BINTI MDOGO WA KIZANZIBAR DEREVA WA MALORI MAKUBWA / KAACHA KAZI YA UTANGAZAJI TV/RADIO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ส.ค. 2023
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

ความคิดเห็น • 179

  • @AshaSeif-zb1ry
    @AshaSeif-zb1ry 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mashallah mungu azid kukupa kipaji akuondoshee husda z walimweng

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 9 หลายเดือนก่อน +7

    Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM

    • @salyali7807
      @salyali7807 9 หลายเดือนก่อน

      This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 9 หลายเดือนก่อน +3

    KTV TZ, naomba mawasiliano yenu, for advertise, thanks

  • @officialshoty8436
    @officialshoty8436 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sn Sumayya... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤

    • @MTANGITHABITI-iw3qy
      @MTANGITHABITI-iw3qy 9 หลายเดือนก่อน

      Nimependa Xn iyo Yani yani hata unavyo ongea unaongea kwakujiamini xf Xn

  • @nassirshaib6651
    @nassirshaib6651 10 หลายเดือนก่อน +4

    Upo vizur mdogo wangu pambana usikate tamaa❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akutangulie na akuepushe na wanao husudu in shaa Allah

  • @kassimabu9420
    @kassimabu9420 59 นาทีที่ผ่านมา

    Good job

  • @daktari_mtangazaji
    @daktari_mtangazaji 10 หลายเดือนก่อน +8

    Kila hatuwa Dua, mungu akusimamie katika maisha yako.

    • @FatmaMohammed-ry8yo
      @FatmaMohammed-ry8yo 9 หลายเดือนก่อน +2

      Mashaallah tabarakallah Allah akulinde akuongoze natamani nami niendeshe

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji 9 หลายเดือนก่อน

      @@FatmaMohammed-ry8yoInawezekana ni kwenda kusoma tu

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 10 หลายเดือนก่อน +4

    Good job my sister Salam zangu kutoka USA marekani

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 9 หลายเดือนก่อน +2

    Umejikaza my wanawake tusonge mbele Kwa maendeleo sio umbea😍

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wazanzibar ni wachapa kazi simunamuona na mama samia

  • @officialshoty8436
    @officialshoty8436 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sn best... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤

  • @hemednassor2362
    @hemednassor2362 2 หลายเดือนก่อน

    mashAllah yuko vzur leo tu nimemuona na semitraler lake

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 8 หลายเดือนก่อน

    Na unga mkono wanawake wote wanao kutoa na kuto kujali jinsi a. Nakupenda wewe. Wanawake tunaweza tu kujiamini na kupewa chance.
    Hongera dada.

  • @user-si3ey6uu1g
    @user-si3ey6uu1g 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera xn sumaiya kwa kuwa mwanamke wa kwnza znz kuendesha gr kubwa allah akufnyie wps ktk maisha yko.

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 9 หลายเดือนก่อน +1

    MASHA ALLAH NICE ALLAH AKUBARIK

  • @habibukabwanga4908
    @habibukabwanga4908 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mama

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 10 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akufanyie wepes pia usimame na mungu

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana, umeshuka kwenye gari nimeona hujavaa viatu sahihi vya kuendesha gari, viatu vya kufunika, (UKUMBUSHO)

    • @firdaus7428
      @firdaus7428 9 หลายเดือนก่อน

      Comfortable shoes is very important when you’re driving. Very good recommended.@Khadijauledi

  • @aziza9093
    @aziza9093 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mwnamke huwamakini sana kwkilajambo Allah akulida

  • @user-kb3dz5lr1s
    @user-kb3dz5lr1s 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah allah akudhidishie nakupe wepes zaidi katika kazi zko

  • @greysonsanga
    @greysonsanga 5 หลายเดือนก่อน

    The hero women congrats

  • @salyali7807
    @salyali7807 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 9 หลายเดือนก่อน +2

      Wanadanganyana wapo Jihadi, mimi mwanaume sitaki kuteseka kusaka chakula changu cha siku, imenilazimu tu, Allah ameshapanga mja wake, natamani niishi kama niko peponi ila haiwezekani, sitaki kusukuma rikwama ama semitela.
      Inakuwaje tena wanawake wameumbwa watumikiwe, wanalala zege, maziwa magumu kama ubao, wanajiona wapambanaji, wanafurahia mateso. Hawajitambui.

