#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 161

  • @ERICAHMWAKILUNGU
    @ERICAHMWAKILUNGU หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mama ni WA pekee ..yaan hata kumtaja mumewe anamtaja kama mtu asiye na brand kabisa kumbe ni mtu muhimu mashuhuri na wa maana saaba Tena ni lulu Kwa Tanzania yetu huyu mama ana Hekima mno sio wa kujikweza ingekuwa wengine Ile intro tu tungesikiw kamtaja ...ila yeye noo she is so real mm nimekupenda mno Sophy Mungu akutunze wewe na familia yako ❤

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 8 หลายเดือนก่อน +5

    Asante sana Sophy kwa elimu pana sana mno juu ya afya ya akili,NIMEPATA ELIMU ZAIDI kupitia ww,Mungu akujaze umri mrefu wa kutuhudumia❤❤❤

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 26 วันที่ผ่านมา

    *Nimeanza utaratibu wa kula saa 4 asubuhi kidoogo hadi saa 11 jioni hapo najizuia kula chakula ni maji tuu ndio nakunywa hadi cku ya pili na Alhamdulillah naona mabadiliko kwenye mwili wangu..hii nimejifunza kupitia mafunzo ya Janabi*

  • @zinatfazal6405
    @zinatfazal6405 8 หลายเดือนก่อน +8

    Thank you Sofia Bianaku. Excellent work you are doing. Will contact you!

  • @nesaahaji1329
    @nesaahaji1329 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mmmmh mashaallah professor janabi anakishuna ❤❤

  • @marymunisi5801
    @marymunisi5801 8 หลายเดือนก่อน +8

    Sijawahi kucoment ila!! Leo nimejikuta nalia sn....Mungu ambariki mama Yetu mzuri mwenye moyo mzuri

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 8 หลายเดือนก่อน +60

    Kusema kweli sikutakiwa kumzungumzia mume wa Sophia hapa but kwa vile mmemgusia sio mbaya.ukweli Dr (mume wa sophy)amenisaidia saana kwa upande wa kupunguza uzito.zamani nilifikiri kula milo 3 ni afya lakini tangu nimsikilize Dr Janab nilikuja kugundua kula sio issue kabisa.siku hizi nakula mlo mmoja tu na nimezoea sion shida na ninapungua vizur mpaka najipenda.ukweli hongera Dr.matokeo tunayaona kuanzia nyumbani kwako.

    • @Mb0g0z
      @Mb0g0z 8 หลายเดือนก่อน +4

      Mtangazaji kashituka mlo mwisho saa 12 jioni kula tena hadi keshooooo,Mtangazaji diet inamuhusuu

    • @patriciamaganga3891
      @patriciamaganga3891 8 หลายเดือนก่อน

      Unakula saa ngapi?

    • @MagrethKessy-fj1ul
      @MagrethKessy-fj1ul 8 หลายเดือนก่อน

      Ulimsikiliza wapi na mm nikamsikilize nipungue jamn

    • @getrudemkinga793
      @getrudemkinga793 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@MagrethKessy-fj1ultafuta tu TH-cam utaona. Ameelezea sana kuhusu faida za kula mara chache na vyakula vinavyofaa zaidi

    • @RehemaFungo-c9x
      @RehemaFungo-c9x 8 หลายเดือนก่อน

      Ata Mimi nakula Mara moja.nimepungua sana

  • @niwaelmburuja2056
    @niwaelmburuja2056 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera Sophie kwa elimu hii. Ubarikiwe sana!

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 5 หลายเดือนก่อน

    Yuko vizuri mama Janabi (Prof)..

  • @waterforlife9356
    @waterforlife9356 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani mola awape mzuri

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 8 หลายเดือนก่อน +8

    Kumbe Dr Janabi ana mrembo❤😊

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kwel pesa nzul unachkua mtu yoyote weka ndani aijalishi unasula mbaya kiasi gani

  • @elizabethnzagi6232
    @elizabethnzagi6232 8 หลายเดือนก่อน +8

    Sofia ameongea vizuri sana amesema categorically yeye si mtaalamu wa magonjwa wa akili bali anaelimisha watu wajue hilo tatizo

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 8 หลายเดือนก่อน +1

    kumbe ndo ana sauti nzuri hivi. never heard her speak before. such a soothing voice, major ASMR vibes

