KIJANA ALIYELAWITIWA NA WATU 60 ZANZIBAR ATOA USHUHUDA (Episode 02)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 236

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 ปีที่แล้ว +4

    yani nyinyi ccm mungu anawaona na mungu ata kuadhibuni duniani na akhera na rais wetu usilinyamazie kimy kisa na ww ni ccm. mungu anakuona dr.

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge ปีที่แล้ว +8

    Alla atakuongoza madhali umeshutuka ALLA atakusaidia. Asante sana mm amini kazi kubwa unayoifanya. Allah akuongezee imani na afya

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 ปีที่แล้ว +29

    SubhanaAllah huu ni mtihani mkubwa uliyoikumba zanzibar lazima turudishe dini yetu ya kiislam zanzibar

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว +8

      Dini ndio mfumo mzima wa maisha ya mwanadam

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 ปีที่แล้ว +4

      Naam lazima viongozi warudishwe mfumo mzima wa dini na maadil bila ya viongozi kazi bure wao ndio kichwa lkn tukisema tuu koo zitagoma kutoa sauti mahoteli mengi na hayafati maadil kwasababu viongozi hawajafanya mfumo mzur wa maadil narejea tena kila sekta lazima uwekwe mfumo mzima wa dini na maadil ninani wa kutoa amr hio ni viongozi na lazima ufatwe bila ya hivo tutapata tabu sana.

    • @hawamohammed9740
      @hawamohammed9740 ปีที่แล้ว +3

      Zanzibar dini ipo Ila Imani ndio imepotea kwa Sasa maana kama Imani ipo basi wasingejaribu kuharibu watoto wa wenzao kwa makusudi bila ya kujali kua mzee wa huyo kijana au vijana wataumiaje chukulia wewe unaemfanyia mtoto wa mwenzako kama hivo jee akifanyiwa wako utajihisije
      Lkn wakumbuke kama tadinu tudani

    • @omanlovemirbat7572
      @omanlovemirbat7572 ปีที่แล้ว

      jamani kabisa mtihani

    • @omanlovemirbat7572
      @omanlovemirbat7572 ปีที่แล้ว

      pole sana Kaka yangu

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y ปีที่แล้ว +13

    Mama Amina Mungu ampe umri mrefu in Sha Allah

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 ปีที่แล้ว +5

    Mama mungu akutangulie kwa hili kuokoa vijana wa taifa la kesho hakika atakupa nguvu zaidi unafanya jambo la maana sana na utu

  • @hadhaminfadhwil-rab287
    @hadhaminfadhwil-rab287 ปีที่แล้ว +4

    Yaa Rab tuondolee madhwalim znz 😭😭😭 unyama gani huu jmn, Yaa Rab tusaidie wazanzibar, tuhifadhie watoto wetu minkuli-hal yaa Rab, Subhanallah Subhanallah Subhanallah

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 ปีที่แล้ว +8

    Dah imeniuma wallah jmn 😭😭😭 bi amina mungu akueke

  • @sarahsalumu7792
    @sarahsalumu7792 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana kaka VP afya yako iko salama maana duu!

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 ปีที่แล้ว +6

    😭😭😭😭 Allah akbar Allah akbar Yaa Rabbi wasimamie vijana wetu wakinge na janga hili waonfoshee Yaa Rabbi jaman viongozi wa serikali hii muko wapi wtt wakiume munawaharibu sana kwa kuwaruburubuni kwa vijesenti
    Hussein liangalie kwa jicho la huruma hili

  • @babuantar8215
    @babuantar8215 ปีที่แล้ว +4

    Inauma sana dah!...Allah ndio mlipaji ...watu wanatumia uwezo..madaraka kuwaharibu vijana ..mtihani ..inauma sana sana..

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 ปีที่แล้ว +6

    Ni masikitiko makubwa. Allah ndie atakaye watosha in shaa Allah

  • @mwatimaabdallahaji2452
    @mwatimaabdallahaji2452 ปีที่แล้ว +5

    Wallah tunapoenda wala sio mbali kila mtu atahukumiwa na lake wallah ALLAH atawahukumu kuanzia hpa hpa dunian insha ALLAH tunawaamn kumbe chui wanafiki munavaa ngoz ya kondoo

  • @dottohami
    @dottohami ปีที่แล้ว +4

    Subhanallah huu ni mtihani mkubwa sana Alhamdulillah mungu kamjalia katoka kwenye hiyo kazi

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 ปีที่แล้ว +18

    Raisi Wetu ulione hili Zanzibar yetu imearibika Sana tunakuomba Waongozi Wakubwa katika chama ndy wanaharibu Zanzibar.

