MWIGULU AMVAA ESTER BULAYA / UNANIANGALIA SANA MIMI / WABUNGE HAMUONI AIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 136

  • @hrehemaandreson1970
    @hrehemaandreson1970 ปีที่แล้ว +14

    Uko vizur mheshiwa Bulaya, kuna wabunge wako serious bungeni na sio kuuza sura

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว +14

    Hatari kweli kweli. Sisi wananchi wa kawaida ndo tunaonewa kwenye Nchi hii.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Estar hongera kwa kazi nzuri sana Kuna wabunge wengine hawaongei waache ububu hotel 77 madai yetu hatujalipwa mhe Ester tutetee Arusha hawaongei

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 ปีที่แล้ว +8

    SAFI SANA WE ESTA BULAYA, DAM YA MARA HIYOO, HONGERA KWA KAZI NZURI

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 ปีที่แล้ว +7

    Ni kweli sana unayose ma esta bulaya aweso ni mnyenyekevu sana hajavaa cheo

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 ปีที่แล้ว +6

    We Estar mwaka 2025 njoo ugombee jimboni kwetu bunda vijijini maana mmbunge wajimbo letu hana anachokifanya jimbo limepoa .kazi yake nikununulia Wazee maandazi nakahawa na soda .anatafuna pesa zajimbo tu .

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 ปีที่แล้ว +5

    Yani hua nikiwaona hao wa dada Halima na Ester hua nafurahi sana wanavyo sumbua ccm bungeni

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 ปีที่แล้ว +7

    Esther Bulaya sijawahi kuchoka kusikiliza hoja zako bungeni

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 ปีที่แล้ว +12

    Ester apewe maua yake na miti na product nyingine za kilimo

  • @BahatiMwamewa-jk5wx
    @BahatiMwamewa-jk5wx ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana ester umenifurahisha sana ,ingekuwa raia angekatiwa maji tena kwa kiasi kidogo tu ,

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi ya kudai watu wa chini na wanyonge tu.Ongera dada👍👍👍❤❤

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ester na Halima ni majembe kweli kweli.Njooni Chadema.

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj ปีที่แล้ว +5

    Aweso ni mtu safi SANASANA, actually watukutoka tanga ni watu safi na wasio na Tamaa

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c ปีที่แล้ว +3

    Mpigieni makofi AWESO hata kama hamtaki ila mkuu Aweso yuko vizuri sana kumbe Ester bulaya anaona kama ninavyoona

    • @carteq
      @carteq 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli Aweso anapiga kazi

  • @piniellaizer5753
    @piniellaizer5753 ปีที่แล้ว +5

    Ester Bulaya mwanamke jasiri

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mama kuhus maji umeongea point na Waziri kakuckia kwa makini hyo ndo raha ya kuwa mtanzania .Uweso godbless u

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts ปีที่แล้ว +1

    Hizi jembe hiziii, Ester na Halima Mdee,
    Wanawake majasiri kama hawa ni wachache hapa nchini

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 ปีที่แล้ว +3

    Ester Uko vzr
    Nimekupenda bureee
    Uliyosema yote nikweli kbs
    Bunda stor Na nyamakokoto maji yanapotea sanaaaaaaa

  • @mustaphampandi137
    @mustaphampandi137 ปีที่แล้ว +5

    sisi Kama hatujalipa mwezi Moja tunakatiwa

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh หลายเดือนก่อน +1

    Mbona Barabara.za.kwao pangani Tanga pongwe tongoni maguzoni.korogwe.hazijengwi kwa.lami hamnakitu hao

  • @HamisiMbinga-lg6nv
    @HamisiMbinga-lg6nv ปีที่แล้ว +5

    huko vizuri mbunge

  • @adamshaban5336
    @adamshaban5336 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mama yetu mpendwa chukua hatua kwa hawa majambazi wa nchi hii? Wanatudhulumu sisi wananchi wanyonge wavuja jasho ambao hatujui hata kula yetu ya siku, mheshimiwa rais hii ni dhulma kwa watanzania wanyonge

  • @DicksonLudoviko
    @DicksonLudoviko ปีที่แล้ว +1

    Nakupongeza sana mwana mke
    Jasiri wambie kabisa ukuchini
    Tunateseka sana

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu ปีที่แล้ว +6

    Mimi nimelipa maji kiomboi iramba toka mwaka jana sijapata maji😢

  • @CathelinMdoe-kf6xr
    @CathelinMdoe-kf6xr ปีที่แล้ว

    Asante Ester wapehabari hao wamezidi kutubana bhana wengi wanajipenda wenyewe

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว +6

    Esther Uko vizuri .

