HII NDIO NYUMBA INAYOTILIWA MASHAKA CHUINI ZANZIBAR
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Editors:
Ali Hassira
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Mie hekima yangu pindi wakikutwa tena km hivo wote wapimwe virusi ....hao wamekuja kujiuza lkn walishaambiza wakiulizwa wote kwapamoja waseme kauli zilofanna waseme tumekuja kutafuta maisha nasio kujiuza ...lkn hao wamekuja kujiuza ....wasohaya wala aibu kulala pamoja nawawake wanaume astahafirullwahi
Ndio jela wanawekwa watu milioni chumba kimoja lkn tayari kule nijela na wale niwafungwa walikua wahalifu lkn wao ni raia wakawaida iweje waishi namna km hii nakila mmoja anatakiwa kulinda vyema afya yke ivo kweli usalama upo hp nimtihani
Mm naona wangetumia busara wakawatafutia sehemu yakukaa lakini kuwafungia hiyo siyo suluhisho watafutaji wanatakiwa kupewa sapoti
Lkn uyo demu mmoja mkali kweli
Zanzibar nijema atakae aje jamani
Simuwaletee magodoroo
Ndungu..zenu..wadamu.hao..msilalamikie.bure..wauuza.nyama
Sasa waondoke wende wapi naawamekuja kutafuta muwafikirie serikali sehemu nyengine yakukaa
Sasa serikali kwanini msiwasapoti hao kwa kuwaletea vitanda vya double decker na magodoro, kumbukeni hao ndy wapiga kura wenu wakiwa bara au zenji.
HIZI BIASHARA HIZI ZIPIGWE MARUFUKU ZANZIBAR, HAWA WANALETWA KUICHAFUA ZANZIBAR HULKA ZAKE NA DESTURI KIZANZIBARI.
Ficha ujinga wako ndugu
Ficha ujinga wako ndugu
Zanzibar hakuna utakachofanya kikaendelea sasa anawatakia nini lohhh😏
Jamani watanzania wenzangu mbona hatuna zuri? Hapo hoja sio kulala chini, maana kama kulala chini mbona wengi tuna lala chini. Hoja hapo ni wingi wa vijana wenye malika mbali mbali kulundikana chumba kimoja, tena wake kwa waume. Ushauri wangu kama kweli wanafanya kazi kwenye kampuni na wanalipwa pesa washauriwe watawanyike kutafuta vyumba vya kupangisha mmoja mmoja au hata wakishirikiana wawili chumba kuliko chumba kimoja kulala watu 40 jamani Afya zenu ni muhimu sana.
Hivi ndio vile viwanja tunowauzia watu tusio warambua kwatamaa zetu waznz mwisho wake ndio huu.
Mbona jela watu wanalala chini waachieni huru wafungwa muyafunge magereza watu wanaongea wameridhika kwasababu wapo kwenye utafutaji munawafukuza linafunga nyumba je munajua huko wanapoelekea wanaenda kufanya nn?think before judge this is not fair
Peleka kwao tanganyika malaya tu wanao tuharibia maadili ya kizanzibar
Wanunulie godolo ujinga tuu wanatafuta maisha
Toba wee viumba vinne watu 82 vyooo vitatu viumba vinne
Kulala chini ni jambo la kawaida tu shule nyingi hazina madawati kwanini hamsemii???
Wameletwa kueneza dini Yao ao wooote wakiristo baada ya miaka 2 Zanzibar wakiristo wengi kuliko waislam halafu ikifika usiku wanajiuza hawajapimwa wanaeneza ukimwi tu
Utamsikia mtu anabana pua akisema eti nyie mbona mpo tele bara ...tupo ndio lkn tunasema na shida zetu mmetuona tukaja kufanya ujambazi au kufanya ukahaba sie tunakuja kwa biashara ....matoho nyie
Mimi namuuliza huyo anaehoji je yeye anapata stahiki zake zote huko kazini Kwake?
Always anaetafuta hachoki na siku zote mzigo wa mwenzako ni mzito lkn wanaofanya kazi private ndio hukutana zaidi ya hayo.
