Bishop Gwajima Amejibu Tetesi za Utajiri wake/Anajenga Uwanja wa Watu 60,000 kwa Ajili ya Maombi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 เม.ย. 2020
  • Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mtumishi Josephat Gwajima amefunguka kwenye kipindi cha Power Breakfast kuhusu utajiri wake .....
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 177

  • @mithletlwoyelo6044
    @mithletlwoyelo6044 4 ปีที่แล้ว +7

    This is one of the servants of God I respect and listen to.More grace!

  • @felixmwacha6216
    @felixmwacha6216 4 ปีที่แล้ว +7

    Yesu alikufa kwa ajil yetu inatupasa kumwamwin il tuingie mbingun nimeielewa hiyo bishop

  • @silajulius3467
    @silajulius3467 ปีที่แล้ว +1

    kabisa. muujiza mkuu Ni Mtu kuokoka na kumpokea Yesu Kristo

  • @fidelialucassamkhumbi2476
    @fidelialucassamkhumbi2476 4 ปีที่แล้ว +4

    I love the bishop, umaskini haupo mbinguni, ndio negative yenyewe

  • @miltonmugisha1805
    @miltonmugisha1805 4 ปีที่แล้ว +11

    Gwajima is very smart Hasa hapo kwenye muujiza mkubwa

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 ปีที่แล้ว +5

    Uwatakase kwa ile kweli neno lako (Mungu) ndiyo kweli. Yohana 17:17

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm 9 หลายเดือนก่อน

    I love my Dad gwajima may God bless him

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 3 ปีที่แล้ว

    ndugu gwajima anajibu kwa hekima may GOD bless him

  • @user-sk9jc7fy4f
    @user-sk9jc7fy4f 3 หลายเดือนก่อน

    Unahekima ya kristo ndani yako mzee ❤❤❤

  • @margaretkarambu936
    @margaretkarambu936 ปีที่แล้ว

    A brilliant Man of God.

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 4 ปีที่แล้ว +1

    my role model

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 4 ปีที่แล้ว +8

    clouds Tunaomba mtuleteee video za Sam_Sasali akiwa anaperusi na kudadisi na wakina kipanya

  • @Patience.67
    @Patience.67 2 ปีที่แล้ว

    Nampenda Baba gwajima enyewe ana mafunzo mema

  • @mariarashid6140
    @mariarashid6140 ปีที่แล้ว

    Bishop wangu gwajima tunakupenda

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwanini mko studio but mchukua local video sauti haiko well

  • @abahimbangerina380
    @abahimbangerina380 4 ปีที่แล้ว

    SIZYA hebu fanya upate mwenzio maana nimekuona leo kumbe umeisha kuwa mtu mzima. Napenda maongezi na maswali yenu...challenging questions.

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen.

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 4 ปีที่แล้ว +5

    Shikamooh gwajima

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

      🤣 🤣 🤣 🤣 Barack! 🤔

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile9389 4 ปีที่แล้ว +1

    Leo cameraman yuko vizur!

  • @user-uo5em7im6b
    @user-uo5em7im6b 2 หลายเดือนก่อน

    Askofu Gwajima ichambue bible

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bg 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa apo kwenhe muhujiza

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 4 ปีที่แล้ว +5

    Baba angu Askofu akiongea natamani Kila mtu anyamaze nimsikie kwa Makini

  • @user-cj4qz6dp9y
    @user-cj4qz6dp9y หลายเดือนก่อน

    Mchungaji tu me kuelewa.

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 4 ปีที่แล้ว +1

    Huwa najiuliza sana WATU WA mungu kuwa matajiri NA kushindwa kusaidia maskini NI SAHIHI kweli? Ndiyo mungu anasema HIVYO.
    Huwa sijasikia hapa kwetu Tz wachungaji wakisaidia WATU wanapopata majanga.
    NI toe mfano kwa NABII TB JOSHUA JINSI MUNGU ANAVYO MBARIKI NA KUWAPONYA WATU WAKE KWA HATUA HIYO NAONA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU.

