MPINA ATOLEWA BUNGENI - ASAHAU MLANGO wa KUTOKEA - APEWA ADHABU KALI ya KUTOONEKANA BUNGENI VIKAO 15
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- MPINA ATOLEWA BUNGENI - ASAHAU MLANGO wa KUTOKEA - APEWA ADHABU KALI ya KUTOONEKANA BUNGENI VIKAO 15
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hivi kweli leo hii 2024 Bungeni kura zinapigwa kwa sauti???? Na sio numerical count!! Hata darasa la 7 wakipiga kura sio kwa sauti bali kwa hesabu! Hii ni AIBU kwa Tanzania.
Mungu afanye yaliyo mapenzi yake chini yako Mpina
Tuko pamoja na mpina
Lakini tunamshukuru mungu maana huo siyo uhai wake.
Ninacho amini uhai anao so mbaya huo ubunge kaukuta
Mpina mungu ndo anajua mwanzo na mwisho wako ondoa Shaka mkuu wangu mola akutanguliee
Mama speaker na wabunge munaoshangilia hamufai kuwawakilisha watanzania. Bunge limekuwa la ndiyo ndiyo. Hakuna chochote hapo. Hakuna wa kuwahoji, bali ni uoneaji makubwa Tena bila aibu
Tanzania yanguu
Bwege alisema tutoeni bungeni mtakuwa mnagombana wenyewe kwa wenyewee😅😅😅
Hiyo ndiyo ccm yenu.
Mimi Niko na Mpina
😢😢 Get well soon Mpina
kwa mawazo yangu sidhani kama ni sawa kwa wabunge kupiga kula kwa kusema ndio haiingii akilini serious unakuta watu wanasema ndio kwanguvu hata kama ni wachache as long as speaker atasikia sauti kubwa basi inapita sio sawa kuamua kitu kikubwa kwa ndioooo kwann wasitengezeze volting system nyepesi tuu itayoonyesha live watu wakipiga kura
Magufuli wetu uliondoka mapema Sana mzee wangu yaan nkitizama uonevu na maamuzi nitofauti mnoo
Bunge linazidi kuwa dhaifu. Wenzetu huwa wanaandika kwenye karatasi ili asijulikane nani amesema ndiyo au hapana. Ili kuongeza uaminifu.
MUNGU WA MBINGUNI WEWE NI MWEMA SANA UTUOKOE
Tuko na mpina
Spika Alivyofungua hiko kitabu.. Duuuh.
Yaan hata haangalii.. 😂😂
Mtu wa haki mpina atolewa nje jizi bashe limebaki ndani sisi watanzania tutapeleka mashitaka mbinguni
Spika mungu anakuona wewe na wabunge wanao unanga mkono uchafu huo
Pumbavu zenuuu tukutane 2025
Mpina ni Mwanaume aside teteleka ktk kuusema ukweli
Kwakweli hii imekua kitega uchumi cha ccm .na siyo bure lisu anasema bunge la mchongo
Shikilia hapo hapo jembe Mpina.
Aje asalimie na familia jamaa
Watanzania tupo na mpina
Posho ya leo pia arudishe
Mpina Sina shaka na utendaji kazi wako
Hamna lolote hapo bunge la mchongo
mbunge bwege aliwahi kusema wataanza kugombana wenywe kwa wenyewe
Bwege aliona mbali sana 😂😂😂😂
Wewe kwa ccm hivi unatakiwa kulindana usipofanya hivyo ukakaa wa wananchi kutetea wananchi itakula kwako wewe kura nao tu halafu kuwa mnafiki usijifanye unatetea wananchi wakati wenzio ndio kuna ulaji wao wewe utasurubiwa tu utake usitake ona sasa unakosa vikao 15 na posho zote hizo zinakwenda na maji 😂 ccm ni ile ile haitobadilika milele
Tanzania yanguu