Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati
@@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa
@@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,
Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ
Unju
Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo
Hakuna kubisha SUGU kubws laoooo!!!
Sugu number 1 MC in Tanzania
Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana
Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati
Kwanza unit ndiyo waanzilishi,hata Sugu mwenyewe anakiri hapo
@@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa
@@kingnebuchadnezar wa kwanza walikuwa kina nani sasa,nataka niwajue
@@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,
Hakuna kama Sugu hapa Bongo
Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.
Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥
Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii
Part 2 naitafuta sijaona
SUGU HIPHOP G.O.T
Good vibez kabisa. Peace.
Legend💪
Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe
Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana
Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu
Sugu moto chini
Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌
Nakukubali Sugu Mkali
Noma sana
Genious
Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌
LEGEND🔥🔥🔥🔥
Interesting Sugu
Mrudie hii
Sugu
Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂
😂😂😂sugu 🙌
Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀
Mwanangu Ice Cube 😂
🔥🔥🔥🔥🔥sugu
Sungu nakukubali Sana one day is Nitakutafuta nikipe mukono
💥💥Show Kal
The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story
mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo
HE IS NOT FAKER
Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.
Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu
Jongwe
Mtata
Sugu mtu makini
❤
Noma sana
Sugu
Jongwe