    • @mathewssilungwe7692
      @mathewssilungwe7692 2 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna mtumishi nabi kama TB Joshua hapa TZ.... Yule TB Joshua alitoka kwa Yesu na pia tutamuona wote tukifa Mbinguni.

  • @josej9888
    @josej9888 4 ปีที่แล้ว +4

    Chuma hicho.

  • @sospeterkamala5481
    @sospeterkamala5481 4 ปีที่แล้ว +7

    Hao watangazazaji wamekutana na kichwa kinachowazidi akili na Mungu

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 4 ปีที่แล้ว +2

    Ila masoud naona umemuivisha ciza

  • @denistimothy6650
    @denistimothy6650 4 ปีที่แล้ว +1

    Yan uyo lady presenter ana put much concentration ya kuhangaika na kisim chake kuchukua video wakat kuna camera zimefungwa apo 😅😷

  • @abrahamyohana4953
    @abrahamyohana4953 4 ปีที่แล้ว +2

    Oya muachenihuyo gwajima! Mutamuumbua

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 4 ปีที่แล้ว +2

    Maswali magumu sana aise

  • @jaafarjacka3320
    @jaafarjacka3320 4 ปีที่แล้ว +4

    Masoud Kipanya........maswali magumu unauliza

  • @ovn-sportswear4983
    @ovn-sportswear4983 4 ปีที่แล้ว +3

    Kabla ya yote watangazaji na waumi nendeni mkaisikilize nyimbo ya afande sele ft bele9 dini zililetwa tu kutoka mashariki ya mbali sasa inashangaza amzungumzii kabla ya hao watu weupe kuja africa sisi watu weusi tulikuwa hatu mungu wa mtume mweusi tiii kamimi au wewe leo hii unajifanya unaimani ya kuletewa

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

      Ukitaka kusema hivo enzi hizo hata Hospital hazikuwepo viwanda mashule, umeme nk

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

      Na kingine hata ww said hukuwa na dini hiyo kabla ya mwarabu

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 4 ปีที่แล้ว

      Said Athmani, inaonesha hujui Mungu ni nini! Unafikiria kuwa Mungu unaweza kumtengeneza hata wewe akawa Mungu wako.
      Mungu ni muumba wa wote, ni Baba wa wote wenye mwili. Wazungu kama waliteta dini ambayo hukuielewa inaweza kuwa sawa kwa sababu kuna dini nyingi; zinazoitwa za Kikristo na zinazoitwa za Kiislam. Dini siyo Mungu, lakini Mungu bado yuko. Mungu anawafanya watu kuacha dhambi wakishamtambua na kujua madhara ya dhambi, kwamba ni moto wa Jehanam. Nikizungumza hilo bado utasema ni mafundisho ya kizungu au ya kigeni; ni kwa sababu hujampokea huyo Mungu. Nikikuelezea kwa maandiko katika biblia utasema zimeletwa na wageni, bado moyo wako utakuwa mbali. Jambo moja fahamu tu kuwa, sisi ni viumbe, hatutaishi milele hapa duniani, na aliyetuumba ni Mungu mwenye haki yote, anataka tuishi maisha ya kutokuwa na dhambi au maisha ya utakatifu, Zaburi 16:3. Mwanadamu kwa jitihada hawezi kuishi maisha hayo, ni mpaka ajitambui na ahitaji msaada wa kushinda dhambi kutoka kwa Mungu mweyewe.
      Ni suala geni kwako, lakini tu ni kwamba wenye dhambi wote , wakifa wanaenda jehanamu ya moto, kama huamini utakapokuwa umekufa utaamini maneno haya.

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

    Leteni zaka kamilighalani ili kiwemo chakula ktk nyumba yangumkanijaribu kwa njia hiyo asema Bwana wa majeshi. Malaki 3:10
    Nataka kusema nn zaka na sadaka ni mali ya Bwana. Kwa hiyo hata gwajima ni lzm atoe zaka na sadaka tena kwa uaminifu na km hatoi bibilia inamuhesabu kuwa ni mwizi.