    • @allytindigwa7647
      @allytindigwa7647 9 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana,na hongera kwa Familia hii.❤❤❤❤❤

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mdada japo ni lidude la barabaran jitahid urushe ndege tena

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 10 หลายเดือนก่อน +6

    Maisha popote ndugu yng ajira ya sasa ujiripua popote penye uhalali tu jitahidi utatimiza ndoto zako life it's performances it's gose rass

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 6 หลายเดือนก่อน

    Nice good job

  • @user-hv3uy6fp3w
    @user-hv3uy6fp3w 10 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akusimamie kipenz akulinde na Kila baya 🙏

  • @mrishotufu6859
    @mrishotufu6859 9 หลายเดือนก่อน

    Wanawake nawakubali sana kwanza nimajasiri nimewaona wakimlinda ayati kadhafi walibia mungu amùweke mahalapema pepuni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera dada mi naona huku nilipo wanawake wanaendesha mabasi makubwa na magari ya mizigo

  • @arafamke
    @arafamke 9 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah akukinge na husida my

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 9 หลายเดือนก่อน

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akuhifadhi Ya Rabb. AMIIN

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 9 หลายเดือนก่อน +3

    Congratulations ❤🎉🎉🎉

  • @user-wq2xy5mw1z
    @user-wq2xy5mw1z 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallaah my sister. Uko vinzuri mungu akubariki sana 🙏

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 9 หลายเดือนก่อน +1

    Big up

  • @nooraomar2510
    @nooraomar2510 9 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah Allah akuzidishie kipaji chako

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t 9 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah. Maashaallah maashaallah Baaraka llahu feek

  • @dullahmuhamed3781
    @dullahmuhamed3781 8 หลายเดือนก่อน

    Kila laheri kwakweli mungu akutangulie suiya

  • @ahmedbambo2673
    @ahmedbambo2673 10 หลายเดือนก่อน +2

    mungu akusimamie katika ndoto yako dada

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli sio maderava hawajasoma. Bali ni uderava ni kazi kama kazi nyengine

  • @user-gx3sg3mf3z
    @user-gx3sg3mf3z 9 หลายเดือนก่อน

    Safi sana dada pambana hiyo ni kazi kama kazi zingine mungu akubariki

  • @muhammadmagtuf714
    @muhammadmagtuf714 9 หลายเดือนก่อน

    Allah atakujaalia mume wa kheri in shaallah biidni Allah ❤

  • @bosskaree49
    @bosskaree49 8 หลายเดือนก่อน

    Allah akufanyie wepes katika kazi zako

  • @wardajumaa1272
    @wardajumaa1272 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusaidie dada

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ❤

  • @munalove450
    @munalove450 8 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ukhuty sumy😘😘😍😍

  • @abubakaradnan4689
    @abubakaradnan4689 9 หลายเดือนก่อน

    Sio kweli sio mzanzibar ila ameishi sana Zanzibar na kama utamsikiliza kwa makini kiswahili chake kinatafauti baadhi ya maneno.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 9 หลายเดือนก่อน

    Mashalla Allah ❤

  • @nasibmbuguni5613
    @nasibmbuguni5613 9 หลายเดือนก่อน

    Dada hongera sana pambana na maisha vizuri sana

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesoma nae chuo cha udereva mbweni znz
    Tulikuwa tunafanya try pamoja
    Ana vituko uyoo

  • @allywawete5769
    @allywawete5769 8 หลายเดือนก่อน

    God job

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana piga kazi maisha magumu

  • @fifo262
    @fifo262 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera my ❤

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 9 หลายเดือนก่อน +14

    Allah akupe kazi ya stara utakayostirika na utakayoeza kuvaa mavazi mazuri ya kiisilam, amiin

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ovyooo

    • @mwigaadam1179
      @mwigaadam1179 9 หลายเดือนก่อน

      Kwani hii sio ya stara au??

    • @thadeimatenga4397
      @thadeimatenga4397 9 หลายเดือนก่อน

      Acha unyanyasaji wa kijinga.

