Hili ni shamba darasa kuliko chuo chochote kweli. Nakuombea kwa aliyekujalia huo ufahamu akupe ulinzi wa ziada. Naomba mawasiliano yako , nadhani wengi umetufurahisha, wenye husda wapigwe upofu na utelezi. Mungu baba akulinde.
Video nzuri manweka dakimoja za kipuuzi mnaweka masaa mawili hebu badilikeni basii hivi vitu vaya kilimo na ufugaji vina tupa hamasa ya kuvifamya halafu mnaweka video fupi sio poa😭😭😭
Kabla ya kujaji jifunze hizo breed zipo zinatoa maziwa ya kutosha,mm ni dactar wa wanyama nataka nikwambie kuwa kuna had wanaotoa had lita 70,,hao wanaitwa pure breeds hasa breed ya Friesian hao wanaotoka Islael na Denmark
I take my hats off to these people who put food on our tables...we have become accustomed to food getting to us in boxes and packages. Hope schools will take students to see these farms.
Nimeangalia comments zote Ila naombeni muingie kwenye huu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa alaf ndio mtajionea ukweli ... Nikiwaambia huyu mzee ni muongo hamtoweza kuaminisha ... Hakuna ng'ombe wa zaidi ya Lita 20 hakuna ng'ombe wa hata Lita 35 hapo hakuna ... Kama hujui utaona ni kweli Ila hapo huyo mzee ni muongo tu
Factor behind the pricetag Ni quantity ya maziwa inayozalishwa kwa huyo ngombe. Na Kuna investment ya kipekee iliyafanywa kwa huyo ngombe hadi amefikisha hizo Lita. Possibly Kuna vipandikizi ama hormone za u ongezaji uzalishaji ziko under reserçh kwa huyo ngombe. So the main issue Ni consistency ya uzalishaji na quality ya ingredients ya hayo maziwa. Is it natural amezaliwa kiasili na kujikuta anazalisha hayo maziwa just kwa kula tuu nusu pickup ya majani?. Is there any boost?? Be careful. Kuna kuku wa wiki 2 ready for meals be careful?. Chimba Sana kabla ya kupongeza unaezajikuta unapongeza vyanzo vya kansa etc.
@@greysonsindini5489 ha ha ha ajui hata mtu tunapishana kwenye ulaji kuna wengine wanakula kilo tatu ya dona mlo wa mchana,usiku wali kilo 4,kuku wawili
Cha maana hapa omba ufundishwe utaalamu na lishe na dawa za booster sio magadi otherwise u will definately walk naked if not mental ...hata ukilima mahindi yatadumaaa bila mbolea ya kisasa
Hizi ndio habari zenye tija. Hongera sana mkulima, kazi nzuri hiyo. 👏👏👏👏
Uwe mkiristo, uwe muislamu, ukimuweka Mungu mbele ktk mambo yako ww ni rafiki yang mkubwa, mzee anamtaja Mungu mara kwa mara nimependa sana
Kabisaaaa
Hongera sana kwa mzee. Ila usafi wa wanyama si mzuri kwa kusema ukweli
Boazi besti yangu .. da jamaa wa urio wana roho nzuri sana jmni Mungu awabariki
Hongera sana Ayubu. Kazi nzuri ila jitahidi kuwafanyia hao ng'ombe usafi.
Mashalla mashalla..hongera mzeewangu.
Crown moja ndio thaman yake .mzee Yuko vizuri Kwa kweli kajipanga
Hongera sana kwa kazi nzuri
Hongera sana. Mungu ailinde mifugo yetu.
Hili ni shamba darasa kuliko chuo chochote kweli. Nakuombea kwa aliyekujalia huo ufahamu akupe ulinzi wa ziada. Naomba mawasiliano yako , nadhani wengi umetufurahisha, wenye husda wapigwe upofu na utelezi. Mungu baba akulinde.