  • @thomasbukuru
    @thomasbukuru ปีที่แล้ว

    Bishop GWAJIMA Chuma kabixa

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 4 ปีที่แล้ว +6

    Gwajima swali kuhusu utajiri umezungusha nakupa F kwa ulivojibu yaonesha munawaibia ao wananchi

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 ปีที่แล้ว +1

      Amna mtu anaeibiwa maana sadaka sio lazima

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

      Kiukweli asemae wanaibiwa wananchi unakuta hasomi maandiko bibilia iko wazi hilo ni 1la pili kuhusu kutaja mali zake acheni kbs mm naona haina mantiki yoyote huwezi kuchukuwa mazingila ya ulaya ukaya leta Afrika hapo nikitu hakiwezekani hapo tu kuna watu walikuwa wanasubiri kwa hamu ataje halafu angeona ambacho kingefatia

    • @queenjaneth886
      @queenjaneth886 4 ปีที่แล้ว

      Ongea machache Abu maana Mali zake wewe hazikuhusu hata kidogo

  • @graceufufuo1502
    @graceufufuo1502 4 ปีที่แล้ว +1

    👍👍💯

  • @elinihakieliakunda9967
    @elinihakieliakunda9967 3 ปีที่แล้ว

    Majibu anayotoa kwangu bado sana

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 หลายเดือนก่อน

      mfuate Kawe utapata majibu yoote na Kiu itaisha

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 4 ปีที่แล้ว

    Acha aendelee kukusanya sadakkma za watu mungu anamuona

    • @queenjaneth886
      @queenjaneth886 4 ปีที่แล้ว

      Huna Akili kabisa na unachokiongea hujui unaongea tu Bible inasema watu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndo wewe sasa

    • @eliassospeter
      @eliassospeter 3 ปีที่แล้ว

      Sasa unataka uajiliwe wewe ukakusanye?? Mbona akili kidogo unauliza nini sasa hapa?! Kazi ya sadaka ni nini? Hebu soma na maandiko ili uelewe.

    • @margaretkarambu936
      @margaretkarambu936 ปีที่แล้ว

      Ukienda kanisani ni lazima utoe sadaka.

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye5565 4 ปีที่แล้ว +1

    Uwezi kujilinganisha na Papa,sababu papa hanamali zake binafsi,malianazo tumia zinabaki kanisani

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 ปีที่แล้ว

      Ameongea mfano tu kwani papa ni Nani si binadam tu na yy kuanza Kanisa lake ipo kisheria na hata kutoa sadaka hakuna kudhikiwa bunduki hata ukitaka usiende hushtakiwi sadaka sadaka Tena wasemaji wa sadaka wao wanatoa mia mbili

  • @emmanuelbasu4672
    @emmanuelbasu4672 3 ปีที่แล้ว

    nisaidie nmb yako askof Gwajima

  • @mr_kajombaremelo_og2134
    @mr_kajombaremelo_og2134 4 ปีที่แล้ว +4

    Naipenda clouds

  • @wekaputv9406
    @wekaputv9406 4 ปีที่แล้ว

    Kachemka

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 ปีที่แล้ว +1

    Maswali haya mh!🙆

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine2840 4 ปีที่แล้ว

    Diyounawapa ujumbe hawasikiye

  • @raymondmelele1911
    @raymondmelele1911 4 ปีที่แล้ว +2

    Uyo jamaa ana point sana

  • @Goodmusic2017
    @Goodmusic2017 4 ปีที่แล้ว

    Mwenye akili kashaelewa...!!
    No time to argue...!😃😃😃

  • @chitemakeha2067
    @chitemakeha2067 4 ปีที่แล้ว +5

    Mlidhani gwajima kapataje utajiri? Nyie watu gwajima ni intelligent sana yan hamkujua?

    • @syriacussylivester4594
      @syriacussylivester4594 3 ปีที่แล้ว

      Kweli jamani iweni makin huyoo ni mtumishi mkubwa anaetumika kimungu so badili mawazo yenu ety mtaumbukaaa

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 2 ปีที่แล้ว

    Mali ya kanisa nani mwenye kanisa wakati wewe ndiyo mmiliki wa kanisa?

