SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2021
  • SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
    Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM) Condester Sichwale, kutokana na kuvaa suruali iliyombana.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 115

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba 22 วันที่ผ่านมา

    Na maandiko ya Mungu yanabaki vile vile na IMEANDIKWA

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 3 ปีที่แล้ว +6

    Ni kweli wanawake tunaenda uchi sana tunawapa shida wanaume wao wameumbwa na hisia za karibu sana

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 3 ปีที่แล้ว +5

    Islam religion--ililiona hili kitambo

  • @frankmakomba378
    @frankmakomba378 3 ปีที่แล้ว +1

    Mfumo dume vazi ni zuri kabisa. Pia alichaguliwa na wanawake huko jimboni kwake. Msilete mambo ya jinsia na dini bungeni.

    • @jumaramadhani5214
      @jumaramadhani5214 3 ปีที่แล้ว

      Ww nimtu wa aina gani hapo sio bich ujue

  • @emanuelisraelmandi5891
    @emanuelisraelmandi5891 3 ปีที่แล้ว +2

    Hawa wazee wanawachukulia vijana kama watt wao ni sawa lkn mambo ya kuaibishana kama watt hayana maana nadhan hekima imempungua mheshimiwa Omar angetumia namna nzur tu kumjulisha huyo mbunge , amenikera sana anataka avae baibui au kwann nahc analeta udini tu

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 3 ปีที่แล้ว

    Dugai uko sawa izo nguo mtavaa mkitoka bungeni

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 3 ปีที่แล้ว +4

    Kweli arudishiwe hukohuko getini asiingie

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we หลายเดือนก่อน

    Vizur

  • @zainarashid1024
    @zainarashid1024 3 ปีที่แล้ว +2

    Na avae kwake au nyumbani sio kazini nawe vaa sio waislam heshima haiuzwi

  • @brightonkomba3200
    @brightonkomba3200 3 ปีที่แล้ว

    Huo ndo msimamo, nmekuelew Ndugai

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 ปีที่แล้ว

    Ni kweli vazi Hilo halifai bungeni.

  • @papafikiri
    @papafikiri 2 หลายเดือนก่อน

    Maisha yanaenda kasi

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 3 ปีที่แล้ว

    Anakiherehere

  • @jaffarabdullah4011
    @jaffarabdullah4011 3 ปีที่แล้ว

    Huyo mzee yuko sawa baadhi ya wanna wake mnapend kuvaa uchi mkiambia mnasema mnadhalilishwa wacheni kuvaa uchi

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 3 ปีที่แล้ว +2

    Pasipo maono taifa huangamia

  • @fidelludemwa2943
    @fidelludemwa2943 3 ปีที่แล้ว

    Sawasawa

  • @mohamediazizi3658
    @mohamediazizi3658 3 ปีที่แล้ว

    Na kwann mruhusu mavazi hayo ikiwa nyie ndio kioo cha jamii!!!!? Inashangaza sn kwa mtanzania kufanya vitu vya kuiga ninaimani hiyo sio asiliyetu jamani yani sipendi mwanamke anaevaa suruali yaaani mtihani sn nampenda kwa kujiridhishatu kwa tamanio lake lakini nikizungumkuti tumcheni mungu tuepukane na mitihani ya mungu ogopeni sn

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 ปีที่แล้ว

    Tulikuwaga na lispika la ajabu sana miaka hiyo, na majitu mashamba sana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 ปีที่แล้ว +9

    Nyie waislam msitulazimishe tuvae kama nyie, hamtutendei haki, sisi wakristo, watu milioni zote tuvae utakavyo wewe haitawezekana ,

    • @suleimaniamadi1441
      @suleimaniamadi1441 3 ปีที่แล้ว +5

      Sasa Dada yangu ukristo umewaambia mvae nusu uchi mbona mnajitoa ufaham hata kristo atawashagaa

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo Wakristo ndio wakaa uchi

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 3 ปีที่แล้ว +5

      Walio wa Kristo org. Wanaliangalia Neno la Mungu na kulifuata. Neno la Mungu ktt Kumbukumbu la Torati 22:5 limeandikwa:- "Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyae mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว +5

      @@rmaryp6269 afadhali umetukumbusha maana mambumbumbu na mazwazwa mengi yanahisi ukristo ndio kimbilio Za uchenzi

    • @shabanimohamedi3680
      @shabanimohamedi3680 3 ปีที่แล้ว +1

      hatupo KANISANI apa BUNGENI kanuni na Shelia kuzingatiwe. asubili akienda KANISANI akaonyeshe DUDE.

