UTURUKI KUILINDA NIGER DHIDI YA UVAMIZI WA ECOWAS/MAGAIDI NA UMOJA WA AFRIKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
Alex mwakyoma kutoka mbalizi mbeya big up sana kaka kwa uchambuzi bora
Shukran sana mwalimu wetu kwa taarifa yako nzuri
Unajua teacher
Tupe elimu
Mm Abdullah said from zenji
Mwalimu wa neno la Mungu kila habar ukitoa lazima kuview asante kwa taarifa
Big up mwalimu 💚💚💚
Kwakweli umetokea kua mchambuzi Bora sana mwakilembe umetuheshimisha watu wa mbeya ahsante
Asante mwalimu
mwalimu .Nakushukuru kwa
Uchambuzi Nzuri kuhusu mabeberu wanavyo inyonya
hili Bara letu la Africa
Safii mzee
Brother sawa Niger wawe makini kumbukahawa uturuki niwalewale wazunguwatawagandamiza tu achaneni naobakini na urusi anatosha
Waarabu na WA Africa baba mmoja na mama mmoja.
Vibaraka bwana ni shida ndani ya africa yetu cjui lini tutafika safari yetu😊
Maadui wapo wengi Mwalim,Hata wanaokupinga kimawazo nao ni vibaraka vilevile ,
Afrika watu wengi wamelaaniwa...Wazee wote waondelewe hawana future na nchi
Asante. I say Benson kwa tarifa
Tuko pamoja mwalimu
ECOWAS, na AU ni mashoga. AU wa kipindi hiki ni mashoga wanaotumika na Ufaransa na USA
Hiyo inatuchanganya.
Aliyefukuzwa ni Mfaransa ambaye ni mwanachama Wa NATO. iweje tena Uturuki (mwanachama Wa NATO) aje kulinda... !!
Huo ni Ujanja wao. Usalama hautakuwepo
Mwalimu naomba unianishie sababu ya Yturuki kujiunga na NATO
Jamani msiwakubari hao bakini na putini
All in all no free lunch
Umoja wa AU wote ni vibaraka wenye wazimu kama ule wa Mobutu kuku wa zabanga,umoja huo hautufai kabisa watu wa Afrika,unawafaa mabeberu kisa vijipesa,starehe,na ubinafsi
naomba no yako tukutimie kidogo
Hao hao wanao kuja eti watasaidia kulinda tena hao hao ndo tena watawaua
Hawataenda kuvamia itabaki story hivi hivi
Ufaransa umasikini unamtesa hana pa kuiba
Kiongoz wetu makonda ajulikani alipo
But one day yataisha tu mkumbozi kutoka lake zone kasha zaliwa the time will tell
Morocco, misri, uturuki, na falme za kiarabu ni wanafiki sio watu wazuri
USA UK Italy spain Germany ni watu wazur sana
AU watatoa wap wanajesh?
huyu mwamba ni kiboko
Hakuna democrasia kama wanataka uongozi wa kiraia kwani mbona wananchi wamewaridhia viongozi wao kumbe democrsia ni kumuweka kiongozi anae ridhiwa na magharibi na marekani lakini sio kiongozi anaeridhiwa na wanachi kama lengo la democrsia ni kiongozi anaetakiwa na wananchi mbona hawa wananchi wamewakubali viongozi wao kwa nn wao wanataka kuwatoa hapa ndio nimejua kumbe democrsia ni kumuweka kiongozi anaetakwa na marekani na magharibi
MIsaya Mwakilembe,
Wewe mtafuati ajabu bwana !
Huyu uturuki nae asije akawa kibaraka maana yeye ndio anaeongoza kwa kua na jeshi kubwa nato
Mwakilembe
Waulize hao AU na ecowas
Walikua wapi ilipo vamiwa libya
Hata kikao cha kustisha vita au
Mgomo wa kususia baadhi ya mambo hawakuweza
Leo ndio wanaongea mbele ya raia bila aibu
Shame on you AU leaders
Angempa urusi
Unajuwa turke,,ni malafiki wakubwa wa marekani ?
Mataifa yakishoga yanashindwa kukubaliana na matokeo kwamba Dunia haipo upande wao Tena,mambo yamekua magumu kwao Putin keshawainamisha hawana uwezo Tena wa kusumbua mataifa.
Sisi waafrika bwana yaan tunajilinda sisi wenyewe na tunataka kujimaliza sisi wenyewe kwa kuendeshwa na wazungu kupitia vibaraka wa kwentu, kwanza nataka nijue makonda yuko wap na mbona hatumusikii na kwenye mitandao ya kijamii tunaona viongozi wanaulizwa wanasema hawajui kweli kiongoz mwenzako katoka ucjue kaenda wap?
Utuluki ni wanafiki wako NATO ao kwa mashoga
Hicho kiwanda alichonunulia hizo drons ni kiwanda cha mmarekani ambacho kipo pale uturuki sasa hata sijui itakua kwa nn asinge wachukua urusi au irani kuwalindia kuliko ututruki siwaamini
Siyo kweli
Kwani nilazima gani kujiunga na ecowas waafrica hizi ni akili mbuzi
Siyo akili mbuzi tu niakili zilizo unguuwa
Bro sijui yani ni nn mungu anaipenda africa ametupa mali zote na sisi twazipeana naujinga mwingi