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 ปีที่แล้ว

    Mali zake na utajili vina mahusiano gani mwacheni awatumikie tz

  • @saidahamada7782
    @saidahamada7782 4 ปีที่แล้ว +1

    Mali za sadaka hizo

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 4 ปีที่แล้ว +1

    Gwajima janja janja sana veve ,unajbu maswal kijanja janja sana

  • @iamthefarmerceo2316
    @iamthefarmerceo2316 4 ปีที่แล้ว

    MasOUD Kipanya is the RADIO PRESENTER OF ANOTHER LEVELS!! Mwaswalii ya akili na yeye anazo akili pia.

  • @kibonahenry1521
    @kibonahenry1521 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaaan anapoint xana

  • @sunrishmussan7929
    @sunrishmussan7929 4 ปีที่แล้ว +1

    Maswali mengne mnayotakiwa kuwaulza hawa wachungaji nkwamba KWANINI WAMEKUWA HAWAWAXOMEI WAUMINI WAO BAADHI YA SURA KWENYE BIBLE bali wamekuwa wakifichafcha tu mambo na kuwaxomea xehmu wanazoona zitawanufaisha wao?

  • @aminamunezero
    @aminamunezero 4 ปีที่แล้ว +1

    Namkubalisana.sikuhizi simsikikuliamsha dude

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 4 ปีที่แล้ว

    Mwongo marizote zamakanisa haya yakireo huwa nimarizo na wanaandikisha kbs serekarini kama mariyao

    • @jerryjuma1339
      @jerryjuma1339 3 ปีที่แล้ว

      nawewe fungua kanisa Kama unaona anafaidi mwenzio

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 4 ปีที่แล้ว +1

    maswali lit pekee hiii ndo clouds

  • @azadida801
    @azadida801 4 ปีที่แล้ว

    Mchungaji vipi kuhusu dawa ya corona, hapo ndio pa kusaidia, kama kweli unatembea na Yesu wapi dawa ya Corona

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 3 ปีที่แล้ว

      Na baada ya kupona mbona sijaona ukirudisha shukrani kwa Mungu sio vizuri kudhihaki maana hata sisi tunapaswa kuomba sio baada ya tatizo ndio tuambie Watumishi km unahubiri nione na hili ukilifanya neno linasema ktk Ezra inuka maana shuhuli hii inakuhusu

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 4 ปีที่แล้ว

    hawa ni wachungaji waongo tu wanaijua kweli hawataki kuifundisha.

  • @hamadshein8272
    @hamadshein8272 4 ปีที่แล้ว +2

    Ckuwatuma muende kuponya watu kwa jina langu.mimi nyie cwajui. Yesu huyo ndo anacma sasa cjui hpo pamekaaje.

    • @robathzingu1650
      @robathzingu1650 4 ปีที่แล้ว +1

      Una - refer toka wapi hiki unachokisema hapa? Biblia au Korani? Kama ni Biblia toka kitabu gani na aya ya ngapi ndugu?

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 4 ปีที่แล้ว +1

      @@robathzingu1650 yesu kawakana hawa mitume feki hta kabla y cku y mwisho.sasa hta nikikwambia ukacme hta badilika.wewe komaa mpka cku ya mwisho.ukakataliwe live.

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 4 ปีที่แล้ว +1

      @@leokadiakajuna8000 uctoe povu.dogo rudi ucme baibo wewe unaendaga kuimba tu.

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 4 ปีที่แล้ว +1

      @@leokadiakajuna8000 wanao jiita mitume walijua hlo.

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 4 ปีที่แล้ว

      Tutajie hilo andiko linatoka kitabu gani Cha biblia na sura ya ngapi

  • @silverman6930
    @silverman6930 4 ปีที่แล้ว +4

    Wajinga ndio wanaoliwa ...

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 ปีที่แล้ว

    Nanyie watangazaji muulizeni maswali ya msingi alisema corona HAITAINGIA sasa imeingia ajibu huyo Mungu kigeugeu akoje?

    • @jordanfromyt2861
      @jordanfromyt2861 4 ปีที่แล้ว

      john mligo labha ulisikia vibaya au?

