ZITTO YAMKUTA BUNGENI / WABUNGE WATAKA AADHIBIWE / HUU NI UMALAYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 188

  • @paulmalula8590
    @paulmalula8590 ปีที่แล้ว +1

    Nchi yetu ilikuwa imeenda sehemu mbaya sana tena sana kuambiana mtu msaliti,mchochezi nk hakika mungu fundi na pia mungu anaipenda tanzania

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 4 ปีที่แล้ว +2

    Zito kafanya kosa kubwa sana hafai hata kulanae chakula pamoja hii ni kwa mawazo yangu. Ila ushauri wangu kwa wanasiasa na viongozi wakubwa vipenzi vyetu muliopo madarakani nawaomba tusiwatolee Mifano hasa viongozi wa Nchi zingine ambao bado wapo madarakani kanakwamba ni viongozi wasiofaa hasa katika vyombo vya habari na penginepo. Kwasababu wasaliti na watoasiri katika Nchi yetu bado tunao wengi waliojificha. Hii baadae italeta chuki baina ya Nchi yetu na Nchi Zao. Mwenyenzi Mungu ibaraki Tanzania na Afrika. Mwenyenzi Mungu Umlinde Mh. Rais wetu kipenzi Magufuri awe na Afya njema na imara na viongozi wote na wananchi wote wenye nia nzuri na Nchi yetu Mwenyenzi Mungu awalinde na awape Afya njema. Tanzania oyeeeeeeee, Africa oyeeeeee. Mimi ninayestahili kusamehewa. Ahsante

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mgogo mliyemuita speaker ni mgogo kweli kweli

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 ปีที่แล้ว +5

    Nilikua napitia comment za watanzania kuhusu swala la zitto lakini huelewa ni mdogo sana inatakiwa kujua kitu hiki uwe na akili nyingi sana .mfano mdogo tu hile ndege moja hela zake ingetosha kutatua tatizo hili na nimepiga hesabu inabaki chenji kama milioni 112 sasa nawashangaa watanzania wenzangu mnaongea ovyo ovyo yaani mpaka nawaonea huruma kusahua kitu kwa haraka

  • @masaimmbea1374
    @masaimmbea1374 4 ปีที่แล้ว +2

    Naona ni bora wasaliti wanao toka nje kuliko wasaliti mliopo hapo ndani nampenda sanaa raisi magufuli ila nawachukia sanaaa wabunge wa wa ccm kwa sababu hawatetei nchi wanatetea chakula chao

  • @ibrahimbakar622
    @ibrahimbakar622 4 ปีที่แล้ว +1

    Hizo pesa hata kama zitapatikana zitatumika bara tu ni safi Mh. Zitto

  • @zaitunimrisho1062
    @zaitunimrisho1062 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi nanyi mna kazi nzito mnoo

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 4 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo sio zito ila wakikopa mwananchi atazisikia tu, ila atazilipa kwa njia yoyote hata kama zimeyeyushwa na upepo wa kisulisuli.

  • @yahayasalum2943
    @yahayasalum2943 4 ปีที่แล้ว +2

    Majukwaani tunahubiri msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
    Tukiambiwa ukweli, anayetuambia ni adui yetu mkubwa. Hatutakii mema. Ametumwa kutuangamiza.

  • @marianamfomii1166
    @marianamfomii1166 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana mh zito nchi ina pesa mkopo wa nini

  • @kyomamabifi5499
    @kyomamabifi5499 4 ปีที่แล้ว +1

    Zito yupo sahihi kabisa tz inahela san tu mnalilia vya mikopo wakat tz ina madin ambayo ni tanzanait iweje mnalilua kamkopo

  • @ramamongi3479
    @ramamongi3479 4 ปีที่แล้ว +3

    Uuu umalaya Malaya utatufanya na sisi tusiwe na amani tukazunguka zunguka kama Malaya malaya ataruhusu mabebelu wapate mwanga mkubwa kupitia yeye

  • @nyaticarriersllc3075
    @nyaticarriersllc3075 ปีที่แล้ว

    Speaker ovyo sana, ndio yalikukuta

  • @wamalaibrahim1844
    @wamalaibrahim1844 4 ปีที่แล้ว +5

    zito usituhalibie nchi Mimi nimubongo aliozalia inje so jilekebishe ikia Tanzania ni nchi yako