  • @zakiahaji17
    @zakiahaji17 ปีที่แล้ว +3

    Wallah inasisimuwaaa nimeliaaa watu makatiliiii humu Allah tulindeee vizazi vyetu na wenzentuuu zanzibarr hakurudikiiii kwa ukatiliii huuuuuuuuu

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 ปีที่แล้ว +6

    Dahhh mthn, unasisimkaa wallah. Allah atuogoze na vizazi vyetu. 😭😭😭

  • @machetebogota4218
    @machetebogota4218 ปีที่แล้ว +14

    Sema Zanzibar imekuwa ovyo sana c sehemu salama kabisa yote ni huu tunaoita utalii usio na faida wanakuja wazungu kuleta tamaduni zao mungu awaangamize wote wanaofanya Aya mambo

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 ปีที่แล้ว

      AMIIN AMIIN kwa kwel mtihan mkubwa

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 ปีที่แล้ว +1

      Hayo mambo ya warabu hata msisingizie utalii, mbona Arusha watalii kibao

    • @petromachanga5538
      @petromachanga5538 ปีที่แล้ว +1

      @@nicedavid8536 hahaha

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 ปีที่แล้ว +1

      @@nicedavid8536 wanalaana wao wenyewe hao

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 ปีที่แล้ว +3

      Sio kweli hakuna mzungu anaye fundisha mtu kufika utaliu haupo Zanzibar pekee usikimbie tatizo Tanzania Kuna Serengeti,chuga,Moro kote wanakuja wazungu mbona ushoga haupo Kama huko kwenu,dar,pwani,Zanzibar,Mombasa ndio maeneo ushoga umekisiri na kote ipo jamiiyenu

  • @kombohamad5615
    @kombohamad5615 ปีที่แล้ว +3

    Wallah huu nimtihani na laana kubwa bila kuamuwa kwa vitendo basi hatujuwi Allah adhabu gani atatupa

  • @Habibtyjojo
    @Habibtyjojo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanallah mtihani wallhi inasikitisha sanaaa🥹😭😭

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 ปีที่แล้ว +2

    Hizi nafasi kwenye taasisi zimeharibu watu wengi Sana jamani haswa vijana wadogo na hii ni kwakuwa Kuna umasikini na tamaa za maisha mazuri Allah tunusuru sote

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 ปีที่แล้ว +11

    Kama halbadiri ipo na msomaji yupo naisomwe wapukutike wote wanaoharibu watoto wetu

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 ปีที่แล้ว +1

    Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu awa shinde yaarab kwa uwezo wake Allah SWT

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 ปีที่แล้ว +2

    Dah sio poa kwakwel mtihani,
    Allah atuhifadh na haya majanga ya ubarazul

  • @Salhiya-hr7dy
    @Salhiya-hr7dy ปีที่แล้ว +1

    Loooooh subhanaallah Allah atustir na vizaz vyet Allah atustir na vizaz vya wenzet Allah atujaalie vizazi vyeny kuelewa ya Ya Allah tusaidie na nchi yet Ya Rahman 🥺🥺🥺🥺🥺🥺😥😥😥😥😥

  • @mohammadhassan-hu9jt
    @mohammadhassan-hu9jt ปีที่แล้ว +1

    Lailaha ila waallah kwann Allah tustiri pole Allah atakuongoza amiin

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 ปีที่แล้ว +1

    innahlillah wainnah illah rajioun Allah atupe stara dunian na kesho akheera

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 ปีที่แล้ว +9

    Mtihani mzito.. sana Allah atustiri sisi na vizazi vyetu..