  • @amirishauur5795
    @amirishauur5795 8 หลายเดือนก่อน +23

    Uyo mtangazaj akiishi na Io familia week tuu anapungua

    • @shainawilliam103
      @shainawilliam103 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @rosehillary8742
      @rosehillary8742 8 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani akakae tu huko asiwe ameenda bure kuitembelea hiyo familia

    • @productivityprogressprince5156
      @productivityprogressprince5156 8 หลายเดือนก่อน

      Mi mwenyewe nimeangalia tu leo nshaswma kesho naanza dayat nzuri

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 7 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani kamusaidieni Haji Manara, ni mgonjwa pia! 6 marriages, is that not a record? Kwenda kwenye shughuli za UWT, huyu anasema ni mwanaume!

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 8 หลายเดือนก่อน +6

    Kumbe Sofia ndio mke wa Dr Janabi??Sikuwa najua hili wallahi.
    Ila Sofia namfuatilia kitambo,yeye na wale marafiki zake kina Nancy Sumari na Nasreen.

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Kwa interview

  • @kabuladotto22
    @kabuladotto22 7 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda bure dada yangu

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 7 หลายเดือนก่อน +1

    Msiamini fata mpendavyo eat healthy ila waongo hawa huyu janab kfc anaenda huyu siku tuko coco beach yupo na watoto wanazibugia icecream

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe kula mzeee sawa

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 7 หลายเดือนก่อน

      @@mussahamad404 tule chochote ila kwa kiasi na mda dont skip breakfast .dont skip snacking eat sapa before 6pm to give room to food to digest

  • @mcback4384
    @mcback4384 8 หลายเดือนก่อน +10

    Mimi mwenyewe nakula mara 2 tu kwa siku, saa 5 na saa 1 na nimeshazoea na sisikii njaa muda wowote

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @Meru24Channel
    @Meru24Channel 8 หลายเดือนก่อน +3

    mnamhoji mtu mwenye profile kubwa bila maandalizi poor sound

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 7 หลายเดือนก่อน

    Sisi saa kumi na moja tukichelewa 5.30 pm nakula kila kitu. Usile kwa kuchelewa utanishukuru baadaye

  • @NeemagraceJohari
    @NeemagraceJohari 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nakula mara moja saa 13 :00 mlo kamili na saa 19 nakula matunda tuu afya yangu ukiniona hadi utanionea wivu.

  • @kobzupdates
    @kobzupdates 8 หลายเดือนก่อน

    Noma sana

  • @rajabodhuman1300
    @rajabodhuman1300 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mshaurini na huyo ndugu mtangazaji ili aendane na sisi ktk kipindi chetu mla chips mkubwa huyo

  • @stevenlevittt
    @stevenlevittt 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nipo hapa kwaajili ya 15:58

    • @nashbeka9992
      @nashbeka9992 8 หลายเดือนก่อน

      Thank you

    • @stevenlevittt
      @stevenlevittt 8 หลายเดือนก่อน

      @@nashbeka9992 You're welcome

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 8 หลายเดือนก่อน +3

    Dada sofia samahani kuna watu wanasema profesa
    Janabi anakula upepo tu hivi -ni kweli au na yeye anakula ?

    • @mrafb7224
      @mrafb7224 8 หลายเดือนก่อน

      we jamaa unanichekesha sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @MaryBrayn
      @MaryBrayn 8 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂nimecheka mpaka nalia 😂😂😂 jaman

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @isackmgema7376
    @isackmgema7376 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tafuta mic sauti Haina Quality kabisa

  • @MurshidSeleman
    @MurshidSeleman หลายเดือนก่อน

    1

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 8 หลายเดือนก่อน +3

    Isee janab hoyee , aah janab sio kipofu nakukubal

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 8 หลายเดือนก่อน +10

    Mzee janabi umeoa mtt mbichi kbs

    • @hawanjama39
      @hawanjama39 8 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu Dada si mdogo kama uwazavyo

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 8 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu n mtt wa janab au mke waandish vp apo hamjakosea caption yenu

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂kwakweli sikujua Sofia ni mke wa prof,mi nilijua ni mtoto wa prof Janabi

    • @mwanrique
      @mwanrique 8 หลายเดือนก่อน +2

      She is 40+ have some respect for them.

