Mke wangu mm akiniagiza kitu hata kama hujampa hakasiriki anajibu inshallah rabi atatupa😂ila ikipigwa simu nikipokea akisikia sauty ya kike ugomvi unaanza 😂kumbe mara nyengine ni bimaza wangu ndio naongea nae humpa simu hio akiishika kumbe ni bimaza wangu😂
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri, madam mola akupe elimu nyingi Zaid, na Afya na umri wenyemanufaa Ili tuendelee kunufaika inshaallah
Kwa hali tuliyonayo sasa hivi kuna haja masomo kama haya kusomeshwa vijana wetu kama elimu ya lazima ili kuokoa ndoa zoa wakati watakapoingia kwenye ndoa.
MashaAllah baraka wah alakulipe jitihada yako katika kufikisha elimu kwa umma.na akuzidishiye elimu nyingi zaidi na busara na au hekiman na ukupenuru zaidi shangazi yangu.
Malezi na tabia, umechagua kozi nzuri na yenye kuleta maana. Asante kwa kushea. Mahusiano mengi ya Watanzania yapo kimazoea na wapendanao wengi hawakupata elimu ya kiroho, kimwili na mazingira. Ukosefu huo ndio huleta mizozo na isipopatanishwa na kusuluhishwa, basi mahusiano hufa.
Maadam Leyla kwanza napenda vile tu unaongea kwa upole na utaratibu ukichanganya na kiswahili chako kizuri,hongera sana.Mm nimekuwa nikikufuatilia sana mafundisho /ushauri wako mzr na nimejaribu uufanyia kz na kupata matokeo,MUNGU akubariki sana kwani kila nikikusikiliza napata faida na nimekuwa wa kujirekebisha kwa kupitia mafundisho yako,Ahsante nakushukuru.Naomba no.yako
Dada ndoa ngumu Kawaida mwenye ndoa ni mume.Mke mtunza ndoa. Wengi tunaoa,Mnaolewa hamjui maana ya ndoa. Kumbu kwenye ndoa mmekutana watoto wawili.Kila mtu anahitaji kubembelezwa kwa wakati wake. Wengi wazee na viongozi wa dini kufungisha tu ndoa,Lakini wanasahau kuwaweka pamoja na kuwaeleza nini maana ya ndoa kwa mapana na marefu.Wanachokumbuka akamvumilie mume kwa shida na raha.Kumbukeni shida zipo.Raha zipo hata kwenu iwe mume au mke.Jee ziada ya hayo huwaambia wanandoa?Wanandoa wengi hawaijui ndoa.Jee! Msipowaelekeza hawatoijua ndoa inataka nini kutoka kwao.Na wao wanataka nini kutoka kwenye ndoa. NDOA NGUMU JIHESHIMU MKE JIHESHIMU MUME HESHIMU MAJUKUMU YAKO HESHIMU MIPAKA YAKO. RIDHIKA NA FUNGU LAKO MTAMBUE MUMEO NA MUME MTAMBUE MKEO MTAISHI MPAKA MTACHOKANA MIILI KWA KUZEHEKA PAMOJA. فلندعو الله كثيرًا لأن عالم اليوم مليء بالامتحانات.
Maashallah Baarakallahu fiik Jazaakllahu khaira Katk darasa la leo Kitu kimoja umekisahau darsa hii ingetimia Wanaume tunatamani na sisi kuombwa kitandani Mara nyingi tunaomba sisi au mpaka tulazimishe kama kuku vile wanavofukuzana.
