MSWAHILI : TANDALE KUOLEWA MAJALIWA/ MTOTO NDIO KILA KITU, PESA MBELE KUDOKOA MWIKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 เม.ย. 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Fanya kweli kaka Zembwela, Talent hiyoo mpe kweli Maisha huyo bro na nyimbo yake. Itakua ana mambo mengi sana Mr Fagio. Kazi kwako Zembwela Street President.
Kwa kua humjui uyu fagio,ashapata dili kubwa ila yy msumbufu gambe nyingi😂
Bonge la kipindi hili saiv nitaakikisha hakinipiti dahhh safiii sana 🔥🔥🔥
Da kweli hvi kipindi chake ni lini?
@@charlesmassawe5378 jumatatu saa tatu kamili kaka🔥🔥🔥
Poa kaka p....ucku au asubuhi?
@@charlesmassawe5378 saa 3 usiku
Habari yako ndugu samahan kwa usumbufu
NaoMba Maoni yako kwa wimbo wangu *“Ukinizingua Tutazinguana”*
👇
th-cam.com/video/ZdxcRPDbVIc/w-d-xo.html
AKHSANTE & BARIKIWA
Fagio mm nampenda vituko vywake 💯💯
Unaamjua kwani
Unamjua
From Kenya I really missed this program #uswazi
Hongera sana mzazi zembela..tunakukubali sana tangia upo na marehemu max hadi uswazi ndani ya EATV..ebwana tunakuomba utembeleee Mombasa yetu mlaleo kisauni uswazi kwetu ukutane matukio mbalimbali alafu adimu hakika utakua na yakusimulia kwenye kipindi ...karibu sana..
Ahsante Sana ... Tunaomba Kuwasiliana na wewe kwa ajili ya Kuja Kutengeneza Kipindi cha #Mswahili - Tutafute Kupitia namba hii hapa - 0658996473
Pamoja wasafi tv🇹🇿🇹🇿🇹🇿
#Cku zinaenda ajari zinasogea htr sanaaa! fagiooooh!✌✌✌
Aise isho itapendwa sana 🔥🔥🔥🔥🔥#Mswahili
Hahaaaaa jamaaa anafanya.. biashara kiubunifu
Zembwelaaaaaaaa dah Safi Sana tulimiss Sana izi mambo, wacha nikwende kufunga dish langu sasa
Iyo wimbo Kali jamani msaidieni fagio anatalanta.iyo si kazi yake bali ye ni msanii
kabisa kipaji chake nimuziki msaidieni jamani
Mashallah wcb 4life
Watanzania uimbaji sio shida
😄😅
Keep reminding me about #Uswazi back in the days
From oman ila tandale ndio home
From Omani ila tandale home😀😀
Pind taam saana
😂😂😂mkandamize na zuchu itanoga
Huyu jamaa wa fangio akiingia kenya anakuwa diamond,watz hawajui sisi tunapenda sna kiswahili sanifu
Hahaha
Hapo ilitakiwa umuachie hata buku5 umemuacha pakavu na amekuburudisha akiwa kazini
imagine 😐
Wasafi Kipaji hichooooooo.
Zembwela M Manage huyooo mtuu.
Hello mbona ile ya Zanzibar
From Dubai namkubali mswahili
-15:00 Zembwela help broom man to release this single🤣🤣 #fagio
Mzee fyegio namkubali sana that guy is super talented. Mpeni nafasi jamani
Hatariii sanaaa 😍😍😍😍
Safi saanaaa zembwela
🔥🔥🔥🔥
Umetisha mswahili
Love you brother zembwela
Ety hiyo aikuhusu nimecheka balaa. Kama umecheka nipe like😆😆😆
chuma salamu zikufikie big up naumia sana nikikosa wa kukurithi ila mimi ndo nijaye
Safi sana
Mswahili km Mswahili on 🔥🔥🔥
Hatari
Dah safi sana napenda sana kipindi kama iki 🔥🔥🔥🔥
Kipindi kizuri ahsante wasafi ahsante zembwela
Uku ndio kwako uswahilin..mambo ya studio tupa kuleeeeeeee
Nimeipenda sana
Ushauri katika kutengeneza mafagio ya nje: Sehemu inayofagia isiwe *mlalo* [horizontal]; iwe *matemo* [slanting] kidogo kutoka kwa mtumiaji ili kuongeza ufanisi wa matumizi.
Kongole kwako Zembelwa kwa kuwafikia wananchi wetu walio nje ya mawasiliano. Ni ukombozi mkubwa kwao.