  • @eaglecrown3872
    @eaglecrown3872 4 ปีที่แล้ว +7

    kweli kabisa ni umalaya tena sio wa kitoto limekubuhu

  • @comrade83
    @comrade83 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninachokijua ukoma ukiutimibia aibu utakukata mikono zitto kabwe hafai kuwa kiongozi wa Taifa hili Nashauli apewe adhabu Kali sana

  • @fadhliaweso7096
    @fadhliaweso7096 4 ปีที่แล้ว +2

    Serikali inapesa kwann mnatolea macho kamkopo..,"unajenga ghorofa alafu unaomba ada ya mtoto",,🤔🤔🇹🇿

  • @trinitynorberth5068
    @trinitynorberth5068 4 ปีที่แล้ว

    vijana tunapnda kufata mkumbo babala ya kufkilia kiundan kiukwel zito kakosea sana awajibishwe kisheri

  • @titoruhanyula3002
    @titoruhanyula3002 4 ปีที่แล้ว +3

    No no no no no nasema no mnalilia vya nje nawakati vya ndan mmexhindwa kuvilinda wapi alipo lugola? Kod za wananchi izo macikin haohaooooo yann zitto?

  • @michaelmwaluko2882
    @michaelmwaluko2882 4 ปีที่แล้ว +2

    Zito kiboko uko vzr

  • @AleX-sc8xp
    @AleX-sc8xp 4 ปีที่แล้ว +1

    Duuu Kweli mambo mazito yana Zitto😁😁

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu bulembo ni mjinga kabisa unasemaje mtu auawe !!

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 4 ปีที่แล้ว +1

    Naiona Tanzania ya kuvamiwa. Hawa wahalifu wanaaza kupata sapoti huko ya kutuangamiza.kikulacho kiko nguoni.si muda mrefu tutashuhudia uhalifu na uasi mkubwa.bahati mbaya wako wasio na elimu na wale wasomi wa chuo div.0 hushangiria. Mh!.MUNGU ATUSAIDIE

  • @lukongejoshua9113
    @lukongejoshua9113 4 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kabisa

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sijawahi kukuelewa moleri

  • @mussamassawe7624
    @mussamassawe7624 4 ปีที่แล้ว +1

    Wabunge jaman benk ya dunia hawawez ku2nyima mkopo kwa aajili ya zitto,mnakiri zitto anaweza kuiishawish benk ya dunia,fatilien vizur kisheria!....na mhoji benki kuu ya dunia ni kwa sababu gan wamepinga mkopo usitoke na m2patie majibu wananchi tujue!...

  • @edsoniminani7061
    @edsoniminani7061 4 ปีที่แล้ว

    Dahh siasa noma saanaa et Silinde na Lijualikali tayari Ni Wana CCM

  • @richardshija5209
    @richardshija5209 4 ปีที่แล้ว +2

    Hutupo kwaajili tusomeshe wazazi,tunasomesha Taifa la kesho.

  • @senimashauri4796
    @senimashauri4796 4 ปีที่แล้ว +15

    Zitto kabwe alianza kusaliti chama chake cha chadema na sass amefikia hatua ya kusaliti taifa, huyu tukimuacha badae ataisalit dunia

    • @arexmerck2324
      @arexmerck2324 4 ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂😂😂

    • @nuhumabondo9101
      @nuhumabondo9101 4 ปีที่แล้ว +2

      Kaa kando hujuii kitu usiogee tuu.... Ss ni matajiri hatuhitaji kusaidiwa

    • @omaniallybakari2372
      @omaniallybakari2372 4 ปีที่แล้ว +3

      @@nuhumabondo9101 acha uhanisi wewe kukopa sio kwamba wewe ni maskn jitambue jarbu kakaa na matajil ujue maden yao na utajili wao na uwaulize kwann nyinyi ni matajili mnakopa

    • @godmanmlokozi4519
      @godmanmlokozi4519 4 ปีที่แล้ว

      @@omaniallybakari2372 unaipenda siasa lakn umegubikwa na ujinga hujui chochote

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 ปีที่แล้ว +3

    Nyinyi mnasema pesa mnazo sasa mbona mlia 😂😂😂😂👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩

    • @richardshija5209
      @richardshija5209 4 ปีที่แล้ว

      Moza kwani wewe. Upo Nchi gani?