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq ปีที่แล้ว +4

    Ni swali nzuri sana Aksante sana Mweheshimiwa Ester Bulaya.Mchango wako ni safi sana

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 ปีที่แล้ว +4

    Nampenda Sana uweso jamaniii nampenda ester jamaniii nawapenda sanaaaaaaaaaaa

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 ปีที่แล้ว +2

    Namesake 🥰🥰🥰🥰 very confident woman safiiiiiiii 🥰

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 ปีที่แล้ว +10

    Sisi wananchi ndio maana tunabambikwa madeni kumbe huwa tunawalipia serikali😢😢😢😢😢

  • @ezekiellotoishe3664
    @ezekiellotoishe3664 ปีที่แล้ว +2

    Safi sanaaa ww ni Jasiri sana

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 ปีที่แล้ว +4

    Taasisi za serikali zifungiwe pre paid meters ndio suluhisho. Ingawaje kwa ubabe wanaweza kuweka by pass.

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asenga yuko vizuri ulanga poleni hamna mwakilishi

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 ปีที่แล้ว +5

    Lkn waziri Wa fedha ww

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb ปีที่แล้ว +1

    Si maskini wanalipia deni zao ya nini walipe wao na sisi wanyonge wa Mungu tupo kuwalipiadeni zao lakini Mungu atatulipia nguvu zetu wanazo tuzulumu

  • @PaulKhaday-gm4hq
    @PaulKhaday-gm4hq ปีที่แล้ว +3

    Wajiangalie hawa ndio wanawaibia wanainchi Huku wakidai kujenga nchi.

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu2312 ปีที่แล้ว +4

    Halima utavunja hichokitabu 😅😅

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 ปีที่แล้ว +4

    🎉🎉🎉Aweso kapewa maua yake

  • @mariamheinz8582
    @mariamheinz8582 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mama anafaa hapa kenya

  • @user-ku1kq1mo2z
    @user-ku1kq1mo2z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wabuge wote wangekuwa kama huyu mama tuko mbali

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 ปีที่แล้ว +4

    Wakakatiwe na nyumbani kwao

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 ปีที่แล้ว +3

    Anaongea kama anawagombeza😂

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 ปีที่แล้ว +1

      Ndio, hatakiw kuomba kwasababu anatetea Mali ya umma na wenye kuhusika na usimamiz wanafanya dhulma

  • @mirumbeihema2589
    @mirumbeihema2589 ปีที่แล้ว +1

    Ivi ww una pata ujasli wapi wewe miguu juu kujibu wana nchii

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 ปีที่แล้ว

    Anakuangalia sana kwasababu ata mpendwa wetu hayati John Joseph pombe makufuli alikupiga chini kwasababu ni aufai ata kidogo

  • @hildananyaro3231
    @hildananyaro3231 ปีที่แล้ว +5

    Nakupenda unavyojiamini mama 🥰🥰🥰

  • @VenasiVenasi-gf2pz
    @VenasiVenasi-gf2pz ปีที่แล้ว

    ESTA safi sana SS wanaichi tunakatiwa wao hawakatiwi ndio maana tunaitaji uwepo wenu

  • @ellylyatuu7302
    @ellylyatuu7302 ปีที่แล้ว +1

    Safii Mh Juma uko vizuri ila watendaji wako hapa kinyerezi mongolandege kuna shidaaw

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mwigulu ni mpumbavu sana yaani kiufupi ni kero katika taifa letu

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 ปีที่แล้ว

    Daaa ukiwa na mbunge kama huyu kwa Nini usilinge na kutembea kifua mbele hongera dada

