Dah!!!kwakweli ili Jambo limeniuma sana.pole Sana ustadh wetu ni mapungu ya kibinadam yalio tokea na ishaALLAH m/mungu atuswameh makosa yetu yote ss na wazazi wetu Kwa ujumla
ukilelewa vizuri utajuwa utaishimu kila mtu na utakuwa na tabiya nzuri na hata elimu utachukuwa mahala pazuri wangapi twaona kwenye mtandao wanatukana mashekhe bila hata uoga.nini malezi mabovu na au kalelewa vizuri kaiga mambo ya siyo faa nimtihani sana allaah anamuongoza aliye kuwa tayari kuwa mzuri watabiya mwanzo wa kutoka kwa wazazi wake
Hii tabia vijana au watu waache kutoa kauli chafu au matus kww watu hata kama kwel umekosea ila jifunzen kuwa na subra na usikimbilie kuhukumu wenda aliekukosea hakujua au bahat mbaya, Sasa kuna siku kijana huku alikuwa yupo na pikpik akawa anapishans gari fulan kwenye barabara ya vumbi sasa kuna mvua ikawa imenyesha kukawa na maji, kwa bahat mbaya ile gari ilikuwa speed ikarusha maji yakamrukia yule jama vibaya sana, sasa yule jama akachukia kile kitendo akaanza geuza akaanza kukimbizia ile gar had alipofika usawa wa mlango wa mbele akaanza kutoa matusi ile mbaya, kumbe mule ndan ya gar kuna mkuu wa wilaya bhn mbaya zaid ile gar ilikuwa na bendera sasa cjui yeye hakuona, Kilichofata 😂😂 alichukuliwa had polis, kufika pale kesi kumtolea lugha ya matusi mkuu wa wilaya alikaa lockup, badae akaanza kujitetea oh sikujua kama mkuu wa wilaya wakamuuliza kwahyo angekuwa hata kama si mkuu wa wilaya je kumtukana mtu tu inafaa? Ohh nisamehen hasira tu. Bas hiki kisa kinatufunza juu ya kujifunza kuzuia hasira zetu na kuomba sana kwa Allah hata kama utakutana na jambo la kukukera vipi bas Allah atujaalie hikima na subra sana, kwasababu hasira na ghadhabu madhara yake si mazur.
Heshima ni muhimu na Tabia haibadiliki itakuwa anafanya hivo kwa wengine mpka kaona huyu ni nani ndio kaja chini , Allah awanusuru watoto wetu na wa wenzetu na tabia kama hizo
Pole shekh wetu najua inavyouma hata mimi nilitukanwa sehemu ya kuuza viatu nilishika kiatu nikakiangalia nikajaribu hakikunipendeza nikamiacha mwenyeduka alinitukanasana mbeleza watu niliumiasana katokea shekh mmoja kasema ondoka usimrudushie mimi nikashukur nikaondoka ilaniliumia sana, kwa kweli tz maadili kwa wengine nimtihani, mimi naona hatawatu huko nje yanchi watu wakirudi tz wananunua vitu ambavyo tz vipo natena penginehukubei juu, watuwanasema bora ninunue kitu beijuu lakini cha uhakika na kauli zawauzaji nzuri,
Pole sna shekh wang nakukubal sna ila nivzr ulivyo mpa asant bara baran makosa tumeumbia sisi binaadam haswa bara baran mm dereva ila nikimkosa mtu nampa asant na kumuomba samhn hat km kanikosa yy nimemkosa
Vijana wenzangu tuweni na respect na subra wakati tunapo tunapokuwa kila mahali leo katukanwa sh othman maalim siku nyengine utakuja kumtukan mzee wak au mkwe waking
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Inna lillah wa inna ilayhi rajiun. Hata kama angekuwa sio Sheikh. Ustarabu, adabu, utu na ubinadamu ni vitu muhimu sana. Nidhamu ya mtu ndio silaha yake. Hivi huyu alie tukana angependa mzazi wake atukanwe hivyo kweli jamani?
weye ni jahili usiejua lolote ila fitna. visa havijaanza na Othman Maalim, visa vimo ndani ya Quran na katika hadithi za Mtume (SAW) kama hujui, na maisha yote ya bwana Mtume (SAW) ni kisa na visa. Na hata kuzaliwa kwako weye pia kumetokana na kisa mjinga mkubwa wee
Sheikh ana sauti ya hekma lkn anavitu vya kitwahuti hataki kujua mtume kafanya au hajafanya yeye anajiangalia utaalam wake tu .huyu ni shehe wa kuadhibiwa km kuna sheria za dini bidaa anaipenda kuliko kuvaa kwake kofia na kanzu
Mimi ni msuna lakini napenda sana kumsikiliza labda aongelee maulidi na dua za fatihh ndo nisisikilize lakini napataga faida sana kwake yeye kama anaijua haki afu haifati kwa maslahi yake atajua mwenyewe lakini usiache kusikiliza kisa ni msufu
Kuja hawa masheikh wengine wanaokosoa wezao utasema wao wamwkamilika huwa wanawadharau hawamashekh wengine mtu kakosea mfuate sasa hii kupigana maradi bila ya mvua inaleta tabia mbaya.
