Kelvin Khan kazi nzuri sana broo we ni mwandishi Bora Sana wa taamthilia endelea na usipunguze tupo pamoja Kama team donta alafu tumalizie series yetu pendwa ya la malkia wa majini
Donta tv and tondo plus Hebu nipeni like hata 10 tu? Please. Japokuwa nime Chelewa lakini sio sana. Kaka kelvin waambiye mashabiki wanipe hata like 10 tu? Kaka 😂😂😂😂
Wanasema tutowe maoni nyinyi mnadayi like vip nyiye ok basi bado mwisho uyo Jemsy auliwe na yule aliua Nasra ❤❤❤yule naye akamatwe anyongwe Bro ❤❤ much love ❤❤❤❤❤❤ Burundi
Pole sana Mr nyuki mana kwasasa unapitia kipindi kigumu dadako Vick amekua mkatili Kelvin naye ndohivyo😢 ila usikate tamaa hilo tunalo jifunza nawapenda Bure kutoka Kenya 🇰🇪 ❤❤
Wakwanza mm jamani like 10 zatosha🇿🇲🇿🇲🇿🇲 pia mm niombe msiwe mnatoa tamthilia kila wakati tutawachoka mapema utakuta leo kuna hii kesho nyingine keshokutwa pia mpaka inakera wapendwa 💞💞💞
Nikweli kabisa Kama Hana bando atulie asitukere sisi nkuunga mkono wewe mwenzangu tuko pamoja mwaya Kelvin endeleen kutupa burudan ninawapenda San zaid yasan my love❤❤❤
Mimi nahitaji like hata 20 ndugu zangu, kwa upande wangu mnajitahidi sana lakini yani story huwa mnavyo toa huwa zinaendana jitahidini sana kuweka story tofauti tofauti,
Mko vizuli ila ombi langu ni 1 kwani mnapo toa tamthilia Kila wakati love hii kesho nyingine mnatuvuluga mfano hii ya kesho yangu mngeifanya ikaisha ndipo muanzishe nyingine Niombi tuu brooo kama inawezekana ❤️❤️❤️❤️💥💥🇦🇼🇦🇼🇦🇼
Kesho yangu naona iko sawa kabisa Kelvin mungu akutie nguvu nyingi sana uedelee hivo hivo you always make my day hata kaa nimekasilika sana lakini nafurai tu juu yenu na wapenda saana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza like zangu apa please team Kelvin nawapenda wote 🇰🇪🇸🇦😘♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ team strong hoyeeeeeeeeee mko wapi wenzangu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥like please
Yakwangu nawa pongeza sana nikiwa muimbaji wa nyimbo za kumwabudu Mungu nawatakiya maisha marufu ila izi shauri zote zisiwe kwetu tu binafsi ata kwenu piya ziwafunze
Kelvin huyu ni baba yake usitukatishiye movie yetu please tuendelee hii movie na ile mschana wa kazi kelvin na mkewe mpaka kufukuzana akampenda msicha wa kazi ilienda sawa
Mnajitahidi sana hii kazi ni mzuri sana jitahidini zaidi iishe vizuri sio kikatidha tu km wengine wanavoharibu tana tamani kujua maisha ya kelvn kunambi na wengine wote maisha yao baada ya kesi kuisha
Movie ni nzuri nmeipenda But mm nilikua nashauri muwe mnatoa na hizo nyimbo za kwenye movie maan kama huu wa kwenye hii movie nmeupenda kwa kweli jmn All in all congrats 👏🏾 Donta Tv as my best channel 🎉🎉😘 love you all
NI series nzuri sana ina elimisha na kufundisha hongereni sana kwa kazi nzuri na bora, nazani mwisho wa series hii ni mwanzo wa serires bora sawa na hii ama kuzidi hii.....
ni nzuri sana, background music iko poa, kitu kibaya zaidi katika hii series ni kwamba inakaribia kuisha😂😂😂 but tuoneeni huruma jamani muwahi kutoa hata kila siku episode moja
Asanteni sana donta tv, kitu ambacho ningependa kushauli ni kuacha kutoa siliz nyingi na kujikita katika moja, kama ni kesho yangu, ama ilivyokua kijana masikini muuza maji, kuliko kufata nyingi mala bodaboda Malaya nk.
