NILIONDOKA YANGA KWASABABU WALISHINDWA KUTIMIZA MKATABA| SIKUONDOKA SIKU YA MECHI KAMA WANAVYOSEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 26

  • @Graceyust
    @Graceyust 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo ni tabia yako tu kuwa unakimbia so umechagua mfumo huo wa maisha kwenye kipaji chako

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna mchezaji humo, huyo ni maisha yake ya kawaida kuondoka bila kurusiwa, ni kwakuwa anajiona mchezaji mzuri. Ila kiukweli huyo hafai hata kucheza tim za daraja la 2. Bahati mbaya sana ni kiongozi wa kuwashawish wachezaji wasuse au wavunje sheria.

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baba levo mrekebishe jamaa Yako huwec kuondoka kwa ruksa ya mdomo bila barua huu ni uhuni kabisa

  • @godfreypetermasana-kb8xy
    @godfreypetermasana-kb8xy 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu hafai popote.
    Haifai kutoa haya kwa uwazi namna hii

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa alitusaliti kwenye hali mbaya SANA
    Kama ningeweza na nikiwa kama mwanachama hai mwenye KADI ya YANGA,,nisiingekubali kumrejesha JANGWANI kabisa...HAFAI BHANA

  • @anzelohaule
    @anzelohaule 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe hufai

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 5 หลายเดือนก่อน

    Nimependa boss levo kuongea baada tu ya kuandika ujumbe

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uyoo akija yanga Mimi nahamia mashujaa

    • @IssaKigwanya
      @IssaKigwanya 4 หลายเดือนก่อน

      Sio simba

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaaa namkumbuka sana yanga yabakuri alitukimbia wa chezaji wa zamani walimchangia waki mwambia atulie llakini aliondoka tamaaa sana huyoo arudi simba

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 4 หลายเดือนก่อน

    Uko kimaslahi zaidi, jaribu kuwa mvumilivu, hata sisi kuna muda hatulipwi kwa wakat tunavumilia na mwisho tunalipwa

  • @MeshackMayenga
    @MeshackMayenga 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu hatufai tena kwetu Yanga.Alishindwa kutufaa kipindi tuna dhiki.Maana akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli.

  • @AlphonceMbassah
    @AlphonceMbassah 4 หลายเดือนก่อน

    Machi ya Simba ruhusa na mechi ya yanga ruhusa unazingua Kila mtu anakushangaa

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 4 หลายเดือนก่อน

    Tamaaa mbaya mjinga wewe.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 หลายเดือนก่อน

    Ndo tatizo letu bongo ujinga mwingi saana kuuza mechi sana Ili baadhi ya timu zibebe ubingwa

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 4 หลายเดือนก่อน

    Mmhhmm......hajitambui huyu.....!

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo kipa hajielewi

  • @chensigns6748
    @chensigns6748 5 หลายเดือนก่อน

    Baba levo ongea na huyu muhaho

  • @andrewmbilinyi4437
    @andrewmbilinyi4437 5 หลายเดือนก่อน

    alipisha na gari la mshahara huyo. Yanga HATUNA nafasi yake

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa --- Yanga hatumtaki,hata kama atakuwa tayari kucheza bure --- viongozi wa Yanga,mkimsajili huyo,members na Fan's wote " Tutaandamana kuupinga huo usajili "

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 pumbavu kweli hajui kunakesho

  • @haroubmwenesi7169
    @haroubmwenesi7169 4 หลายเดือนก่อน

    hapa hakuna mchezaji hata kuongea ajuhi pumba tupu

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu hata Bure hatumtaki,Bora Niache kulipia kadi yangu ya Uanachama.Huyu jamaa alituacha wakati mbaya sana,tamaa zikamponza akakimbilia Simba😏😏,Hafai kuja Yanga hata bure

    • @GodlistenSamwel-r8p
      @GodlistenSamwel-r8p 4 หลายเดือนก่อน

      Maslah jmn mbn metacha alitukan tumempokea nyie vp

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 5 หลายเดือนก่อน

    Hana maana HUYU ni feki sana.

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo kijana nidhamu yake ni ndogo.