DKT. JANABI KAPIGA TENA, WAPENDA SODA WAFIKIWA, AWAONYA !!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 50

  • @idontknowwhoami3066
    @idontknowwhoami3066 หลายเดือนก่อน +2

    Janabi atuache kwanza

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 หลายเดือนก่อน +3

    Janabi is celebrity doctor. La sukari vipi, nchi bado tunagombania sukari eti uchumi wa bluu. Professor tuelimishe ubaya wa sukari ndugu!

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Mzee atuache kwanza😂

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 หลายเดือนก่อน

      Janabi hana chochote kwenye maisha yako ye akikuacha hana hasara 😅😅

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 26 วันที่ผ่านมา

    Na nikiwa na hamu ya mbunye nitafanyaje ili hamu iishe😂

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba9887 หลายเดือนก่อน +4

    Soda imeanza kabla ya huyo jamaa..! Anazeeka vibaya

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu หลายเดือนก่อน +1

      😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 หลายเดือนก่อน +2

      Endelea kuipiga

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน +1

      Wekunywatu alafu utaenda hospitali unalia bilikubwa.utamkumbuka janabi

    • @IsmailYusuf-nb9jt
      @IsmailYusuf-nb9jt หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu huo ni ukweli mm mwenyewe ni mhanga

  • @homedevices-we3bn
    @homedevices-we3bn หลายเดือนก่อน +3

    kwa ufupi soda,keki usile ila tafuta matunda mbadala wa hivyo vinywaji

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 หลายเดือนก่อน +1

    Wale wazee wa Pepsi bariiidi baada ya supu ya mbuzi na chapati mbili.. like hapa

  • @Lizzy1999-c9g
    @Lizzy1999-c9g หลายเดือนก่อน +1

    Yan inamaana niache kunywa pepsi😢😢

  • @nicksonshoo429
    @nicksonshoo429 หลายเดือนก่อน

    Mimi na pepsi,pepsi na mimi.
    Mambo mazito hapa!!

  • @nicksonshoo429
    @nicksonshoo429 หลายเดือนก่อน

    Mimi na pepsi,pepsi na mimi.
    Mambo mazito hapa!!

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx หลายเดือนก่อน +4

    Siyo Kwa kuipenda Pepsi jamani 😢😢😢😢

    • @tanzaniamycountry9308
      @tanzaniamycountry9308 หลายเดือนก่อน +1

      Upo hatarin sana b carefully
      Nlikua kama wewe klichonikuta najua mimi

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji หลายเดือนก่อน

      Hata mimi

    • @kinaratamasha5498
      @kinaratamasha5498 หลายเดือนก่อน

      Kimekukuta nn​@@tanzaniamycountry9308

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 หลายเดือนก่อน

      Ata mim ila natamani niache

    • @FocusMsimbe-k4i
      @FocusMsimbe-k4i หลายเดือนก่อน

      Tufanye Nini jamani kuikwepa Pepsi?

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwenye soda na cake kwa kweli situmii

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni หลายเดือนก่อน

    Kukwepa magonjwa ni kazi sana

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu naye aache yeye kula aishi milele

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 หลายเดือนก่อน

    Naka kujua yy hata kufa

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 หลายเดือนก่อน

    Na maepo yakiisha itakuwaje

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 หลายเดือนก่อน

    Nakula apple ndizi na Pepsi na keki

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 inabidi atuambie uo udaktari alipataje

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 หลายเดือนก่อน

      Acha ubwege huyo ni profesa na ameaminiwa na nchi kuiongoza hospitali kuu ya taifa la Tanzania, hospitali ya Muhimbili, na pia ameshahudumu kama daktari mkuu wa raisi. Usimfananishe na hao waganga wako wanaojitia utume na unabii bandia wasiokuwa nao, hao matapeli kina kiboko ya wachawi na wale wa maji na mafuta wa pepo tokaaa..

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka หลายเดือนก่อน

    Meno yameisha mpk ya mbele ni ivyo vitu

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 หลายเดือนก่อน

    Mmh! Kama unahamu ya soda unapiga tu

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we หลายเดือนก่อน

    Mzee unazinguaaa,

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 หลายเดือนก่อน

    Epo moja buku

  • @JeremiaJelasi
    @JeremiaJelasi หลายเดือนก่อน +2

    Huo uprofesa ameupatawapi

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 หลายเดือนก่อน

    HUYU NI MUONGO TUMEKUNYWA SODA MIAKA YOTE HAKUNA KITU

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 หลายเดือนก่อน +1

      Weka akiba hayajakukuta, mimi yalishanifika soda nimeacha huu ni zaidi ya mwaka wa tano... nilikuwa nakunywa Pepsi au Cokacola na ndani yake natia korosho au karanga... sasa sinywi soda ya aina yoyote zaidi ya maji, juisi ya miwa au matunda na maziwa basi na nipp fresh.

    • @Watema23
      @Watema23 หลายเดือนก่อน

      Inaendana na umri watu ila Janabi yuko sahii. Ikiwa hakuna kitu kimekutokea lazima utakuwa na tambi sukari na wanga uongeza unene.

    • @FredMwamgogwa-td6ni
      @FredMwamgogwa-td6ni หลายเดือนก่อน

      Kila kitu kinamadhara kikizidi mwilini sio soda tuu

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba9887 หลายเดือนก่อน

    Soda imeanza kabla ya huyo jamaa..! Anazeeka vibaya