THE CLASSIC SUGU EP 1:MIAKA 30 YA GAME /BEEF NA KWANZA UNIT/KUHARIBU ZAWADI MBELE YA MKUU WA MKOA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 51

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 ปีที่แล้ว +8

    Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ

    • @TeclaEnoch
      @TeclaEnoch หลายเดือนก่อน

      Unju

  • @fadmwangosi1007
    @fadmwangosi1007 ปีที่แล้ว +6

    Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo

    • @eliudntabusi9712
      @eliudntabusi9712 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna kubisha SUGU kubws laoooo!!!

  • @phinaphina3201
    @phinaphina3201 ปีที่แล้ว +4

    Sugu number 1 MC in Tanzania

    • @kazimilykulwa2516
      @kazimilykulwa2516 9 หลายเดือนก่อน

      Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana

  • @kingnebuchadnezar
    @kingnebuchadnezar 9 หลายเดือนก่อน +7

    Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 7 หลายเดือนก่อน

      Kwanza unit ndiyo waanzilishi,hata Sugu mwenyewe anakiri hapo

    • @kingnebuchadnezar
      @kingnebuchadnezar 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 6 หลายเดือนก่อน

      @@kingnebuchadnezar wa kwanza walikuwa kina nani sasa,nataka niwajue

    • @kingnebuchadnezar
      @kingnebuchadnezar 6 หลายเดือนก่อน

      @@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo ปีที่แล้ว +2

    Hakuna kama Sugu hapa Bongo

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.

  • @MirajiTraves
    @MirajiTraves 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 9 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii

  • @isakangogo3636
    @isakangogo3636 6 หลายเดือนก่อน +1

    Part 2 naitafuta sijaona

  • @mbelikemtamaduni7905
    @mbelikemtamaduni7905 หลายเดือนก่อน +1

    SUGU HIPHOP G.O.T

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 6 หลายเดือนก่อน +1

    Good vibez kabisa. Peace.

  • @twahangamba3082
    @twahangamba3082 6 หลายเดือนก่อน +1

    Legend💪

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 ปีที่แล้ว +3

    Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 ปีที่แล้ว +2

    Sugu moto chini

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 ปีที่แล้ว +1

    Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali Sugu Mkali

  • @robartifabiani
    @robartifabiani ปีที่แล้ว +2

    Noma sana

  • @aquinomsigwa6998
    @aquinomsigwa6998 หลายเดือนก่อน

    Genious

  • @2116-n
    @2116-n ปีที่แล้ว +2

    Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 ปีที่แล้ว +2

    LEGEND🔥🔥🔥🔥

  • @ngaukamaita3979
    @ngaukamaita3979 ปีที่แล้ว +1

    Interesting Sugu

  • @TeamSelekta
    @TeamSelekta 2 หลายเดือนก่อน

    Mrudie hii

  • @abbyjma7355
    @abbyjma7355 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sugu

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 ปีที่แล้ว +2

    Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂sugu 🙌

  • @issaabeid1215
    @issaabeid1215 ปีที่แล้ว +1

    Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀

    • @muddyville
      @muddyville 11 หลายเดือนก่อน

      Mwanangu Ice Cube 😂

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥🔥🔥sugu

  • @MugishaminaniEric-cx9tu
    @MugishaminaniEric-cx9tu หลายเดือนก่อน

    Sungu nakukubali Sana one day is Nitakutafuta nikipe mukono

  • @mombamo5
    @mombamo5 ปีที่แล้ว +1

    💥💥Show Kal

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 ปีที่แล้ว +3

    The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story

  • @ayoubbilali1050
    @ayoubbilali1050 ปีที่แล้ว +1

    mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +2

    HE IS NOT FAKER

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 6 หลายเดือนก่อน

    Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 หลายเดือนก่อน

      Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu

  • @pascalgodfrey686
    @pascalgodfrey686 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jongwe

  • @Nigaboy-p4s
    @Nigaboy-p4s ปีที่แล้ว +1

    Mtata

  • @jiwefurniture1128
    @jiwefurniture1128 ปีที่แล้ว +3

    Sugu mtu makini

    • @bongeone
      @bongeone 9 หลายเดือนก่อน

  • @zombazezu
    @zombazezu 9 หลายเดือนก่อน

    Noma sana

  • @maicgado58
    @maicgado58 ปีที่แล้ว +1

    Sugu

  • @raphaelmheta
    @raphaelmheta ปีที่แล้ว +1

    Jongwe