Zembwela Kuhusu Ndoa "Kuna Mke Mke, Mke Mke Wenu Na Mke Mkeo" | SALAMA NA ZEMBWELA PT 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    MSAFIRI HUFIKIRI
    Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
    Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
    Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
    Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
    Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
    Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
    Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
    Tafadhali enjoy,
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

ความคิดเห็น • 235

  • @richardmmassy5857
    @richardmmassy5857 2 ปีที่แล้ว +42

    Kuna elimu na kuna kuelimika... Huyu jamaa kila nikimsikiliza naelimika sana... Asante kwa maisha yako Zembwela, jua kwamba kuna watu tupo tunapata elimu sana.

  • @SaumuHassan-sf5zk
    @SaumuHassan-sf5zk ปีที่แล้ว +3

    Mwamba huyu hapa, we are too blessed to have you till now. Akili nyingi mkweli mchekeshaji huchoki kumuangalia Wala kumsikiliza. Ahsante sana Salama kwa kutuletea huyu Mwamba muwe na afya njema tuendelee kujifunza

  • @duncankabig9740
    @duncankabig9740 2 ปีที่แล้ว +30

    Nime enjoy Sana Leo sister salama jamaa mkweli sanaa

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 ปีที่แล้ว +6

    Yani nakipenda sana iki kipande cha mke mke. Mke mkiwenu. Mke mkeo. Nimejifunza mambo mazuri sana. Big up zembwela na salama bin jabir.

  • @yohanacosmasmachalila9016
    @yohanacosmasmachalila9016 2 ปีที่แล้ว +10

    Waoo! Kipindi kimenielimisha na kuniburudisha sana😊 Big up sana salama na kwa kaka yangu Zembwela

  • @adamismailly1784
    @adamismailly1784 2 ปีที่แล้ว +4

    Hebu muache km mienzi 2 halafu mlete tena salama huyo jambaa yuko vizuri sana na ana mambo mengi sana ya kutufunza

  • @miracledamian2202
    @miracledamian2202 2 ปีที่แล้ว +18

    One of my favorite shows wow

  • @nobodyfromnowhere1888
    @nobodyfromnowhere1888 2 ปีที่แล้ว +23

    Sister Salama na Zembwela mmeua sana , y’all very smart people. Binamu Mb, Master , Salama and Zembwela to mention a few … Yall are the Cream of your trade of choice and talent. Fanyeni jambo….❤️

  • @officialrobeasy
    @officialrobeasy 2 ปีที่แล้ว +23

    This guy is very fun, he made my night 😂😂😂😂

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 2 ปีที่แล้ว +7

    Asante dada salama, asante pia kwa zembwela babu nimeelimika sana leo napia nimeinjoy SHUKRANI 🙏🏻

  • @mdomar4650
    @mdomar4650 2 ปีที่แล้ว +7

    Zembwela kwa hakika naku SALUTE. Nimefaidika na mifano uliyoyapeana. Ufafanuzi wako ni Elimu tosha.. pongezi sana bro. Mimi nakukubali..

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 2 ปีที่แล้ว +7

    Siku ya nne sasa nairudia hii daaah🙌🙌🙌bonge la interview

  • @mwamvuajumatano1817
    @mwamvuajumatano1817 2 ปีที่แล้ว +4

    Allah akupe uhayy,huwa na enjoy nikimfwata zembwela anajuwa sana hadi anakera,Allah azid kukubarik

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 2 ปีที่แล้ว +9

    Gari bovu huvutwa na gari zima.... Fact Beberu 🍺

  • @KalabashCreative
    @KalabashCreative 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante salama, asante Hillary(Zebwela) mbarikiwe kwa somo la maisha.

