UTURUKI KUILINDA NIGER DHIDI YA UVAMIZI WA ECOWAS/MAGAIDI NA UMOJA WA AFRIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

ความคิดเห็น • 51

  • @Alex-n8w4d
    @Alex-n8w4d 2 หลายเดือนก่อน +4

    Alex mwakyoma kutoka mbalizi mbeya big up sana kaka kwa uchambuzi bora

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana mwalimu wetu kwa taarifa yako nzuri

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 2 หลายเดือนก่อน +2

    Unajua teacher
    Tupe elimu
    Mm Abdullah said from zenji

  • @mussamuna900
    @mussamuna900 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mwalimu wa neno la Mungu kila habar ukitoa lazima kuview asante kwa taarifa

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 2 หลายเดือนก่อน +2

    Big up mwalimu 💚💚💚

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli umetokea kua mchambuzi Bora sana mwakilembe umetuheshimisha watu wa mbeya ahsante

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante mwalimu

  • @ibrahimshabani3544
    @ibrahimshabani3544 2 หลายเดือนก่อน

    mwalimu .Nakushukuru kwa
    Uchambuzi Nzuri kuhusu mabeberu wanavyo inyonya
    hili Bara letu la Africa

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 2 หลายเดือนก่อน

    Safii mzee

  • @LuwandAbias
    @LuwandAbias หลายเดือนก่อน

    Brother sawa Niger wawe makini kumbukahawa uturuki niwalewale wazunguwatawagandamiza tu achaneni naobakini na urusi anatosha

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 2 หลายเดือนก่อน

    Waarabu na WA Africa baba mmoja na mama mmoja.

  • @francismichael1258
    @francismichael1258 2 หลายเดือนก่อน +3

    Vibaraka bwana ni shida ndani ya africa yetu cjui lini tutafika safari yetu😊

  • @AmeHaji-c6h
    @AmeHaji-c6h 2 หลายเดือนก่อน

    Maadui wapo wengi Mwalim,Hata wanaokupinga kimawazo nao ni vibaraka vilevile ,

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 หลายเดือนก่อน +1

    Afrika watu wengi wamelaaniwa...Wazee wote waondelewe hawana future na nchi

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 2 หลายเดือนก่อน

    Asante. I say Benson kwa tarifa

  • @SadickHamis-vm1qi
    @SadickHamis-vm1qi 2 หลายเดือนก่อน

    Tuko pamoja mwalimu

  • @krisantmwaipungu1434
    @krisantmwaipungu1434 2 หลายเดือนก่อน

    ECOWAS, na AU ni mashoga. AU wa kipindi hiki ni mashoga wanaotumika na Ufaransa na USA

  • @DominickKabutelana-bg6je
    @DominickKabutelana-bg6je 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo inatuchanganya.
    Aliyefukuzwa ni Mfaransa ambaye ni mwanachama Wa NATO. iweje tena Uturuki (mwanachama Wa NATO) aje kulinda... !!
    Huo ni Ujanja wao. Usalama hautakuwepo

  • @SeifSalim-d8b
    @SeifSalim-d8b 2 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu naomba unianishie sababu ya Yturuki kujiunga na NATO

  • @LuwandAbias
    @LuwandAbias หลายเดือนก่อน

    Jamani msiwakubari hao bakini na putini

  • @rindenimwanga6355
    @rindenimwanga6355 10 วันที่ผ่านมา

    All in all no free lunch

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 หลายเดือนก่อน

    Umoja wa AU wote ni vibaraka wenye wazimu kama ule wa Mobutu kuku wa zabanga,umoja huo hautufai kabisa watu wa Afrika,unawafaa mabeberu kisa vijipesa,starehe,na ubinafsi

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 2 หลายเดือนก่อน

    naomba no yako tukutimie kidogo

  • @PamojaMkalu
    @PamojaMkalu 2 หลายเดือนก่อน

    Hao hao wanao kuja eti watasaidia kulinda tena hao hao ndo tena watawaua

  • @oscarmwambwelwa7208
    @oscarmwambwelwa7208 2 หลายเดือนก่อน

    Hawataenda kuvamia itabaki story hivi hivi

  • @DismasMaturine
    @DismasMaturine 2 หลายเดือนก่อน

    Ufaransa umasikini unamtesa hana pa kuiba

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 2 หลายเดือนก่อน

    Kiongoz wetu makonda ajulikani alipo

  • @MAKWETHEGREAT
    @MAKWETHEGREAT 2 หลายเดือนก่อน

    But one day yataisha tu mkumbozi kutoka lake zone kasha zaliwa the time will tell