  • @josephmnzavas9747
    @josephmnzavas9747 ปีที่แล้ว +2

    Kwa nini asiwataje wafiraji wote waliomlala?tukiwajua na wao tuwaweke hadharani kwamba hao tunaoamini ni viongozi wetu kumbe wanaongoza na gizani pia,tuwajue na wao wajue sasa wanajulikana na wake zao wajue na watoto pia wajue kuwa baba yangu ni basha.itakua poa sana

  • @SallyZanzibar
    @SallyZanzibar หลายเดือนก่อน

    Choko ww tamaa ya maisha unayo kwan huwamin kuwa mungu yupo na yeye ndie anaetowa riskii kwa kila mwanaadam ww mjinga sana tamaa punguza

  • @user-fh3np5yk9g
    @user-fh3np5yk9g 3 หลายเดือนก่อน

    Daah duh Allah atunusuru na watoto wetu wakiume

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 ปีที่แล้ว +2

    Subhana Allah,Allah atakuhifadhi na atakuepushia zaidi.

    • @hawamohammed9740
      @hawamohammed9740 ปีที่แล้ว

      Vitoto vidogo sana vya kike na kiume kushirikishwa ktk mambo ya siasa wengi wanaharibiwa wakike wanatiwa mimba na wakiume wanavurugwa hivo hii ndio siasa chafu ya Zanzibar kuwapa uhuru sana wtt wetu kuingia ktk mambo bado umri mdogi hili serikali liangalie kwa jicho la huruma huko mbele tutakujakua na viongozi wasenge walo wengi na wasagaji na watt wa zinaa Allah ihifadhi Zanzibar yetu na mitihani mizito kama hii wakinge wtt wetu na Shari za mafisadi kama Hawa wanaotuharibia wtt wetu

  • @stonetown578
    @stonetown578 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana Allah atakufanyia wepesi, Insha'Allah Mwenyezi Mungu atakulipia.

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 ปีที่แล้ว +4

    Subhanaallah Allah akuhidi inshaallah yaarab na azidi kukupa moyo huohuo inshaallah kesho uwe baba na wtt wako Allah akuhifadhi

  • @seifhamed2605
    @seifhamed2605 ปีที่แล้ว

    Allah akuvushe hili na jengine mwanangu

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 ปีที่แล้ว +3

    Subukhanallah yaaaaarab tuongoe sie wajaa wk sie yaarab.. rohoo inaumaa 😭😭😭😭😭

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana. Allah akuhidi

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuhifadhi wewe na vizazi vyetu vyote. Lakini kwenye makundi ya hao ya shangwe hasa kwenye vyama vijana wengi wanaharibika wakike na wa kiume. Hii ndio maana wakisha jishirikisha humo, wanavuta bangi, wanalewa, wanalawitiana, wasagana na wanafanya mengi yasiyo faaa. Mzigo huu unarudi kwa viongozi. Kesho kuna masuala ya kujibu mbele ya Allah.

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 ปีที่แล้ว +1

    Uuuuwiii! Mungu tusaidie na Watoto wetu! Ila wanao wafanyia watoto wa wenzao hukumu inawasubiri kwa Mungu! Inabidi viongozi wa dini na wazazi tuwe karibu sana na watoto! Mafunzo ya shule na dini yawe ya kina

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 ปีที่แล้ว +2

    Asalam alaykum Rashid mwambie bi Amina tusomeni dua

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 6 หลายเดือนก่อน

    Kwamuonekano niwatu waImani nzur tu ila nikama laana furani Allah tuongoze kwaMazur

  • @faza4023
    @faza4023 ปีที่แล้ว

    Pole Sana Mama na kijana.
    Karibu kwa Yesu anaokoa

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 ปีที่แล้ว

    Heeeee Hatar wallah vijana tuache tamaa za kisenge senge turidhike na maisha

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 ปีที่แล้ว +1

    Pole ALLAH akuhifadhi

  • @masoudamohamed-4959
    @masoudamohamed-4959 ปีที่แล้ว +1

    Pole san Allah atakulipiy kwayt n Allah atakusameh makosa yko inish Allah

  • @nadiahassan7993
    @nadiahassan7993 ปีที่แล้ว +5

    Yule basha wa kenya raia wa uiengereza anayekuja zanzibar kuwalawiti vijana aitwa Dr.Amkeni. hivi yuko jela la shimo la tewa

  • @fatmarashid8163
    @fatmarashid8163 ปีที่แล้ว +1

    SubhanAllah mungu atulindie vizazi vyetu

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 ปีที่แล้ว

    Mama mungu akulipe peponi iwe makazi yako wallah mwenyezi mungu awalaani wotee wanao wafundisha mabaya namachafu wachache ndio wanaichafua znz hizo nguvu wanazo tumiya kuharibu watu zitawagalim mbeleza mungu

