HIVI NDIVYO MADAKTARI WALIVYOTUMBULIWA ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Tatizo sio madaktari Bali serikali ajira hawatoi Kuna watu kibao wamemaliza kusoma hawawapi ajira mpk uwe na kadi ya CCM utasema hicho Chama ndio kilichokusomesha
Daktar mmoja vituo viwili....bado anaonekana sio mzalendo....baba sheni tuanze wilaya mbili dc mmoja.....alafu no usafiri twende sawa
Mtihani, Allah ampe nguvu aweze kufanya kazi zake kwa ufasaha,
Uajiri wa kiujomba ujomba hill pia tatizo kwa Zanzibar
Siasa na udocta ni vitu viwili tofauti! Kama mkuu wa wilaya una imani na wananchi bas umuajiri daktari mwwngine sio kuleta siasa.
Kabisa kaka 👍
Yan hiyo ndio athar ya kuwapa uongoz wanawake na watu wajinga
Asiende mazikoni wala asiwe karibu na familia yake? Wekeni madaktari watatu wawe wanapumzishana Lkn Daktari mmoja vituo viwili hii Sio haki
MashaaAllah mana mm namuangalia huyo bibi kiongozi alivyokua mnene. Yy mwenyewe hata anaeza kufanya kazi au anamsisitiza mwenziwe kuacha kazi tu?
Hahaha umeona ee anahitaji kujiangalia mwenyewe kwanza
Haiwezakani kabisa wakati yuko na familia yake huwezi kumwambia mtu lala sehemu fulani wakati kuna shifti basi hakuna kosa
Mkuu wa wilaya. Una gari mtaalam hana gari maajabu hayo siasa mbere
Uzalendo ni kufanya kazi kwenye mazingira magumu mbona nyinyi wanasiasa hamufanyi kazi kwenye mazingira magumu muna magari ya bei mishahara mizuri marupurupu tele
Hawa akili zao wanazijua wenyewe
Nyote washenz . Huyo jimama yeye mwenyewe hafanyi kazi . Na kama kaowa au kaolewa .itakuwaje . Wapeni nyumba waje wakae pamoja na familia yao
Musimlaumu daktari kwasababu daktari mmoja mnampangia sehemu mbili wakati kutoa ajira mnashindwa na daktari wapo wengi tu ss mtu gani anakae fanya kazi spitali mbili na apate mda gani wa kukaa na familia yake
True,,
Gari wanapewa wanasiasa wataalamu. Hawasaminiwi
Na daktari m1 spitali 2 halafu alale apoapo akirokea mgonjwa usiku amuhudumie jamani na nyinyi mumfikirie
Hawa wanasiasa akili zao wanazijua wenyewe
Mungu awape taufiq wawexe kutekeleza majukumu yao ipasavo
Bora hata nisikomet chochote mshenzi tuu huyu mku wa nini sijui
Wanafunzi WA Zanzibar school of health nakuoneni muhajir,MKUBWa na wengineo
Hata wao serekali wote wanaofanya kaz ni wavivu
Kazi nzuri bi Hamida Kamishna , lakini serikali iwape pembejeo wafanyakazi kama usafiri nk.
Pia wafanyakazi tubadilike “service to man means service to god”
Hamna jipya hvi madaktari hawapo wakaajiriwa mpka dokta mmoja vituo 10? Lkn pia maslah ya smz ni mabovu wafanyakazi hawapewi motisha lazima watoke iman na nchi yao bana
Muajiri madaktari wengi lkn sio daktari m1.wapo kibao wamemaliza kusomea waajirini na wengine zaidi
Nyumba ya Daktari imejaa mavi ya mbuzi. 😂😂😂😂Zanzibar hakuna nidhamu kwa walopewa majukumu Wananchi wako kwenye mateso makubwa.
Uzalendo hauji na njaa
Wapeni usafiri wa magari ,magari yote mnaendesha nyinyi wanasiasa ,Udaktari ni kujitolea boresheni huduma vile vile wajihisi kama wako town.
Ktv tz online hakika hii ni Fahari yetu 👍
Zanzibar siasa nyingi Hanna kitu
SHUKRAN KTV TZ online hakika hii ni FAHARI yetu
Sheria na huruma musijifanye wakuu kisha mkaongea tu
Mumepa usafiri wa kutoka huko porini kwenda sehemu nyingine?
Kama ziko Hospitals lakini hakuna Madaktari hiyo ni balaa kubwa. Basi bora leteni Companies za njee waje kufanya kazi.. Zanzibar haina maendeleo kabisa.
Ndio mambo ya dunia(dunia duara
Jambo la muhimu ni busara na uvumilivu na ushirikiano.
Yaani zanzibar usingizi ni mwingi sana,kiongozi ata kuongea hajui,mungu tusaidie usingizi zanzibar kiutendaji uondoke na pia viongozi wa zanzibar muache kuvaa vi suti vyenu vinavofana,kila mtu akishaitwa muheshimiwa basi vile visuti kama mesenja,haijuilakani dereva nani haijuilikani usalama nani haijuilikani waziri au muwakilishi au mbunge kutoka zanzibar ni nani,badilikeni kwenye mavazi.