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada ni mkubwa sana ila anazingatia afya na ulaji yeye na Dokt Janab

    • @teddygabriel5662
      @teddygabriel5662 3 หลายเดือนก่อน

      Mbna janab mwenyewe n kama mgonjwa

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 8 หลายเดือนก่อน +1

    ASANTE sana SOPHY

  • @monalisaally4387
    @monalisaally4387 8 หลายเดือนก่อน +4

    Ahsante sana dada nimejifunza kitu kupitia wewe na nitaacha kula ovyo kuanzia leo

  • @zainabusona5901
    @zainabusona5901 2 หลายเดือนก่อน

    Samahani dada kwani unafanya mazoezi

  • @MurshidSeleman
    @MurshidSeleman หลายเดือนก่อน

    Janabi wewe nimwislam mbona anaejiita ni mukewa ni kichwaazi ??

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 8 หลายเดือนก่อน +14

    Tanzania 🇹🇿 ni tofauti sana mtu anaongea kuhusu mental health ila nikimsikiliza naona kwa uwazi hajui anachoongea, kwa nchi zilizoendelea ni madaktari na nurses ndio uwa wanaongea mambo hayo maana ndio professional yao , afya ya akili ni pana na magonjwa mengine ni diagnos, syndrome na zingine ni condition

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 8 หลายเดือนก่อน

      Usiwe too rational uyo dada ni daktar kabwela

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@FreeGod368 sio daktari mkuu ni mbabaishaji tu hajui kuhusu mental health na huko Tanzania 🇹🇿 hata mtu akiwa hajui anaweza kuwa na guts za kuhojiwa na kueleleza kitu ambacho hakijui! Mental health ni specialization ya watu mkuu!

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@Kabwela776 Now i got u bro, mtu akijua kushaur skuiz anajona mental health expert🤣🤣

    • @mariamsemwaiko8169
      @mariamsemwaiko8169 8 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@Kabwela776kashasema ni msimamiaji😅😅😅

    • @davidbukuku4924
      @davidbukuku4924 8 หลายเดือนก่อน

      Hamjamuelewa Sophia hajajinasibu kwamba yeye ni mtaalamu wa masuala ya afya ya akili lkn Kwa sababua anasimamia kituo Cha afya ni vzr kufahamu mambo ya afya kinagaubaga ndo masuala mengine amejibu kwama yanaweza kuongelewa vzr na mtaalam

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 8 หลายเดือนก่อน +5

    Kweye msosi hapo noma, hapo naona kwamba wote na mume wako Wana utapialo. Mungu amewapa kuleni tu mapochopocho mshibe. KULENI BATA MAISHA HAYARIDI NYUMA, Mashimo yanatusubiri.

    • @revenanthmandari7004
      @revenanthmandari7004 8 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa elimu nzuri

    • @shanwedispensary2169
      @shanwedispensary2169 8 หลายเดือนก่อน

      ❤😂😂
      😂😂​@@revenanthmandari7004

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน +2

      Ukipata maladhi ndiyo utayakumbuka hayo anayofundisha sofia

    • @ezekielmabwai482
      @ezekielmabwai482 8 หลายเดือนก่อน

      @@HanifaOman-oo4pl Uliwahi kusikia wanaokula vyakula vyote ndo wanakufa, au ndo wagonjwa? Si uende hospitali kawaulize wagonjwa? Utapingana na Mungu alieumba kifo??

    • @rehemageorge9506
      @rehemageorge9506 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 daah eti kuleni tu😂😂

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ila kweli watumishi tulio wengi tuna tatizo la afya ya akili

    • @felicianfrancis9895
      @felicianfrancis9895 8 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli asee. Baadhi ya maboss Wana mambo ya ajabu sana. Wanajiona wao ni Kila kitu na wanathamini maslahi Yao tu bila kujali watumishi walio chini Yao. Hawaoni mema na daima wanastress waliochuni Yao. Wengine wana inferiority complex kutokana na elimu na background zao. Wanaboa sana na ndo vyanzo vya matatizo ya afya ya akili. Shame on them wenye tabia kama hizo.