Bismillah maashallah haya maisha ya ndoto zangu nimependa mno mno, namba za cm pls nazipataje?
Habar hongera sana baba na mm nataka ndama mdogo ninunue kwa Bei ya ndogo nipo Tanga
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥
________________
Karibuni
Watanzania wanahitaji ripoti kama hizi. Sio udaku za wasanii wasiofaa
Mungu akubarik nimependa xna mirad yako.
Safi sana mzee, na umepata mrithi wako mwenye kupenda kazi uliyoianzisha
MashAllah. Mungu ni mwema siku zote
Hongera sana ndama unauza sh ngap
Hongela mzee
Waoo nimefurahi sana na ufugaji wako kwani inamaanisha,asante kuipenda kazi yangu,hizi ndo habari zinatakiwa,hongera sana.
Interview nzuri sana, daaaaaaah Ila fupi
Hayo ndiyo maisha siyo haya ya vijana wanatembea na soksi 2 mtaani
Hawa ndio wafugaji MashAllah
Hongereni sana,
Mzee uko vizuri ongeraa Mzee wangu
Mungu Akubariki mzee wangu
Nimeikubali hii Interview, kitu kizuri huyu Mzee anaelewana Vizur na Kijana wake wapo makini na miradi yao.
Hongeraa mzeee
Hongera
Mashaallah 🙏
Hongera sana baba naomba uniuzie ndama
Sing'isi Meru 👏👏👏
Mashallah kazi nzuri
Unaonyesha mfano mzur mzee,,,big up
Hongera mzee.
One day yes
Hatari
THE WORLD OF KNOWLEDGE KNOWHOW...
Msafiri is very right nenda kichwa kichwa ukafuge wa kwako miaka kumi kama hukuambulua kusadoline cha maziwa
Maashaallah
Mashallah na hongera sana !
Congratulations mzee ,million 12, in kenya ni pesa ngapy please
Sawa
Video nzuri manweka dakimoja za kipuuzi mnaweka masaa mawili hebu badilikeni basii hivi vitu vaya kilimo na ufugaji vina tupa hamasa ya kuvifamya halafu mnaweka video fupi sio poa😭😭😭
Wow amazing
Jamani juweni wazungu walitupita mbali. BOOSTERS ZIKOOOO. KIKA KITU KIBAWEZEJANA KWA MAARIFAA NA CHEMICALS ANACHOKISEMA Msafiri is right
Mzee urio nakubal sana
Hongera xana
Hongera sana
Naomba no ya cm ya huyu mzee....
Sasa hapa nimelelwa Sana habari za mafanikio
Ukovizuri👏👏👏👏
Je hizi kuku ntazipataje?
Hongera sana mzee
Safi sana
good job mzee
Simnipe namba ya huyu mzee jaman ninunue hapo mmoja
Safi sana ayoub
Jamani Wapemba ni wazuri sana ,mashaallah
Kwann?? Ila MaashaAllah
Huyu siyo mpemba huyu ninmchaga anaitwa orio
Huyo ni Mmeruu sio mchaga wala mpemba
So amazing
I know these people, I just live near them. They do a great job and inspire alot ... Keep it up jaman
Kabla ya kujaji jifunze hizo breed zipo zinatoa maziwa ya kutosha,mm ni dactar wa wanyama nataka nikwambie kuwa kuna had wanaotoa had lita 70,,hao wanaitwa pure breeds hasa breed ya Friesian hao wanaotoka Islael na Denmark
I take my hats off to these people who put food on our tables...we have become accustomed to food getting to us in boxes and packages. Hope schools will take students to see these farms.
Good job but observe hygiene bro. Cows and cow shed must be very clean.
Tunaomba namba yako ya cmu baba!
Tusaidie namba za uyo mkulima
Ongera mzee urio
Jamani ninshida na namba ya huyu mfugaji
Naomba namba zake
Nataka hiyo mbegu ya ng'ombe napataje
Hakuna ngombe anatoa maziwa 60ltrs in the world ata kule ulaya hakuna ngombe anayetoa maziwa mengi ni 25-30ltrs ...
