NILIONDOKA YANGA KWASABABU WALISHINDWA KUTIMIZA MKATABA| SIKUONDOKA SIKU YA MECHI KAMA WANAVYOSEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 เม.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 26

  • @mathewmponejas3536
    @mathewmponejas3536 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni tabia yako tu kuwa unakimbia so umechagua mfumo huo wa maisha kwenye kipaji chako

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna mchezaji humo, huyo ni maisha yake ya kawaida kuondoka bila kurusiwa, ni kwakuwa anajiona mchezaji mzuri. Ila kiukweli huyo hafai hata kucheza tim za daraja la 2. Bahati mbaya sana ni kiongozi wa kuwashawish wachezaji wasuse au wavunje sheria.

  • @godfreypetermasana-kb8xy
    @godfreypetermasana-kb8xy หลายเดือนก่อน +1

    Uyu hafai popote.
    Haifai kutoa haya kwa uwazi namna hii

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn หลายเดือนก่อน +1

    Baba levo mrekebishe jamaa Yako huwec kuondoka kwa ruksa ya mdomo bila barua huu ni uhuni kabisa

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 หลายเดือนก่อน

    Nimependa boss levo kuongea baada tu ya kuandika ujumbe

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaaa namkumbuka sana yanga yabakuri alitukimbia wa chezaji wa zamani walimchangia waki mwambia atulie llakini aliondoka tamaaa sana huyoo arudi simba

  • @anzelohaule
    @anzelohaule หลายเดือนก่อน

    Wewe hufai

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 หลายเดือนก่อน +1

    Uyoo akija yanga Mimi nahamia mashujaa

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 หลายเดือนก่อน

    Tamaaa mbaya mjinga wewe.

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 หลายเดือนก่อน

    Uko kimaslahi zaidi, jaribu kuwa mvumilivu, hata sisi kuna muda hatulipwi kwa wakat tunavumilia na mwisho tunalipwa

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k หลายเดือนก่อน

    Huyu hatufai tena kwetu Yanga.Alishindwa kutufaa kipindi tuna dhiki.Maana akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli.

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa alitusaliti kwenye hali mbaya SANA
    Kama ningeweza na nikiwa kama mwanachama hai mwenye KADI ya YANGA,,nisiingekubali kumrejesha JANGWANI kabisa...HAFAI BHANA

  • @user-vh9wt8zh4n
    @user-vh9wt8zh4n หลายเดือนก่อน

    Machi ya Simba ruhusa na mechi ya yanga ruhusa unazingua Kila mtu anakushangaa

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 หลายเดือนก่อน

    Ndo tatizo letu bongo ujinga mwingi saana kuuza mechi sana Ili baadhi ya timu zibebe ubingwa

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 หลายเดือนก่อน

    Baba levo ongea na huyu muhaho

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 pumbavu kweli hajui kunakesho

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 หลายเดือนก่อน

    Huyo kipa hajielewi

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 หลายเดือนก่อน

    Mmhhmm......hajitambui huyu.....!

  • @andrewmbilinyi4437
    @andrewmbilinyi4437 หลายเดือนก่อน

    alipisha na gari la mshahara huyo. Yanga HATUNA nafasi yake

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa --- Yanga hatumtaki,hata kama atakuwa tayari kucheza bure --- viongozi wa Yanga,mkimsajili huyo,members na Fan's wote " Tutaandamana kuupinga huo usajili "

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti หลายเดือนก่อน

    Huyu hata Bure hatumtaki,Bora Niache kulipia kadi yangu ya Uanachama.Huyu jamaa alituacha wakati mbaya sana,tamaa zikamponza akakimbilia Simba😏😏,Hafai kuja Yanga hata bure

    • @user-nm1jh3dy9n
      @user-nm1jh3dy9n หลายเดือนก่อน

      Maslah jmn mbn metacha alitukan tumempokea nyie vp

  • @haroubmwenesi7169
    @haroubmwenesi7169 หลายเดือนก่อน

    hapa hakuna mchezaji hata kuongea ajuhi pumba tupu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l หลายเดือนก่อน

    Hana maana HUYU ni feki sana.

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 หลายเดือนก่อน

    Huyo kijana nidhamu yake ni ndogo.