Hongera mzze WANGU Sarakikya kwa utumishi uliotukuka nidhsmu ya hali ya juu na ni askari mtiifu hukuunga mkono mapinduzi ya meaka 1964 I salute you Sir thks
Hongereni sana na tunajimbo gezs J W T Z ni jeshi imara sana na liko vizuri big up sana bila kumsahau marehemu Brigadier Hashim Mbita ktk ukombozi wa bars la Africa haswaa kusini hongereni sana
Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.
Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako
Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali
Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa
Hongera mzze WANGU Sarakikya kwa utumishi uliotukuka nidhsmu ya hali ya juu na ni askari mtiifu hukuunga mkono mapinduzi ya meaka 1964 I salute you Sir thks
Babu hongera sana nakupenda sana babu yangu mungu akulinde
Hongereni sana na tunajimbo gezs J W T Z ni jeshi imara sana na liko vizuri big up sana bila kumsahau marehemu Brigadier Hashim Mbita ktk ukombozi wa bars la Africa haswaa kusini hongereni sana
Hongera sana baba yangu.Umeupiga mwingi.Najivunia kuwa na baba huyu kwenye familia ya kwetu.
Asante mzee wetu kwa mchango wako mzuri kwa taifa letu.We proud u and we love our army 💪💪
Mungu mbariki huyu mzee afike mwika 100 na wabariki pia viongozi wetu waliopo uzarendo km wa mzee huyu
Hongera Jenerali Kwa kuunda jeshi letu na kuliwekea misingi imara
Asante Mzee wetu kwa mchango wako kwa Taifa letu! Mungu akubariki
Hongera Mzee wetu Gen Sarakikya. Mungu akujalie Maisha marefu.
MZEE MRISHO SARAKIKYA MJUKUU WAKO REHEMA .M.SARAKIKYA ALIKUWA MTUKUTU SAANA
Huyu mzee pamoja na umri wake mkubwa akili yake ipo imara sana. Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu.
Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.
Sandhurst graduate 🔝🙌🏾🔥
Big up Mzee Sarakikya, tunakutakia maisha marefu.
BADO YUKO HAI.?
Afande ametoa darasa LA kutosha.Mliopo kazini, msikilizeni kwa makini.Tanzania tupo vizuri
Mungu ibariki African Mungu ibariki Tanzazia Amen
Thank You General for your Service! ( Hii ni Hazina Kubwa kwa Taifa na Uongozi kiujumla )
Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako
Wazee ni Hazina. Jeshi Imara Ulinzi wa Mipaka yetu Uendelee. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Wonderful Jamaa brain yake bado iko intact kabisa ana flow vyema bila kumung'unya neno
Ofcoz huyu kamanda yuko very bright by nature
Kweli tumetokea mbali aise,Mungu ashukuriwe sana!♥️🙏
General. Ssrakiky. Nakupenda. Kwa. Ukatmu. Wako
Madini tupu, mzee MUNGU AKULINDE TUNAKUHITAJI SAAANA
Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali
Naunga. mkono huyu babu Generali mstaafu vyombo vya habari vimtumie kuchimba mambo mazuri ya zama I.
Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa
Longlive mzee sarakikya
Hawa watu wapo hamuwahoji watupe madini....mpo bize na kina baba Revo na Hamp Rappa
VIVA TANZANIA ♥️🇹🇿♥️♥️♥️💪🇹🇿♥️🇹🇿
Aliongoza Jeshi akiwa kijana na Mdogo kwa Gen Musuguri ingawa alifuata baadae yy ana enda 100 yrs
Good news keep it up
Salute
Mungu akulipe kila la kheli
Yule aliyeongoza Vita kagera ndio nguli haswaaa
Huyo kamishna alikuwa na makosa,kumnyima general chuo,hajui jeshi ndo uti wa mgongo wa taifa hili?
Anenepa, alikuwa mwembambaaa
Saf mike
Huyu sio mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania, baada ya uhuru
General Wa Kwanza Si Abdallah Twalipo Sio
Lkn Sarakikya ndio mkuu wa majeshi wa kwanza wa TPDF
Ni hyu bro
Hyo ndiye mkuu WA majeshi wa kwanza bro ndie akafuata Twalipo,na ndio mkuu wa majeshi aliyekuwa mdogo
Mzee huyu ndio wa kwanza, Abdallah Twalipo ni wa pili.
Huyu alichelewa sana kua General...Ila Cha kushangaza ndio mkuu wa Jeshi wa kwanza
Hivi huyo ndo WA Kwanza?
Msuguri ni wangapi
General Musuguri alikuwa wa tatu baada ya General Abdallah Twalipo
Huyo ni mkuu wa majeshi wa kwanza TZ.
Kwa lugha nyepesi yeye ndie alieliunda jeshi la wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
.