Oi mzee baba tupatie namba za huyo mzee.
Nimeangalia comments zote Ila naombeni muingie kwenye huu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa alaf ndio mtajionea ukweli ... Nikiwaambia huyu mzee ni muongo hamtoweza kuaminisha ... Hakuna ng'ombe wa zaidi ya Lita 20 hakuna ng'ombe wa hata Lita 35 hapo hakuna ... Kama hujui utaona ni kweli Ila hapo huyo mzee ni muongo tu
Mzee CYO Muong wew wivu wako tuu nani ambae hajui lengo lako, wew ng'ombe wako Yuko wapi tumuone. Uwongo wake cyo kitu ila biashara yake ameitangaza mnafiki mkubwa ww. Yey ndo mwanaumw wew utaposti maneno tuu, ila ajakulazimisha ukanunue Wala kuangalia owaa kula nyama nyamaza
Masasiliano contact!
Hongeraa Sana daddy
is he your dady
Bora usafi wa mabanda
Namba za uyo mkulima
Germany shepherd ni pesa ngapi
Habari nauliza na ndama jike anauza sh, ngapi.....? Km jike kubwa anauza million 12, na mtoto jike ambae ameacha kunyonya.....?
💪
Namba za cm
Big up sana Dingide ✌✌
Naomba namba za simu
Mashallah, hongera sana Mzee WETU.
Safi sana, 👍👍👍
Mim nauza ngo,mbe kama uyo
Naomba namba xako tafadhali
Mr kuku,naomba contact tafadhar
Contacts/address za kumfikia mzee tunaomba muweke
Factor behind the pricetag Ni quantity ya maziwa inayozalishwa kwa huyo ngombe. Na Kuna investment ya kipekee iliyafanywa kwa huyo ngombe hadi amefikisha hizo Lita. Possibly Kuna vipandikizi ama hormone za u ongezaji uzalishaji ziko under reserçh kwa huyo ngombe. So the main issue Ni consistency ya uzalishaji na quality ya ingredients ya hayo maziwa. Is it natural amezaliwa kiasili na kujikuta anazalisha hayo maziwa just kwa kula tuu nusu pickup ya majani?. Is there any boost?? Be careful. Kuna kuku wa wiki 2 ready for meals be careful?. Chimba Sana kabla ya kupongeza unaezajikuta unapongeza vyanzo vya kansa etc.
Unajifanya umesoma unajua umewahi kufuga wacha ubishi wa kuchanganya maneno ya kizungu kujifanya unajua
Hana lolote kazi kuponda maendeleo ya watu
Tumeinhiliwa na mzungu au?
Mbona tuzadharau sana vyakwetu?ingekuwa ni mzungu ungeamini tuu lkn kwakuwa mtz nimajungu tuu
@@greysonsindini5489 ha ha ha ajui hata mtu tunapishana kwenye ulaji kuna wengine wanakula kilo tatu ya dona mlo wa mchana,usiku wali kilo 4,kuku wawili
Cha maana hapa omba ufundishwe utaalamu na lishe na dawa za booster sio magadi otherwise u will definately walk naked if not mental ...hata ukilima mahindi yatadumaaa bila mbolea ya kisasa
Ni wakwetu...ni fahari yetu
Inapendeza Tanzania kuwekeza katika ufugaji na kilimo Ukraine haina matatizo na sisi
Daaah Safi sana
10M kama yupo tayali
Bass haya
Nitafutie namm mzuri baba
Mawasiliano yako wapi
Aise Urio mbeeee KOTANAA
PAMBANA SHEMEJI YANGU
M nataka mbwa😉
Milon. Moja sinunuwi pesa nyingi hizo unajenga nyumba
Mim ni shabiki wa huyo mzee hujalazimishwa kununua
aah