  • @shebizo4769
    @shebizo4769 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii iwe muendelezo Adi mtaan uku

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 3 ปีที่แล้ว

    Kwa nini msianze na utaratibu wa Wabunge wote kuvaa majoho wakati wakiwa kwenye vikao?

  • @floranyambominja5797
    @floranyambominja5797 3 ปีที่แล้ว

    Bungee liwekwe bango la dress code nje linaloonyesha mivao isiyokubalika. Kwani huko ndani si kuna wengi na wanaume waliovaa suruali mninginizo!

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 ปีที่แล้ว

      Nadhani kimtindo umekasirika kiambiwa ukweli ! Wewe ushawahi kuona mbunge wa kiume kavaa matako nje acha unazi kichwani mmezidi kutuonesha makalio na mishepu yenu ! Nawewe katoe mfano bunguni .

  • @dr.djshigongo4927
    @dr.djshigongo4927 3 ปีที่แล้ว

    Kwa nini wasingemuita kwene kamati ya maadili ya bunge?

  • @magrethmtengie5133
    @magrethmtengie5133 3 ปีที่แล้ว

    Mm sijaona kama kavaa vibaya labda muwawekee majoho wakifika hapo muwavishe

  • @jumaramadhani5214
    @jumaramadhani5214 3 ปีที่แล้ว

    Naaam

  • @rogatianmtenga7265
    @rogatianmtenga7265 3 ปีที่แล้ว +1

    Huu ulikua ushamba wa spika. Shame on him.

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 3 ปีที่แล้ว

    Stara iheshimiwe mpk aib

  • @solomonsamson1907
    @solomonsamson1907 3 ปีที่แล้ว +2

    Yeye huyo Mbunge mbona amevaa kofia ya Msikitini kwani mule Msikitini, Mule Bungeni siyo msikitini Dada yupo vizuri..

    • @Muhammad-wu1om
      @Muhammad-wu1om 3 ปีที่แล้ว

      Mbona wakristo wanaingia na misalaba, kwan kanisani?

    • @solomonsamson1907
      @solomonsamson1907 3 ปีที่แล้ว

      Nimesema huyo Mbunge amevaa kofia, Sijasema waislam soma vizuri .

    • @Muhammad-wu1om
      @Muhammad-wu1om 3 ปีที่แล้ว

      kwan wanaoingia misiktin nan ww?

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 ปีที่แล้ว

      Wapi ime andikwa kofia ya msikitini? Kwani kofia kama hizo wazee mikoani wanavaa tena nyekundu au chuki zako binasfi ? We zuzu mbuzi we tumia akili usitumie matako kufikiria! Kofia haina jina ni ya wapi.

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 ปีที่แล้ว

      Kofia hiyo unavaa popote wee zuzu, ttzo lako hata sheria za nchi huzijui

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 3 ปีที่แล้ว

    Na hk mtaani je ?

  • @verostaherman4952
    @verostaherman4952 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuu sawa lakini udhalilishaji huo angepewa onyo kipekee

    • @ibnually7648
      @ibnually7648 3 ปีที่แล้ว

      Kwan sheria hazijui

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 ปีที่แล้ว

      @@ibnually7648 nashangaa

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 ปีที่แล้ว

      Yaani wanawake kwa kuteteana utafkiri wanapendana kumbe maadui

    • @verostaherman4952
      @verostaherman4952 3 ปีที่แล้ว

      Haya hilo bwangwa lina tatizo gani siyo kuteteana

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 ปีที่แล้ว

      Kwani lazima mvae suruali?

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 3 ปีที่แล้ว +2

    Wanaonyesha matako yao.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 ปีที่แล้ว +1

    Hao ndio wabeba maono napeleka kelo za wananchi jamani

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 3 ปีที่แล้ว

      Baada ya wapeleke shida za watu , ,ushamba Tu unawasumbua kavaa uchi ,hapo sasa ,ni ushamba ,mmezoa mavitenge.

  • @hamadiseleman3677
    @hamadiseleman3677 3 ปีที่แล้ว

    Ila alipendeza huyu mbunge

  • @benedictmhina6741
    @benedictmhina6741 3 ปีที่แล้ว

    Zee limeomba mzigo limekataliwa

  • @jmk7b947
    @jmk7b947 3 ปีที่แล้ว

    Shameful for those women why are they still sitting with colonizers

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi7454 3 ปีที่แล้ว

    Wengine ni watu wazima kidogo sijui wanatafuta nini nadhani hata mtoto anaelewa

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 3 ปีที่แล้ว

    😅😅😅😅kazi kwelikweli

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 3 ปีที่แล้ว

    Getini hukohuko..

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 3 ปีที่แล้ว +4

    Hao wanawake wanaovaa hivyo, wanatangaza biashara yao.