Kipindi cha uchaguzi mnawakumbatia na mnawapa vitambulisho ili wawapigie kura ukimaliza uchaguzi hamuwahitaji any ways hiki kitu si kizuri
Kweli
Je ww unataarifa nao mtu akitoka sehemu kwenda sehemu nyengine nilazima wawe na barua ya uhamisho kwenda sehemu nyengine km barua ya mzee wa kijiji au barua ya sheha
Hawalifqmu wqnalp tens wana mambo yao
Pia kulala chini sio shida muhimu kutafuta riziki ya halali lkn sihawa wamekaa km mamba ninachowapitia wamemeza wapimwe afya nyoko hao
Daaaaah watu wabaya jmn kiasi hichi hawa watu jmn eeeh
Yy wazanzibari jiaminini tanganyika wanafukuzwa wanaiba 2 sheha hana habari mtaani
Mm naona kull chini hilo siotatizo maana hata sisi ambao tunayo majumbayetu wengine wanall chini ila nibora wazifanye hizonyumba ziwe za wanawake mbali na wanaume mbali wasichanganyike kama hivyo.
Sasa mnawasaidiaje watu wamekuja kutafuta pesa watu wa zenji vipi nyie Yani mtu kulala chini ndio nini sasa
Towa watu hao wewe sheha machangudowa hao waongi
Ila wameongea vzr vijana kwa kweli lkn kdg iyo si hali
Nyie jiteteeni kwa njia nyingine acheni kusingizia walio toka kwani hawajaonekana wao mumeonekana nyie mungu awasaidie muondokane na maghadhabu hayo
Mm sisemi kitu Ila kwamaisha nilopitia kulala chini nikawaida tu kama natafuta
Ukiwa katika uongozi una gari la serikali hujui kama wako wengi wanalala chini TZ wee unastaajabu
fukuza mkuu huyo anawabubuzi ndungu zetu wa damu hao ndio wapiga kura
Njaa hizo kwao ndio mana yanawakuta kwao shida hau
Achene kunyanyasa wat jaman na sisi tuko oman tunapitia chanagmoto kibao ba wala hamufanyi lolot mnakera bnwa mtu akiamua kutafuta ashakubali lolote litakalo tokea mnakrea bwna
Wahusika wakamatwe na kuhojiwa
Wa znz mna pupa mngepandikiza watu wenu kuupata ukweli inawezekana wanakusanywa ili kuuzwa nje ya nchi, pia mnajua fika kwamba mashoga na wasagaji wanatamani dunia nzima tabia zifanane na wao mshaukosa ukweli, na hakuna kampuni itarundika kundi ktk la watu ktk nafasi finyu na hasa wanatoka nje ya znz hiyo Habari limenitia chungu mimi km mzazi.
Kulala chinii ni ajabuu jamanii katika kutafutaa
Mbona gerezani wanalala zaid ya watu 50 tena hao hawana hatia yoyote
Siwalaumu kw sababu wamejitoa kutafuta maisha...ndio njia y kujikwamua na umaskini..ni heri y hili kuliko kua wala unga na wauza viuno
Ufaham wao umefungwaa si kwa majbu wanayo toaa
Watu sio kama wanapenda kufanya hivi ispokua maisha yamekua magumu watu wana struggle kutafuta pesa kazi yoyote wanafanya
Upewe mauwa yako kabisa iyo Ni Kweli 🎉🎉🎉
Baazi ya Wabongo humu munakoment kwa uchonganishi tu sasa habari hii ina uhusiano gani wa kutaja raisi samia anahusikaje halafu km hatufanyi kazi munazofanya nyie sasa kuna tatizo gani km munapenda kazi za kinyama nendeni arabunu si mumezoea kufanywa watumwa nyie sio hapa zanzibar
Si mumtafute mmiliki wa nyumba?
Sasa huo kama sii upuuzi nini mpaka uwape suku kwani usifunge hapohapo
Sasa cha ajabu ni kipi mtu anayetafuta rudhki ya halali na analala chini na yule anayejiuza au kuiba kipi bora hebu acheni mambo ya ajabu alafu pia hakuna mtu aliyezaliwa ktk utajiri pasipo kuteseka
Wapiga kura wa chama tawala wache watumike
Mbona busati lipo sheha
Warudishwe kwao tu
CCM INATUHARIBIA NCHI YA ZANZIBAR.