    • @salyali7807
      @salyali7807 9 หลายเดือนก่อน +3

      Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@thadeimatenga4397mhmm

  • @KIMALEX254
    @KIMALEX254 8 หลายเดือนก่อน

    😊😊kenya ni kawaida ata ni wengi,

  • @user-zn9xo4pk4p
    @user-zn9xo4pk4p 9 หลายเดือนก่อน

    tunaweza hongera

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah 🥰 pambana Allah atakusaidia inshaAllah 🤲

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 6 หลายเดือนก่อน

    Please tunatak chuo cha uderev wa track apo zanzibar

  • @omarfauz1877
    @omarfauz1877 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera allah akupe wepesi

  • @mohddelo
    @mohddelo 9 หลายเดือนก่อน

    Hongra sana umeweka historia ya zanzibar

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana my sister

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa Zanzibar mageni lakini kwa huku ulaya wanawake wanaendesha hadi ma train 🚊 tax na kila kitu

  • @ZamdaMisembe
    @ZamdaMisembe 9 หลายเดือนก่อน

    Mashallah 🙏 chamsingi kaz iwe ya Halali

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 9 หลายเดือนก่อน

    Haile silas iko kila pahali❤❤❤

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 9 หลายเดือนก่อน

    Maashallah

  • @josephsureeliajosephmion9997
    @josephsureeliajosephmion9997 8 หลายเดือนก่อน

    Right

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 9 หลายเดือนก่อน

    Ongera sana

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli sio kama Kila dereva Hana elimu. Ukweli haya ni maamuzi tunya mtu.

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 9 หลายเดือนก่อน

    Magari ya aina hiyo kweli yalikuwa hayapo hapa Zanzibar lakini wapo waliokuwa wanaendesha Malori kama Bi Sada Ibrahim Makungu.

  • @lacksonnyika3770
    @lacksonnyika3770 9 หลายเดือนก่อน

    Good fighting

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 9 หลายเดือนก่อน

    Hay maisha hatujayazoweya waznz lakini nikawaida kwa nchi nyengine inatemea nguvu yako na akili yako piga kazi mazali halali

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 9 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Maisha kujiamini na kuto kataa tamaa❤

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 9 หลายเดือนก่อน +10

    Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 9 หลายเดือนก่อน

      Wanalipwa hyo lkn pesa yote hio inaenda kwenye matumiz pakulala kula na huduma nyingi binaadam

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji 9 หลายเดือนก่อน

      @@malak-lz6kx😅😅😅 ndio lengo la kupata hela aty ili uweze kujikimu hizo zote haziwezi kuisha kwa icho unachosema wewe lazima itabakia ya save

    • @prosperintlwealthcompany8885
      @prosperintlwealthcompany8885 9 หลายเดือนก่อน

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 9 หลายเดือนก่อน

      @@daktari_mtangazaji 🤣🤣🤣

    • @sakinaamani1486
      @sakinaamani1486 9 หลายเดือนก่อน

      Tena anatakiwa aondoke mara moja vile wame m expose asije akawa kama yule mma wakamkata mkono n wabaya baadhi ya wanadamu

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 9 หลายเดือนก่อน

    Fanya kz dd usiogipe maneno ya watu,jitume kwa jitihada zaidi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini

    • @user-ps7ej3ep4e
      @user-ps7ej3ep4e 9 หลายเดือนก่อน

      Ss uarabu na unyamwez umetoka wp Hapo

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 9 หลายเดือนก่อน

      Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au

  • @ibra.mstudingfile8584
    @ibra.mstudingfile8584 9 หลายเดือนก่อน

    Mashallah kijana mpambnaji
    Mume nipo hapa 😊😊

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 9 หลายเดือนก่อน

      😂mume wewe kwio???😂😂😂

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 9 หลายเดือนก่อน +1

    Welldone sister natamani kukwajili kwenye magari yangu.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @muhammedislam4875
    @muhammedislam4875 9 หลายเดือนก่อน

    Ktv tz niliwamiss

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 9 หลายเดือนก่อน

    No.. mwanammke wa kwanza kuendesha lorry ni bi njiwa jamani.huyo atakua wa pili. Tunakuombea kila la kheri sist...Allah akulinde.