  • @AdamClassic-uj9ed
    @AdamClassic-uj9ed ปีที่แล้ว +1

    Daa Nimekubali Sana

  • @zalubiasalim240
    @zalubiasalim240 2 ปีที่แล้ว +6

    Thanks for the interview salama, madini ya kutosha, respect babuu zembwela

  • @zeddeastafrica1032
    @zeddeastafrica1032 2 ปีที่แล้ว +2

    Babu kaongea ukweli mtupu mwishoni facts respect sana kwake

  • @amanothmanhamimu1174
    @amanothmanhamimu1174 2 ปีที่แล้ว +13

    Tunajifunza mengi sana kupitia interview

  • @babaetwaha8822
    @babaetwaha8822 2 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana bro zembwela ni mkweli cku zote pia kazi zake nzuri
    Asante dada salama kw kipindi chako naenjoy sana

  • @paulinekisaka4677
    @paulinekisaka4677 2 ปีที่แล้ว +6

    One of the best Salama na episode.....kudos!!!

  • @officialteeh1213
    @officialteeh1213 2 ปีที่แล้ว +5

    Thank you for you salama hua unatuletea watu kama hawa chuma kabari yao mbwa napata ziriki kwa mguu zake .I love him namejifunza vitu vingi sana kupiata Babu zembela Ak mume wangu 😂😂😂

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 2 ปีที่แล้ว +1

    Swali la kipofu hapo nadhani Salama umekosea kuuliza swali kama hilo, upofu sio swala la kuliwekea utani maishani kuna wanaotaabika na upofu

  • @saidimtera6665
    @saidimtera6665 2 ปีที่แล้ว +5

    I like that mke mke,mke mkeo ,mke mke wenu😂😂😂

  • @exclusvetztv9011
    @exclusvetztv9011 2 ปีที่แล้ว +10

    Thanks my mom for this interview 😀😀😀😀😃🤣🤣🤣😂😅😂 appreciate madame salma j

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 ปีที่แล้ว +3

    Madini ya kutosha Zembwela tunashukuru Sana kaka!

  • @jimmymeshack8725
    @jimmymeshack8725 2 ปีที่แล้ว +3

    Wenye dini hawana imani na wenye imani hawa dini ..!

  • @universitylink
    @universitylink 2 ปีที่แล้ว +3

    Watu wa dini, Bwana Yesu asifiwe, Shalom, Salaam aleykum, mi si mtu wa dini nisije tafuta dhambi mpya

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 2 ปีที่แล้ว +1

    Zembwela nomaaaa sanaaa!

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 2 ปีที่แล้ว +6

    Mke mke, mke mke wenu, mke mkeo🔥🔥🔥🔥

  • @mateshasembuche2497
    @mateshasembuche2497 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimeipenda sana show yenu, nzuri sanaaa

  • @selemanimuhanga4018
    @selemanimuhanga4018 2 ปีที่แล้ว +2

    Shoo Kali Sana! Producer Tunamuomba Mb Dog Mzee Wa Latifa Kwenye Shoo

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +2

    Zembwela bhana eti ooh! Bugger zinanenepesha!😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣 , nimefurahi sana maneno ya Zembwela,

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha3740 2 ปีที่แล้ว +4

    Oooh my Good one of the best busara nyingi na hekma thanks you for doing doing good job my sister

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimefurai sana Leo kumuona zembwela. Big salama.

  • @mnenedrogba1218
    @mnenedrogba1218 2 ปีที่แล้ว +4

    Very factual for sure Zembwela. I never knew u such an inspiration bro.i salute u man🤝👍👌🙏💯✔

  • @masoudnassor5332
    @masoudnassor5332 2 ปีที่แล้ว +1

    Real zembwela mungu akupe kheri nyingi duniani

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 2 ปีที่แล้ว +2

    Msamiati wa Mke mke
    Mke mke wenu na
    Mke mkeo.
    Umenimaliza kk vijana tulio wengi tupo hapo kwenye Mke mke wenu.

  • @fatmamussa5255
    @fatmamussa5255 2 ปีที่แล้ว +7

    the show was great...nilitamani msingemalza☺

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 2 ปีที่แล้ว +4

    I think this is one of the shows ambayo salama ame enjoy sana

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi saana nimenjoy saana pindi la lao zembwela katisha kinoma

  • @karimumduma4048
    @karimumduma4048 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah nime enjoy sana

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 2 ปีที่แล้ว +2

    One of the best interview all the time anaitwa BEBERU kabali yao or BABU

  • @dadygirija968
    @dadygirija968 2 ปีที่แล้ว +3

    Zembwela👉🔥🔥🔥✌️

  • @sophiamazige705
    @sophiamazige705 2 ปีที่แล้ว +6

    Hela ndo nguvu za kiume zilizobaki. Vijana tafuteni helaaaaaaaaaaaaa😅😅😅

  • @jumamohamed5174
    @jumamohamed5174 2 ปีที่แล้ว +6

    salama and zembwela you guys are too smart ...