th-cam.com/video/a7h0JvtswiE/w-d-xo.html
watu tunataka ifike hata 100
Iendelee isiishie hapa ,n nzuri tumeipenda sana pokea maua yako kelvin🛍️🛍️
Usicheleweshe bro
Endeleeni isiishe haraka hivyo
Unachelewesha sana
Nikiwa wamwisho kutoka Malawi namimi naomba like hata 5
Like
Nikiona watu wame like kwa komenti yangu uwa na furahia sana plz naomba like hata mbili tu
Asanteni sana wana ndonta tv kazi nzuri sana🎉🎉
Tupo pamoja
Kelvin Khan kazi nzuri sana broo we ni mwandishi Bora Sana wa taamthilia endelea na usipunguze tupo pamoja Kama team donta alafu tumalizie series yetu pendwa ya la malkia wa majini
Nami naomba like zangu nipo Zambia munatufundisha sana
Mm nipo lusaka ww wp
Leo nimechelewa kidogo nimekuwa m2 wa 103 naomba like zenu
Kihande hapa jmn naomben like hata sita tu kilasiku mm wamwisho tu please
Me nawaomba msiwe mnatoa move Kila siku tofaut tofaut kwnz malizen Moja hlf ije nyngne ahsnteni sna,,,,mko vzr
Donta tv and tondo plus Hebu nipeni like hata 10 tu? Please. Japokuwa nime Chelewa lakini sio sana. Kaka kelvin waambiye mashabiki wanipe hata like 10 tu? Kaka 😂😂😂😂
Wanasema tutowe maoni nyinyi mnadayi like vip nyiye ok basi bado mwisho uyo Jemsy auliwe na yule aliua Nasra ❤❤❤yule naye akamatwe anyongwe Bro ❤❤ much love ❤❤❤❤❤❤ Burundi
Pole sana Mr nyuki mana kwasasa unapitia kipindi kigumu dadako Vick amekua mkatili Kelvin naye ndohivyo😢 ila usikate tamaa hilo tunalo jifunza nawapenda Bure kutoka Kenya 🇰🇪 ❤❤
Nyuki jipe moyo kelvin atatoka tu
Pole sana kaka nyuki
Safi sana dogo, endeleeni kutupa burudani murua
Basi mwenzenu kila siku nachelew ilov you donta tivi nawapenda woteee❤❤❤❤ naombeni like ata 20
Wa Kwanza naombeni like zangu jmn 🤣
Tunaitaji movie kali sana kuliko iyi❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah shukurani sana washilika mungu abaliki kazi zenu
Japo nmepata waliowahi ila cjalechelewa jamani mnaomkubali Kelvin muache likesa jamani
Nawashaur endeleen kutoa mivi kama hii nimeipenda ni nzuri sana pia inafundisha
Watching from Kenya likes basi
Leo wa kwanza kutota upande wa Kenya,,,wapenzi wa Viki wapi like
It's very interesting kelvin and you team ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Napenda hihishe walete nzuri zaidi ya hii
Napenda sana kuwa mwigizaji hila naweza kuigiza mpole maana mimi pia nimpole
Jamani toweni vipande viwili viwili mm kimoja hakinitoshi piya msicheleweshe sana
🎉🎉🎉🎉oyooooooo wangapi walikua wasubir kwa hamu hii episodes 30
Wa kuma
Iendelee tu mpaka kisimame kiama tamu sana kesho yangu😂😂
Nimechelewa naombeni like
Wakwanza mm jamani like 10 zatosha🇿🇲🇿🇲🇿🇲 pia mm niombe msiwe mnatoa tamthilia kila wakati tutawachoka mapema utakuta leo kuna hii kesho nyingine keshokutwa pia mpaka inakera wapendwa 💞💞💞
Kama huna bando acha movie itoke kaa kimya kama huna la kuzungumza mnakaa mnaomba like kama vile za kula
@@user-yw6ir4bg3lni ushauri wake tu ndugu mbn sio kitu kibaya hiko
😅😅😅😅muelewe@@user-yw6ir4bg3l
Nikweli kabisa Kama Hana bando atulie asitukere sisi nkuunga mkono wewe mwenzangu tuko pamoja mwaya Kelvin endeleen kutupa burudan ninawapenda San zaid yasan my love❤❤❤
Nyuki nakupenda San pamoja na Neli mnaongea point san
Mm naifrahia hii movie ni nzur sana ata msipo nipa like zenu
Kazi zuri sana daah aisee inamafunzo kibao
Hii move ni moto mno me binafc sitaman iishe ina mafunzo saana ndan yake 🔥🔥💯🙏
Mm wamwisho kabisaa sitajii ataa like ya mtuuuu