Mim nahukuru nipo kwa bahari naogerea mpaka nakalibia kuzama na utam alhamdullilah ila mie tu ndio bado nqzingua allah aniongoze niwe mume bora zaidi inshallah
Dr Leila Aboubakary, Mwenyezi Mungu akuondolee mabalaa.Akujaalie MWISHO mwema.Utafiti Wangu si rasmi,ila zipo ndoa NYINGI Wanaume angalau wanasali sala tano ila WANAWAKE Wallah WANAWAKE sala hawataki kuisikia.Mada kuu Utii kwa MUME nimekusoma sasa hili limekaaje lo saikilojia
Nikiridhia anachojali mkewe wangu(yeye Ni darasa kwangu zaidi ya mwalimu),namjali kwa kujifunza kwa uchanya/uhasi-simu ikiita siulizi kwa zuri ama baya Lina makusudi(nafsini mwake)mie Ninaangalia usalama zaidi ya maono ya amani yake kuliko( yetu)
Umeongea ukweli Ukhty, Lakni Sizani Kama Wake zetu wanayajua haya. Alla awaongoze Wake zetu wawe wenye kuyaelewa Haya. Na sisi wanaume Tujitahid kutambua majukumu yetu
Sawa, kutoa ushauri unaolenga kujenga mahusiano baina ya wanandoa sio jambo baya kama itachungwa misingi ya kisheria kwa kuzingatia MZUNGUMZAJI, PAHALA ANAPO ZUNGUMZIA, WALE ANAO ZUNGUMZA NAO na WAKATI ANAO ZUNGUMZA. Lakini pamoja na hivyo, 'SASA MAPICHA YANINI????!! MCHENI ALLAAH.
Nimefuatilia saanaa mada zako hakika wewe mwenyezimungu akulipe pepo kwani unaongea ukweli na uhalisia WA maisha ya wanandoa Kwa mujibu wa misingi ya dini.
Tunakuwa tamaa kwa chakula cha nje kutokana na mapishi ufundi na mikao tafauti kitandani usafi na umbo limejaa.sio mlalo mmoja Tu ukiambiwa ubadilishe hamuwezi ukiweza hayo mume haendi kula nje
Mm nimeowa lkn kiukweli mm huwa sipende kelele kabisa, yani nikitoka kazini natamani akili yangu ipoe, lkn mmh utulivu haupo, bora nirudi jioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooni
Mimi nimepata mke ananidharau kweli kweli,hataki kuswali,hasikii,anaondoka bila ruksa,anajifanyia anachotaka biashara,anaongea na mimi kama mtoto wake,hana adabu hata kidogo,mshirikina kweli,mikopo kila kona wallah,kauza kila kitu nyumbani sababu ya vikoba, kweli,NIMEMWAMBIA SIKO RADHI NAE DUNIANI MPAKA AKHERA
Dada kweli kabisa Maneno yakoo, unajuwa, Mungu akuongozee vema katika maisha yako yote
Mke wangu mm akiniagiza kitu hata kama hujampa hakasiriki anajibu inshallah rabi atatupa😂ila ikipigwa simu nikipokea akisikia sauty ya kike ugomvi unaanza 😂kumbe mara nyengine ni bimaza wangu ndio naongea nae humpa simu hio akiishika kumbe ni bimaza wangu😂
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri, madam mola akupe elimu nyingi Zaid, na Afya na umri wenyemanufaa Ili tuendelee kunufaika inshaallah
Shukrani dada❤❤❤ nimepata SoMo nakaribia kuongea kwenye doa🎉🎉
Mashallah nimepata mume Asante mungu Kwa hii zawadi
Kwa hali tuliyonayo sasa hivi kuna haja masomo kama haya kusomeshwa vijana wetu kama elimu ya lazima ili kuokoa ndoa zoa wakati watakapoingia kwenye ndoa.
Ahsante mama siye wazee tumeyashuhudia hayo. Mungu akuzidishie kwa darsa hizi.
MashaAllah baraka wah alakulipe jitihada yako katika kufikisha elimu kwa umma.na akuzidishiye elimu nyingi zaidi na busara na au hekiman na ukupenuru zaidi shangazi yangu.
