ASKOFU GWAJIMA | Kutoka kuwa mchoma mkaa mpaka kumiliki Helkopita
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ค. 2021
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Natamani 2025 ugombee urais naamini utawajali wenye Maisha ya chini kama mpendwa wetu Magufuli alitupa moyo tufanye kazi kwa bidii uku akitusupport
Asante bb kwel akna ajuae kesho yake mngu akubalik unafaa kuwa kiongoz
Naiwe ivoo kwa jina la Yesu
Mi nlisha s jisemea nataman awe rais
Namuombea MUNGU amuwezeshe
Watu wenye shuhuda wanayajua maisha hata wakiwa viongozi watawajali wanaowaongoza
Gwajima wewe kwa sasa hauongei na kanisa unaongea na nchi yetu we love you.! 25 gombea urais , wewe ni Musa wetu usikasilike ukamtenda Mungu zambi
Hii maisha ninayoishi sio sehemu ya maisha yangu Mimi naenda kwenye kusudi langu barikiwa the servant of God amen
Umenipa Nguvu Baba Naiona Kesho Bora Sana
Wote tunaokusikiliza Mungu alikuwa ashakuwa asha panda haya kakwo. Kwa ajiri yetu.. ndani mwako...... Mungu alituona
Ukimsikiliza Askofu Gwajima hautakata tamaa katika maisha. Utapsmbana mpaka upate mafanikio kwenye maisha. Isijalishe magumu unayoyapitia. Kwa kweli wewe umebarikiwa na Mwenyezi Mungu. Ni wachache wenye roho kama wewe. Mungu azidi kukubariki.
Amen
People come from nothing to something Gwajima may God continue to bless you
Encouraging words🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From zero to hiro
Wewendio unastaili mana unatia moyosana asante gwajima 👏🏾👏🏾👏🏾
My brighter tomorrow is around.
Askofu Gwajima nakupenda sana umenifundisha neno la Mungu.Rioba.
Kwa kweli Mungu akubariki sana young brother. Bwana Mungu wetu Jesus Christ anapenda sana wanaozungumzia mapito yao bila aibu.
The same story to me nilisha beba mkaa wenye Moto kichwani .
Sitazisahau hizo siku .
Leo kila mtu aliyefanikiwa watu wanamwita majina mabaya bila kujua historia ya mtu .
Mungu akubariki Sana Bishop Gwajima
Hapa nilipo sio mahali pangu.mungu.anaenda kunipa mahali pangu Ameen
Love Askofu Gwajima ❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 May God our Jehovah bless you in Jesus name Amen
Amen...Nimewahi pita kwenye hayo na bado nasonga mbele,naamini ipo siku nitafika
Namshukuru mungu kwa kukufahamu baba nimejifunza mengi na nimepata ufahamu mkubwa maishani mwangu (shalom)
Powerful message man of God am following you papa preache to the world am Kelvin watching you from Lusaka Zambia
Powerful message Mtumishi. Umetugusa vijana tunaopambana
AAA gwajima umenikosha bwana kumbe fani nimoja
Hiyo nimeipenda Askofu.
Ninapata nguvu mpya kwa neno la Ushuhuda wako baba.
Amina baba na endelea nimepokea kitu hapa leo ujumbe mzuri sana
Amen Mungu akubariki mtumishi kwakunitia nguvu maana najiona nikiwa mshindi kupitia Mungu
No situation is parmanent. Glory to Jesus
Very true my dear...!
Amen
You are an encouragement Sir! Remain blessed. I thank GOD for you.
Mungu Mwema atatutoa mbali hongera unatia moyo kila wakati viwango vingine vipo tena Glory to God ubarikiwe safi sana
Amina naiona kesho yangu
Amen sana Askofu Gwajima nimependa sana inatia moyo iyo story.
Amina barikiwa mtumishi kweli
Namkubali sana gwajima ..c km wengine mafuta ya upako ..nakupenda sana kuna sehemu unatakiwa kuwa
Amina mtumishi wa Mungu
Nimeipenda sana hiyo story nimejifunza kitu kikubwa sana naamini mafanikio hua yapo tu kwa yule aliye na juhudi ya kazi na si mvivu.
Amen bishop unanifurahisha kweli leo
Askofu nimeipenda hii story naitaji mwendelezo wake
Amen, Asante baba kwa shuhuda nimejifunza kitu kikubwa sana ubarikiwe sana🙏🙏🙏
Gwajima you good mungu awe pamoja nawe Sana
Amen najua Mungu ako upande wangu
Mmh maisha ni safari ndefu sana. Ni neema ya Mungu tuu.
Hakika Askofu nimekukubali Sana Maana umetoka mbali.ila Jana ulivyoongea kuhusu Corona nimekuelewa Sana.