Mimi nahitaji like hata 20 ndugu zangu, kwa upande wangu mnajitahidi sana lakini yani story huwa mnavyo toa huwa zinaendana jitahidini sana kuweka story tofauti tofauti,
Asanteni kwa kesho yangu nampenda Kelvin ❤️🥰🥰🥳😊
Awo waliyo shiliki.mauwaji wakamatwe.kunambi atolewe ili ajionee.naajuwe maisha yapoje.alafu na ombeni sapot.yenu ma broo
Nakupenda sana kelkvin ukukosea kumchagua baba police jaman ana jua adi ana jua tena ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani na mìmi naombeni like ata 5 from tanzania 🍊
Leo. Mm wa mwisho naomben like zang🎉🎉
Kazi nzuri team Kelvin aki munatupa mafunzo mazuri🎉🎉🎉
Mko vizuli ila ombi langu ni 1 kwani mnapo toa tamthilia Kila wakati love hii kesho nyingine mnatuvuluga mfano hii ya kesho yangu mngeifanya ikaisha ndipo muanzishe nyingine
Niombi tuu brooo kama inawezekana ❤️❤️❤️❤️💥💥🇦🇼🇦🇼🇦🇼
Nzuri sana mm kiukweli nimempenda sana nyuki kwa moyo wake wa upendo wa dhat jp sio ndugu yake wa damu.
Hongereni sana kwakazi nzuri mnatoa ujumbe mzuri sana katika jamii mungu awasimamie katika kazi zenu
Kesho yangu naona iko sawa kabisa Kelvin mungu akutie nguvu nyingi sana uedelee hivo hivo you always make my day hata kaa nimekasilika sana lakini nafurai tu juu yenu na wapenda saana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Thee whole of that movie it's awesome bro continue thee same
Iyo iyendeleee kwakua Ina mafundisho mengi Sana arafu waongezeke waigizaji ambao ni smart Sana wasiwe wachafuu
Wa kwanza like zangu apa please team Kelvin nawapenda wote 🇰🇪🇸🇦😘♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ team strong hoyeeeeeeeeee mko wapi wenzangu ♥️♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥like please
Tupo apo ucjali
Tupo🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇰🇪
Mimi binafsi mumenikosha kabisa kupitia thamsilia iyi imenikosha kabisa félicitations vraiment
Yakwangu nawa pongeza sana nikiwa muimbaji wa nyimbo za kumwabudu Mungu nawatakiya maisha marufu ila izi shauri zote zisiwe kwetu tu binafsi ata kwenu piya ziwafunze
Nataka iyi njimbo ya natafuta nataka kwenda kwa mama jamani Kevin tiya azo Ku tiktok tufahe chalenge ❤
Kwakweli mumenifundisha sana
Much love from Nairobi 🇰🇪
Afande kisinja anapenda hela sana hii story amenyamazia tu cha muhimu pesa tu ili hali anajua muhusika wa haya maradhi
Jitaid mpak epsd 100 angalau maan movie yenyewe kali kinoma
Ingawa kwa kuchelewa ila ntachangia maoni yangu
Ushauri wangu ni huu kwenu donta fanyeni mpango mmalize kwanza kesho yangu ndipo mtoe vibao vipyaa
Tunashukuruni sana tunawafollow toka GomaKongo
Muvi ipo vzr sana napenda kazi yako kevi lop uh
Imeenda vizuri ila huku mwishoni tu mmeanza kuongeza watu kuweni makini msiaribu
Kelvin huyu ni baba yake usitukatishiye movie yetu please tuendelee hii movie na ile mschana wa kazi kelvin na mkewe mpaka kufukuzana akampenda msicha wa kazi ilienda sawa
Kazi mzuri sana hamuna baya donta tv ila tunaomb ikisha t iwep nyengin ikisha munakaa sku nyingi hamutumi munaboa
Napenda kuwakumbusha2 wakuu kuweni chap kutoa vipande🎉
Mnajitahidi sana hii kazi ni mzuri sana jitahidini zaidi iishe vizuri sio kikatidha tu km wengine wanavoharibu tana tamani kujua maisha ya kelvn kunambi na wengine wote maisha yao baada ya kesi kuisha
Ila episode inakua fupi sana kaka kelvin na mr nyukiiii plz iwe ndefu kidogooo
Asante sana serie yetu imetufundisha sana
