Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    MSAFIRI HUFIKIRI
    Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
    Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
    Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
    Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
    Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
    Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
    Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
    Tafadhali enjoy,
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 229

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh ปีที่แล้ว +15

    Afya ya Akili, afya ya kinywa na Afya ya Mwili...So Powerful. ✊🏾💯

  • @davidnchoji
    @davidnchoji ปีที่แล้ว +10

    Poor Me😥, namfahamu Zembwela lakini sikuwahi kutenga muda wa kumfuatilia zaidi, na kumbe nimekuwa nikikosa maneno ya busara kutoka kwa mtu mwenyewe busara na akili pana sana. Keep it up Da Salama kwa kutuletea mtu wa aina ya Zembwela...😍❤️

  • @christophertemba6915
    @christophertemba6915 2 ปีที่แล้ว +10

    huyu mwamba zembwela ni fundi sana wa maneno mpka salama anabaki kucheka tu.

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 2 ปีที่แล้ว +12

    ZEMBWELA NA SALAMA MNAITENDEA HAKI LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI KUNA LADHA YAKIPEKEE SANA

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 ปีที่แล้ว +12

    Zembwella na Gabo wakikaa meza moja wanaweza fanya kitu fulani kikapendwa na watanzania wote

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 2 ปีที่แล้ว +15

    Mali iliyotafutwa na mtu, na wale wasioitafuta kuja kuihitaji hata kama hawahusiki nayo... KInywa, afya ya akili na mwili. Dah.... karibu kila neno la Zembwera ni msumali wa mabadiliko kwa hata kwa wanaozipata simulizi kwa walisikiliza wenyewe. Asante Salama na....Natamani kipindi kisiishe maana hawa hakika marafiki kufa kupona, maaana si kwa cheko na furaha hizo

  • @echolude
    @echolude 2 ปีที่แล้ว +22

    finally someone who treats Swahili with proper respect and depth

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 2 ปีที่แล้ว +9

    From 🇰🇪Huyu bro nilianza kumcheki zamani na maxi kwa comedy flani alikuwa mpangaji mkorofi 😅🤣

  • @josephngowoambroce418
    @josephngowoambroce418 ปีที่แล้ว +3

    Hapo salama hajaolewa....sema mume wangu

  • @universitylink
    @universitylink 2 ปีที่แล้ว +7

    Asante sana brother zembwela ya kwanza gonga kwnza kisha ya pili ndio u act, nimependa hiyo uko very honest bro, na sister salama nakusalimia sana napenda sana kipindi chako uko juu sana sister keep it up

  • @saedymkomwa7866
    @saedymkomwa7866 2 ปีที่แล้ว +7

    I wish Salam Uwe Mke wang Tukiwa Ndan Tupige Mastory yaniii... Una Madini Mengi Sana

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 2 ปีที่แล้ว +2

      Upige nae story au umpelekee MOTO....!

  • @mnenedrogba1218
    @mnenedrogba1218 2 ปีที่แล้ว +16

    Now I get the reason or reasons as to why Diamond keep mentioning Zembwela babu, this man is very wise and he is on point in almost everything question sent.respect big bro 🤝🙏💯

  • @jonahbirgen6946
    @jonahbirgen6946 ปีที่แล้ว +7

    I use to enjoy his show at East Africa radio sometimes back from Kenya cheers

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 ปีที่แล้ว +2

    Nimefurai sana Leo kumuona zembwela na nimejifunza mengi toka kwako. Big up salama toto ya zenji. Unajua kuliza maswali na yenye mahana. Awa wandishi wengine wajifunze kutoka kwako.

  • @AlesiusAndrea1991
    @AlesiusAndrea1991 ปีที่แล้ว +4

    Babu Zembwera beberuuuu 👍🙏💪

  • @mjkinyonga38
    @mjkinyonga38 2 ปีที่แล้ว +4

    Mahojiano bora zaidi 2022

  • @sevelinamartin7752
    @sevelinamartin7752 2 ปีที่แล้ว +4

    Namuelewa Zembwela nakupenda salama,so nimeinjoi sn

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo1729 2 ปีที่แล้ว +12

    Nashtuka tu muda umeisha bila kuchoka nadhani hii ni moja ya Interview bora kwangu

    • @Tysumafrica
      @Tysumafrica 2 ปีที่แล้ว +2

      🤣🤣🤣 Kabisa maongezi matam ile mbaya

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 2 ปีที่แล้ว +5

    Zembwela Una Madini Mengi Sanaaa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +4

    Penda sana Zembwela❤❤❤👊👊👊

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 2 ปีที่แล้ว +2

    Naona sio vizuri chakula au kinywaji kukatiza mtiririko wa stori. Director angeweza kupiga pozi kidogo mpaka mnenaji aweke nukta

  • @msusasandali5833
    @msusasandali5833 2 ปีที่แล้ว +30

    Ni moja ya interview niliyokuwa naisubiri kwa hamu kubwa Sana.... ☺️

  • @dayocha1855
    @dayocha1855 2 ปีที่แล้ว +6

    Hii interview ya leo bomba sana ila zembwela katisha sana bila kumsahau salama kwa maswali yake mazuri

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 ปีที่แล้ว +4

    Mambo - Matamu 😁

  • @richardfaustine8802
    @richardfaustine8802 2 ปีที่แล้ว +3

    Salama nakukubali sana. Yaan hivyo tu. You are the best.