  • @mangisenya4012
    @mangisenya4012 2 ปีที่แล้ว +2

    Zembwela big up

  • @manirakizaambula8605
    @manirakizaambula8605 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka,🇧🇮

  • @yusuphmipawa6340
    @yusuphmipawa6340 2 ปีที่แล้ว +3

    Naomba Zembwela arudi tena

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 ปีที่แล้ว +1

    Zembwela katisha sana

  • @kpol22
    @kpol22 ปีที่แล้ว +1

    This is excellent show. Hongera sana Salam J . Zembwela is too real!~

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaaaa dada asante Sana kwa kutuletea huyu jamaa n ukweli mtupu kaongea hapo

  • @esterutewele7143
    @esterutewele7143 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah ais

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 2 ปีที่แล้ว +6

    " Alaa moja panga mbili haikai, Babu zembwelaa chuma cha pua kabari yao." Naamia kamanda hujawai niangusha.

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 2 ปีที่แล้ว +2

    Full of lessons...!!

  • @kibajadaniel9887
    @kibajadaniel9887 ปีที่แล้ว +1

    "Hela ndiyo nguvu ya kiume pekee duniani "by babu zembwela

  • @butogwaavelina5299
    @butogwaavelina5299 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimependa saan na nimejifunza vingi 🙏

  • @AbdallahNorman
    @AbdallahNorman 2 ปีที่แล้ว

    mke, mkeooo... wanaumee na wavulaaana... safi sana Beberuuu

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 2 ปีที่แล้ว +4

    Best interview.......elimu ya kutosha nakukubali sana zembwela .......

  • @odrianinicolaus5353
    @odrianinicolaus5353 2 ปีที่แล้ว +2

    Salama Tuletee yule Mbunge Mhe.Kishimba,mch.Gwajima au Mhe.Msukuma.

    • @issaemmanuel3500
      @issaemmanuel3500 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa aanze na mh.kishimba then msukuma

  • @geofreymahally7115
    @geofreymahally7115 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa kwl salama nme enjoy sn kipindi cha leo

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +6

    Awesome amazing 💙

  • @allinall9382
    @allinall9382 2 ปีที่แล้ว +5

    Dah kipindi nimekiona kifupi san asee 😋😋, arudi tena ,ikibid muda uongezwe

    • @mdomar4650
      @mdomar4650 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa.. Hapo sawa kabisa.

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa hili darasa

  • @frankkyomushula7588
    @frankkyomushula7588 2 ปีที่แล้ว +12

    Great Show as usual Dada....

  • @yahyaahmed1854
    @yahyaahmed1854 2 ปีที่แล้ว +3

    Twataka part 3 salama

  • @mmbando
    @mmbando 2 ปีที่แล้ว +1

    Vichwa viwili, hatari.. safi sana.

  • @joelndowo
    @joelndowo 2 ปีที่แล้ว +1

    Aisee...🙌🙌🙌

  • @winniekaria6334
    @winniekaria6334 2 ปีที่แล้ว +5

    Nimeona muda wa kipindi mdogo leo jamaniii. ..Zembwela hachoshi kumskiliza wallah ukiplus na maswali yako Salama ndo kabisaaaa...

  • @tanziluhizza8214
    @tanziluhizza8214 2 ปีที่แล้ว

    Kwenye mke nimekuelewa sana brother 🙏

  • @jumamuhando2504
    @jumamuhando2504 2 ปีที่แล้ว +1

    Well said brother

  • @universitylink
    @universitylink 2 ปีที่แล้ว +3

    Utakula alafu ule au utakulaa kwanza, mkunga mwenyewe ameshachika

  • @chikuketo4279
    @chikuketo4279 2 ปีที่แล้ว

    Namkubali Sana Beberu,Nmejikuta Natamani Aendelee Kuongea,Hachoshi.

