Mambo 7 ukimfanyia Mkeo atakuwaza muda wote - Madam Leilah Aboubakar

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 128

  • @abdallahlugongo4738
    @abdallahlugongo4738 6 หลายเดือนก่อน +8

    Dada kweli kabisa Maneno yakoo, unajuwa, Mungu akuongozee vema katika maisha yako yote

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 6 หลายเดือนก่อน +24

    Mke wangu mm akiniagiza kitu hata kama hujampa hakasiriki anajibu inshallah rabi atatupa😂ila ikipigwa simu nikipokea akisikia sauty ya kike ugomvi unaanza 😂kumbe mara nyengine ni bimaza wangu ndio naongea nae humpa simu hio akiishika kumbe ni bimaza wangu😂

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri, madam mola akupe elimu nyingi Zaid, na Afya na umri wenyemanufaa Ili tuendelee kunufaika inshaallah

  • @user-lz3vk5yb4d
    @user-lz3vk5yb4d 3 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani dada❤❤❤ nimepata SoMo nakaribia kuongea kwenye doa🎉🎉

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx 6 หลายเดือนก่อน +7

    Mashallah nimepata mume Asante mungu Kwa hii zawadi

  • @MuhamdJuma-ix3uu
    @MuhamdJuma-ix3uu 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa hali tuliyonayo sasa hivi kuna haja masomo kama haya kusomeshwa vijana wetu kama elimu ya lazima ili kuokoa ndoa zoa wakati watakapoingia kwenye ndoa.

  • @jumaseifjuma4185
    @jumaseifjuma4185 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante mama siye wazee tumeyashuhudia hayo. Mungu akuzidishie kwa darsa hizi.

  • @user-lp2hg4qm5s
    @user-lp2hg4qm5s 4 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah baraka wah alakulipe jitihada yako katika kufikisha elimu kwa umma.na akuzidishiye elimu nyingi zaidi na busara na au hekiman na ukupenuru zaidi shangazi yangu.

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 6 หลายเดือนก่อน +2

    Masha'allah nimepata lafudhi. Yake kama MTANGA ivi.. ahsante kwa darsa.mungu akulipe kheri ❤

  • @user-rt5yn9qq3i
    @user-rt5yn9qq3i 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana madam leila

  • @user-xd9fl6hr2k
    @user-xd9fl6hr2k 6 หลายเดือนก่อน +1

    maahaallah .maudhui straight to the points.allah akubariki

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jazakillahu Khaira Ya Ukhti Kwa Kutupa Elimu Mubasharatan Allah Barik

  • @a.856
    @a.856 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jazakallah khayran

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 6 หลายเดือนก่อน +4

    Malezi na tabia, umechagua kozi nzuri na yenye kuleta maana. Asante kwa kushea. Mahusiano mengi ya Watanzania yapo kimazoea na wapendanao wengi hawakupata elimu ya kiroho, kimwili na mazingira. Ukosefu huo ndio huleta mizozo na isipopatanishwa na kusuluhishwa, basi mahusiano hufa.

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 6 หลายเดือนก่อน +5

    Maadam Leyla kwanza napenda vile tu unaongea kwa upole na utaratibu ukichanganya na kiswahili chako kizuri,hongera sana.Mm nimekuwa nikikufuatilia sana mafundisho /ushauri wako mzr na nimejaribu uufanyia kz na kupata matokeo,MUNGU akubariki sana kwani kila nikikusikiliza napata faida na nimekuwa wa kujirekebisha kwa kupitia mafundisho yako,Ahsante nakushukuru.Naomba no.yako

  • @ayubujuma8346
    @ayubujuma8346 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah, hongera sana

  • @amanitoza
    @amanitoza 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ma Shaa Allah

  • @alifaki5043
    @alifaki5043 6 หลายเดือนก่อน +3

    Ata ukipiga kwa madam lela kutaka ushauri ashakupigia kukufokea 😂😂😂

  • @user-th8tz9xv3z
    @user-th8tz9xv3z 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ❤

  • @rajabupetekwa5210
    @rajabupetekwa5210 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah mashallah akhsante sn nimepata SoMo alhamdullialh

  • @highhigh7476
    @highhigh7476 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sister it's good advice

  • @jumajuma8263
    @jumajuma8263 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Allah akupe umr mrefu dada

