WANAUME LALENI NA KANGA WANAWAKE TUSIANDAMANE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.พ. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 44

  • @zainabnoor2278
    @zainabnoor2278 4 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran kwa kutuletea somo mwenye madini yake MashaAllah...Allah awahifandi

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 4 หลายเดือนก่อน +4

    Asante Madam kwa Darsa Nzuri Tunapata kujua yaliyojificha Naangalia kutoka Oman

  • @user-bt8bk7pm6e
    @user-bt8bk7pm6e 4 หลายเดือนก่อน +2

    Somo pambe na nusu Mashallah Allah awabariki

  • @RahmaRashid-lc6nw
    @RahmaRashid-lc6nw 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah Mashallah somo bado uko mdogo lkn una madini unaokoa ndoa za wengi mafunzo yamejaa staha nakusikiliza kutoka Uk

    • @soamShs-cp4dl
      @soamShs-cp4dl 4 หลายเดือนก่อน

      Msikilize vizur sababu sababu waume zenu wakija Tanzania mara nyingi wanaowa unachezea mambo ya kanga haha

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw 4 หลายเดือนก่อน

      Ndo weye nn umeiba mume wa watu hahahhaha

  • @muhammadMwinyikombo
    @muhammadMwinyikombo 3 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli ilmu ni faradh ❤

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana dada

    • @TheFire_Gamer
      @TheFire_Gamer 4 หลายเดือนก่อน

      Najoto hili ni bora uvae kanga

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana. Kipindi safi sana. Natamani kanga. Ila sijui ntazipataje

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 4 หลายเดือนก่อน

      Mtafute somo kwa no iliyopo japo kweny kioo utapat kanga pambe tu

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakallah

  • @atfatabdul5414
    @atfatabdul5414 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah ❤❤❤

  • @abuufarheenfarid9320
    @abuufarheenfarid9320 4 หลายเดือนก่อน

    Sio kisiwa ni visits vya Zanzibar (Unguja na Pemba)

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 4 หลายเดือนก่อน

    Nimepata somo kubwa sana , maana halisi ya khanga

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 4 หลายเดือนก่อน

    A: Unajua ukiwa somo unakutana na vitu vingi
    B: Bila shaka!

  • @aishabarua6857
    @aishabarua6857 4 หลายเดือนก่อน

    Shukuran daa Hatia,kwa mafunzo ya kanga

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 4 หลายเดือนก่อน

    Yaan raha sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @AshaMakame-dc4nz
    @AshaMakame-dc4nz 2 หลายเดือนก่อน

    Madam, kanga ya shingo hata kwa mwanamke alieolewa, has Kwa mwanamke mwenye kibuno

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 4 หลายเดือนก่อน

    makosa jamani kusema maneno hayo kila mzanzibar anajua

  • @abuufarheenfarid9320
    @abuufarheenfarid9320 4 หลายเดือนก่อน

    Visiwa

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 4 หลายเดือนก่อน

    aibu jamani umwambia mwanamm e maneno huyo makosa jamani hiyo ni siri yako na mumeo tu

  • @user-ej9sn1qq1p
    @user-ej9sn1qq1p 4 หลายเดือนก่อน

    Somo inamalezi ndani yake.

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 4 หลายเดือนก่อน

    Khanga imaongeza nguvu😂 we mwana utazifanya ziadimike😅

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 4 หลายเดือนก่อน

    Nitavaa kanga iloandikwa *ukisusa wenzio wala*😂😂😂😂

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 4 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

    • @ttss3712
      @ttss3712 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂Jmni mbn kumtishia mwenzio😂😂

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @maryammaryam7773
      @maryammaryam7773 4 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-gz5qu5qy1y
    @user-gz5qu5qy1y 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaha jamaani hadimpunguze uwazii wengine wanao tazama ni watoto

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mtoto kafika youtube? 😂

    • @bintiyusuf9
      @bintiyusuf9 4 หลายเดือนก่อน

      Dada attiya naomba no yako please

    • @kulthum8335
      @kulthum8335 4 หลายเดือนก่อน

      Mashallah ​@@AttiyaHassan_somomtoto

    • @user-gz5qu5qy1y
      @user-gz5qu5qy1y 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@AttiyaHassan_somomtoto hahahahkqhq watoto wengine wa kimaumbile yaani bachela na bachelati wakiskia hivo mnawatia mawazo hawana wa kuwavalia hahah 😆 😂

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-gz5qu5qy1y basi wana hashuo kutaka mambo si saizi yao muhim walengwa ujumbe uwafikie

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 4 หลายเดือนก่อน

    Mmekosa adabu .
    Washenzi mlokosa haya.
    Mbwa kasoro mikia nyie .
    Mambo hayo yana wenyewe wala wasingejianika hapo kuongea .
    Mambo ya wakubwa yana ngariba.
    Mmekaa hamna tafauti na mashoga ama malaya wa kizungu kuongea uouuzi hawana sehemu wala mafundisho kutoka kwa waalimu.
    Nyie mkifanyiwa kazi na kama nyie basi hatuna haja ya ushenzi na ubaradhuli wenu.

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 4 หลายเดือนก่อน

      subhanallah, ni vizuri ungewaambia kwa lugha nzur kuliko kuwamalizia matusi kama ivo,kumbuka hawa ni binaadamu si wakamilifu. kama kila anaekosea anatukanwa uislamu usingepata mtu.

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa kosa gani haswa kwenye hiyo mada ilojadiliwa? Allah amsameh yy na sisi​@@Allybinamour