    • @kyomamabifi5499
      @kyomamabifi5499 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂zitakuwa zimeisha

  • @mariammobeto5512
    @mariammobeto5512 4 ปีที่แล้ว +2

    Ivi Tanzania imekosa nin lbda mpka mtgemee mikopo ndo m2mie akili Tanzania ina kila ki2 so Zotto kafanya jmbo la msingii

  • @gilbertvicent4229
    @gilbertvicent4229 4 ปีที่แล้ว +3

    KWELI WABUNGE WENYE MAONO WAPO WACHACHE ,MH JPM ANGEWATUMIA KULIKO WALE WA MAKOFI TU.

  • @masagapaul5039
    @masagapaul5039 4 ปีที่แล้ว +8

    Mhe mollel unajitambua braza

  • @yeremiahnathan6307
    @yeremiahnathan6307 4 ปีที่แล้ว +1

    Uwingi wa wabunge wa ccm ni chanzo cha kuleta ujing Tanzania nlimxikia katibu mwenezi wa ccm akixema popote alipo mbunge wa ccm axibuguziwe na mtu awe anafanya mazuri au mabaya axibuguziwe na mtu na akaxema wamekubaliana na kamati kuu xaxa ni nchi gan hii

  • @gilbertvicent4229
    @gilbertvicent4229 4 ปีที่แล้ว +11

    MSICHONGANISHE WATU,USIINGIZE DINI KWENYE MASLAH YENU...UISLAM UMERUHUSU POMBE HIZO MNAZOPANGIA BEI BUNGENI? UNARUHUSU UNYANYASAJI UNAOFANYWA DHID YA WANACHI?ACHENI KUUPOTOSHA UMMA

    • @fadhliaweso7096
      @fadhliaweso7096 4 ปีที่แล้ว

      Nimekuelewa serikali Haina dini Haina chama..Ila mmh hii ya leo😲😱

  • @abdullmohdy5278
    @abdullmohdy5278 4 ปีที่แล้ว +4

    Huyu aly kesi anaumwa na ni mnafik mkubwa mungu akuongeze usiushirikishe uislam na ukauchafua buree huo ni ujinga na ushenz @alykesi

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 ปีที่แล้ว

      Mbona hajaongea vibaya,msikilize tena,upande wangu naona hajakosea

  • @msamajames7663
    @msamajames7663 4 ปีที่แล้ว +2

    Yaan mtu mmoja tu anawatoa jasho duuh

  • @erickmasawe1499
    @erickmasawe1499 4 ปีที่แล้ว +2

    Helimu zetu ndogo kila kitu tuna fanya ushabiki ssa hamsikilizi hoja nyee na ushabiki haya twende hivohivo /

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 ปีที่แล้ว +3

    Naww lijulikane hovyo kabisa mara unasema serikali inahela kwani kuwa na hela unazuwiwakukopa? Mara unasema lamda kazushiwa yani mitatano imemzushia alivyokufa anaongea BBC KILIKUA KIVULI CHke? Upumbavu kutetea ujinga kama Huna CHAKUSEMA siku zingine unaweza KUKaa Kimya unajishusha sifa kusimama na kuongea visivyoeleweka kutetea ujinga

  • @samanyaswai6272
    @samanyaswai6272 4 ปีที่แล้ว +1

    Wapiga makofi kumbukeni hii ni
    2020 Kitaeleweka Tuu
    Hoja za Upinzani huwa Siyo hoja

  • @godrickmigella9451
    @godrickmigella9451 4 ปีที่แล้ว +1

    Zitto the great

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 4 ปีที่แล้ว +1

    Matumizi ya pesa iyo ni muhimu sana ila mikopo nayo ni mabaya sana hatuwezi kuendelea kama nchi imejaa na mikopo maana tutafanya kazi na mwisho wa siku tutaishia kulipa madeni na kuendelea kuwanufahisha wao sasa cha msingi ni kupambana kupata iyo pesa kwenye mfuko wa serikali na naamini iyo pesa ipo bila shaka maana kwa sasa inchi yetu ipo makini sana kwenye swala la ukusanyaji wa mapato na hao wabunge wanaong'ang'ania huyo mkopo ndo haohao tutaskia mmoja kuchukua mia na mwingine mia mbili na tatizo litakuwa palepale so tujitahidi kujenga maendeleo ya taifa hili kwa kutumia pesa pesa yetu ukizngatia kwa sasa tunaumia hali ni mbaya ili taifa liende sasa ujenzi wa madarasa tu mnataka kukimbilia mikopo...!??!!