    • @lechoaidan8416
      @lechoaidan8416 2 ปีที่แล้ว

      Haijaingia kwake ,,Kama i
      meingia imekuja na wenyewe tu

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora860 4 ปีที่แล้ว

    Nabii wa shetani huyo tapeli! Yesu hakuwa tajiri wala Papa wa Vatikan sio tajiri ana mamlaka tu!! Kumbuka "Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupenya ktk tundu la sindano" mungu anakuona!!

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 4 ปีที่แล้ว

      Mamlaka ya Papa ni ya mbinguni au duniani? Papa kwa taarifa yako ni Rais, akiingia nchi yoyote anapigiwa mizinga kama Rais.
      Rais halafu kiongozi wa dini! Cha msingi nadhani ni utakatifu na uaminifu kwa Mungu, na pia kuhubiria watu kweli ili waende mbinguni.

    • @eh2construction575
      @eh2construction575 4 ปีที่แล้ว

      Ndo ulivyoelewa kumbe, endelea kuwa maskini. Ukiwmbiwa toa mchango wa kujenga kanisa unahama kanisa, toka kwenye umaskini. Yesu alikuwa maskini ili tuwe matajiri

    • @akagast5225
      @akagast5225 3 ปีที่แล้ว

      Kwan ww unapenda umasikini?

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 4 ปีที่แล้ว

    Daa hii interview ingekuwa kule WASAFI TV comments zingekuwa zaidi M1 ila hapa zipo 81 tu yaani chini ya 100 daa hii ni hatari ndugu zangu watanzania mgonjwa yupo ICU

    • @alexmasea875
      @alexmasea875 4 ปีที่แล้ว

      We inakuhusu nn mpuuz ww

  • @hamadhamza8764
    @hamadhamza8764 4 ปีที่แล้ว +1

    Hamna kitu hapo sadaka tu za waumini hizo asiwalishe watu matango poli

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 4 ปีที่แล้ว

      Sasa ww ndo unamjua zaid ya anavojijua yy?

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 ปีที่แล้ว

      kwani akila sadaka ttzo nini siana wafundisha neno kuna kitu cha bure.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 ปีที่แล้ว

    Mnajaribu kumtakasa muulizeni kondoo wa bwana kaacha kuwatafuna? Matapeli wajanjawajanja

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 ปีที่แล้ว

    Come on.... wewe jamaa Baba mtakatifu sio tajiri kama usemavyoooo wala hana utajiri binafsi kama usemavyo.... usiwalaghai watu. Utajiri wa Papa ni wa kanisa na wewe ni wako binafsi.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 ปีที่แล้ว +1

      we tako kweli inamaana hujui kwamba papa ni rais wa roma ?? unajua miongoni mwa watu matajiri duniani yupo papa emb kasome uskae kujibu jibu tu vitu hujui

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 4 ปีที่แล้ว

      Katoliki ni taasisi Papa ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo. Ufufuo na Uzima ni taasisi na Gwajima ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo, tatizo liko wapi? Kama ni mali, taasisi ya Katoliki inayo, na pia Ufufuo na Uzima nao wanayo kidogo kutokana na ukubwa wa taasisi yao. Tatizo liko wapi? Nadhani tatizo ni ile hali ya kuzaliwa katika mazingira hayo, sasa unapoona mazingira mengine unaona kama si halali isipokuwa yale uliyoyazoea unaona ndiyo sawa. Ndiyo maana kutokana na watu kuwa na mazoea hayo, wanafikia hali ya kusema, mtu asipokuwa dini fulani basi hatamwona Mungu; wanadhani kwamba ile dini aliyozaliwa na kurithishwa na wazazi wake ndiyo dini ya kweli; hata mimi ndivyo nilivyokuwa.