Kufuzwa mashoga hokoa
Naona huruma jamaniii uuuwiiii
Huomtihani shekhe
kutusambazia maradh tu
Hhhhhhhhhhhhh hatar
Sasa ubaya gani hapo? Kulala chini au
Mlikuwa mnataka wawe majambazi? Ajira zenyewe hakuna sasa mlikuwa mnategemea nini kwa taarifa yenu kuna vijana kama hao wanaokadiliwa kufika millions kumi na tisa hawana ajira subilini sensa mtajua hali ni mbaya hasa mijini hambako hakuna mashamba
Hahahahaha, kweli ajira hamna
Sasa siwangebaki kwao basi wakalima kwani lazima wake huku ajira ndo Hamna huku tumejaa tele wakalima wakishindwa na kwao pia miji ipo wangepaki tu kwao hii ni kusababisha makahaba na vibaka kuwa wengi
@@zainabmahmoud5501 We mbulula kweli Yani watu wanapambana wewe unaongea ungese
@@rashidikanyama7227 mbulula mimi au hao ndugu zako wasio na akili mara ngapi wanakamatwa kwa kurundikana mmezidi mbaki makwenu mmeuwa kero juzi tu walikamatwa wanalala kwenye varanda za majumba yamichezani mtu kwa mkijiona Hamna ajira mrudi makwenu sio kuzurura ovo kuna mambo hapa znz hatuna asilili nayo kwetu ni maajabu walasiushamba mbaki makwenu mlime mnaardhi yakutosha na sio uko tu aende kwenye mahoteli hao wanaoletwa kwenye treina mijitu tele Kazi hawapewi wanahakaika kutafuta mabwana hawana pakukaa et kulima ndo hawawezi rudini makwenu hamjafukuzwa kwenu
Walikuwa wabakie makwao wakalime kuna mapori tele ya kulima znz haina nafasi hata ya kulima
Nyie mlitakaje
Hivi huyu dada anaongea nini.
Ukimwi ukimwi ukimwiiii
Waondoke waende wap
Hio inaitwa Zanzibar njema atakae aje
🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Zanzibar njema vooo, kwani haitangazwi Hawa wabongo warudi kwao uko wakafanye shughuli zao mjini na mashamba wamejijaza vibaya mno Hawa watuuu balaaa zito mm naona loooh
popote kambi sio
Awaa wamelogwaa
IPO haja ya watu wenu waangalie vipindi vya habari ili wajue jinsi ya kuhoji ki professionaly
Nimewasifu kweli vijana mpo vizur mnatetea riziki
🎉🎉🎉
Kibongobongo
HAO NDIO WANATUMIKA KIPINDI CHA UCHAGUZI KIPIGIA FISI M.UKAWASACH WANA VITAMBULISHO VYA UZANZIBARI
Umesem kweli kaka
wabongo wamejaaaa
Yaaan wamenilumbusha kweli hawa mwaka 1995 wazanzibar tulipokimbilia london lakin sisi ilikuwa chumba watu 6 hawa wametisha watu 80
Mbona wenyewe hawana shida! Mbona wazanzibar wengi tu tunalala chini mpaka hao iwe ajabu. Sababu zenu hazina mshiko
Hii ni human traficking
SI mngechukua record zao mkawaacha walale unatimua watu wakati huna pa kuwaweka ni uongozi wa kukurupuka
Y
Nchi haina utaratibu maalum unawezaje kuwakataza watu wasijazane sehem moja,kuna zaidi ya hao na hawajuilikani kazi zao then matendo ya kihalifu hayawezi kuisha
@@salma0000 Tembea Dunia uione
Ukiona bango lime andikwa ajira mshahara mnono ukifatilia ndy kazi kama hizo.
Hao mkiwafukuza hapo wataenda kulala miferejini na kukaba watu
Si ufunge nyumba beba rudisha kwao wote
Hukusu magodoro si tuwapeni msaada jamani maisha magumu
Sioni ubaya hapo chaumuhimu viongozi muangalie wanavibali sahihi huku uarabuni wanalala chini
Wachunguzeni uzuriii Hao. Watu wengi km hivyo huwezi kuwa wako salama. Wana kitu kikubwa Hao wanafanya. Sio kuza vitu tu hiyo ni mpango tu
Mungu awasaidie,wasaidieni wàrudi nyumbani mnawàfukuza waña nauli zakurudi walikotoka?serikali iwasafishe mpaka dar
upumbavu amjui shida sisi tumelala nje tena kwenye mchanga shuka kavelo leo hao wanalala ndani mnawasumbua hamjui maisha
Kwel kaka had leo tunalala pazur!