  • @faudhiathomas3616
    @faudhiathomas3616 4 ปีที่แล้ว +3

    Jualikali ni noma sana

    • @methodamani5577
      @methodamani5577 4 ปีที่แล้ว

      Faudhia Thomas jua Mali bangi tu hamna kitu

  • @robertfrank1207
    @robertfrank1207 4 ปีที่แล้ว +5

    Zito yupo saii kwakuwa humu ndani hamna sehemu ya kusikilizwa. Ubabe mtupu

  • @georgekawa5670
    @georgekawa5670 4 ปีที่แล้ว +1

    Me nashangaa wabunge wetu km zito kaandika barua kuomba kusitisha mkopo na nyie si muandike yenu kupinga hoja zake y mnamshindwa?

  • @valentinamgeni1948
    @valentinamgeni1948 4 ปีที่แล้ว +2

    Waabunge kueni makini ktk maneno yenu mnaongea maneno ya hatari na taifa mnaenda kulivunja vipandevipande

  • @florianlasway601
    @florianlasway601 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwan zito aliongea nn BBC mbon upinzan unabisha akat ushahd upo.zitto.!pole sana na kipimo unachopimia watu ndo utajakikuta huko mbele ya haki.

  • @samwelmwaipopo1455
    @samwelmwaipopo1455 4 ปีที่แล้ว +3

    Zito alizaliwa familia ya wenye Visa chuki na wivu kwa waliofanikiwa

  • @musajumamusajuma8544
    @musajumamusajuma8544 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmh niatar sana

  • @abdullmsuya1489
    @abdullmsuya1489 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaani spika unavyoonekana unavyoongea tu kama kunajambo unataka kuliladhimisha hapo nakuomba achana na hii issue bungeni iachie serikali lakini pia ongeeni kwa hoja sio ushabiki na uzandiki

  • @stevenmaselo5220
    @stevenmaselo5220 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Malaya hana mtoto mkubwa ndio maana haoni umuhimu wa msaada mzuri huo afungiwe kupeleka kiherehere chake nje

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 ปีที่แล้ว +1

    Haya zito umeskia hufai kabisa,msaliti

  • @mamaally6134
    @mamaally6134 4 ปีที่แล้ว +1

    ni kweli tunakuunga mkono mm mwananchi

  • @odethaerick6244
    @odethaerick6244 4 ปีที่แล้ว +1

    Ww mh Mabula umewahi kufika kigoma ww ukakutana na rami na uhuru umepatiakana lini ww

  • @mboyjoseph2522
    @mboyjoseph2522 4 ปีที่แล้ว +4

    Zitto baba lao nice mubunge wangu zitto I love u

  • @fadhliaweso7096
    @fadhliaweso7096 4 ปีที่แล้ว +1

    Ww mbunge mweupe serikali Haina dini ..uisilam unakujaje

  • @cunada712
    @cunada712 4 ปีที่แล้ว +2

    Hamna tajiri ambaye hakopi

  • @sirvergans4542
    @sirvergans4542 4 ปีที่แล้ว +1

    Kichwa kimoja kime wazidi akili mimi nilishaish nao hadi getto na wajua vizuri kwa kujiongeza ni hatari sana

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 ปีที่แล้ว +6

    Jualikani nimekuelewa

  • @edsoniminani7061
    @edsoniminani7061 4 ปีที่แล้ว +1

    Zitto ni mupumbafu kabisaa

  • @Raysam-ki1rc
    @Raysam-ki1rc 4 ปีที่แล้ว +1

    Mnakaaa mnajadili pesa za mikopo hamjadili mtu anaeenda nje ya nchi na kuenda kufunga mikataba bila bunge kupenda halafu hilibula ta tanzania kama jina jipya la tanganyika

  • @khadijakhafidh1423
    @khadijakhafidh1423 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwakeli huyo zito mpotoshaji na akifanya kitu hafikiri vizuri

  • @paull8659
    @paull8659 4 ปีที่แล้ว +9

    Wacheni kutudanganya. Mlikuwa mnataka hela za kuwasaidia kwenye kampein ya uchaguzi. Mollel we we ni msaliti . Kwanza mtueleze Zitto kahoji nini? Ameandika barua lakini kaeleza nini? Tuombe Tume Huru.