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 6 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 6 หลายเดือนก่อน

    mashallah dada

  • @saadasaid1764
    @saadasaid1764 6 หลายเดือนก่อน +1

    💞💞💞 allah akulipe kheri yaan masha allah

  • @jmm1840
    @jmm1840 3 วันที่ผ่านมา

    Dada ndoa ngumu
    Kawaida mwenye ndoa ni mume.Mke mtunza ndoa.
    Wengi tunaoa,Mnaolewa hamjui maana ya ndoa.
    Kumbu kwenye ndoa mmekutana watoto wawili.Kila mtu anahitaji kubembelezwa kwa wakati wake. Wengi wazee na viongozi wa dini kufungisha tu ndoa,Lakini wanasahau kuwaweka pamoja na kuwaeleza nini maana ya ndoa kwa mapana na marefu.Wanachokumbuka akamvumilie mume kwa shida na raha.Kumbukeni shida zipo.Raha zipo hata kwenu iwe mume au mke.Jee ziada ya hayo huwaambia wanandoa?Wanandoa wengi hawaijui ndoa.Jee! Msipowaelekeza hawatoijua ndoa inataka nini kutoka kwao.Na wao wanataka nini kutoka kwenye ndoa.
    NDOA NGUMU
    JIHESHIMU MKE
    JIHESHIMU MUME
    HESHIMU MAJUKUMU YAKO
    HESHIMU MIPAKA YAKO.
    RIDHIKA NA FUNGU LAKO
    MTAMBUE MUMEO
    NA MUME MTAMBUE MKEO
    MTAISHI MPAKA MTACHOKANA MIILI KWA
    KUZEHEKA PAMOJA.
    فلندعو الله كثيرًا لأن عالم اليوم مليء بالامتحانات.

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg 5 หลายเดือนก่อน

    Dr mungu akujalie nimepata daraza nzr sana

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg 5 หลายเดือนก่อน

    Dr uko vzr, nimekusoma sana tena umenifanya nijue namna kuka na mke wangu

  • @mediization
    @mediization 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @RamadhaniMaarifa
    @RamadhaniMaarifa 6 หลายเดือนก่อน

    Really tunapenda kweli kuwapelekesha mkitufuatilia

  • @sharifafatawy9874
    @sharifafatawy9874 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤

  • @alakhy1-yi2pn
    @alakhy1-yi2pn 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah namkubali sanaaaa huyu ❤❤❤❤

  • @abdallahlugongo4738
    @abdallahlugongo4738 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana dada

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 6 หลายเดือนก่อน +1

    Maashallah Baarakallahu fiik
    Jazaakllahu khaira
    Katk darasa la leo
    Kitu kimoja umekisahau darsa hii ingetimia
    Wanaume tunatamani na sisi kuombwa kitandani
    Mara nyingi tunaomba sisi au mpaka tulazimishe kama kuku vile wanavofukuzana.

    • @cheka480
      @cheka480 5 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaha nimecheka sana Allah awapatie maelewano naomba muongee na mkeo atajirekebisha

  • @TunzaHilal-ok2zg
    @TunzaHilal-ok2zg 6 หลายเดือนก่อน

    Jazaqallahu kher

  • @moanaali525
    @moanaali525 6 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah uko na mawaidha mazuri

  • @Lucybalele9419
    @Lucybalele9419 6 หลายเดือนก่อน

    Umebarikiwa sana mashaalaah

  • @rashidamashaallahnyimbohio1664
    @rashidamashaallahnyimbohio1664 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mawaidha mazuri sana

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 6 หลายเดือนก่อน

    Asaante madam wangu Leyla nakupenda Sana.