shekhe mwenye hakma zake masha Allah Masha Allah mungu akuzidishie hekma na busara na subra na imani nakupenda sana kwa ajili ya Allah
❤❤❤shekhe wangu kipenzi ❤❤mungu akujalie moyo uwo uwo unatuelimisha vijana ❤
Sana ndugu
Amin Yaa Rabbal aalamin
Ndio changamoto za dunia polesana shekh wetu❤❤❤
Subhanallah mwenyezi mungu akufanyie wepes na akutangulie kwa kila hatua uipigayo Nakupenda kwa ajili ya Allah
Pole sana shekh Allah akuzidishie subra na uvumilivu shekh wetu😭😭😭😭😭😭
Ammina Kwa sote
Othman Malim Allah amhifadhi namkubali sana hata hivi ni msufi lkini nimepita mkononi mwake
Allah akulipe Kwa kua mkweli maalim wetu
Allah akuongoze ktk sunna
Ammin ya rabball allamin
Amin Yaa Rabbal aalamin
Courage, confidence, communication, character, commitment
Courage, confidence, communication, character and commitment
Pole sana. Allah akupe subra na uvumilivu
Masha Allah,,,, pole sn sheikh Othman Maalim
Allah akuhifa dhi shehe wetu
Mwenyezimungu akupe umrii mrefu Bado twakupendaa
Pole sheikh wetu Allah akufanyie wepes
🇰🇪Allah akuzidishiee Maalim wangu nakupendaa sanaa❤
Mm ndo nammpenda zaidi nahisi km nammpenda zaidi peke yngu
Pole sana shehe wetu allha akuhifazi
Sorry sheikh the guy may be sick madness.. very sorry you deserve better your the best sheikh..may Allah protect you. ❤❤❤
Hujambo
Pole sana sheikh, ALLAH akuhifadhi
Vijana wenzangu tubadilike
Tuwe na Subra hasa KWENYE NDIMI ZETU🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwl kabisa
Subhanalllah
Mashallah ustaz
Tunakupenda sheh wetu Mungu akubariki Kila hatua😊😊
Shukran Sheikh Othman Mwalimu
Hekima kubwa Sana
Shukran Kiukweli
Dah!!!kwakweli ili Jambo limeniuma sana.pole Sana ustadh wetu ni mapungu ya kibinadam yalio tokea na ishaALLAH m/mungu atuswameh makosa yetu yote ss na wazazi wetu Kwa ujumla
Ammin Allahuma ammin
Story ya zamani lakini iko up to date sasa. Mashallah
Pole ustaadh Mungu akuzidishie subr InshaAllah
Mungu aendelee kukupa moyo wakusamee shekhe wetu
Subhanallah Allah akujaze Subra na ikhlaswi Shekh wetu
Mungu akujalie moyo wa subra inshaallah
Subhana Allah
Pole.sana.shekhe.
Alhamdulillah
ukilelewa vizuri utajuwa utaishimu kila mtu na utakuwa na tabiya nzuri na hata elimu utachukuwa mahala pazuri wangapi twaona kwenye mtandao wanatukana mashekhe bila hata uoga.nini malezi mabovu na au kalelewa vizuri kaiga mambo ya siyo faa nimtihani sana allaah anamuongoza aliye kuwa tayari kuwa mzuri watabiya mwanzo wa kutoka kwa wazazi wake
Pole shekh mungu akuzidishie subra
pole sana my shekh nakukubalii sanaa❤❤❤❤
Ndivo walivyo waja pole sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah
SUBUHANALLAH
ALLAH AMJALIE PEPO SHEKH WETU
Ammin ya rabball allamin Kwa sote
Inshaallah make easy for Inshaallah❤❤❤❤❤
Hii tabia vijana au watu waache kutoa kauli chafu au matus kww watu hata kama kwel umekosea ila jifunzen kuwa na subra na usikimbilie kuhukumu wenda aliekukosea hakujua au bahat mbaya,
Sasa kuna siku kijana huku alikuwa yupo na pikpik akawa anapishans gari fulan kwenye barabara ya vumbi sasa kuna mvua ikawa imenyesha kukawa na maji, kwa bahat mbaya ile gari ilikuwa speed ikarusha maji yakamrukia yule jama vibaya sana, sasa yule jama akachukia kile kitendo akaanza geuza akaanza kukimbizia ile gar had alipofika usawa wa mlango wa mbele akaanza kutoa matusi ile mbaya, kumbe mule ndan ya gar kuna mkuu wa wilaya bhn mbaya zaid ile gar ilikuwa na bendera sasa cjui yeye hakuona,
Kilichofata 😂😂 alichukuliwa had polis, kufika pale kesi kumtolea lugha ya matusi mkuu wa wilaya alikaa lockup, badae akaanza kujitetea oh sikujua kama mkuu wa wilaya wakamuuliza kwahyo angekuwa hata kama si mkuu wa wilaya je kumtukana mtu tu inafaa? Ohh nisamehen hasira tu.