    • @florencengwavi6939
      @florencengwavi6939 8 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana wewe pia una tatizo

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 8 หลายเดือนก่อน +1

    KA~MKE KA~ZURI AJABU

  • @masungaiwvata1414
    @masungaiwvata1414 8 หลายเดือนก่อน

  • @malungamtoro9047
    @malungamtoro9047 8 หลายเดือนก่อน +3

    Sema nini,vijana tafuteni ela

  • @lucymlelwa1626
    @lucymlelwa1626 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tukipimwa wengi ni vichaa

  • @HassanMugire
    @HassanMugire 8 หลายเดือนก่อน +2

    Janabi anapisi

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 7 หลายเดือนก่อน

      Hali ovyo anajua nini Kinaliwa,anajipenda hivyo tu na kiasi ni dawa sana

  • @georginapaul5013
    @georginapaul5013 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dada Sophia anamwili huo toka zamani nadhani amezaliwa hivyo karithi yes na anajipenda Sana toka zamani na anaakili Sana pia na nimpole Sana

    • @mwanrique
      @mwanrique 8 หลายเดือนก่อน

      Mwili unatunza, sio kuzaliwa nao ndio utakuwa hivyo hivyo...hapana

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mbona baba mzee mama sister du? Jamani kuna ndoa hapo au Sizon

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 8 หลายเดือนก่อน +4

      Mmmhhh! Usichunguze maisha ya watu halafu mwanaume hazeeeki

    • @NuruMfaume
      @NuruMfaume 8 หลายเดือนก่อน +2

      Huko ndo kudanganyana!mwanaume asizeeke Kwa sababu gani?hujui nguvu za utendaji kazi wa mwanaume Kwa mwanamke unapungua kufuatana na umri? Google men performance according to age utaona!"

    • @Mb0g0z
      @Mb0g0z 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nyie mnapenda vi mario mwachen dada wa watuuu

    • @rehemamsuya2263
      @rehemamsuya2263 8 หลายเดือนก่อน

      Pesa inachukua nafac asee

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 7 หลายเดือนก่อน +1

      Janabi sio mzee hata kidogo ila ni mtunza afya yake .

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 8 หลายเดือนก่อน +1

    YAANI SOMI WENGI WAKO SIMPO SANA,, Kuna life flani hivi wanaishi Ziko poa WANACHOPATA WANAKAUKA TUU,,, kutana na wale wa la saba, hasa wakiwa na visenti viwili vitatu,, Weee KELELE NAMINGI NA KUBEZA ELIMU JUU😂

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi jitahidi upungue hio Afya haifai😢

  • @fathefirst1935
    @fathefirst1935 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu sasa nimemuelewa. Ni kula tu kwa kiasi. Kula mapema kile chakula cha mwisho cha siku

  • @ZUWENADELLOW
    @ZUWENADELLOW 8 หลายเดือนก่อน +1

    Habari elimu hii inatakiwa iwepo kuanzia mashuleni itasaidia sana.

  • @dlumala
    @dlumala 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi anataka elimu badala ya mtaalamu!

  • @NeemagraceJohari
    @NeemagraceJohari 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa mafunzo yako asante sana

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ila na wewe mwandishi!! Hayo makucha siyo ukizingatia ni mama

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 8 หลายเดือนก่อน

      Hafanyi kazi abafanyiwa nadada

    • @ramadhanmasiku4105
      @ramadhanmasiku4105 8 หลายเดือนก่อน

      Dih😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂duuuu wanawake wrngine mtihan😢😢😢😢😢😢na maku anaoshewa na dada wa kaz

  • @NeemagraceJohari
    @NeemagraceJohari 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kila kitu kwa kiasi na kwa wakati 😊

  • @leehhams5393
    @leehhams5393 8 หลายเดือนก่อน +5

    Mke sio mzee kwajili anajitunza anazingatia afya yke.

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 8 หลายเดือนก่อน

      Ni mdogo kwa Janabi kiumri pia

    • @leehhams5393
      @leehhams5393 8 หลายเดือนก่อน

      @@neemayatosha1618 pamoja na umri kua mdogo ila anajitunza. Wanawke wangapi wa umri wake hawako kama yeye? Tumpe sifa yake amejitunza

    • @MonicaBenitomwalongo
      @MonicaBenitomwalongo 8 หลายเดือนก่อน

      Sana ni mdogo jamani 70 anafika kabisa bila shida

  • @SebastianNgimb
    @SebastianNgimb 8 หลายเดือนก่อน

    Mnatuchanganya tu,kifo kipo palepale,kikionekana chakula nakula hayo mashart kuyatii kwani naishi milele,n

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน

      Ujapata maladhi ndiyomaana unasematu hivyo.