  • @user-vr2uj9cn7o
    @user-vr2uj9cn7o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah mafundisho mazuri

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x 5 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 6 หลายเดือนก่อน

    Mim nahukuru nipo kwa bahari naogerea mpaka nakalibia kuzama na utam alhamdullilah ila mie tu ndio bado nqzingua allah aniongoze niwe mume bora zaidi inshallah

  • @ZandaKingfujo-tx5gb
    @ZandaKingfujo-tx5gb 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah dada ipo haja hata walimu wetu wa dini wafundishe sana mambo hayo maana hali ilivyo kwa Sasa kila mmoja ywajua hakuna kuambiana😂

  • @user-sq1jf5ik4c
    @user-sq1jf5ik4c 6 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri dada mashallah ila wanaume wanachipuka sn ndio tukaangalia cm zao

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 6 หลายเดือนก่อน

    Upo sawa

  • @user-ff7bh7vq3y
    @user-ff7bh7vq3y 6 หลายเดือนก่อน

    Fact ❤

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z 5 หลายเดือนก่อน

    Nkweli dadaa ubarikiwe sana kwasomo

  • @user-gf2tg6vo3q
    @user-gf2tg6vo3q 6 หลายเดือนก่อน +1

  • @theresareed8537
    @theresareed8537 6 หลายเดือนก่อน

    Jambo tuko pamoja Mimi Michael kutoka America Arizona

  • @user-qs2ug9px2c
    @user-qs2ug9px2c 6 หลายเดือนก่อน

    Maashanlla dada hongere sana

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 6 หลายเดือนก่อน

    Dr Leila Aboubakary, Mwenyezi Mungu akuondolee mabalaa.Akujaalie MWISHO mwema.Utafiti Wangu si rasmi,ila zipo ndoa NYINGI Wanaume angalau wanasali sala tano ila WANAWAKE Wallah WANAWAKE sala hawataki kuisikia.Mada kuu Utii kwa MUME nimekusoma sasa hili limekaaje lo saikilojia

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 6 หลายเดือนก่อน

      Wanaume wako pia wabishi wa swala...Allah Atuongoze Yarrab

  • @idrissabakari8879
    @idrissabakari8879 6 หลายเดือนก่อน

    Nikiridhia anachojali mkewe wangu(yeye Ni darasa kwangu zaidi ya mwalimu),namjali kwa kujifunza kwa uchanya/uhasi-simu ikiita siulizi kwa zuri ama baya Lina makusudi(nafsini mwake)mie Ninaangalia usalama zaidi ya maono ya amani yake kuliko( yetu)

  • @user-sz3hn7zz8c
    @user-sz3hn7zz8c 6 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza Allah akulipe

  • @user-of8gi7uz4o
    @user-of8gi7uz4o 20 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 ashaowa😂😂 kazi kwel

  • @thureajuma9055
    @thureajuma9055 6 หลายเดือนก่อน +4

    Madam umenishushia gunia la misumari kichwani apa kwenye kupekua simu hatari asante madam

  • @abdallahsalim1318
    @abdallahsalim1318 6 หลายเดือนก่อน

    Madam leilah changa moto katika ndoaa nikawaida lkn tunapitia mitihani sana

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 6 หลายเดือนก่อน

    Mamboooooooo7 Ni mengiiii punguzaa iwe 3 hayooo Ni mengi😢

  • @AllySalum-ce3ix
    @AllySalum-ce3ix 6 หลายเดือนก่อน +3

    Umeongea ukweli Ukhty, Lakni Sizani Kama Wake zetu wanayajua haya. Alla awaongoze Wake zetu wawe wenye kuyaelewa Haya. Na sisi wanaume Tujitahid kutambua majukumu yetu

    • @sein.208
      @sein.208 6 หลายเดือนก่อน +1

      Amiyn yaa Rabby

  • @EshaSalimAlly
    @EshaSalimAlly 3 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wanapenda kufanyiwa vizur lkn wao kuwajali wake zao ni moja kwa kumi, mwanamke akiwa na kipato mwanaume hajikusi kumpa mke mahitaji

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mm ndio niko kwenye shimo lamoto lenyewe maana hasikizi hizi mada kabisa 😢

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  6 หลายเดือนก่อน +1

      usiache muombea Dua

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 6 หลายเดือนก่อน

      Sio fungu lako hilo ila unajipa moyo kuamini kuwa ata badilika. Kumbuka ngozi ya futi kujikunja ni maumbile yake

    • @jumahamisi9328
      @jumahamisi9328 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @jumahamisi9328
      @jumahamisi9328 6 หลายเดือนก่อน +1

      unapigwa kaka

  • @user-qe7yk2xr8y
    @user-qe7yk2xr8y 6 หลายเดือนก่อน

    Maa Shaa Allah. Allah akubarik. Namba yako please

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 6 หลายเดือนก่อน

    Hakika ukhti leilah.maneno yako kuntu..ila mwanamke au mwaume.akiwa nakushuku shuku sana.basi ujue nisaliti.no.1.huo ndio ukweli