  • @JosephMakwara
    @JosephMakwara 2 หลายเดือนก่อน

    Morocco, misri, uturuki, na falme za kiarabu ni wanafiki sio watu wazuri

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 2 หลายเดือนก่อน

      USA UK Italy spain Germany ni watu wazur sana

  • @GerardMdui
    @GerardMdui 2 หลายเดือนก่อน

    AU watatoa wap wanajesh?

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 2 หลายเดือนก่อน

    huyu mwamba ni kiboko

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna democrasia kama wanataka uongozi wa kiraia kwani mbona wananchi wamewaridhia viongozi wao kumbe democrsia ni kumuweka kiongozi anae ridhiwa na magharibi na marekani lakini sio kiongozi anaeridhiwa na wanachi kama lengo la democrsia ni kiongozi anaetakiwa na wananchi mbona hawa wananchi wamewakubali viongozi wao kwa nn wao wanataka kuwatoa hapa ndio nimejua kumbe democrsia ni kumuweka kiongozi anaetakwa na marekani na magharibi

  • @JkJoel-o9p
    @JkJoel-o9p 2 หลายเดือนก่อน

    MIsaya Mwakilembe,
    Wewe mtafuati ajabu bwana !

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu uturuki nae asije akawa kibaraka maana yeye ndio anaeongoza kwa kua na jeshi kubwa nato

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 2 หลายเดือนก่อน

    Mwakilembe
    Waulize hao AU na ecowas
    Walikua wapi ilipo vamiwa libya
    Hata kikao cha kustisha vita au
    Mgomo wa kususia baadhi ya mambo hawakuweza
    Leo ndio wanaongea mbele ya raia bila aibu
    Shame on you AU leaders

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 2 หลายเดือนก่อน

    Angempa urusi

  • @MUBARAKMOHAMEDJAMAL
    @MUBARAKMOHAMEDJAMAL 2 หลายเดือนก่อน

    Unajuwa turke,,ni malafiki wakubwa wa marekani ?

  • @IssaHassani-dg1xy
    @IssaHassani-dg1xy 2 หลายเดือนก่อน

    Mataifa yakishoga yanashindwa kukubaliana na matokeo kwamba Dunia haipo upande wao Tena,mambo yamekua magumu kwao Putin keshawainamisha hawana uwezo Tena wa kusumbua mataifa.

  • @LwinziMohamed
    @LwinziMohamed 2 หลายเดือนก่อน

    Sisi waafrika bwana yaan tunajilinda sisi wenyewe na tunataka kujimaliza sisi wenyewe kwa kuendeshwa na wazungu kupitia vibaraka wa kwentu, kwanza nataka nijue makonda yuko wap na mbona hatumusikii na kwenye mitandao ya kijamii tunaona viongozi wanaulizwa wanasema hawajui kweli kiongoz mwenzako katoka ucjue kaenda wap?

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 2 หลายเดือนก่อน

    Utuluki ni wanafiki wako NATO ao kwa mashoga

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 หลายเดือนก่อน

    Hicho kiwanda alichonunulia hizo drons ni kiwanda cha mmarekani ambacho kipo pale uturuki sasa hata sijui itakua kwa nn asinge wachukua urusi au irani kuwalindia kuliko ututruki siwaamini

  • @coolbz133
    @coolbz133 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani nilazima gani kujiunga na ecowas waafrica hizi ni akili mbuzi

    • @mrheripoza3553
      @mrheripoza3553 2 หลายเดือนก่อน

      Siyo akili mbuzi tu niakili zilizo unguuwa

    • @coolbz133
      @coolbz133 2 หลายเดือนก่อน

      Bro sijui yani ni nn mungu anaipenda africa ametupa mali zote na sisi twazipeana naujinga mwingi