Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo. Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
Changamoto sio maprofesa tu hata hapo kwako. Mmmm sijawapata kabisa. Rushwa urasimu. Vyuo shuke wanasakili maelfu ya wanafunzi kwa lisaa lakini ardhi itatembea miaka bilakupata umiliki wa ardhi. Bank hakuna mikopo kwa wanyonge... Utafuti unahitajika lakini kuwa na watunga sera hai na Serikali hai
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️ Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
Viwanda bubu ni vingi sbb Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
Hapo prof Janabi aliongelea hasa watu wa mjini lakini MTU WA kijijini .nchi za kiafrica tunaangalia fedha hao watakuja maliza watu eti wafadhili watu wa serikali wakisikia mradi wa Una fedha wapombele kukimbilia miradi u jinga
Utafiti ni kitu muhimu na ukisubiri serikali ikutafitie utangoja sana na huenda utapitwa na wakati Kula kidogo hakuna madhara na kuna faida kubwa kiafya (one mill a day )na tutumie chakula kama dawa mboga mizizi na nafaka.
Msukuma mtani wangu Ukosawa. na hayo unayosema. Tatizo tunalo kubwa ni asilimia kubwa ya hao viongozi ni wanachama wa chama cha nchi za magharibi. Kwa hio wana tekeleza walio kubaliana ndani ya mikataba yao! Ujue msukuma hayo yanayo fanyika ni kwa rithaa ya mtu m'tu mmoja sio rithaa ya umma! Na utambue msukuma ni Mkoloni wa nchi za africa ni viongozi wa nchi za Africa!
Huwa sijutii kumaliza bando langu kimsikiliza msukuma kwa hakika hongera Sana msukuma ukiambiwa wanao kunywa pombe wanaakili unabisha kuna mijutu bungeni imekaa tu kama mizigo hatasikii wakichangia chochote inafikilia muda wa posho ufike basi 💉💉💉
Msukuma kazungumza jambo ovu kubwa LA pombe ni nikweli kuna pombe inatengenezwa na mchanganyiko wa spirit na kuna ile Dawa inayotengenezea sabuni ya magadi na nyingine wanatia jiki ya kutakasia Nguo, Mimi haya nimemsikia msambaza Wa pombe ambae alikua anamuuzia mteja wake dukani
Msukuma Uko vizuri
Safi sana mh. Msukuma
Msukuma. Allah akulinde. Maashaallah. Unajitambua sana
Msukuma we ni proffeser,madini unayoyatoa ni fire,sauti ya Magufuli ipo ndani tunaisikia big up
Uhakika babu
Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
Allah akuzidishie
Msukuma kwa hayo Mungu akubariki
Tafti ya msukuma naikubari,, sarutttti
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo.
Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
Safi sana msukuma unatuwakirisha vyema
Daktari msukuma tumesha chelewa kaka ningumu Sana kwasasa
Wabheja sana nsukuma mwichane🎉🎉🎉love you 😍 ❤️ 💖
Onsukuma ng'wiyo jinga sana! Ahale mbehi o-mpina, nadarahile sana, ontwe gwakwe hamo gomadekile mashi, ali dogohaya genehe?
Tusemee tusioweza kupaza sauti ikasikika.
Mwenye Sikio na asikie
❤❤
Msukuma hoyeeee
Mm mwenyewe namuelewa sana kwakweli Mr Janaby
Hongera mh kasheku mtani wangu. Huwa nakukubali sana ndio wabunge ninao wataka waaina yako
Unawataka wewe kama nani ??
Asnt sana ubarikiwe
🎉huyu ndo msomi pekeee bungeni
Msukumu is very genius❤
Ndio shida yetu watalamu wetu hatwatumii , wazungu hawawezi kutupenda kama munavyokuwa munazani wataraamu amukeni .
Daaa! kwaupande waushoga watoto wetu wanangamia kwakweli bora hatamusukuma umesema
Hongera sana musukuma
Prof Janabi Said it Right! If you think it is a joke, Keep ignoring it as Ignorance is expensive than Education
Kiukweli wazungu wanaajenda mbaya sana kwetu tuaiposhituka tutakwisha hongera msukuma mungu azidi kukuongoza
Asante sana
Ni kweli kaka chanjo zimezidi sanaa😢😢
Huyu jamaa jembe sana safi dah
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
Ndio lkn kwa kundi frani la wenye nacho hakuna faida kwa maskini kwa maelekezo yake
Msukuma ameeleweka kwa wenye akili kubwa tu, mafundisho ya Dr. ni general sana na yanatia hofu hata wasio husika! Awe mahususi!