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu akuzidishie umri mlefu

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 ปีที่แล้ว

    Allah akulinde na Akuhifadh na Akuweke ktk Twaa yke

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว +2

    Inauma sana pole sana

  • @Sunnah1212
    @Sunnah1212 ปีที่แล้ว +1

    Haya mambo hayatokei bahati mbaya ni yakupangwa kabisa haya na yanalelewa na viongozi wakubwa sana ndio maana hayawezi kuisha

  • @eliasjanuary5941
    @eliasjanuary5941 11 หลายเดือนก่อน

    Aiseeeeee inauma Sana Sana Sana Sana Sana Sana Sana Sana nimejikuta nalia

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah oooh Allah tunaelekea wapi sisi? 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alitunu3086
    @alitunu3086 ปีที่แล้ว +1

    Duh pole Sana allah akutie nguvu

  • @ThaniaNassoro-yo3hb
    @ThaniaNassoro-yo3hb ปีที่แล้ว +1

    Viongozi wanajua kila kituu wallh Allah atunusuru

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 ปีที่แล้ว +1

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 ปีที่แล้ว

    Na lipigwe marufuku ya nguvu ushoga serikali liipe mkazo sihivo nibalaa tupu Allah atuhifadhi na atuongoze njia nzr amin

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 ปีที่แล้ว

    Pole Sana munqu akuifadhi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭tz imajin ni viongozi na wana wake zao, ila mahakama ya hakki ni kwa الله 2 . Inasikitisha kwakweli😭😭😭😭😭. Jamani ajitokeze kiongozi mmoja mwaadilifu hawa mahasibiya لله waniimal wakiil wakamatwe na wapandshwe kizimbani. Vizazi vinateketea, enyi wenye madaraka. Madaraka ni dhima.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว +1

    Jmn, 😳😢😢😢😢😢zanzibar mung ana waona jamn kutoka kondoa 🇹🇿

  • @fatemazanzibar877
    @fatemazanzibar877 ปีที่แล้ว +1

    Mtihani Zanzibar wanaongoza kwa mchezo uwo toka zamani ila mm naumia sana nikiona mwanaume kafanyiwa Ivo naumia

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +1

    Huu ushetani inatakiwa wananchi "tutumie nguvu ikibidi hata kuwaua wote hawa washenzi" kabla taifa halijapotea

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t 5 หลายเดือนก่อน

    Subhana llah yarabi

  • @suleimanrajabhaji3653
    @suleimanrajabhaji3653 ปีที่แล้ว

    Hilaki kubwa inayoiandama jamii yetu. Masikini Zansibar. Wanangojea lengine mpaka Mwenyezi Mungu awafikie na malaika wake ikiwa ni mchana kweupe ama usiku wamelala?
    Wawache wachukulie mzaha adhabu za kudhalilisha ziliwashukia walokua nyuma na inatosha kua ni onyo kali kutoka kwa Muumba.
    Mwenyezi Mungu tunakuomba utuongoze ktk njia ilonyooka

  • @mamuumamuu1623
    @mamuumamuu1623 ปีที่แล้ว +4

    😭😭😭😭😭Jaman nimelia nilivo msikia huyu kijana

  • @AbdillahRamadhan-z2c
    @AbdillahRamadhan-z2c 29 วันที่ผ่านมา

    Daaa aise hatar huyokijana mungu amsaidie ila pepo hana ata afanye ibada ganii

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuhifadhi.

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame5304 ปีที่แล้ว +2

    Hii ni hadithi ya kutishaa sana

  • @shakhbut9525
    @shakhbut9525 ปีที่แล้ว

    Allah atuhifadhi sisi na familia zenu na vizazi vyetu kwa kweli mtihani wallah

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 ปีที่แล้ว +3

    Rabbi tuhifadhie Watt wetu

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 ปีที่แล้ว

    Wananchi tuamkeni wenyewe tupamambe kila mwenye familia yake anae jua huyu nishoga katika familia yake au anaejua huyu nimfilaji wote nikuuwa kuuwa kupo sehem nyingi najua ukiuwa hiv hiv selikali kwakua inapenda hay mambo utapewa kes za ajabu tuteuwe watu wasio julikana wawafatilie na wawaue

  • @seifhamed2605
    @seifhamed2605 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji usimwambie kuungia kwenye ubaradhuli mwambie umeingia kwenye mtihani huu

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 ปีที่แล้ว +3

    Kwakweli hawa viongozi wa CCM ni laana tupu,hawa ndio chanza cha mattizo yote yanayowasibu vijanana kama hawa,yaani huwezi kushika nafasi ta uongozi kama tupu yako ta nyuma hujaisabilia kwa safu viongozi wao wajuu.