  • @maulidwhyder8848
    @maulidwhyder8848 ปีที่แล้ว +1

    Mdee nakugotea kwa juu upo vzri mummy

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 ปีที่แล้ว +1

    Hamlipi nyie tunabambikiziwa sisi wananchi, wananchi tunateseka sana.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aweso namkubali japo mi sio ccm

  • @gideonpaulo2238
    @gideonpaulo2238 ปีที่แล้ว +1

    Jamani bunda huyundo mbunge bunda wengine amazi ganyanza tulilo lituma bungen limelalatu sijui liko wapi jani nkupenda esita mwana wa bulaya ❤❤❤❤❤❤

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ahahahahahahaahaaaaa mwigulu bana eti taasisi walipe basi ili wasaidie kuchachua uchumi

  • @Titonazaleth-py8ol
    @Titonazaleth-py8ol ปีที่แล้ว +1

    Hata machame kilimanjaro wanatabia hyooo😂😂😂

  • @DicksonLudoviko
    @DicksonLudoviko ปีที่แล้ว +1

    Arafu ivi wabunge wario pigiwa
    Kura na wanaichi mbona
    Siwasikii wakitowa oja vi

  • @user-xl3sr4jj4l
    @user-xl3sr4jj4l 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera bulaya

  • @octavinaalphonce6898
    @octavinaalphonce6898 17 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweliiii upewe maua yako❤

  • @PeterToga-zp6jv
    @PeterToga-zp6jv หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli walipe

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wambie hao wamekosa haya hoo wala aibu hamna kazi kuwadai raiya maji wao hawataki kulipa nifedheha gani

  • @user-gu9dv6fh1i
    @user-gu9dv6fh1i หลายเดือนก่อน +1

    Waooo uko visuri san dada

  • @GodfreyMagagi-yh2fr
    @GodfreyMagagi-yh2fr ปีที่แล้ว +1

    Yes aweso yupo vzr

  • @tajirifransis729
    @tajirifransis729 ปีที่แล้ว +1

    Hongera San uwatetee watanzania wanyonge

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj ปีที่แล้ว +3

    Kaka mwiguli atoke kwenye hiyo sehemu

    • @FadhirSaid-hf2cp
      @FadhirSaid-hf2cp ปีที่แล้ว +1

      Hana ishukabisa huyujamaa huyu nimzizi wamatatizo kwenyenchihii

    • @geremanamzoo-up2og
      @geremanamzoo-up2og ปีที่แล้ว +1

      Kabisa huyu jamaa ni takataka

  • @shikuhata
    @shikuhata ปีที่แล้ว +2

    Kuna maeneo tunawahitaji kina mh Easter Bulaya wengi ili tufikie malengo ya serikali ya awamu ya sita

  • @maadigitalpro
    @maadigitalpro ปีที่แล้ว +2

    Namkubali Sana @Esther Bulaya

  • @user-rv7nz6xb6d
    @user-rv7nz6xb6d ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda Mama

  • @shahanyoni9163
    @shahanyoni9163 ปีที่แล้ว +1

    Mwanachi ikifika deni elfu 60 tu wamekata maji

  • @StephanoMwakilito
    @StephanoMwakilito ปีที่แล้ว +1

    Kumekucha, ilo nalo neno wazee jitahidin.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ester na halima rudini nyumbani chadema

  • @kasembewakasembe580
    @kasembewakasembe580 ปีที่แล้ว +1

    Kama mwananchi wangemkatia maji!! Kwa nini wao wasikatiwe maji?? Kwa nini wao wasikatiwe maji????

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo9945 ปีที่แล้ว +1

    Hayo madeni wanayo daiwa ndio tunabambikiwa sisi wananchi wa kawaida Ili kufidia fidia,bado matozo haijulikani peza zaenda wapi

  • @lucygwande-jf2cu
    @lucygwande-jf2cu ปีที่แล้ว +1

    Walipe bnh wengine tunakosa maji kwaajili yao na kuwanganishiwa mabomba feki yanapasuka pasuka ovyo

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv ปีที่แล้ว +1

    Dadaangu barikiwa sana

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 9 หลายเดือนก่อน +1

    Shell ndiyo nini Mhe Bulya??? Ebu Katibu wa Bunge ondoa kwenye kumbukumbu za Bunge hilo jina Shell ilikulinda heshima ya Bunge.