@@judaspantaleo9779so kweli dada masikin hawez kosa maharage mboga za majani tena Mimi imenisaidia sanaa
Sanaaa
Dr janabi anafafanuw vzr kwa kila aina za watu na kazi zao vp waishi
Upo vizuri sana kweli
Tanga kuna watu bora sana,waaminifu sana,hawana tamaa, wataendelea kuchaguliwa kuwa viongozi wa nchi hii, ni watu sahihi. Amen
Hoja yako ya mahali inakujaje hapa
Yanga na Zanzibar tofauti yao ndoho Sana ubinafsi 😂😂😂
Mimi ni mpinzani ila msukuma kawapiga chini wasomi wa nchi hii maprofesa mpo tu mnapiga makofi bungeni.. Anahoja ya msingi.
Nzuri ndugu
Safii sanaa,, unapoint babaaa😢 ,,viongozii wafanye ytafti ndani ndan huko nd kuna mambo
Unafaa kuwa waziri ❤❤
Sana ty
Bunge limechangamkaaa fact kama hizi ndo tunazozihitajiii mtaani pagumu wakuu watu wako na hali ngumuuu😢🫶🏿
Umetisha
Huyu mzee n daktar kabsa
Aisee hii nimeipendaa..
Wape ukweli chpsi mjini bwana,wakulima wapi na wapi
Musukuma uko sawa, ila Janabi naye yuko byeee na elimu ya afya, muache atufun dishe afya
Mwamba huyu hapaaaa❤❤❤
Mzee uyu yupo vzr
MSUKUMA HONGERA SANA. HIZI CHANJO NA POMBE ZIFANYIWE TAFITI
Msukuma ana akili sanaaaa
Umenigusa sana kwenye swala la chanjo na kutahiri watu
Hata mimi aisee huyu jamaa ni mtu na nusu
Ila watu kama hawa ni kama hawathaminiwi, ila huyu kaka ni lulu kweli. Ameongea mambo kontu
mimi ningekuwa mbunge nanipo bungeni ningeomba kiti changu kiwe karibu na msukuma😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Hajamuelewa Prf. Janabi
Naona wakevi mnakuwa wakali musuku kugusa pombe zenu.Mpaka mnamtukana,tena hizo pombe ziondolewe kabsa,hazina faida kabsa.
Changamoto sio maprofesa tu hata hapo kwako. Mmmm sijawapata kabisa. Rushwa urasimu. Vyuo shuke wanasakili maelfu ya wanafunzi kwa lisaa lakini ardhi itatembea miaka bilakupata umiliki wa ardhi. Bank hakuna mikopo kwa wanyonge... Utafuti unahitajika lakini kuwa na watunga sera hai na Serikali hai
Yaan wabunge mnaacha mambo ya bima ya afya nilijua mtakataa ghalama za bima kupanda mnazungmzia kadi za watoto
Wewe ni Zaidi ya wabunge wote bungeni hongera sana upo vzr nchi inahitaji iwe na wakina msukuma Kama wewe mfike 100 tutafika mbaki
Msukuma ni msomi kweli kweli
Ni afadhali ya msukuma aliyesoma informal education
Ahsante sana maukuma.hizi chanjo zimezid balaa
Ushazingua 😂😂
Maukuma tena
😢
Safi.sana msukuma
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️
Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
Ni kweli kabisa lakini serikali,haichukui hatua hizo chajo ni nyingi muno
sukuma 1
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
Viwanda bubu ni vingi sbb
Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
😂😂😂 Msukuma oyeeeee
Hakika msukuma wewe ni mbunge wa taifa hakuna siku uliyofeli kwenye hoja za msingi, hongera kiongozi
Musukuma na DP world oyeeeee
Yaani sasahivi watu tunaumwa magonjwa hayaeleweki!inasikitisha sana!
Yaendelee kutolewa maelezo kwa kina juu ya madhara mbalimbali ya afya
Nan kama uyo mbunge apo bungen hakuna wengne machawa
Hapoo chukua maua yakooo bila kificho umeongea vyema mnooo
Kweli mtani wangu tunakula na kunywa vitu vya hovyo sana siku izi yani magonjwa matupu
Acha kupoteza maana wewe prof:Janab anaeleza vitu vya ukweli.