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna kitu, acheni raia wawe huru na mavazi yao, kwani hakuna aliezaliwa na nguo, na hakuna cha biashara yoyote ni fikra zenu duni.

    • @seifnassor3729
      @seifnassor3729 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mayrfrimi4759 Kama hoja ni kuzaliwa uchi kwanini unavaa nguo.

    • @saidichilyenga2847
      @saidichilyenga2847 3 ปีที่แล้ว

      @@mayrfrimi4759 Uhuru gani wa kuvaa vibaya? Kama ni hivyo ubakaji uruhusiwe

  • @mashaallhmkonokwakwamkonog4845
    @mashaallhmkonokwakwamkonog4845 3 ปีที่แล้ว

    Uzalilishaji wangemuita pembeni

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ndio mzalilishaji aitwe pembeni vipi kwamba hajui kua yupo uchi?

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 ปีที่แล้ว

      Ni kweli ilipaswa wamstiri badae wamwambie ingekuwa bora zaidi

  • @albertremmy3479
    @albertremmy3479 3 ปีที่แล้ว +2

    hivi unawezaje kujua kwamba huyu mtu hajavaa nguo za heshima kama hukuchukua hatua ya kumtazama.hebu tuwe makini na macho yetu sio lazima kumtazama mtu.

    • @frankkaduganyatindo784
      @frankkaduganyatindo784 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣sasa tutazame wapi?

    • @frankkaduganyatindo784
      @frankkaduganyatindo784 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣sasa tutazame wapi?

    • @albertremmy3479
      @albertremmy3479 3 ปีที่แล้ว

      Ninamaana hv yani usimtazame mwanamke kwa kumtamani. sio una mtazama kwa kumtamani mambo yanakushinda unakuja kutusumbua ndani ya bunge.

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 ปีที่แล้ว

      Wee ndo mjinga wa mwisho kwani macho yana pazia? Acha kutetea upumbavu

    • @willymwaipaja6783
      @willymwaipaja6783 3 ปีที่แล้ว

      YAANI NAONA HUJAFIKIRI, HIVI UNAMJUAJE NDUGU NA ASIYE NDUGU, MWENYE AKILI TIMAMU NA KICHAA? INA MAANA WEWE HUJAWAHI KUMWONA ALIYEVAA OVYO AU ALIYEVAA KWA HESHIMA. NA KAMA UMEWAHI KUWAONA, ULITUMIA NINI KAMA SI MACHO. KWANI KUNA SHERIA YA KUKATAZA KUONA? MIE NAJUA TUNAKATAZWA KUCHUNGULIA MTU KWENYE FARAGHA YAKE AU KUKITAZAMA KITU BILA RIDHAA YA MHUSIKA. KAMA WEWE HUTAZAMI YALIYO WAZI, BASI WEWE UNACHUNGULIA MAANA MACHO UNAYO.

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 ปีที่แล้ว

    Duh! Aibu🤭

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 3 ปีที่แล้ว +1

    Wana jiuza wengine humo

  • @skeetermasoi3068
    @skeetermasoi3068 3 ปีที่แล้ว +1

    Angekuwa amevaa vibaya angerudishwa getini. Huyu Baba alikuwa na lake

    • @donjb3178
      @donjb3178 3 ปีที่แล้ว

      Getini anarudishwaje wakati yupo na gari yke 😂😂😂

    • @skeetermasoi3068
      @skeetermasoi3068 3 ปีที่แล้ว

      @@donjb3178 Wabunge huwa wanakaguliwa na usalama wa taifa kabla ya kuingia kwenye ukumbi

    • @donjb3178
      @donjb3178 3 ปีที่แล้ว

      @@skeetermasoi3068 Sasa huyo kaingiaje humo ina maana hawakumkagua? Au hawakumuona?

    • @skeetermasoi3068
      @skeetermasoi3068 3 ปีที่แล้ว

      @@donjb3178 Hata mimi hicho ndo nilichosema, kama walimkagua wakaona yuko sawa inakuwaje wamemtoa. Mi nahisi ameonewa

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ndio una lako

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee akakiherehere hatar

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 ปีที่แล้ว

      Getini huko huko

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 ปีที่แล้ว

      Nawewe kavae nguo za kubana kama ume kasirika

    • @aishadubat8028
      @aishadubat8028 3 ปีที่แล้ว

      @@faridaltamimi7454 ivi umeelewa nilichoandika au umekurupuka

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 3 ปีที่แล้ว

    Wanawake mbona wanatembea uchi kila mahali.

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 3 ปีที่แล้ว

    Wengine wakuja kuuza k tu kudanga kama huyu arusha magige

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 3 ปีที่แล้ว

    Anakiherehere