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 ปีที่แล้ว +2

    Dahhh jmniii, Allah awalaaani viogz washenzi,,😭

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 ปีที่แล้ว +1

    Mtihani kweli duh zanziber imefikia hatua hii.

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

    Kweli mambo ya chama wengi wameharibika kuna mmoja mungu saehe na amefariki alikuwa hivhivo baradhuli

  • @shamsumajura5849
    @shamsumajura5849 ปีที่แล้ว +1

    Hii ifike kwa rais

  • @yayeissa4128
    @yayeissa4128 ปีที่แล้ว

    Allah atustiri, mtihani umetukabili.

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 ปีที่แล้ว +4

    Subhna allah rais wetu tunakuomba ulisikie hili sis tunaobeba mimba ndo tunaangamia

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 ปีที่แล้ว +5

    Lahaula walaakuwat ilabilah😭😭😭😭😭😭

  • @yuzasivyussuph6087
    @yuzasivyussuph6087 ปีที่แล้ว +2

    So sad,Allah atakuhifadhi

  • @ashrafbunu2371
    @ashrafbunu2371 ปีที่แล้ว +4

    Very sad story to our ummah

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 ปีที่แล้ว

    Kwa hivyo viongozi ndio mabahasha wakubwa ,halafu tunatarajia ndio wapaze sauti kukemea ushetani huu

  • @rahmamosa2320
    @rahmamosa2320 ปีที่แล้ว +2

    😢😢😢 imeniuma sana

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 ปีที่แล้ว

    Ta maa nayo sio nzuri jamni

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 ปีที่แล้ว +3

    Subuhannallah 😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢😢

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 ปีที่แล้ว

    Mama mungu akupe subra

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 ปีที่แล้ว +6

    Innalillah wainnailaih rajiun 😱😭😭😭😭😭Hasbunallah waniimalwakil

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน

    Kwanini wasikamatwe huyo aliyomuazisha na mpaka kupemleka kwa wote hao wakubwa ndomaa kesi ukizishitaki kumbe wao ndo wanaotaka wakubwa

  • @user-ev8qe1uf2f
    @user-ev8qe1uf2f 11 หลายเดือนก่อน

    We kijana Kwa Tamaaa ya kupata cheo ndio uuze utu wako uwe kama mwanmke Wal hukulazimishwa ulifany kw hiari yko , daaah we kijana sikumalizii maneno ila umefeli sana Yan umeboa sabb ulifany kw hiari hujabakwa

  • @yussuphharawe8075
    @yussuphharawe8075 ปีที่แล้ว +1

    It's a network

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 ปีที่แล้ว

    Da verdade e muito triste e um assunto que nao podia acontecer.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน

    Na huyo viongozi wakamatwe wote ndomaana kesi hizi hazisikilizwi kwa sababu wanaofanya ni viongozi ndo wenyewe shughuli hizi

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

    Hatari sana

  • @hassanalkinanga
    @hassanalkinanga ปีที่แล้ว

    Je mtu kama hyo atakuwa na uwezo wa kuzalisha kweli ,wataalamu naombeni jibu

  • @nasirnassor449
    @nasirnassor449 3 หลายเดือนก่อน

    So sad 😢

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 ปีที่แล้ว

    Allah azidi kukuongoa ndugu yetu

  • @aineskikoti9420
    @aineskikoti9420 ปีที่แล้ว +1

    C ndo dini iko huko jmn eb Zanzibar mjitafakari vzr manake co pouwaaaaa

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 4 หลายเดือนก่อน

    Rais usifungie macho wakubwa ndo wanaoharibu watoto wakamatwe wote na wafungwe kifungo cha maisha au wakubwa watazid ndo vijana wanaharibika wakubwa ndo mnawaharibu watoto wa wezenu

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +1

    Hicho kisiwa ipo siku kitazamishwa na bahari