Mko juu wanangu
Nomaa
Dah noma sana utamu kama wote
Jama wa muda mrefu sana na kazi zake hizohizo
✌️✌️✌️
Ubunifu 100 wasafi kipind Safi Sana
Dah kali sana
Alipo tupo #mswahili
Wakwanza
Daah bonge la song zembel kitambo mno napenda kusikiliza xan kipnd cha uswaz
Nyimbo Kali xana jamani bigup fegio
Huyo jama kipaji bonge la voko mdhaminini aingie studio atapata sana mashabiki
😅
Big up zembwela
Zembwela 🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥👍
Eti basi mwali zembwela unanikosha roho yangu nyeupe asanteni wasafi kwa kuwa creative
We fagio😁😁bei ndo hio hat kam ukinuna watanunua wenzio😂😂
😅😅😅😄
Mpe hata ten tu thn deal mta make sa una mwacha ivo tu muda ote kwan ye kasemaje mlivozima camera
MAA SHA ALLAH 🤲🏿
Aeeeee Fagiooooo....
Hahahaaa 😂😂😂😂
Bei ndio hiyooo
Hatakama ukinunaoo
Watanunua wenzioo
❤❤❤❤❤❤
Ni kweli maisha yetu
Wasafi wanaakili sana
Hatare
Tuambie kama mzee wafagio ulipatanisha diamond na penda kiplindi sana lakini karibuni ujaupdate 🇰🇪💯💯❤️
Zembwela Kama kweli mnazingatia vipaji huyo Fagio imba nae na wewe ndo wa uswazi bosi wako Diamond wa uswazi Basi muwainue wa Uswazi
Kipindi hichi na EATV hawa wanaiba vipindi vya watu wanaonekana wako juu sisi tumeanza toka na musa ,akaja yule Dada na baadae zembwela yeye tena kakikahamishia WCB hovyo sana washtakini kwa kuiba Idea watu wanatunga nyie mnacopy tu
Ee fegiooo bei ndio hyoo
Chuma chapua kazini katika ubora kipindi kipokama nilivyo dhani ila muda kama mfupi hivi tuongezewe #pr jamari hili la muda lakohili #zembwela hawezikataa kuongezamuda wake was kuifanya kazi hii , mfano pale sokoni tungejuamengi sana lakini muda
Anakwambia siku zinaenda ajali inasogea 🤣🤣🤣
Napenda mnoooo
Hapa sawa sasa
Umeua sanaa
nakubali unajua zembwela....
Hongera kipndi kizuri sana umeonesha uwezo
china hamna kipindi km hiki
@@jumarajab1008 hahahahhahahahahahhahaaahhahhahahahahahhahaahhahahahahahahahaahahha
Moto
Ukichunguza kwa umakini kila mtanzania nimsaanii wa kuimba
😅😅😅😂
Home znz
Daah! Mondi mpe tafu jamaa daah anaweza ndiyo nyimbo zetu za uswazi hizo kaka mondi Kama unanisikia piga moja na jamaa
sema nn uyo jama anakipaji sembwela msaidie jamaa
Kweli ndugu jamaa anaweza
Habari yako ndugu samahan kwa usumbufu
NaoMba Maoni yako kwa wimbo wangu *“Ukinizingua Tutazinguana”*
👇
th-cam.com/video/ZdxcRPDbVIc/w-d-xo.html
AKHSANTE & BARIKIWA
Piga kazi fagio, tafuta riziki.
Nakipenda sana hiki kipindi ila sijui kinaonyweshwa lini na saa ngapi
Habibu dinga
Nimekubali wimbo sana
Mwenye uswazi yake #z
Zebwela umiitege basi kwenye show zenu za Wasafi
Zembwela kaka mkubwa heshima kwako ,uliangaika kwenye jua hukukata tamaa Leo unalia kivulin umenifunza hakuna kukata tamaa
huu wimbo wa huyu jamaa si anaweza kurekodi huyu amshirikishe baba levo.
Ah ichi kipindi kipo poa kaka
Aseee kipnd kizur mbn kifup sas yaan niljua bado kinasonga
Ni noumaaaa
Boss ungemwachia hata elfu kumi huyo fagio
Kashapigaaa sanitezer hahahha
Nooomaaa bonge la kipindi
Huyo aliambiwa amtafute MAN water
You should post more all the recordings for people who outside TZ to see like us :)
Hapo dakika 3:00 kakosha
Zembwela the best
Hahahaaa daah zembelwa unanogesha kinoma ww ni kama chumvi wasafi tv ni mboga
Lkn mdogo mda
Hao jamaa wa chama Cha makuli wanawakata pesa nyingi Sana 30000 kwa gari
Naunafunika🤭🤭🤭
Ndo vipindi tunanya vipenda
Maharage ya njano kwanza maji mara moja na pia hayana gesi