Viongozi lazima watambue Sheria za kazi.ili kituo kiwe Cha masaa 24 na idadi ya wafanyakazi Ni miongoni mwa sifa ,mfanyakazi kwa siku anatakiwa afanye kazi kw masaa nane na nusu na apate siku mbili za off km unataka ake kituoni masaa 24 huo Ni muda wa ziada haumlazimu km hataki.
Km viongozi mnahisi Kuna umuhimu mlipeni over time.msiwanyanyase.
Kwanza hawa Madaktari umewaandalia Maandalizi ya makazi au ni kutaka sifa Kwa watu Sasa hao Madaktari hata usafiri hawana mumewakusudia Nini Kituo kipo lakini Kwa kutoa huduma itakuwa ngumu wapeni usafiri wa uhakika ili wawahi kazini mapema la sihivyo mutapepeya miku tu
Hapa siasa 2 sio utendaji ccm oyee
Huyo mkuu wa Wilaya yeye mwenyewe mgonjwa angalia hivo alivyo tumbo,ziwa, tako yote yamekaliana sehemu 1 hata hawezi kumaintain mwili wake...Ovyooooo
😂😂😂😂😂😂😂
Tuuzieni hizo nyunba cc tunazitaka
Daftari l a Kudumu twalinunua mamilion daktari mahospitalin i hamna miaka 60 mapinduziiiiii hahahaaa
Wameonewa wapo huru Umuhimu ni kazi nzuri tu daktari hafukuzwi??
KTV online hakika hii ni fahari yetu.
serikali iengeze wafanyakazi wenye uzalendo
😂😂😂😂😂😂 viongozi wetu hawa eeeeh. Sasa masaa ya kazi ya daktari yakoje? Mkuu wa Wilaya au mkuu wa vilaza?
Hawa tatizo wanaajiri watoto wenu vyeti hawana huna lolote wewe Mkuu wa Wilaya Wewe mwenyewe hufanyi uadilifu
Nyinyi kazi zenu siasa chafu tu rekebisheni sana hao madaktar uchwara na wauguzi wenu uchwara wana dharau sana hawajui wajibu wao unakuta mtu anasomea unesi au udaktari halaf hatak kuwahudumia sasa kma huwez kuhudu kasomee mambo mengine kwann ujitie huko pumbavu zao aanzeni hosptl kubwa nazo ujinga mtupu
Mmh wallah wazungu wanaweza kwenda peponi wote
Why
Hizo hisia zako zinakudanganya
Madactar wangapi wapo majumbani bila ya ajira
Serikali yenyewe ya kizalimu washanzi nyii
Kinacho takiwa kifanyike hizo nyumba Kama madocta hawazitaki kukaa zipijwe mnada cc tunazitaka
Ha ha ha haaaaaaaa
Hata mimi nazitaka🤣🤣🤣
😁😁😁😁😀
Mmewapa usafiri? Eti daktari anapanda daladala au boda boda😂😂😂😂😂 Motû kishasoma miaka zaidi mitano Tena Mara nyingi huwa nje ya nihilism halafu muwaweke kwenye mabanda ya mbuzi,Kituo cha kutoa huduma masa 24 kilo wapi wakati umeme unazimwa Kama unavyozimwa kutwa.Hakuna cha uzalendo mnatakiwa muwajali wafanyakazi wenu ikiwa daktari aache maisha hake ahamie eneo la kazi basi wawekeeni mazingira rafiki
Safi sana mkuu wa mkoa
Kufa.nya kazi kwa mazoea ndio sababu inayopelekea haya.ukijumlisha na dharau kama mnazi mmoja anofunguwa chumba cha ultrasound ni mtu mmoja tu na funguo anaondoka nayo usiku likitokezea tatizo anasema mie siji saivi uko.... yani 😢 mtihani kwa kweli
Na wakati kapangiwa zamu yake awepo mda ule lakini ikisha hachukuliwi hatua yoyote. Wewe unaenda zikwa yamekwisha.