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 5 หลายเดือนก่อน +1

    🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤

  • @nassoromwakwandika6293
    @nassoromwakwandika6293 6 หลายเดือนก่อน

    Madam Leyla. Leo ndoo awali,kukuskiza,umenigusa n ningependa nipate contacts zako kwa msaada w kibinafsi.nitashuru

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤nikikaribia kuolewa nitakuita unipe somo kwaza

    • @mundhirustvonline2511
      @mundhirustvonline2511 6 หลายเดือนก่อน

      Ebu tuoane sasa

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 6 หลายเดือนก่อน

      @@mundhirustvonline2511 haya njoo hahahahaha

  • @al-aminbaruan6167
    @al-aminbaruan6167 6 หลายเดือนก่อน

    Sawa, kutoa ushauri unaolenga kujenga mahusiano baina ya wanandoa sio jambo baya kama itachungwa misingi ya kisheria kwa kuzingatia MZUNGUMZAJI, PAHALA ANAPO ZUNGUMZIA, WALE ANAO ZUNGUMZA NAO na WAKATI ANAO ZUNGUMZA.
    Lakini pamoja na hivyo, 'SASA MAPICHA YANINI????!!
    MCHENI ALLAAH.

  • @AMUUNEWVISSION
    @AMUUNEWVISSION 6 หลายเดือนก่อน

    Mash Allah Dada Leila unajua

  • @user-mr7sb3wd9g
    @user-mr7sb3wd9g 6 หลายเดือนก่อน +2

    Wajifia😂😂

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr 6 หลายเดือนก่อน

    Tatizo Nyinyi wanawake mnataka mufanyiwe kila ki2 kuliko Nyinyi amuwafanyii wanaume

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 6 หลายเดือนก่อน

    mi napenda sana ulivyo mstafi una stara na staha

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 6 หลายเดือนก่อน

    Dada angu nisaidie mimi nahitaji mke mwema mwenye tabia nzuri na dini

  • @hassanaliamin1104
    @hassanaliamin1104 หลายเดือนก่อน

    Madam Leilya naomba namba yako ya simu tafadhali

  • @gharibaltiwany8165
    @gharibaltiwany8165 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna lolote bin Adam hata umfanyie nini hashukuru

  • @Mosalarmosalar
    @Mosalarmosalar 3 หลายเดือนก่อน

    Hupo vizuli kwa kutoa elim

  • @ahmedosman7698
    @ahmedosman7698 6 หลายเดือนก่อน

    Eee ni ukweli madam leila tuko na tamaa sana na iyo ni mbaya sana tamaa ya fisi ata mimi huwa na iyo ugonjwa ya tamaa

  • @andrewbanda3287
    @andrewbanda3287 5 หลายเดือนก่อน

    Nikweli dada mambo yote nikweli

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 หลายเดือนก่อน

    Mzee baba kwenye Heshima,+cm ,ndoo balaaa,babaangu,,ucpime balaalake,

  • @user-su4xb7ml3w
    @user-su4xb7ml3w 6 หลายเดือนก่อน

    Ni mm mwanakombo kalefu

  • @kateranyahussein5385
    @kateranyahussein5385 5 หลายเดือนก่อน

    Nimefuatilia saanaa mada zako hakika wewe mwenyezimungu akulipe pepo kwani unaongea ukweli na uhalisia WA maisha ya wanandoa Kwa mujibu wa misingi ya dini.

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa wajuwaji ndo wanatesa sana wanaume

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 6 หลายเดือนก่อน

    Assalamu alaykum naomba namba za madam leyla nnahitaji kujifunza zaid masomo yake insha allah

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  6 หลายเดือนก่อน

      +255 757 643 746

  • @daudymbukwa5495
    @daudymbukwa5495 6 หลายเดือนก่อน

    Nmip

  • @wilohassan863
    @wilohassan863 4 หลายเดือนก่อน

    Nakama hakushukulikii jamani utafanya aje

  • @user-ty3mq3qm4k
    @user-ty3mq3qm4k 5 หลายเดือนก่อน

    Mafundisho mazuri

  • @mrishofaraji6100
    @mrishofaraji6100 5 หลายเดือนก่อน

    Kwani we Bi Layla umeolewa.? 🙈

  • @ahmedmagoma8831
    @ahmedmagoma8831 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba yako madam leilla

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  6 หลายเดือนก่อน

      +255 757 643 746

  • @mariamswalehe3312
    @mariamswalehe3312 6 หลายเดือนก่อน

    Natamani sana nipate mawasiliano yako tuongee unisaidie

  • @davidkisinini8855
    @davidkisinini8855 6 หลายเดือนก่อน

    Dada zuri kweli hili sijui kaoelewa ama?

