MPINA ATOLEWA BUNGENI - ASAHAU MLANGO wa KUTOKEA - APEWA ADHABU KALI ya KUTOONEKANA BUNGENI VIKAO 15

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • MPINA ATOLEWA BUNGENI - ASAHAU MLANGO wa KUTOKEA - APEWA ADHABU KALI ya KUTOONEKANA BUNGENI VIKAO 15
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 34

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @laxfloop
    @laxfloop 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi kweli leo hii 2024 Bungeni kura zinapigwa kwa sauti???? Na sio numerical count!! Hata darasa la 7 wakipiga kura sio kwa sauti bali kwa hesabu! Hii ni AIBU kwa Tanzania.

  • @NyanzalBenjamin-ch3mr
    @NyanzalBenjamin-ch3mr 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu afanye yaliyo mapenzi yake chini yako Mpina

  • @isayasemunguruka103
    @isayasemunguruka103 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tuko pamoja na mpina

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 2 หลายเดือนก่อน +2

    Lakini tunamshukuru mungu maana huo siyo uhai wake.

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ninacho amini uhai anao so mbaya huo ubunge kaukuta

  • @barakakitomary2936
    @barakakitomary2936 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina mungu ndo anajua mwanzo na mwisho wako ondoa Shaka mkuu wangu mola akutanguliee

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 หลายเดือนก่อน

    Mama speaker na wabunge munaoshangilia hamufai kuwawakilisha watanzania. Bunge limekuwa la ndiyo ndiyo. Hakuna chochote hapo. Hakuna wa kuwahoji, bali ni uoneaji makubwa Tena bila aibu

  • @AgustinoMwambela
    @AgustinoMwambela 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania yanguu

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bwege alisema tutoeni bungeni mtakuwa mnagombana wenyewe kwa wenyewee😅😅😅

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo ndiyo ccm yenu.

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi Niko na Mpina

  • @zagalazabuinge3893
    @zagalazabuinge3893 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢 Get well soon Mpina

  • @Unknown-kj5kb
    @Unknown-kj5kb 2 หลายเดือนก่อน +1

    kwa mawazo yangu sidhani kama ni sawa kwa wabunge kupiga kula kwa kusema ndio haiingii akilini serious unakuta watu wanasema ndio kwanguvu hata kama ni wachache as long as speaker atasikia sauti kubwa basi inapita sio sawa kuamua kitu kikubwa kwa ndioooo kwann wasitengezeze volting system nyepesi tuu itayoonyesha live watu wakipiga kura

  • @barakakitomary2936
    @barakakitomary2936 2 หลายเดือนก่อน

    Magufuli wetu uliondoka mapema Sana mzee wangu yaan nkitizama uonevu na maamuzi nitofauti mnoo

  • @ipyanasamson5351
    @ipyanasamson5351 2 หลายเดือนก่อน

    Bunge linazidi kuwa dhaifu. Wenzetu huwa wanaandika kwenye karatasi ili asijulikane nani amesema ndiyo au hapana. Ili kuongeza uaminifu.

  • @Johnmichael-xp7vs
    @Johnmichael-xp7vs 29 วันที่ผ่านมา

    MUNGU WA MBINGUNI WEWE NI MWEMA SANA UTUOKOE

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko na mpina

  • @sallo27.70
    @sallo27.70 2 หลายเดือนก่อน

    Spika Alivyofungua hiko kitabu.. Duuuh.
    Yaan hata haangalii.. 😂😂

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu wa haki mpina atolewa nje jizi bashe limebaki ndani sisi watanzania tutapeleka mashitaka mbinguni

  • @nehemiahsamsony1085
    @nehemiahsamsony1085 2 หลายเดือนก่อน

    Spika mungu anakuona wewe na wabunge wanao unanga mkono uchafu huo

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pumbavu zenuuu tukutane 2025

  • @SaimonRichard-wv5yx
    @SaimonRichard-wv5yx 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina ni Mwanaume aside teteleka ktk kuusema ukweli

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli hii imekua kitega uchumi cha ccm .na siyo bure lisu anasema bunge la mchongo

  • @ProductionWinderBulyanhulu
    @ProductionWinderBulyanhulu 2 หลายเดือนก่อน

    Shikilia hapo hapo jembe Mpina.

  • @jamesdadu7059
    @jamesdadu7059 2 หลายเดือนก่อน

    Aje asalimie na familia jamaa

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tupo na mpina

  • @user-jm7qj6kx8c
    @user-jm7qj6kx8c 2 หลายเดือนก่อน

    Posho ya leo pia arudishe

  • @ELIAMbise-sy5ue
    @ELIAMbise-sy5ue 2 หลายเดือนก่อน

    Mpina Sina shaka na utendaji kazi wako

  • @reonandmpangalushu3434
    @reonandmpangalushu3434 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna lolote hapo bunge la mchongo

  • @Unknown-kj5kb
    @Unknown-kj5kb 2 หลายเดือนก่อน

    mbunge bwege aliwahi kusema wataanza kugombana wenywe kwa wenyewe

    • @jukiboy7012
      @jukiboy7012 2 หลายเดือนก่อน

      Bwege aliona mbali sana 😂😂😂😂

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe kwa ccm hivi unatakiwa kulindana usipofanya hivyo ukakaa wa wananchi kutetea wananchi itakula kwako wewe kura nao tu halafu kuwa mnafiki usijifanye unatetea wananchi wakati wenzio ndio kuna ulaji wao wewe utasurubiwa tu utake usitake ona sasa unakosa vikao 15 na posho zote hizo zinakwenda na maji 😂 ccm ni ile ile haitobadilika milele

  • @AgustinoMwambela
    @AgustinoMwambela 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania yanguu