  • @zuhura.suleimanmwamwari3083
    @zuhura.suleimanmwamwari3083 9 หลายเดือนก่อน

    Kenyani jambo la kawaida hongera

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ongea kizenja bana. Onaongea kishua sana😊

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 6 หลายเดือนก่อน

    Go to Saudi Arabia....

  • @aminsnassibu8748
    @aminsnassibu8748 10 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @utaani1
    @utaani1 4 หลายเดือนก่อน

    Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi

  • @zanzibartvonline
    @zanzibartvonline 3 หลายเดือนก่อน

    mm sijakushauri kwakazi hiyo

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 10 หลายเดือนก่อน +1

    Usipinge nikweli tunaongoza kuvunja Sheria sio barabarnitu sehemu zote

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa593 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera ila usilewe sifa

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 9 หลายเดือนก่อน

    mhmmm haya

  • @user-kf9hd8lh2m
    @user-kf9hd8lh2m 9 หลายเดือนก่อน

    Najikuta napata nguv ya kupambana 😂

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 9 หลายเดือนก่อน

    Hili gari ni Tanzania na Sumaiyya ni Mama Samia ko wanawake wanaweza

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 6 หลายเดือนก่อน

    Hicho ndiy kiliyo chetu

  • @user-gt1os3oh9h
    @user-gt1os3oh9h 9 หลายเดือนก่อน

    KTV TZ nawez kupata nmb yenuu au nmb ya huyu derev sumaiya

    • @ktvtzonline
      @ktvtzonline  9 หลายเดือนก่อน

      0717 619834

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 9 หลายเดือนก่อน

    HONGERA SANA BINTI HAKUNA LISILO WEZEKANA FANYA KILE UNACHOKIFIKIRI UTAWEZA NDIO MAISHA HSKUNA ALIZALIWA DEREVA AU OPP PIGA KAZI SONGEA MBELE NA MAISHA NI HAYOHAYO

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 9 หลายเดือนก่อน

    Huko ni mshangao ila wachina na nchi nyenginezo warembo ndio kazi zao hizo kazi kazi

  • @user-zn9xo4pk4p
    @user-zn9xo4pk4p 9 หลายเดือนก่อน +1

    hii tv ipo bdo

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wanawake wakizanzibari kazaneni mufanye kazi msikae tu mume lete. Pesa yako Ingraham zaidi kuliko ya kugaiwa.

    • @fifo262
      @fifo262 10 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ujinga wewe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@fifo262UJINGA WAKE NINI??

    • @abdulhamidmusa8962
      @abdulhamidmusa8962 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 9 หลายเดือนก่อน +1

      Mwehu wewe.
      Unaona kutoka mapema alfajiri kutafuta kibarua ndio maisha ya peponi?

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 9 หลายเดือนก่อน +1

      Alhmdullah mumewng anajua wajib kwa mungu wke mwanamke anafanya kaz lkn sio hzi . Alafu wanaume wakiwatesa kimaisha mnaonewa kumbe mnapenda

  • @wazirijunior3343
    @wazirijunior3343 9 หลายเดือนก่อน

    Ni AUTO hiyo man

  • @hawaomary8486
    @hawaomary8486 9 หลายเดือนก่อน

    Sio wakwaza mbona wanake wengi ni madereva

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtume anasema,ukikosa haya fanya upendavyo

    • @AliAli-lw9bj
      @AliAli-lw9bj 10 หลายเดือนก่อน +1

      Na pia kasema. Kutafuta rizik ya halali basi ni Jihadi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 หลายเดือนก่อน +3

      KUFANYA KAZI SIO KUKOSA HAYA HATA WAKATI WA MTUME WANAWAKE WALIFANYA KAZI MUHIMU KAZI YA HALALI NA MAVAZI YA STARA.

    • @abdulhamidmusa8962
      @abdulhamidmusa8962 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna mazingira ya kufanya kazi mwanamke wa kiislamu kwenye magari ya kontena...so stara hata kidogo na heshima yake itashuka.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@AliAli-lw9bj Jihadi gani kuuza vitumbua maziwa nje, acheni kuwadanganya wanawake mkawapa matumaini ya shetani 😈