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 6 หลายเดือนก่อน

    Tunakuwa tamaa kwa chakula cha nje kutokana na mapishi ufundi na mikao tafauti kitandani usafi na umbo limejaa.sio mlalo mmoja Tu ukiambiwa ubadilishe hamuwezi ukiweza hayo mume haendi kula nje

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 5 หลายเดือนก่อน

      Utamaliza dunia nzima kwa hilo ndugu yangu bado wanazaliwa na wanaendelea kuzaliwa. Ningekushauri bora hata usiowe.

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 6 หลายเดือนก่อน

    Amani iwe nawe bi leilah

  • @abdallasarai6327
    @abdallasarai6327 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wana bahati kupata wakwe kama wewe, how i wish.

  • @shafiisaidi3611
    @shafiisaidi3611 6 หลายเดือนก่อน

    Well,naweza pataje namba za dada etu mtoa mada?

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  6 หลายเดือนก่อน

      +255 757 643 746

  • @user-su4xb7ml3w
    @user-su4xb7ml3w 6 หลายเดือนก่อน

    Dada nikweli hapo wanaume hawapendi hiyo hali

  • @user-su4xb7ml3w
    @user-su4xb7ml3w 6 หลายเดือนก่อน

    Kwe uhuht

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna mambo ya kufanya mkadumu daima hapo utatudanganya tu,ndoa inadumu kwa kuvumiliana tu mengine blah blah blah tu.

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 5 หลายเดือนก่อน

      Si kweli hizo ni fikra zako finyu na bado hujaijua maana ya kuvumiliana.

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 5 หลายเดือนก่อน

      @@jumaseifjuma4185 matusi hayatakusaidia kitu jibu hoja mm sijatusi

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nimeowa lkn kiukweli mm huwa sipende kelele kabisa, yani nikitoka kazini natamani akili yangu ipoe, lkn mmh utulivu haupo, bora nirudi jioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooni

    • @arjanjunior1452
      @arjanjunior1452 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂 kwamba jioooooooooni

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 6 หลายเดือนก่อน +2

    Dada layla katika picha zako ulizotuwekea ni watu weupe tu za mahaba. Lakin watu wesi hatupo au hatuna mahaba kazi yetu ni mapigo tu hahaha

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 6 หลายเดือนก่อน +4

      Kabisa , mahaba Kwa sisi weusi mtihani, yaani maji KUPWA maji KUJAA...!

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  6 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaha 😂😂😂😂

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 6 หลายเดือนก่อน

      Hii ni Hatariiiiiiiiiii sana
      😂😂😂😂

    • @HamidiBushura
      @HamidiBushura 6 หลายเดือนก่อน

      Nkweliii madam mungu akihfdh

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu una wake wanne utaweza wapi kufanya hayo,labda usiwe shughuli nyingine Zaidi ya hayo mnayoita mapenzi

  • @AbdallahMuya-bu4xo
    @AbdallahMuya-bu4xo 6 หลายเดือนก่อน +1

    Unakituchako mbinguni

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 6 หลายเดือนก่อน

      BINGUNI TENA KITI GANI ICHO?

  • @comredmuslimmputa2275
    @comredmuslimmputa2275 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimepata mke ananidharau kweli kweli,hataki kuswali,hasikii,anaondoka bila ruksa,anajifanyia anachotaka biashara,anaongea na mimi kama mtoto wake,hana adabu hata kidogo,mshirikina kweli,mikopo kila kona wallah,kauza kila kitu nyumbani sababu ya vikoba, kweli,NIMEMWAMBIA SIKO RADHI NAE DUNIANI MPAKA AKHERA

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  5 หลายเดือนก่อน

      Pole sana