  • @kasianimwangamila3213
    @kasianimwangamila3213 4 ปีที่แล้ว +1

    Jaman jaman kikumbwa amani itawale tanzania na haki pia

  • @lauriangervas1392
    @lauriangervas1392 4 ปีที่แล้ว +2

    Watanzania inabid tujitambue

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 4 ปีที่แล้ว +1

    YAANI KUMBE NYIE WABUNGE WAPUMBAVU SANA YAANI MAMBO YENU UNAZI UNAZI

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 ปีที่แล้ว +2

    Maslahi yenu sio taifa

  • @allykutenga2862
    @allykutenga2862 4 ปีที่แล้ว +5

    Nyie mnaznguwa wa2 2uuu na mtihani ulokuwepo TZ wajinga wng,,ila jamn hawa wanalilia hela kwa maslahi yao tu hawana lolote wakitoka hapo laki3 tatu kwa kila mfuko..

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 ปีที่แล้ว +2

    Mimi Nashangaa sana waha wapinzani sijui wanataka kutetea zitto Mnataka serikali isbitishe nawakati yeye mwenyewe kakiri kwenye TV ya kubwa BBC? mnataka usibitisho gani?

  • @josephzakaria4462
    @josephzakaria4462 4 ปีที่แล้ว +1

    Watoto wa upinzani ni kina Nani? Tuna tatizo Kubwa kama Taifa kwa baadhi ya wawakilishi wetu

  • @mdoman2794
    @mdoman2794 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa lazima mkopo kwa hatuna vitega uchumi

  • @antonynyachi5455
    @antonynyachi5455 4 ปีที่แล้ว +3

    Ccm wote ni vilaza tu

  • @phelisiwedondolo6296
    @phelisiwedondolo6296 4 ปีที่แล้ว +5

    Ziti malayamalaya

  • @barakagaby7615
    @barakagaby7615 4 ปีที่แล้ว +1

    He!! jamani hv si mlisema tunajitosheleza kwa fedha zetu za ndan na hatuhitaji mikopo sasa mbona mnapanic? au mmesahau kauli za muheshimiwa raisi? tanzania bana, mwanzo waliposema hatuwezi kuendesha miradi kwa fedha zetu mliwapinga tena kwa hali ya juu ss leo hiyo mikopo mnaitaka ya nini?

  • @dramachatta3851
    @dramachatta3851 4 ปีที่แล้ว +10

    Zito ni mngese tu

  • @philiposam5762
    @philiposam5762 4 ปีที่แล้ว +3

    Malaya Malaya wa kisiasa

  • @theodorycharles6384
    @theodorycharles6384 4 ปีที่แล้ว +2

    Mmmh tananzania hii jaman simnasema serikali yenu inapesa sana nahaihitaji mikopo kutokea popote sasavp leohii

    • @allykutenga2862
      @allykutenga2862 4 ปีที่แล้ว +2

      Theodory Charles;Serikali imechoka kama cc wananchi,,na huyu vp nakumbuka kama alikuwa chadema au nae kashavuta mkwanja mrefu..

    • @htvtanzania3483
      @htvtanzania3483 4 ปีที่แล้ว

      We msenge tyuuu

    • @J4UPro
      @J4UPro 4 ปีที่แล้ว

      Theodory Charles wewe kwani ni wanchi gan

  • @boniphacekisarwa3437
    @boniphacekisarwa3437 4 ปีที่แล้ว +1

    Zitto n msenge

  • @salumcosto7231
    @salumcosto7231 4 ปีที่แล้ว +1

    Daaah!! Kazi ipo

  • @elishastephano1431
    @elishastephano1431 4 ปีที่แล้ว +4

    mimi natoka kigoma mjini huyo zito hatufai

  • @atuganilemwakipesile4979
    @atuganilemwakipesile4979 4 ปีที่แล้ว +3

    Zito ujielewi kabisa,upo upo tu.