    • @noortz9416
      @noortz9416 7 หลายเดือนก่อน +1

      ujapata magonjwa tuulize sisi tuliopata magonjwa kila siku tupo hospital ..nilivyoacha chips wali ugali saiz mzima siumwi hata kucha nanimekata kg 15 miezi 4 ..subir kwanza ukipata matatizo ya magonjwa ndio utajua

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 7 หลายเดือนก่อน

      @@noortz9416 kwanza Ongela Na Allhamdulillah. ...pili huyo.kama.unavyosema...uzimauwo ndiyomaana anaongeatu. Napilikutokusikiliza vizuri.maelezo ya.Dr janabi.

  • @SeverinaCheka
    @SeverinaCheka 8 หลายเดือนก่อน

    Matawi yenu yako wapi ?

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ila mumeo alisema hali ugali , wali, na mkate sielewi mimi

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 7 หลายเดือนก่อน

      Ndio mana kasema kua vitu vingine hali

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ila afya ya akili ni janga jmn yaani mie naweza lia tu halafu najiuliza why daah Mungu nisaidie nakumbuka wazazi wangu nalia watu niliowafanyia mema wakanilipa watakayo nalia kisha natoka nje hii nayo sijui nini

    • @dee1176
      @dee1176 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa mwanamke hyo ni kawaida kwa sababu ya mabadiliko ya homoni ambayo hutokea kila baada ya mda

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ukimtendea mtu jema tegemea 000 malipo usitegemee kitu toka kwa mwanadamu.

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe kuolota makopo ni changamoto za akili 😊mmmh

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ana kipato huyo ndio man hathamin kaz za wengne.

    • @GeofreyWilliam-ev7qd
      @GeofreyWilliam-ev7qd 7 หลายเดือนก่อน

      Kuokota makopo sio kazi,ushaona mwenye akili zake anaokota makopo zaidi ya wavuta unga​@@FatumaMohamedi-t6t

  • @FatumaMohamedi-t6t
    @FatumaMohamedi-t6t 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe viongoz pia ndio man wengne wanafanya maamuzi ya hovyo Mungu tusaidie.

  • @bobaiddi9599
    @bobaiddi9599 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mkee wa alhaji ungevaa ushungi ungependeza

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 หลายเดือนก่อน +1

      Umeonaee sijuiwapoje wakijiifadhi wanajiisi hawataonekana. Allahatuongoze naatujaalie mwishomwema

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 8 หลายเดือนก่อน

    Kumbe sophy Bianaku okkkkk.Wanatanga tujuane

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mke wake au Binti yake!!! 😂😂😂😂😂😂

    • @Siasia209
      @Siasia209 8 หลายเดือนก่อน +3

      Unachangamoto ya Afya ya akili wahi matibabu

    • @evancemoevt8597
      @evancemoevt8597 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@Siasia209 Hata Huyo Binti ana tatzo la afya ya akili kuolewa na Mzee wa Umri wa Baba Ake!!!

    • @joejoshua7791
      @joejoshua7791 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@evancemoevt8597ulitaka Prof akuoe wewe

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂kwel we hufai

    • @sarahmselle8562
      @sarahmselle8562 7 หลายเดือนก่อน

      Hivi watanzania mnashida gani nyie...

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 8 หลายเดือนก่อน +4

    Dadaangu jamani kumbe uliolewa na huyu mzee sawa maisha mema

    • @rashidisaidi8535
      @rashidisaidi8535 8 หลายเดือนก่อน +2

      Acha wivu

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน

      😂😅😂🤭

    • @happinessclement6066
      @happinessclement6066 8 หลายเดือนก่อน

      😀😀😀😀

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 8 หลายเดือนก่อน +8

      Sio Mzee kivile,pia huyu mama sio mdogo kivile atakuwa na miaka 40+

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 หลายเดือนก่อน

      @@twiseghekisilu8845 hamna mkubwa sana mimi mdogo wake niko na 39 babake na babaangu ni mtu na mdogo wake hivyo mwenyewe sikujua kama aliolewa na huyu Mzee sababu tulipotezana nilivyoenda nje ya nchi

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 8 หลายเดือนก่อน +3

    Sofia hujambo ? Tangu changa

  • @NeemagraceJohari
    @NeemagraceJohari 8 หลายเดือนก่อน

    Nimependa mafunzo yako asante sana