Hapo prof Janabi aliongelea hasa watu wa mjini lakini MTU WA kijijini .nchi za kiafrica tunaangalia fedha hao watakuja maliza watu eti wafadhili watu wa serikali wakisikia mradi wa Una fedha wapombele kukimbilia miradi u jinga
❤❤❤❤❤
Kweli msukuma chanzo,na na hujo janabi hapana lazima tule tushibe na chanjo
Safiii
Msukuma mbunge kula tano iyo ✊👊
Safi sana msukuma huo ndio uzalendo, nchi hii haina utafiti
Dable kick smati jini zina uwavijana ukudani selikali tuwe makini na taifa linaangamia
Ila huyu kaka jaman yuko vzur atafka mbali jaman kumbe dunia imekwsha hyo jaman TBS tusaidien tunakwsha😭😭
Msukuma yuko sawa! Misaada ya mabeberu ni ya kuogopa kama ukoma. Mingi ina masharti nyuma ya pazia inalenga matakwa yao ya kipepo!
😊😊
Taarifa 😅😮 Pombe 🍺 🤖 mteja 😂
Huyo ni zaidi ya pr.
Wape vidongevyao
Hizo ni agenda za utekezaji wa vizazi vyetu
Viongozi tunaomba msimamie uchunguzi ikiwezekana kuzuia kabisa
❤❤❤❤
Kuku wa kisasa na mayai ya kisasa
Hilo nalo ni janga,kwa sababu dawa na sindano wanazolishwa hawa broilers na kukua kwa muda mfupi lazima mlaji utapata madhara.
Msukuma umeongea kweli kabisa waamuwe tu kupuuza lakini hali ni mbaya
Kusiliza bunge la Tanzania ni bora kumskiliza Makonda hanapont ya msingi
Sema msuma
Utafiti ni kitu muhimu na ukisubiri serikali ikutafitie utangoja sana na huenda utapitwa na wakati Kula kidogo hakuna madhara na kuna faida kubwa kiafya (one mill a day )na tutumie chakula kama dawa mboga mizizi na nafaka.
Hakika msukma anatakiwa kuwa wazir wa afya Ummy hafai kabisa jaman kizazi kinateketea tukiona hiv kweii Tukimbilie WAPI.
Msukuma mtani wangu Ukosawa. na hayo unayosema. Tatizo tunalo kubwa ni asilimia kubwa ya hao viongozi ni wanachama wa chama cha nchi za magharibi. Kwa hio wana tekeleza walio kubaliana ndani ya mikataba yao! Ujue msukuma hayo yanayo fanyika ni kwa rithaa ya mtu m'tu mmoja sio rithaa ya umma! Na utambue msukuma ni Mkoloni wa nchi za africa ni viongozi wa nchi za Africa!
Huwa sijutii kumaliza bando langu kimsikiliza msukuma kwa hakika hongera Sana msukuma ukiambiwa wanao kunywa pombe wanaakili unabisha kuna mijutu bungeni imekaa tu kama mizigo hatasikii wakichangia chochote inafikilia muda wa posho ufike basi 💉💉💉
Yaaap,maana hizo machanjo,hazifai kabisaaaa.JPM Alipima papai kama litakuwa na corona.
Uyu msukuma siangekua President
Msukuma kazungumza jambo ovu kubwa LA pombe ni nikweli kuna pombe inatengenezwa na mchanganyiko wa spirit na kuna ile Dawa inayotengenezea sabuni ya magadi na nyingine wanatia jiki ya kutakasia Nguo, Mimi haya nimemsikia msambaza Wa pombe ambae alikua anamuuzia mteja wake dukani
Kweli msukuma unaongea point HUYO hafai kabisa ndio maanavifo vinazid haongei lolote. Anatetea WaTanzania Ummiy sii mtu mzur kabisaaaaaaaaa
Kwa magufuli cooker hazikuepo alizifuta ndo viroba na double punch hz hzo
Kizazi cha sasa kimefunikwa uwezo wa kifikra kuweza kuchambua mambo ya kuambiwa..hivyo basi Miongozo iliyo bora inahitajika sana..
🎉
Hakuna wakutugombanisha na janab harafu msukuma huwez kulinganisha uwezo wako na janab kwenye mambo ya afya
Profesa Janabi anasema kukeni kulingana na Kaz mnazofanya