  • @shd12m55
    @shd12m55 2 ปีที่แล้ว +10

    Juice ya awamu ya kwanza kwa zembwela 🔥🔥

  • @mangisenya4012
    @mangisenya4012 2 ปีที่แล้ว +3

    Zembwela uko vizuri sana kwenye kujieleza

  • @nyamarasapeter4302
    @nyamarasapeter4302 ปีที่แล้ว +2

    Mazungumzo na Hayati Magufuli yamenenwa kwa hekima na ufundi mkubwa.

  • @uzungupoint
    @uzungupoint 2 ปีที่แล้ว +9

    UMENIUA KWA JPM TU 🔥🔥🙌

    • @majidypapeny1527
      @majidypapeny1527 2 ปีที่แล้ว +1

      Na bonge la fumbo ambalo m2 wakawaida hawezi kulijua kwa haraka R.I.P magufur

    • @uzungupoint
      @uzungupoint 2 ปีที่แล้ว

      @@majidypapeny1527 Kabisa kaka

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 ปีที่แล้ว

      Majambazi na wezi wa mali zetu ndo tunawashangilia..

  • @bazlsamyo954
    @bazlsamyo954 2 ปีที่แล้ว +4

    Hapo kitelevision au nilivyozoea 😅😅😅😅

  • @gashugibruno2122
    @gashugibruno2122 2 ปีที่แล้ว +3

    Zembwela nakupenda sana apo umemzungumzia Magufuri, kila mtu angependa kuchangiya na Magufuri ili tumpe habari za wasaliti, alikuwa nao karibu. Amewaamini. Tanzaniya imerudi nyuma kabisa

  • @pachamalota4455
    @pachamalota4455 2 ปีที่แล้ว +4

    Umetisha kaka mkuu

  • @yohanayohana199
    @yohanayohana199 2 ปีที่แล้ว +5

    Zebwera wewe ni mkweli sana nakumbuka uliwahi kuomba mkombozi wa Tanzania ulipiga magoti ktk redio

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo nimeipenda hilo nichaguo sahihi John pombe magufuli apumzike kwa amani mzee wetu tulimpenda sana hata kama alikuwa anaogopwa.

  • @lilianmmbaga7373
    @lilianmmbaga7373 8 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahia sana hii meeting ni ya kiakil sana imeongelewa na watu makini saana❤

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro8845 2 ปีที่แล้ว +4

    Zimbwera Madini mengi xaaana kwa kichwa chako

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 ปีที่แล้ว +1

    Mpuuzi kweli anamasiala mengi sana

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel6892 2 ปีที่แล้ว +3

    Kari sanaaa hii interview

  • @makantaafrika
    @makantaafrika 2 ปีที่แล้ว +8

    Nime enjoy sana hii episode 🙌🏿🙌🏿 Blessings

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 2 ปีที่แล้ว +3

    SALAMA KIUKWELI KIPINDI HIKI UMEJIKAZA SANA ILA KATIKA KIPINDI CHAKO CHA MAHOJIANO NA KAKA ZEMBWELA KABALIAO ALA 1 HALIKAI PANGA 2UNACHEK NA

  • @mbakomileakim1783
    @mbakomileakim1783 2 ปีที่แล้ว +3

    Iyo background music ni ngoma ya nan anaejua please

  • @ballisticsound4796
    @ballisticsound4796 2 ปีที่แล้ว +14

    Bila kupindisha Maneno IPP Media imetoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya Habari ahapa TZ... pamoja na kutoa vichwa mahiri kabisa

    • @rukiaasnawi9134
      @rukiaasnawi9134 2 ปีที่แล้ว +1

      San sana Sanaa lazima tuwe na fadhira tuseme ukweli IPP🔥

    • @elizagichogo3881
      @elizagichogo3881 ปีที่แล้ว

      Hyo haina mbishi mbona

  • @antonykimario5764
    @antonykimario5764 2 ปีที่แล้ว +3

    Nakubal sana Salama na Zembwela

  • @ilhamsalum6815
    @ilhamsalum6815 2 ปีที่แล้ว +12

    😂😂😂ninavompenda salama nataman ata apate copy yake💞 mtoto ,akiondoka awepo atakae chukua muonekan na tabia zake NAKUPENDAA😣😩🥰