  • @mguliproperty9469
    @mguliproperty9469 2 ปีที่แล้ว

    Dah madini special sana

  • @laurentrueta9625
    @laurentrueta9625 2 ปีที่แล้ว

    dada unatufundisha maisha asante🙏

  • @johnmalembeka3546
    @johnmalembeka3546 2 ปีที่แล้ว +2

    Nmependa sna hii interview ya zembwela sna na chumvi katupiga sehem zaman emoji hazikuwepo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @merrymafole5180
    @merrymafole5180 2 ปีที่แล้ว +4

    Utakula alafu ule au utakula kwanza 😂😂😂😂😂

  • @harounmamba2632
    @harounmamba2632 2 ปีที่แล้ว

    Moja ya mahojiano bora yalopata kufanyika kwenye karne hii.big up zembwera

  • @sammyamnay3708
    @sammyamnay3708 2 ปีที่แล้ว +2

    nimejifunza mengi sana katika interview hii ya zembwela ni maisha halisia kabisa

    • @apollojohn5698
      @apollojohn5698 2 ปีที่แล้ว

      Hello, umepotelea wapi my dear

  • @johnmaina6081
    @johnmaina6081 2 ปีที่แล้ว

    Nice one salama..big up sana.

  • @jumabanga6079
    @jumabanga6079 2 ปีที่แล้ว

    Daaaah zebwela khatar saanna

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 9 หลายเดือนก่อน

    Fresh akajibu hakuna mtindi kitambo sana,jamaa ana misemo uyu

  • @athumanipigo9295
    @athumanipigo9295 2 ปีที่แล้ว +1

    Dada salama mlete pia Masoud Kipanya please!!!

  • @khamismachemba4020
    @khamismachemba4020 2 ปีที่แล้ว

    Bonge la show....Zembwele moto

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis9808 2 ปีที่แล้ว

    ZEMBWELA BABU... NAMKUBALI SANA HUYO

  • @JOSKY-j8
    @JOSKY-j8 ปีที่แล้ว

    Huku wa prove wrong lakini ulihishi katk nyota za bahati may be za majina au ulikuwa unawategemea financially

  • @sarafinasamson7596
    @sarafinasamson7596 2 ปีที่แล้ว

    nimeipenda

  • @edwinjohnmasanja8602
    @edwinjohnmasanja8602 2 ปีที่แล้ว

    Mpaka machoz jamn

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 2 ปีที่แล้ว +1

    Ila Zembwela 😂😂😂🙌

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 6 วันที่ผ่านมา

    Wanaosikiliza September 2024 tujuane.. bonge la kipindi..haichoshi

  • @amadmchau5338
    @amadmchau5338 2 ปีที่แล้ว

    Beberu🙌

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimechelewa Sana kuangalia hii interview mpaka Bwana zebwela ameanza ku trend huko tick tock na what's up stutus nikasema ngoja nije kuona utamu bonge moj ala rahaaaa na buridaniiii iliojaaa elimu toshaaaaa ama kweli junguu kuuu halikosi ukoko

  • @salimumazige9497
    @salimumazige9497 5 หลายเดือนก่อน

    Salama nakuomba huyu jamaa uweunamwita marakwara anaelimisha jamii

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 12 วันที่ผ่านมา

    Nimependa sana watafute pesa sio mterezo wataanguka chali😂😂😂

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 2 ปีที่แล้ว +4

    Zambi mpya 🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga4805 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa max sikutegemea hiloo jibu umejibu kisilani

  • @husseinbuko9657
    @husseinbuko9657 2 ปีที่แล้ว +1

    Nime enjoy na nimefurahi dada salama kumleta kaka zembwela kwenye kipindi chako nimejifunza mengi Sanaaaa kutoka kwa zembwela na kwako pia MSAFIRI HUFIKIRI

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 2 ปีที่แล้ว +2

    Vyuma vimekutana

  • @ramadhanibashiru5130
    @ramadhanibashiru5130 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @georgeosmund727
    @georgeosmund727 2 ปีที่แล้ว +2

    Salama huyu mwamba inabidi awe na part 3 & 4