  • @treyguydangote4034
    @treyguydangote4034 4 ปีที่แล้ว

    Uyo mzee mla sadaka tuu hana lolote dini biashara tuuu

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mchungaji unasema ni mfuasi wa Yesu na Yesu anasema msimwite mtu baba kiimani hapa duniani... Mbona hueleweki... Mathayo 23:9
    Mathayo 23:9 BHND
    Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.
    BHND: Biblia Habari Njema

    • @linnamlay3643
      @linnamlay3643 4 ปีที่แล้ว +5

      Hiyo tafsiri huwezi kuijua kama huijui biblia,hilo neno baba litakusumbua,usisome biblia kutafuta cha ku comment neno la Mungu kwa mkristo linaeleweka katika kufunuliwa kwa neema tuu,halina degree ya kwanza katika kusoma biblia,unaweza ukaisoma biblia hadi uzeeke usijue alichomaanisha Mungu,lakini anaweza akamfunulia mtoto mchanga,au hata asiyejua kusoma akaijua biblia, so unapotoa maoni jitafakari kwanza nia yako ni ya kimungu au ushabiki usokuw na tija kibiblia???Mungu akufunulie neno lake katika kweli ndugu yangu.

    • @leokadiakajuna8000
      @leokadiakajuna8000 4 ปีที่แล้ว

      Ttzo hujui inamaana gn km haujui biblia hutoelewa kitu umo

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว

      @@linnamlay3643 wewe unae elewa toa ufafanuzi Yesu kakusudia nini?

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว

      @@leokadiakajuna8000 Nilifikiri ungetoa Andiko kua unaweza mwita Askofu baba hata kama hana mke au umemzidi umri umwite baba

    • @princepeter2110
      @princepeter2110 4 ปีที่แล้ว

      Ndo ipo hivo ila mkiifata,biblia kichwa,kichwa,utakuwa unasoma riwaya,za bunuas

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว +1

    Hawa jamaa wana take advantage kutoka watu masikini.. Kwa uongo wao.. Wanafufua au wanaponya kwa jina la Yesu... Mchungaji sasa kuna wagonjwa wa Corona kwanini msiwaponye kwa jina la Yesu?

    • @jamesmlengela156
      @jamesmlengela156 4 ปีที่แล้ว +3

      Juma usiseme waongo swali ni je hao wagonjwa wanaamini Yesu anaponya?au Maana imani ndio uponya mtu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว

      @@jamesmlengela156 wacha uongo wewe toa Andiko jina la Yesu linaponya, mwenyewe Yesu anasema mimi siwezi kufanya jambo lo lote kwa mamlaka yangu mwenyewe... Soma Yohana 5.30

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 4 ปีที่แล้ว +1

      Juma Jaffary yesu anaponya watu kwakuwa Baba yake Mungu wa mbinguni amemluhusu kuponya ndiyo maana hata mtumishi yoyote wa Mungu hawezi kuponya kila mtu Bali mbaka ambiwe na Mungu wake kuwa mtu furani au Fanya jambo furani kwaajili ya nchii na Mungu atakuwa nae cku zote

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว

      @@eliarichard9218 Toa Andiko Mungu kasema Yesu ni mwanangu... Yesu amesema yeye ni mwanadamu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 ปีที่แล้ว

      @@eliarichard9218 matayo 26 62 Kisha kuhani mkuu akasimama, akamwambia Yesu, “Huna jibu? Husikii huo ushahidi waliotoa watu hao?” 63 Lakini Yesu hakusema neno. Basi kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa jina la Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu.”
      Mungu.”
      64 Yesu akajibu, “Umetamka mwenyewe. Lakini nina waambieni nyote kwamba baada ya hapa, mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wa Mungu mwenye uweza na akija juu ya mawingu ya mbin guni

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 ปีที่แล้ว

    Usiongelee uislam haukuhusu wala haujui.

    • @chripinecharl3s302
      @chripinecharl3s302 4 ปีที่แล้ว

      MUNGU TUSAIDIE NA HAWA WATUMISHI WA SIKU HIZI!

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 ปีที่แล้ว

      kaongelea kibaya nin hapo we fala?

    • @frankanold9803
      @frankanold9803 3 ปีที่แล้ว

      sikujui wewe ni nani lakini I guess anaujua uislamu kuliko wewe

    • @amosidjuma3146
      @amosidjuma3146 2 ปีที่แล้ว

      @@frankanold9803 Nataka kuwahona anaye tikisa tazaniya mimi ni ir amosi Niko diyarasi