    • @tuladavid4223
      @tuladavid4223 2 ปีที่แล้ว

      Ana mtoto mkubwa

    • @edwinmbugua7738
      @edwinmbugua7738 2 ปีที่แล้ว +1

      @@tuladavid4223 uongo

    • @farhatkhamis4401
      @farhatkhamis4401 2 ปีที่แล้ว +1

      @@edwinmbugua7738 kweli anae wa kiume

    • @edwinmbugua7738
      @edwinmbugua7738 2 ปีที่แล้ว +1

      @@farhatkhamis4401 mapya hayo. Kazaa lini na nani?

  • @salomecomedyofficial
    @salomecomedyofficial 2 ปีที่แล้ว +4

    Zembwela tunaomba kwa heshima umrudishe kwenye game Mr 20%, ni mwandishi na mwimbaji mwenye mziki wa kuelimisha

  • @ditrickhinju9684
    @ditrickhinju9684 2 ปีที่แล้ว +3

    Good interview ujawai kukosea kwahilo interview killer u sister nice

  • @theresiatarimo3616
    @theresiatarimo3616 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo kwa maguful nimemuelewa...hongera zmbwela...

    • @cineplus-tv255
      @cineplus-tv255 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/3GyDw7shVsA/w-d-xo.html

  • @nelsoncosmas5639
    @nelsoncosmas5639 2 ปีที่แล้ว +4

    Salama tuletee helisi rais wa wananchi

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa4370 2 ปีที่แล้ว +2

    Zembwela akili Mingi sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 ปีที่แล้ว +4

    Duh Zembwela ni mtu na nusu aseee

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 ปีที่แล้ว +9

    Glas ya kwanza ilivyonyongwa nilipause ⏸️ kwa kucheka kwanza🤣🤣🤣

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
      Ya Pili amesema imekuja ya Kuektia 😂

    • @neemaokechi1729
      @neemaokechi1729 7 หลายเดือนก่อน

      Nlikuwa namtafuta mwenzang mwenye hii comments yan nmecheka saana 😅😅😅

  • @omariathuman9998
    @omariathuman9998 2 ปีที่แล้ว +3

    i just comparing mkasi na hii show guest zembwela aisee zembwela ananifanya nisome nje ya syllabus ....salama nakuona kama ellen wa ellen show america

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 ปีที่แล้ว +3

    Zembwela ❤❤❤❤

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 2 ปีที่แล้ว +3

    Daaaah!! Popcorn 🍿 zimeishaaa.

  • @loiceamugune6711
    @loiceamugune6711 2 ปีที่แล้ว +9

    I love what you are doing my gal.
    I would love to do just like you are doing

  • @alfonsisimoni3080
    @alfonsisimoni3080 2 ปีที่แล้ว +1

    Sharp sana istafrika

  • @jacobmsigwa383
    @jacobmsigwa383 ปีที่แล้ว +2

    "Gari bovu huvutwa gari zima" ha ha ha

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 ปีที่แล้ว

    Zembwela nakukubali sana brother nakupenda huzarau maskini

  • @mustaphareginald3264
    @mustaphareginald3264 2 ปีที่แล้ว +4

    Big up sister salama...Mungu akuweke sana

  • @rachelkristellagodlove2404
    @rachelkristellagodlove2404 ปีที่แล้ว

    Best episode kwa mwaka huo zembwela ana madini mengi sana

  • @lovenessselemani4949
    @lovenessselemani4949 2 ปีที่แล้ว +10

    Bonge moja ya interview

    • @rashidomar1558
      @rashidomar1558 2 ปีที่แล้ว

      Lessons zinapatikana kwa kufanya interview za maana kama hizi

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 2 ปีที่แล้ว +3

    Great mind zembwela

  • @khamissasita4559
    @khamissasita4559 2 ปีที่แล้ว +11

    Joseph John Pombe Magufuri daaaah!!. R.I.P daddy 👨....