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 4 ปีที่แล้ว +1

    Liju likali pumba kweli kweli

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 ปีที่แล้ว +5

    Ebo kumbe nyinyi msumari wa Mhe Zito umewaingia ndipo sana "shindilia kwa nyundo huo msumari" nyimyi si mnamadin, na mchanga na makemikia, ndege pamoja reli nyinyi matajiri feki ujanja wa sungura mbichi hazitaki anataka mbivu za kuanguka.njaa imekutieni upumbavu mnatokwa na mapovu kwa besa za mabeberu 🤣🤣🤣

    • @phelisiwedondolo6296
      @phelisiwedondolo6296 4 ปีที่แล้ว +1

      Malayamalaya

    • @issabuzuri3448
      @issabuzuri3448 4 ปีที่แล้ว +1

      Malaya malaya

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 4 ปีที่แล้ว +1

      Acha akili za kiupuuzi hembu nijibu tajili yupi ambaye hajawahi kukopa?

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 ปีที่แล้ว

      @@jenyyusuph4973 ukisikia tajiri anakopa hiyo tamaa

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว

      @@abufauzan9417 nafikili hujui neno TAMAA LINA MAANISHA NINI KAMA HUNA TAMAA BASI WW SIO KUMBE MWANADAMU ASIE NA TAMAA YANI AMEKUFA HATIKISIKI HATA MANI KUOGA KULALA KULA KUJENGA KUOWA KUOLEWA NENO TAMAA NDIO NAFSI YA KIUMBE KAMA NYERERE HAKUTAMANI KUPIGANA TZ HADI SASA TUSINGEKUA HURU MAMA ZETU BABA ZETU WANATAMANI KUTUSOMESHA KUTUFUNDISHA MEMA TAMAA HIYO

  • @magangashilogile
    @magangashilogile 4 ปีที่แล้ว +1

    tuuze ndege zetu tupate hela

  • @denishamka8657
    @denishamka8657 4 ปีที่แล้ว +2

    Ndio maana alifukuzwa chadema

  • @jumambonde5361
    @jumambonde5361 4 ปีที่แล้ว +1

    Nchi yetu inaitaji wazalendo

  • @zakariambughi3493
    @zakariambughi3493 4 ปีที่แล้ว +1

    hapo kunajambo chini ya kapeti

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 4 ปีที่แล้ว +5

    Mtu anaitwa "lijua likali" hata akiongea unamuona ni kama wale watu hua wanabishana ovyo kwenye vijiwe

  • @mamaally6134
    @mamaally6134 4 ปีที่แล้ว +1

    mchapeni tu huyo zito

  • @jovitusngonge8190
    @jovitusngonge8190 4 ปีที่แล้ว +1

    Saw saw uyo msaliti

  • @sebastianngimba6629
    @sebastianngimba6629 4 ปีที่แล้ว +1

    sasa mkopo wanini wakati mmesema tunajitosheleza.aa jamaniiiiiiii

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 ปีที่แล้ว +3

    Muuwe kama utaewza mwanga wewe

  • @amiabillity4609
    @amiabillity4609 4 ปีที่แล้ว +7

    niruhusieni mm nimnyooshe zitto pumbav xn

  • @asfiwekibona3274
    @asfiwekibona3274 4 ปีที่แล้ว +1

    Limewagusa

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 4 ปีที่แล้ว +1

    mm naona haya mashauri yapelekwe mahakamani kwa kitendo kitendo cha usaliti wa zito kalisaliti nchi

  • @unsfinityjr2748
    @unsfinityjr2748 4 ปีที่แล้ว +1

    Mamimba

  • @salumcosto7231
    @salumcosto7231 4 ปีที่แล้ว +2

    Miaka 14 akitiwa mimba fukuza shule

  • @nazarethmwakipembe3246
    @nazarethmwakipembe3246 ปีที่แล้ว

    Mh

  • @edwardreonard9878
    @edwardreonard9878 4 ปีที่แล้ว

    Zitto atulie anataka serikali ya awamu ya tano? Hajaona tuu mazuri yaliyo fanywa mbn anaona mabaya tuu mazuri mbn hayaongelei? Aache siasa za kijinga akamuulize lissu yaliyo mkuta ushauri wangu awaombe msamaha watanzania wt

  • @wazi1991
    @wazi1991 4 ปีที่แล้ว +3

    Lakini nchi ina pesa zakutosha msada wanini au mkopo.siku zote unajua hakuna msaada usio na malengo.