Mnajua kweli kuigiza mungu awabariki muendelee kutoa na vitu vingine vikali 🤜
Pole sana kaka nyuki kwa mtihani mungu atawasaidia mtavuka na kaka Kelvin pole sana kwa mtihani
Movie ni nzuri nmeipenda
But mm nilikua nashauri muwe mnatoa na hizo nyimbo za kwenye movie maan kama huu wa kwenye hii movie nmeupenda kwa kweli jmn
All in all congrats 👏🏾 Donta Tv as my best channel 🎉🎉😘 love you all
Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂😂
NAWAPENDA KWA AJILI YA ALLAH WANA DONTA TV 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mbona move zinakawia kutoka na mnazimalizia mahali patamu
Love you much from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤
Ila nimejikuta naumia ett kisa kunambi kuwa na roho mbaya sana na kelvin kutaka kumsaidia na bado akawa anamkandamiza nmejikuta naumia mm😢😢
Kazi mzuri mnooo
Nikwer jamani mue mnatoa silizi moja ikisha isha ndo mnatoa nyingine situpo mashabiki zenu tuna waunga mkono
NI series nzuri sana ina elimisha na kufundisha hongereni sana kwa kazi nzuri na bora, nazani mwisho wa series hii ni mwanzo wa serires bora sawa na hii ama kuzidi hii.....
Nimewahi Leo ebu nipeni like ata Tisa tuh
Zimezidiiiii
Kwaza mm nazipenda sana movie za kelvin naomba mtoe kubwa lenye mda wa lisaa lizima
Mmetisha Sana donta TV nawapenda Sanaa woteee ila nimesikitika Sana Kev kaenda sero daah 😭😥😥
Tuseme mnalalaga umu jmn😂😂😂❤
Mpelelezi,James na kijana wake kwisha hbr yao,mpelelezi mwnyw anapeleka ushahidi kuwa wao ndo wanahucka
Jaman iendelee nzuri san na inafundisha kwer
Jameni mnakera sana badala ya mchangie kipindi ,mnaomba likes?ni za nn jameni,jangieni kipindi😮😮😮
Tatizo mnachelewa sana hadi tunaanza kuisahau❤❤
Mimi wakwanza gonga lake 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Good job donta tv ,ikiisha hii tupieni nyingine kali zaidi ya hii
Kila siku unasema ayo ayo afu mwisho unazidi kua mwisho mnazingua
Munachozingua nyinyi munatoa move ovyo pasipo na mpangilio ivo tu ila kazi nzuriiiiiiiiiii
Hizo lk huwa mnazitaka za nin acheni ushamba angalien muv bhana
Endelezeni isiishe Jaman nimeipenda sanaaaa
Nzuri ila fupi ❤❤ nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤🎉. From Kenya
Hakika kazi nzuri mafundisho yanaendelea kujenga sisi kama jamaa asanten kwa kuendeleqa kutufundisha Mung azid kuwap ubunifu siku hadi siku Good Job.
ni nzuri sana, background music iko poa, kitu kibaya zaidi katika hii series ni kwamba inakaribia kuisha😂😂😂 but tuoneeni huruma jamani muwahi kutoa hata kila siku episode moja
Nmeikubali story yako jmnnnn hongera sana donta❤️🫷
Hongereni kazi nzuri mno shabiki wenu iringa tz
Bad endelea na nayo kwanza make bd inaend vzuli kingne zingatia hvy hvyo unatoa movie kal san
Ebu zidisha juhudi zenu pia musicheleweshe kutoa muendelezo
Mze Una baya kabisa Yani umecheza VIZURI sana hapo
Sasa Vicky kipenz tatizo n nin cjapenda hiyo tabia hapo hujaonyesha msaada wowote 😂😂😂😂😂😂 chenga sana weew ukinuna ndo utamtoa kelvin rumande
Mbn kama mapema saw kiukwel ni nzuri san nataman isi ishe
Asanteni sana donta tv, kitu ambacho ningependa kushauli ni kuacha kutoa siliz nyingi na kujikita katika moja, kama ni kesho yangu, ama ilivyokua kijana masikini muuza maji, kuliko kufata nyingi mala bodaboda Malaya nk.
Huyu James akamatwe Kelvin aachiliwe huku seli nikubaya sana alafu ni kama Kelvin atakumbushwa tena kipigo cha James na ukatili wake
Jamani kelvin yupo Jala hausiki na kitu chochote