sijui yanahusiana na nn kiukwel

  • @FaresterGaspary
    @FaresterGaspary 5 หลายเดือนก่อน

    😢 ubarikiwe Dr chris ❤🎉

  • @teddyhenry3245
    @teddyhenry3245 3 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda bure Mungu akubaliki uendelee kutuelimisha

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @gidionmheni3165
    @gidionmheni3165 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mara ya kwanza kutembelea channel yako but nilichokipata , Mungu akubariki sana Doctor 🙏🙏

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 ปีที่แล้ว

    Ahsanteh Sana Engineer mauki

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 ปีที่แล้ว

    Na mara nyingi wadada smart, warembo wenye kumjua Mungu ndio wanaangukiaga wabaya aise. Nshaona zaidi ya mahusiano lukuki