  • @jumannemagumba619
    @jumannemagumba619 2 หลายเดือนก่อน +1

    Damu ya mara hajawahi kutoka mjinga huko

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 4 หลายเดือนก่อน +1

    Apa nime kueshimu sana wapizani ninaowataka kama hawa

  • @robertkavishe-fk1ve
    @robertkavishe-fk1ve ปีที่แล้ว +2

    Aweso Safi sanaa

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp ปีที่แล้ว +1

    Kata aweso. usivionee aibu kata tu pigakaz

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi tunakatiwa wao wanakuja bata

  • @mustaphampandi137
    @mustaphampandi137 ปีที่แล้ว +6

    kumbe hata taasisi za serekali zinadaiwaga? maji?

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 ปีที่แล้ว +1

    Mwigulu achaa kzi umeshiba

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 ปีที่แล้ว +1

    Na taarifa yake kubwa inahusugu mambo ya Yanga tu..🤣😂

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 ปีที่แล้ว +1

    Mwanachi wa kawaida akilaza deni la mwezi mmoja anakatiwa maji kwa deni la lisilo fikia hats tsh elfu 50 iweje hao wa mamilioni hamkati maji ktk ofisi zao?

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh หลายเดือนก่อน +1

    Wabunge wa Tanga mabubu vilema

  • @mosesfrancois752
    @mosesfrancois752 16 วันที่ผ่านมา

    Aliekula ela ya bili ya maji wakamatwe iwe mfano tu ,mbona inajulikana ela zinapelekwa ila kuna mtu anazibugia

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 23 วันที่ผ่านมา

    Dada takupenda nikweri hawa wadudu wana tuibia woripe bili

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wabunge wazazibary mnamsikia mwenzenu huyo mtoto wakike esta bulaya nyie kazi kusinzia na kupokea posho toka aondoke bwege hatuwasikii wapinzani

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 ปีที่แล้ว +1

    safi sana mama

  • @olivermlebele3894
    @olivermlebele3894 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Esther

  • @tryc_579
    @tryc_579 ปีที่แล้ว +1

    Mi Leo raia mwema nadaiwa 3500 nakatiwa maji afu Watu wanadaiwa billions na wana lipwa mishahara ya mamilion na posho juu ila hawalipi maji? Dah hii Tanzania ya moto Sana viongozi ndio wanaotufanya Tanzania kuwa masikini 😭

  • @PhilipoShumbi-lp6vg
    @PhilipoShumbi-lp6vg ปีที่แล้ว +4

    Lipeni madeni ya maji

  • @charlesathuman6228
    @charlesathuman6228 ปีที่แล้ว +1

    Yaani waziri wa fedha sijui nilitaka niseme nini

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kuchachua uchumi

  • @sesicasi1364
    @sesicasi1364 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mwizi anaenda kulipia bill? Ukoo wa panya unalipia mahindi waliokula stoo? Hii ni serikali au genge la wezi? Ipo siku laana ya viongozi wetu itawatafuna wao na vizazi vyao.

  • @BahatiMwamewa-jk5wx
    @BahatiMwamewa-jk5wx ปีที่แล้ว +3

    Na kubambikiwa bili imekuwa kawaida

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 9 หลายเดือนก่อน +1

    Shame, bomba kuvuja kuongelewa bungeni?

  • @NyandaYohana
    @NyandaYohana ปีที่แล้ว +1

    Usimamizi wa kuwaua wafanya biashara

  • @annawegoro1522
    @annawegoro1522 ปีที่แล้ว +2

    Vichwa kutoka Mara🔥🔥🔥

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 ปีที่แล้ว

    Waziri wa fedha wa awamu sita na awamu ya nne ndio mawaziri hovyo haijawahi kutokea nchi ipate uhuru