That message is encouraging.
Umenifurahisha inapendeza Mtumishi
Hiyo kazi nimefanya mtumishi Mungu akubarik sana
This is courageous Pastor. Amen
Umenibariki sana mpendwa wangu!!!gwaji boy
I believe in Jesus and everything is possible
Shuhuda zako zinatia faraja sana, ubarikiwe sana.
Asante askofu nimeipenda hii fanya kazi kwa bidii utapasua kuliko pokea gari kwa upako wa maji na mafuta
Amen. Mtumishi. Nimembalikiwa naneno vzr amen
Hapo kwenye uvivu umeongea kweli hata umuombee vip sawasawa na bule🤝
Gwajima saiv tunakufatilia Sana wewe si kiongoz tu wakanisa bali ni wa nchi nzima
Sikuwahi kujua kama Gwajima ni Genius
Amina ,amina mtumishi wa Mungu hakika nimekuelewa sana Mungu aendelee kukutunza.🙏
Very interested sir Gwajima tutakuwa kama ww ngoja na sisi tukaze Mungu anatuona
Amen baba ubarikiwe
Amina Mtumishi umetoka mbali nimejifunza
Glory to God
Umefaa kuwepo hapo ulipo mungu akubariki anibariki na mm pia nipate njia yangu ya kutokea
Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza na kukupa afya njema mtumishi wa Mungu
Preach preacher 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amina Bishop
Kuchoma mkaa ni moja kati kazi ambazo zimetengenezwa na Mungu ili kuwapatia watu kipatoooo.... Ivo hii kazi kwanza ni nzuri na yenye kipato kizuri... Japo watu waweza kuiiona ni kazi ya kimaskin.
Lkn ukingalia mkaa unatumiwa na kila aina ya watuu... Maskini na Tajiri
Nimejifunza kitu hapo
Tatizo ni ngumu Sana hiyo kazi.mama yangu amewahi kuchoma mkaa...hua hata sipendi kumbuka anihadithie Mara mbili
Leo nimeipendaa na nimejifunzaa mnoo
Askofu nimejifunza kituleo..
Mungu nimwema
Amen
Amina Nampokea mtu atakaye nihurumia mahari
@@elizabethganai9520 Ubarikiwe mwana wa Ganai
such inspirational, see you at the top
Ushuhuda mzuri sana huu
Mungu azidi kukuinua, umenikumbusha
Amina 🙏🙏🙏hakiki mimi ni waviwango vya juuu
Baba umenigusa Sana njia ni moja
Umeniongezea Iman gwajima
Amina Baba barikiwa
Nitimize kiu kilicho dani yangu. Powerful.
Nimekubali pastor
Amina Mchungaji Mahubiri yako yanajenga na kutia moyo sana
Amen Papa 🙏🏻🙏🏻
Viva gwajima Mungu akuzidishie zaid na zaid
Powerfull message 🙏
Naipenda saana askofu
Gwajima alipekecha moto kweli B.C
Asante rais ujaye
Ameeeen
Asante sana Baba
Acheni Mungu aitwe Mungu
Nimekuelewa kamanda wa yesu unachakula chauzima
AMEN Baba yangu Nakuombea sana kila wakati MUNGU AKUTUNZE Sana AKUPE Afya Njema Kila Wakati Utuhudumie Wanao tunao Kupenda sana💌💖
Amen
Hongera sana gwajima kwa mahubiri yako
Askofu hongera sana, una haki ya kufanikiwa ingawa uliharibu mazingira
I like so much your testimony
Aminaaaa.Mungu akaushe bahari nipite
Askofu Gwajima MUNGU AKUBALIKI SANA SANAA
Duh kweli kaka niliwambia watu ktk kchma mkaa kaz kuzma wanasema kukata kumbe n wasiohenya
NGAJIMA AMINA SAAAAAANA SOMO ZULI LIMENIPONYA NA MIMI HUKU SUMBAWANGA LUKWA
Ubarikiwe Bishop
Barikiwa sanah askofuu na xjui ww unaedislike this video unafikiria nini..!?
Barikiwa Mtumishi
amen Mungu akubariki sana
Niko dubai saa hii nime choma makaa tano mbili ni kajaza FH gunia 220 na kutibu mke wangu ambaye ameavya from 06 up to 2012 . Alikuwa na tatizo la kuavya / miscarriage . For really anavyo zungumzi muchungaji is true .
Sawa kabisa 👏👏👏
Mtumishi wa Mungu, nakuamunia endelea kutuinjilisha
Ubarikiwe sana
Nakukubali baba mchungaji
Hallelujah!!!
Mtumishi wa mungu unafundisha vizuri sana