Bas hiki kisa kinatufunza juu ya kujifunza kuzuia hasira zetu na kuomba sana kwa Allah hata kama utakutana na jambo la kukukera vipi bas Allah atujaalie hikima na subra sana, kwasababu hasira na ghadhabu madhara yake si mazur.
Shukran ndugu Kwa ukumbisho
Pole sana sheikh wetu ❤❤❤❤
Pole
Allah atuongeze, msamehe Shkh Maalim Othman
Ashamsameh
Heshima ni muhimu na Tabia haibadiliki itakuwa anafanya hivo kwa wengine mpka kaona huyu ni nani ndio kaja chini , Allah awanusuru watoto wetu na wa wenzetu na tabia kama hizo
Ammina ya rabball allamin allahuma ammin
Pole shekh wangu nakukubali sana
pole Sana sheikh wangu kipenzi cha mimi
Pole shekh wetu najua inavyouma hata mimi nilitukanwa sehemu ya kuuza viatu nilishika kiatu nikakiangalia nikajaribu hakikunipendeza nikamiacha mwenyeduka alinitukanasana mbeleza watu niliumiasana katokea shekh mmoja kasema ondoka usimrudushie mimi nikashukur nikaondoka ilaniliumia sana, kwa kweli tz maadili kwa wengine nimtihani, mimi naona hatawatu huko nje yanchi watu wakirudi tz wananunua vitu ambavyo tz vipo natena penginehukubei juu, watuwanasema bora ninunue kitu beijuu lakini cha uhakika na kauli zawauzaji nzuri,
Allah Akbar ❤❤❤
Pole sana sheikh
Allah akuzidishie moyo wa subira
Pole sana shekh wetu
Dah, jaman tuwe na akhlaq had tu nafikia hatua ya kutukana mashekhe, Dunia inaelekea wap sijui, pole Sana shekhe ndo life hiyo
Pole sana
Allha akupe moyo wa subra ivoivo shee wetu
Pole shekhe Wang 😢
❤❤❤❤❤❤ KWA ajili ya Allah
pole mwalimu wangu subra naiona kwako
Pole mwalimu
الله يحفظكم يارب العالمين
Shekh wetu ❤️❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤❤❤❤
Ple sana shekh wetu ndio mitihan ya dunia😢😢😢😢
Sisi tunakupenda kweli shekhe Allah akupe nguvu ya kutufunza am alaam
Blind spot mbaya sana
Mungu. Akupe subira. Shekhe. Wetu. Changamoto. Hizi zipo nyingi. Allah atuongoze kwakweli
Watu wamagar weng sijui kwann hawana mdomo mzur wanatoa tu maneno bila kufikiria
Msamehe sheikh Othman...... Na Allah amuongoze huyo kijana...
Ata kiongox akiteleza huwezi mtus Amtake radhii maalim then alete towba kwa Allah
Ah!
Congratulations to Apologies to sheikh Osman
Allah amsamehe huyo kijana na mbadilike pia sio sheikh tuu ila kutukana tukana tu hovyo.😢😢
Allah azidi kupa sbra
Pole sna shekh wang nakukubal sna ila nivzr ulivyo mpa asant bara baran makosa tumeumbia sisi binaadam haswa bara baran mm dereva ila nikimkosa mtu nampa asant na kumuomba samhn hat km kanikosa yy nimemkosa
Kuweni na heshima mnapocomment ni mtu mkubwa uyu
Watu hawana adabu na Wanazuoni saiv
Mkubwa Mungu
Huyu ni mwanazuoni naye ?@@SoudShuraim
Aliye mkubwa ni Allah pekee anafaa tu apewe heshima
@@jumakapilima7295 kwan Mungu mtu?