Masha'allah nimepata lafudhi. Yake kama MTANGA ivi.. ahsante kwa darsa.mungu akulipe kheri ❤
Asante sana madam leila
maahaallah .maudhui straight to the points.allah akubariki
Jazakillahu Khaira Ya Ukhti Kwa Kutupa Elimu Mubasharatan Allah Barik
Jazakallah khayran
Malezi na tabia, umechagua kozi nzuri na yenye kuleta maana. Asante kwa kushea. Mahusiano mengi ya Watanzania yapo kimazoea na wapendanao wengi hawakupata elimu ya kiroho, kimwili na mazingira. Ukosefu huo ndio huleta mizozo na isipopatanishwa na kusuluhishwa, basi mahusiano hufa.
Maadam Leyla kwanza napenda vile tu unaongea kwa upole na utaratibu ukichanganya na kiswahili chako kizuri,hongera sana.Mm nimekuwa nikikufuatilia sana mafundisho /ushauri wako mzr na nimejaribu uufanyia kz na kupata matokeo,MUNGU akubariki sana kwani kila nikikusikiliza napata faida na nimekuwa wa kujirekebisha kwa kupitia mafundisho yako,Ahsante nakushukuru.Naomba no.yako
❤❤❤
Mashallah, hongera sana
Ma Shaa Allah
Ata ukipiga kwa madam lela kutaka ushauri ashakupigia kukufokea 😂😂😂
Mashaallah ❤
Mashallah mashallah akhsante sn nimepata SoMo alhamdullialh
Mashallah sister it's good advice
Mashaallah Allah akupe umr mrefu dada
Masha Allah
mashallah dada
💞💞💞 allah akulipe kheri yaan masha allah
Dada ndoa ngumu
Kawaida mwenye ndoa ni mume.Mke mtunza ndoa.
Wengi tunaoa,Mnaolewa hamjui maana ya ndoa.
Kumbu kwenye ndoa mmekutana watoto wawili.Kila mtu anahitaji kubembelezwa kwa wakati wake. Wengi wazee na viongozi wa dini kufungisha tu ndoa,Lakini wanasahau kuwaweka pamoja na kuwaeleza nini maana ya ndoa kwa mapana na marefu.Wanachokumbuka akamvumilie mume kwa shida na raha.Kumbukeni shida zipo.Raha zipo hata kwenu iwe mume au mke.Jee ziada ya hayo huwaambia wanandoa?Wanandoa wengi hawaijui ndoa.Jee! Msipowaelekeza hawatoijua ndoa inataka nini kutoka kwao.Na wao wanataka nini kutoka kwenye ndoa.
NDOA NGUMU
JIHESHIMU MKE
JIHESHIMU MUME
HESHIMU MAJUKUMU YAKO
HESHIMU MIPAKA YAKO.
RIDHIKA NA FUNGU LAKO
MTAMBUE MUMEO
NA MUME MTAMBUE MKEO
MTAISHI MPAKA MTACHOKANA MIILI KWA
KUZEHEKA PAMOJA.
فلندعو الله كثيرًا لأن عالم اليوم مليء بالامتحانات.
Dr mungu akujalie nimepata daraza nzr sana
Dr uko vzr, nimekusoma sana tena umenifanya nijue namna kuka na mke wangu
Mashaallah
Really tunapenda kweli kuwapelekesha mkitufuatilia
Mashallah ❤
Mashallah namkubali sanaaaa huyu ❤❤❤❤
Hongera sana dada
Maashallah Baarakallahu fiik
Jazaakllahu khaira
Katk darasa la leo
Kitu kimoja umekisahau darsa hii ingetimia
Wanaume tunatamani na sisi kuombwa kitandani
Mara nyingi tunaomba sisi au mpaka tulazimishe kama kuku vile wanavofukuzana.
Hahahahaha nimecheka sana Allah awapatie maelewano naomba muongee na mkeo atajirekebisha
Jazaqallahu kher
MashaAllah uko na mawaidha mazuri
Umebarikiwa sana mashaalaah
Mashaallah mawaidha mazuri sana
Asaante madam wangu Leyla nakupenda Sana.
