We Estar mwaka 2025 njoo ugombee jimboni kwetu bunda vijijini maana mmbunge wajimbo letu hana anachokifanya jimbo limepoa .kazi yake nikununulia Wazee maandazi nakahawa na soda .anatafuna pesa zajimbo tu .
Mama yetu mpendwa chukua hatua kwa hawa majambazi wa nchi hii? Wanatudhulumu sisi wananchi wanyonge wavuja jasho ambao hatujui hata kula yetu ya siku, mheshimiwa rais hii ni dhulma kwa watanzania wanyonge
Mwanachi wa kawaida akilaza deni la mwezi mmoja anakatiwa maji kwa deni la lisilo fikia hats tsh elfu 50 iweje hao wa mamilioni hamkati maji ktk ofisi zao?
Mi Leo raia mwema nadaiwa 3500 nakatiwa maji afu Watu wanadaiwa billions na wana lipwa mishahara ya mamilion na posho juu ila hawalipi maji? Dah hii Tanzania ya moto Sana viongozi ndio wanaotufanya Tanzania kuwa masikini 😭
Sasa mwizi anaenda kulipia bill? Ukoo wa panya unalipia mahindi waliokula stoo? Hii ni serikali au genge la wezi? Ipo siku laana ya viongozi wetu itawatafuna wao na vizazi vyao.
Uko vizur mheshiwa Bulaya, kuna wabunge wako serious bungeni na sio kuuza sura
Hatari kweli kweli. Sisi wananchi wa kawaida ndo tunaonewa kwenye Nchi hii.
Estar hongera kwa kazi nzuri sana Kuna wabunge wengine hawaongei waache ububu hotel 77 madai yetu hatujalipwa mhe Ester tutetee Arusha hawaongei
SAFI SANA WE ESTA BULAYA, DAM YA MARA HIYOO, HONGERA KWA KAZI NZURI
Ni kweli sana unayose ma esta bulaya aweso ni mnyenyekevu sana hajavaa cheo
We Estar mwaka 2025 njoo ugombee jimboni kwetu bunda vijijini maana mmbunge wajimbo letu hana anachokifanya jimbo limepoa .kazi yake nikununulia Wazee maandazi nakahawa na soda .anatafuna pesa zajimbo tu .
Yani hua nikiwaona hao wa dada Halima na Ester hua nafurahi sana wanavyo sumbua ccm bungeni
Esther Bulaya sijawahi kuchoka kusikiliza hoja zako bungeni
Ester apewe maua yake na miti na product nyingine za kilimo
Hongera sana ester umenifurahisha sana ,ingekuwa raia angekatiwa maji tena kwa kiasi kidogo tu ,
Kazi ya kudai watu wa chini na wanyonge tu.Ongera dada👍👍👍❤❤
Ester na Halima ni majembe kweli kweli.Njooni Chadema.
Aweso ni mtu safi SANASANA, actually watukutoka tanga ni watu safi na wasio na Tamaa
Apana umeferi
Mpigieni makofi AWESO hata kama hamtaki ila mkuu Aweso yuko vizuri sana kumbe Ester bulaya anaona kama ninavyoona
Kweli Aweso anapiga kazi
Ester Bulaya mwanamke jasiri
Mama kuhus maji umeongea point na Waziri kakuckia kwa makini hyo ndo raha ya kuwa mtanzania .Uweso godbless u
Hizi jembe hiziii, Ester na Halima Mdee,
Wanawake majasiri kama hawa ni wachache hapa nchini
Ester Uko vzr
Nimekupenda bureee
Uliyosema yote nikweli kbs
Bunda stor Na nyamakokoto maji yanapotea sanaaaaaaa
sisi Kama hatujalipa mwezi Moja tunakatiwa
Mbona Barabara.za.kwao pangani Tanga pongwe tongoni maguzoni.korogwe.hazijengwi kwa.lami hamnakitu hao
huko vizuri mbunge
Mama yetu mpendwa chukua hatua kwa hawa majambazi wa nchi hii? Wanatudhulumu sisi wananchi wanyonge wavuja jasho ambao hatujui hata kula yetu ya siku, mheshimiwa rais hii ni dhulma kwa watanzania wanyonge
Nakupongeza sana mwana mke
Jasiri wambie kabisa ukuchini
Tunateseka sana
Mimi nimelipa maji kiomboi iramba toka mwaka jana sijapata maji😢
Asante Ester wapehabari hao wamezidi kutubana bhana wengi wanajipenda wenyewe
Esther Uko vizuri .
Ni swali nzuri sana Aksante sana Mweheshimiwa Ester Bulaya.Mchango wako ni safi sana
Nampenda Sana uweso jamaniii nampenda ester jamaniii nawapenda sanaaaaaaaaaaa
Namesake 🥰🥰🥰🥰 very confident woman safiiiiiiii 🥰
Sisi wananchi ndio maana tunabambikwa madeni kumbe huwa tunawalipia serikali😢😢😢😢😢
Umeonaee
Umeona eee
Safi sanaaa ww ni Jasiri sana
Taasisi za serikali zifungiwe pre paid meters ndio suluhisho. Ingawaje kwa ubabe wanaweza kuweka by pass.
Asenga yuko vizuri ulanga poleni hamna mwakilishi
Lkn waziri Wa fedha ww
Si maskini wanalipia deni zao ya nini walipe wao na sisi wanyonge wa Mungu tupo kuwalipiadeni zao lakini Mungu atatulipia nguvu zetu wanazo tuzulumu
Wajiangalie hawa ndio wanawaibia wanainchi Huku wakidai kujenga nchi.