  • @tuliadamson3422
    @tuliadamson3422 2 ปีที่แล้ว +3

    Nmejifunzaaa....👍👍👍

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 2 ปีที่แล้ว +3

    Salama ni hatari sana....,

  • @jameskimei5438
    @jameskimei5438 2 ปีที่แล้ว +2

    Nice one l love it

  • @iddyrashidi8961
    @iddyrashidi8961 2 ปีที่แล้ว +2

    hongereni sana kwa hichi kipindi kinatuelimisha sana 🙏

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 ปีที่แล้ว +6

    Good interview salama u do in your life big up

  • @didomanyota5344
    @didomanyota5344 ปีที่แล้ว

    Kuna legendary mmoja umemsahau hapo Mwamba wa kaskazini

  • @kassimoludara4746
    @kassimoludara4746 2 ปีที่แล้ว +2

    very informative kudos

  • @sharmallamossi7856
    @sharmallamossi7856 2 ปีที่แล้ว +7

    😆😆😆 wallah uyu kka namependag saan anamaneno ni muwazi mashaallah Allah akubariki

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 ปีที่แล้ว +1

    Zembwela Babu Mswahili 🔥

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 ปีที่แล้ว

    Kweli Max amefariki zamani sanaa mpaka zembwela swaiba wake ameshamsahau. Sikutegemea kama asingetamani kumuona tena kwenye meza pamoja

  • @brendachibura6040
    @brendachibura6040 2 ปีที่แล้ว +3

    I love this man ana busara mno

    • @cineplus-tv255
      @cineplus-tv255 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/3GyDw7shVsA/w-d-xo.html

  • @josephngowoambroce418
    @josephngowoambroce418 ปีที่แล้ว +1

    Salamaaa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah, hongera sana Babu, nakuelewa sana 😀😀😀

  • @akkidume8312
    @akkidume8312 2 ปีที่แล้ว +4

    Hahahahahaha nimeipenda

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 ปีที่แล้ว

    Mfano wajambazi nikama pablo Escobar. Dunia inamuona jamaa kama muzak madawa yakulevya namuuaji. But kijijini kwao wanamuheshimu sana, kawaletea maendeleo ayo🙌

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimeisubiri Sana hii muda mrefu

  • @stevenasunga3917
    @stevenasunga3917 2 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea point sana

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala7753 2 ปีที่แล้ว +3

    Salama vpi ile interview na zuchu bado huja ipost

  • @ramamsukuma
    @ramamsukuma 2 ปีที่แล้ว +2

    Nilitamani kusikia zembwela kwenye swali la Kula na watu walio tangulia mbele za haki Angemtaja #makisi mtu alie Anza nae Safari ya kujitafta

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 2 ปีที่แล้ว +3

    salama please naomba umlete chid benz nakuomba 😔

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos 2 ปีที่แล้ว +2

    JPM! SAFI SANA ZEMBWELA

  • @thedygeorge4548
    @thedygeorge4548 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kufupisha angesema tu anawapenda wasanii wote maana bila kukatishwa angewataja wote...🤣🤣🤣

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว +5

    Hahaha nimecheka Zembwela alivyoangalia chakula 🤣🤣

    • @shd12m55
      @shd12m55 2 ปีที่แล้ว

      😀

    • @cineplus-tv255
      @cineplus-tv255 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/3GyDw7shVsA/w-d-xo.html

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 2 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo juice ulivyo ipiga tarupeta!!!

  • @husseinpogwa9954
    @husseinpogwa9954 2 ปีที่แล้ว +4

    🔥🔥🔥

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 2 ปีที่แล้ว +2

    Salamaa.nakupenda.sanaa

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 ปีที่แล้ว +2

    Huo ni uzarendo mkubwa sana kuwa mkweli sio kama harmonize anaejiona tembo asie na mama wala mkubwa

  • @tresorkabongo8758
    @tresorkabongo8758 ปีที่แล้ว +1

    Mpaka leo kipindi mlichokifanya cha mkasi 😂😂

  • @fanuelkatoto8913
    @fanuelkatoto8913 ปีที่แล้ว +2

    Kongole sana kwa kipindi kizuri.. Heshima kubwa kwa babu Zembwela

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 2 ปีที่แล้ว +3

    Good interview

  • @allyomary8264
    @allyomary8264 2 ปีที่แล้ว +2

    Good interview keep it up

  • @mubaraksaid9983
    @mubaraksaid9983 2 ปีที่แล้ว +2

    Aaah aumekata kiu yangu salama nilikuwa natamani sana umlete huyu mtu hapo

  • @kisamo_editor1263
    @kisamo_editor1263 2 ปีที่แล้ว +7

    The big show in town, big up kwa team yote. #SalamaNaZembwela

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwa Twent aisee tupo wote

  • @florenceblack4492
    @florenceblack4492 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupanda bure zembwela

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 2 ปีที่แล้ว +7

    SALAMA KATKA MAHOJIANO YA WATU TOFAUTI NANI ALIKUWA MAJIBU YAKE YALIKUWA YA KUCHEKESH SAN NA ULICHEK KIASI KUJIKAZA?

  • @edenngiluke8493
    @edenngiluke8493 2 ปีที่แล้ว +3

    Interview Kali Sana.. One Of The Best