Hapo hakuna kibarua/ajira. Kwani hao wakilipwa posho zao au mishahara yao wanatunza wapi, usalama wa posho, nguo zao za ndani au faragha yao ya kuoga inakuaje? Hapo kuna shida na wao ni kama hawajielewi au wamepumbazwa. Morogoro kuna fursa nyingi warudi hao labda wana mipango tofauti hiyo ni zuga tu.
Hao kuna kazi ambayo siyo nzuri wana fanyishwa
na hao vijana hawa jielewi
Nazani nivyema mwenyekiti hiy nyumba ifungwe ama atafutwe mwenye kuweka hao vijana kwa maelezo zayd
Tena Hawa masheha wamezidi kuzalilisha watu na hawajui wajibu wao wa kazi hao vijana wameshakaa muda mrefu yy alikuwepo wapi inawekana amenyimwa pesa kaona awaripue wakati yy mwenyewe anamakosa
Nimeirudia mara mbili kuskiliza vizuri sijaona neno au kitu ubaguzi hapo nilichoona kuwa wamependwa na wameonelewa huruma kufatwa na kujulikana maisha mabaya wanayoishi na inshallah Allah atajaalia iwe sababu ya wao kupata stara na wepes wa maisha yao ameen.
Amen
Sasa hivi kuna wimbi la ushoga serikali iwe makini sana.mimi nimepata wasi wasi
Msisahau kwenda na gereza la kinuwa miguu mkaangalie chumba kimoja wanalala wafungwa wangapi na ni jengo la serikali lile
Sasa ndo ushasema wafungwa lkn haw wao wapo huru pia istoshe kuna mt kasema watu wanalla nje seuze hawa wapo ndani sawa ndohuko kwenu lkn sio huku ushawahi kumuona mzanzibar akaja huko kwenu akafanya mijitabia mibaya km hii kulala mzazibar yeyote hua anasema na shida zake wala haji uko kiujinga ujinga sawa eh
@@nassorali1034 nataman niseme lkn Namuomba Allah aniepushe na hii fitna ya ulimi kama nikisema.....ninyamaze Acudhubilahi mina shaytwanirrajim
Biashara ya promotion kwa nini wasilale nyumbani kwao na asubuhi waje wachukue bidhaa za kuuza
Kipato chao ni kidogo sana wengi hawamudu kojikodia wenyewe
Bakar amor wazanzibar wakati wowote twataka tugawane mbao
WABONGO WAEREJESHWE KWAO TUMEWACHOKA SANA HATUTAKI KWETU ZANZIBAR
Usiwe na ubaguzi
Wanatafuta kazi.Laghai hiyo ukiwapata sana kuna jambo wako tayari kwa lolote!
Mbona nyie mmejazana bongo kwani kwenu atuamii tumegomaaa
@@mohamnedsalum2150 Hehehheh
Nyinyi mbona mumejaa uku bongo mbona sisi atuwafukuzi koma wewe
Faida ya Muungano ndio hiyo
Cx
Tatizo la ajira kwa vijana wetu na umasikini uliokithiri naona huruma. Mungeliwakopesha mitaji wakajiweza
Duh ndugu zetu watanganyika nawaoneeni huruma xn, poleni xn
Cha msingi hapo watFutiwe mazingira salama waendelee kupambana na maisha. Wanaume wapewe bweno lao na wanawake lakwao maisha yaendelee hata mkiwatoa bila suluhisho ndio mtaongeza matatizo zaidi maana hawana pakwenda wataenda kusimama huko barabarani bila nguo.
Mtihani .znz kwisha ss.
Hapo kuna biashara haramu...!!
Hiyo promoshoni ni geresha tu....!!!
Angalia hao wanaofanya kazi maelezo yao, wamepewq mafunzo maalum ya mkakati ili kuficha uhaLifu na uasherati inaofanywa hapo..
!!!
Big UP Mh Sheha... Keep it UP....!!!
WARUDISHWE KWAO TANGANYIKA WANATULETEA MZTATIZO ZANZIBAR.