Ulimi ni mbaya sana
Ila vijana kuweni na khofu ya Allah dunia tutaiacha jamani acheni matusi
1:15
Sheikh me nahomba namba zako tu
Wewe ulikuwepo walipochapwa? Au ndio nyie wakosefu watabia?
Vijana wenzangu tuweni na respect na subra wakati tunapo tunapokuwa kila mahali leo katukanwa sh othman maalim siku nyengine utakuja kumtukan mzee wak au mkwe waking
Hakika. Sheikh
Pole sana ndo binaadam hao
Shekh dunia imeharibika ata unaye mzania anabusara kumbe amnZo
Shekh othma tunao jua thamani yako ni sisi wabongo sijui kwanini unaishi Zanzibar hali ya kuwa wabongo tunakulilia ,,
Pole
POLE SANA SHEIKH WETU KWA MITIHANI HIYO
Daah jmn tuchunge limi zetu kwaio katukan haja jua km ni sheik othuman maalim kwaio wengin anatukan
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Inna lillah wa inna ilayhi rajiun. Hata kama angekuwa sio Sheikh. Ustarabu, adabu, utu na ubinadamu ni vitu muhimu sana. Nidhamu ya mtu ndio silaha yake. Hivi huyu alie tukana angependa mzazi wake atukanwe hivyo kweli jamani?
Hii story ya zaman san weken story mpyaa
Hoja stori ya zamani au kujifunza
Tabia hata iwe ya zama za kale haibadiliki story hii unayosema ya zaman haishi thamani kitabia
Watu wa kutupa maneno ovyo ovy wengi ni majahil
Mbuyu
Huyu achiwe tu sh wetu hekma na busara na flsafa ya kuongea ni jibu tosha mungu kampa neema
Huyu sheikh wa wapi? Chali Chali tu!
heshimu tafadhali kuuliza siujinga
Hujitambui wewe,,
Muache kiongozi wetu
@@user-sx1xi4yb2z kiongozi wa nn?
Tunataka story mpya eweshekh WA visa na Kwan kwenu kumtukana kiongozi sihalali?
Kwani kunaubaya gani kuhadisia tabia zawatu hivisasa,
Sidhani km unamuwazia mema huyu shekh,
Acha husda.
Au ndio wewe ulomtusi sheikh sasa inakukera tarifa
weye ni jahili usiejua lolote ila fitna. visa havijaanza na Othman Maalim, visa vimo ndani ya Quran na katika hadithi za Mtume (SAW) kama hujui, na maisha yote ya bwana Mtume (SAW) ni kisa na visa. Na hata kuzaliwa kwako weye pia kumetokana na kisa mjinga mkubwa wee
maskini qur,an na hadithi nizilezile ispokuwa Bible zabadilika jina zuri maneno ziro.hikma nimuhimu
Sheikh ana sauti ya hekma lkn anavitu vya kitwahuti hataki kujua mtume kafanya au hajafanya yeye anajiangalia utaalam wake tu .huyu ni shehe wa kuadhibiwa km kuna sheria za dini bidaa anaipenda kuliko kuvaa kwake kofia na kanzu
Mungu ndio mjuzi zaidi yako
Mimi ni msuna lakini napenda sana kumsikiliza labda aongelee maulidi na dua za fatihh ndo nisisikilize lakini napataga faida sana kwake yeye kama anaijua haki afu haifati kwa maslahi yake atajua mwenyewe lakini usiache kusikiliza kisa ni msufu
Mshenz ww
Sikushauri utoe fatwa ww kuna uwezekano ww unaejiona upo sahihi ukaingia motoni yy akaingia peponi. Fata yako uyaweke sawa kabla ya kuhukumu wenzio
watu sampuli yako wakati wa utawala wa sayyinah ummar walikuwa wa kicharazwa bakora,kila siku kuwatolea visa vya uwongo,hadith za alfu lela ulela!!
umefata nn hapa kama unajua hilo...au nawew anza kuelimisha basi kama unajua sana
Twakujua wewe huna akili vizur mbona ukacomment na upungufu wa akili yako jahil murakkabu
Subhanallllah
Kuwa n adabu we huyu nimtu htiramu
Kuja hawa masheikh wengine wanaokosoa wezao utasema wao wamwkamilika huwa wanawadharau hawamashekh wengine mtu kakosea mfuate sasa hii kupigana maradi bila ya mvua inaleta tabia mbaya.
NYAMA ZA WANAZUONI ZINA SUMU.
NYAMA ZA WANAZUONI ZINA SUMU
NYAMA ZA WANAZUONI ZINA SUMU