Halima utavunja hichokitabu 😅😅
🎉🎉🎉Aweso kapewa maua yake
Huyu mama anafaa hapa kenya
Wabuge wote wangekuwa kama huyu mama tuko mbali
Wakakatiwe na nyumbani kwao
Anaongea kama anawagombeza😂
Ndio, hatakiw kuomba kwasababu anatetea Mali ya umma na wenye kuhusika na usimamiz wanafanya dhulma
Ivi ww una pata ujasli wapi wewe miguu juu kujibu wana nchii
Anakuangalia sana kwasababu ata mpendwa wetu hayati John Joseph pombe makufuli alikupiga chini kwasababu ni aufai ata kidogo
Nakupenda unavyojiamini mama 🥰🥰🥰
ESTA safi sana SS wanaichi tunakatiwa wao hawakatiwi ndio maana tunaitaji uwepo wenu
Safii Mh Juma uko vizuri ila watendaji wako hapa kinyerezi mongolandege kuna shidaaw
Mwigulu ni mpumbavu sana yaani kiufupi ni kero katika taifa letu
Daaa ukiwa na mbunge kama huyu kwa Nini usilinge na kutembea kifua mbele hongera dada
Mdee nakugotea kwa juu upo vzri mummy
Hamlipi nyie tunabambikiziwa sisi wananchi, wananchi tunateseka sana.
Aweso namkubali japo mi sio ccm
Jamani bunda huyundo mbunge bunda wengine amazi ganyanza tulilo lituma bungen limelalatu sijui liko wapi jani nkupenda esita mwana wa bulaya ❤❤❤❤❤❤
Ahahahahahahaahaaaaa mwigulu bana eti taasisi walipe basi ili wasaidie kuchachua uchumi
Hata machame kilimanjaro wanatabia hyooo😂😂😂
Arafu ivi wabunge wario pigiwa
Kura na wanaichi mbona
Siwasikii wakitowa oja vi
Hongera bulaya
Kwa kweliiii upewe maua yako❤
Ukweli walipe
Wambie hao wamekosa haya hoo wala aibu hamna kazi kuwadai raiya maji wao hawataki kulipa nifedheha gani
Waooo uko visuri san dada
Yes aweso yupo vzr
Hongera San uwatetee watanzania wanyonge
Kaka mwiguli atoke kwenye hiyo sehemu
Hana ishukabisa huyujamaa huyu nimzizi wamatatizo kwenyenchihii
Kabisa huyu jamaa ni takataka
Kuna maeneo tunawahitaji kina mh Easter Bulaya wengi ili tufikie malengo ya serikali ya awamu ya sita
Namkubali Sana @Esther Bulaya
Nakupenda Mama
Mwanachi ikifika deni elfu 60 tu wamekata maji
Kumekucha, ilo nalo neno wazee jitahidin.
Ester na halima rudini nyumbani chadema
Kama mwananchi wangemkatia maji!! Kwa nini wao wasikatiwe maji?? Kwa nini wao wasikatiwe maji????
Hayo madeni wanayo daiwa ndio tunabambikiwa sisi wananchi wa kawaida Ili kufidia fidia,bado matozo haijulikani peza zaenda wapi
Walipe bnh wengine tunakosa maji kwaajili yao na kuwanganishiwa mabomba feki yanapasuka pasuka ovyo
Dadaangu barikiwa sana
Shell ndiyo nini Mhe Bulya??? Ebu Katibu wa Bunge ondoa kwenye kumbukumbu za Bunge hilo jina Shell ilikulinda heshima ya Bunge.
Damu ya mara hajawahi kutoka mjinga huko
Apa nime kueshimu sana wapizani ninaowataka kama hawa
Aweso Safi sanaa
Kata aweso. usivionee aibu kata tu pigakaz
Sisi tunakatiwa wao wanakuja bata
kumbe hata taasisi za serekali zinadaiwaga? maji?
Mwigulu achaa kzi umeshiba
Na taarifa yake kubwa inahusugu mambo ya Yanga tu..🤣😂
Mwanachi wa kawaida akilaza deni la mwezi mmoja anakatiwa maji kwa deni la lisilo fikia hats tsh elfu 50 iweje hao wa mamilioni hamkati maji ktk ofisi zao?
Wabunge wa Tanga mabubu vilema
Aliekula ela ya bili ya maji wakamatwe iwe mfano tu ,mbona inajulikana ela zinapelekwa ila kuna mtu anazibugia
Dada takupenda nikweri hawa wadudu wana tuibia woripe bili
Wabunge wazazibary mnamsikia mwenzenu huyo mtoto wakike esta bulaya nyie kazi kusinzia na kupokea posho toka aondoke bwege hatuwasikii wapinzani
safi sana mama
Hongera Esther
Mi Leo raia mwema nadaiwa 3500 nakatiwa maji afu Watu wanadaiwa billions na wana lipwa mishahara ya mamilion na posho juu ila hawalipi maji? Dah hii Tanzania ya moto Sana viongozi ndio wanaotufanya Tanzania kuwa masikini 😭
Lipeni madeni ya maji
Yaani waziri wa fedha sijui nilitaka niseme nini
Kuchachua uchumi
Sasa mwizi anaenda kulipia bill? Ukoo wa panya unalipia mahindi waliokula stoo? Hii ni serikali au genge la wezi? Ipo siku laana ya viongozi wetu itawatafuna wao na vizazi vyao.
Na kubambikiwa bili imekuwa kawaida
Shame, bomba kuvuja kuongelewa bungeni?
Usimamizi wa kuwaua wafanya biashara
Vichwa kutoka Mara🔥🔥🔥
Waziri wa fedha wa awamu sita na awamu ya nne ndio mawaziri hovyo haijawahi kutokea nchi ipate uhuru