Ktv mtafuten MALIIM SEIF SHARIF HAMAD MUMUHOJI LINI ANAAPISHWA MIAKA INAKATIKA KIJAMBO CHETU VIPI
dah
Muda wa kura umefika sheria na huruma kwan serekali imeaji daktar mmoja tu musiwe wachoyo wa fadhila kosa dogo tu habar mitandaon
Sasa uzalendo wa kufanya kazi vituo. Viwili. Dotka Hana makosa. Muajiri watu. Wawe dota
Nyumba ziko vizuri lakin zinaonekana hazikaliwi na mtu
Pia zinahitaji maboresho kidogo
Dah hatari sana kwa nchi zetu maana daktari mmoja awezi kuhudum sehemu mbili
endeleeni tu hao ni ccm mbele kwa mbele
Ajirini watu na ww mkuu wa wilaya acha kaz
Apo cha kufanyika ni kuweka mazingira Sawa hapo anapoishi Daktari atakaa tu, lkn km mazingira hayo binafc sikai, chwaka huko heeeeh,
Na hawafanyi kazi kwaupendo daktar anatakiwa awe na upendo wakufanya kazi
siasa mbele mama usiwe nanyodo kiasihicho
duuuu. kweli hapo si unakufa unajiona
Musituzingue Zanzibar kuna jaa uozaa eti hospitali kama huna mwenyeji huduma hupati ipasavyoo
Msiyatumie madaraka kimabavu
Hamnalolote mshaishiwa
Safi sana mkuu,ni mtihani kweli kuona mtu anatetea uzembe wa namna hii,hapa tunazungumzia afya ambayo ni maisha ya watu,lazima watu wawajibike,maana ktk kiapo ulikubali sasa kama huwezi ni bora kuacha sio kusema hufanyi then unapewa mshahara
Kwa mshahara gan
Tatizo wazanzibari tunafanya mabo kwa muhali maana ktk hospital yetu kuuu unapo kwenda usiku Mara unaambiwa daktari ametoka
Muongeze kuwaajiri watu wapooo
Ni vzr wakiwepo madoctar kuanzia 4 waweze kuingia kwa kupishana asiwepo mmoja itakuwa usumbufu kwa wagonjwa na kwa huyo Doctar
Mwambie tu huna kazi kuanzia Leo na sio aandike barua
Hawezi kumwambia kwa sababu anajua huwezi kumpanga mfanyakazi mmoja katika vituo viwili (kisheria).
Viongozi wa Zanzibar hawawezi kutumbua majitu
Munaachisha kaz wasomi
Humo kwenye nyumba huduma muhimu zipo lkn? Isijekuwa choo kibovu, maji hamna, n.k
Huwo ni unyanyasaji kwa raiya, halafu wasingiziw serikali na imewaajiri na wanalipwa mshahara kamili kwa mujibu kwa mujibu wanavyotakikana wafanye kazi, ukichunguza muhishimiwa wanafanya kazi kwenye private. Sasa serikali ichukue hatua kwenye private hospital lazima wajue list za madakrari na nursy wanofanya kazi dipo mtapowapata wote wanao dhalilisha wagonjwa, pia hospital wizara ya afya lazima wawawekee madaktari kusayni time shift kwa kila kituo anacho ingia na kutoka sio wakilipwa pesa za bure na hawatoi huduma kwa raiya. Serikali haitoshindwa kuwekwa computer kwa kila kituo kwa ajili ya hao madakrari na wafanyakazi kusayni wananapoingia na kutoka.
Wewe huyajui, wanafunzi tu wanaotakiwa kufundishwa kwa hizo computer basi unapita skuli hamna hata computer moja.
Ali Issa nyumba zipo kwani wamekatazwa kuishi na familia zao ? Kama hawakukatazwa muhimu walale kwa kuhudumia wananchi
Hospital manug'uniko police na hao popo bawa viringo majini wabakaji manug'uniko kilakitu👎😠👉😂😂😂😂yatatibiwa mavi ya mbuzi.Watumbue majipu yaki toka damu usaha alimradi yasha tumbuliwa👌
👀
Ugatuzi,changamoto na majensi kiswahili chei chei.
Ovyoooo
Siasa nyingi, ajir madaktari ww wachen siasa
kila anaeongelea uzalendo hapa basi aujue na maana , nyie mshawahi kuuguliwa na familia ikawa huna muuguzi karibu ? au kwa kuwa hayajawafika ? ushawahi kupoteza mpendwa wako kwa uzembe wa dakitari kutokuwa kazini ? ukipewa jukumu aidha likatae kuwa huliwezi au litekeleze ipasavyo , mna maana gani mkisema ana familia yake atalalaje mbali ?? kwani wale alopangiwa kuwahudumia sio binaadamu ?? si analipwa ? na kama kulikuwa na malalamiko si ayapeleke kunako husika ??
Wanasiasa huu wanaoufanya kwa watoa tiba wetu ni uhuni kabisa huwez kumpa daktar vituo viwili halaf unataka apige kazi masaa 24
Tuache siasa kwenye taaluma tusizozijua
Tuache wenye taaluma wafanye kazi kwa taaluma zai na sio kwa matashi ya wanasiasa
umempiga chura teke kwa mshahara gani si bora ukauze dagaa hupangiwi mda
Ajirini wengine basiii
kwani dokta wahicho kitengo yupo peke yake
Niuzieni mimi hiyo hospitali
Naomba uniajili naahadi nitakua 💪
Mkuu on call unaijua kwel au unatamka tuu 🤤🤤🤤 nyumba tupu haikai mtu 🤤🤤🤤🤤
On call mnawalipa allowance zao ????
Ongezeni maslah na sio kuwadhalilisha mtu mmoja hawezi kufanya kazi 24hrs,ktk dunia hiii hakuna inchi inafanya hivyo mnatudhalilisha kwa kuwa hatuna pakwenda, kirahisi tu tuache kazi sidhani Kama Dr shein kawaagiza kufanya hivyo
Wagonjwa kweli nyie
Xx kimtizamo doctor yupo sehemu 2 jmn uyo mtu atafany nn jmn
Langu jicho to
Ujinga tuu, hizo zinazoongelewa zote ni Pumba tuu.... Wamekaa kama hawana akilj