Masha Allah mafundisho mazuri
Ubarikiwe
Mim nahukuru nipo kwa bahari naogerea mpaka nakalibia kuzama na utam alhamdullilah ila mie tu ndio bado nqzingua allah aniongoze niwe mume bora zaidi inshallah
Mashaallah dada ipo haja hata walimu wetu wa dini wafundishe sana mambo hayo maana hali ilivyo kwa Sasa kila mmoja ywajua hakuna kuambiana😂
Somo zuri dada mashallah ila wanaume wanachipuka sn ndio tukaangalia cm zao
Upo sawa
Fact ❤
Nkweli dadaa ubarikiwe sana kwasomo
❤
Jambo tuko pamoja Mimi Michael kutoka America Arizona
Maashanlla dada hongere sana
Dr Leila Aboubakary, Mwenyezi Mungu akuondolee mabalaa.Akujaalie MWISHO mwema.Utafiti Wangu si rasmi,ila zipo ndoa NYINGI Wanaume angalau wanasali sala tano ila WANAWAKE Wallah WANAWAKE sala hawataki kuisikia.Mada kuu Utii kwa MUME nimekusoma sasa hili limekaaje lo saikilojia
Wanaume wako pia wabishi wa swala...Allah Atuongoze Yarrab
Nikiridhia anachojali mkewe wangu(yeye Ni darasa kwangu zaidi ya mwalimu),namjali kwa kujifunza kwa uchanya/uhasi-simu ikiita siulizi kwa zuri ama baya Lina makusudi(nafsini mwake)mie Ninaangalia usalama zaidi ya maono ya amani yake kuliko( yetu)
Nimejifunza Allah akulipe
😂😂😂😂 ashaowa😂😂 kazi kwel
Madam umenishushia gunia la misumari kichwani apa kwenye kupekua simu hatari asante madam
😂😂😂gunia la misumari
Hahaha
Madam leilah changa moto katika ndoaa nikawaida lkn tunapitia mitihani sana
Mamboooooooo7 Ni mengiiii punguzaa iwe 3 hayooo Ni mengi😢
Umeongea ukweli Ukhty, Lakni Sizani Kama Wake zetu wanayajua haya. Alla awaongoze Wake zetu wawe wenye kuyaelewa Haya. Na sisi wanaume Tujitahid kutambua majukumu yetu
Amiyn yaa Rabby
Wanaume wanapenda kufanyiwa vizur lkn wao kuwajali wake zao ni moja kwa kumi, mwanamke akiwa na kipato mwanaume hajikusi kumpa mke mahitaji
Mm ndio niko kwenye shimo lamoto lenyewe maana hasikizi hizi mada kabisa 😢
usiache muombea Dua
Sio fungu lako hilo ila unajipa moyo kuamini kuwa ata badilika. Kumbuka ngozi ya futi kujikunja ni maumbile yake
😂😂😂
unapigwa kaka
Maa Shaa Allah. Allah akubarik. Namba yako please
Hakika ukhti leilah.maneno yako kuntu..ila mwanamke au mwaume.akiwa nakushuku shuku sana.basi ujue nisaliti.no.1.huo ndio ukweli
🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤
Madam Leyla. Leo ndoo awali,kukuskiza,umenigusa n ningependa nipate contacts zako kwa msaada w kibinafsi.nitashuru
❤❤nikikaribia kuolewa nitakuita unipe somo kwaza
Ebu tuoane sasa
@@mundhirustvonline2511 haya njoo hahahahaha
Sawa, kutoa ushauri unaolenga kujenga mahusiano baina ya wanandoa sio jambo baya kama itachungwa misingi ya kisheria kwa kuzingatia MZUNGUMZAJI, PAHALA ANAPO ZUNGUMZIA, WALE ANAO ZUNGUMZA NAO na WAKATI ANAO ZUNGUMZA.
Lakini pamoja na hivyo, 'SASA MAPICHA YANINI????!!
MCHENI ALLAAH.
Mash Allah Dada Leila unajua
Wajifia😂😂
Tatizo Nyinyi wanawake mnataka mufanyiwe kila ki2 kuliko Nyinyi amuwafanyii wanaume
mi napenda sana ulivyo mstafi una stara na staha
Dada angu nisaidie mimi nahitaji mke mwema mwenye tabia nzuri na dini
Madam Leilya naomba namba yako ya simu tafadhali
Hamna lolote bin Adam hata umfanyie nini hashukuru
Hupo vizuli kwa kutoa elim
Eee ni ukweli madam leila tuko na tamaa sana na iyo ni mbaya sana tamaa ya fisi ata mimi huwa na iyo ugonjwa ya tamaa
Nikweli dada mambo yote nikweli
Mzee baba kwenye Heshima,+cm ,ndoo balaaa,babaangu,,ucpime balaalake,
Ni mm mwanakombo kalefu
Nimefuatilia saanaa mada zako hakika wewe mwenyezimungu akulipe pepo kwani unaongea ukweli na uhalisia WA maisha ya wanandoa Kwa mujibu wa misingi ya dini.
Hawa wajuwaji ndo wanatesa sana wanaume
Assalamu alaykum naomba namba za madam leyla nnahitaji kujifunza zaid masomo yake insha allah
+255 757 643 746
Nmip
Nakama hakushukulikii jamani utafanya aje
Mafundisho mazuri
Kwani we Bi Layla umeolewa.? 🙈
Naomba namba yako madam leilla
+255 757 643 746
Natamani sana nipate mawasiliano yako tuongee unisaidie
Dada zuri kweli hili sijui kaoelewa ama?
Tunakuwa tamaa kwa chakula cha nje kutokana na mapishi ufundi na mikao tafauti kitandani usafi na umbo limejaa.sio mlalo mmoja Tu ukiambiwa ubadilishe hamuwezi ukiweza hayo mume haendi kula nje
Utamaliza dunia nzima kwa hilo ndugu yangu bado wanazaliwa na wanaendelea kuzaliwa. Ningekushauri bora hata usiowe.
Amani iwe nawe bi leilah
Kuna watu wana bahati kupata wakwe kama wewe, how i wish.
Well,naweza pataje namba za dada etu mtoa mada?
+255 757 643 746
Dada nikweli hapo wanaume hawapendi hiyo hali
Kwe uhuht
Hakuna mambo ya kufanya mkadumu daima hapo utatudanganya tu,ndoa inadumu kwa kuvumiliana tu mengine blah blah blah tu.
Si kweli hizo ni fikra zako finyu na bado hujaijua maana ya kuvumiliana.
@@jumaseifjuma4185 matusi hayatakusaidia kitu jibu hoja mm sijatusi
Mm nimeowa lkn kiukweli mm huwa sipende kelele kabisa, yani nikitoka kazini natamani akili yangu ipoe, lkn mmh utulivu haupo, bora nirudi jioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooni
😂😂😂😂😂😂😂😂 kwamba jioooooooooni
Dada layla katika picha zako ulizotuwekea ni watu weupe tu za mahaba. Lakin watu wesi hatupo au hatuna mahaba kazi yetu ni mapigo tu hahaha
Kabisa , mahaba Kwa sisi weusi mtihani, yaani maji KUPWA maji KUJAA...!
😂😂
Hahahaha 😂😂😂😂
Hii ni Hatariiiiiiiiiii sana
😂😂😂😂
Nkweliii madam mungu akihfdh
Mtu una wake wanne utaweza wapi kufanya hayo,labda usiwe shughuli nyingine Zaidi ya hayo mnayoita mapenzi
Unakituchako mbinguni
BINGUNI TENA KITI GANI ICHO?
Mimi nimepata mke ananidharau kweli kweli,hataki kuswali,hasikii,anaondoka bila ruksa,anajifanyia anachotaka biashara,anaongea na mimi kama mtoto wake,hana adabu hata kidogo,mshirikina kweli,mikopo kila kona wallah,kauza kila kitu nyumbani sababu ya vikoba, kweli,NIMEMWAMBIA SIKO RADHI NAE DUNIANI MPAKA AKHERA
Pole sana