MAKONDA AFANYA UKAGUZI WA JENGO LA HOSPITAL YA WLAYA KARATU NA KUSIKILIZA KERO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 31

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 24 วันที่ผ่านมา +8

    Kama vile Arusha Haikuwahi Kujulikana sana kama sasa!😂😂MAKONDA WA Waaa waaaaah!❤

  • @jacksonvalerian
    @jacksonvalerian 16 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda mungu akupe nguvu unapiga kazi sana

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 24 วันที่ผ่านมา +3

    Wakuu wa mikoa wote igeni mfano huu jamani kwa makonda msaidieni Rais Samia kazi mengine hayajui nyinyi viongozi Ndiy wa kumsaidia Rais Samia. Hongera sana Mh Makonda kazi nzuri Mungu akusimamie

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 21 วันที่ผ่านมา

    Duh..! Makonda Barikiwa sana

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 23 วันที่ผ่านมา +1

    Hii arusha nilikua nasikia kwa waty kuwawa tu Lakini sasa mashall ah ❤❤❤❤

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 23 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda kazi nzuri

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mama Samia laisi wetu mungu alikuongoza kumuona makonda asante

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 21 วันที่ผ่านมา

      Kwa nnavyo wajua Wanasiasa Basi watamfiini MAKONDA hadi basi

  • @AgathaSahani
    @AgathaSahani 24 วันที่ผ่านมา +2

    Ngoja niende mazingira bora nikamsikilize my brother ......

  • @alexpuwale9653
    @alexpuwale9653 23 วันที่ผ่านมา +2

    Hii Nchi ina madudu mengi sana,ubinadamu umeisha sana,sijui kwanin watu tumekuwa katili sana Mpaka viongozi wafike wafike hivi ni nini???

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 24 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa matatizo na kero kama hizi kweli watu weusi tunamatatizo sana sasa mtu ukija saa moja kumuona mgonjwa shida iko wapi? Mambo mengine hayana mashiko kabisa

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 22 วันที่ผ่านมา

    Bro kazi ya kupeana chakula ni kwa nasi.

  • @eliudgathuthi8601
    @eliudgathuthi8601 23 วันที่ผ่านมา +1

    Shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe, maneno ya mwenda zake raise Moi. Yaani mwafrika mwenzako amesomeshwa na kodi unayolipa anakuwa daktari halafu anakuwa ndiyo anakuwa shinda kwa wanaichi. Roho ya utu ulienda wapi

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 24 วันที่ผ่านมา +2

    Haipendezi madaktari kuwa hivyo ni aibu sana

  • @juliasmolellmolell4815
    @juliasmolellmolell4815 23 วันที่ผ่านมา +2

    Arusha bana hospital hamunaga dawa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mike zenu muwe mnaweka karibu na Makonda tumsikie vizuri ndo tunataka kumsikia

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 22 วันที่ผ่านมา

    Safi makonda

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 23 วันที่ผ่านมา +1

    Dawa mahospitalini hakuna.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 23 วันที่ผ่านมา

    Ijengwe hospitali nyingine Endabash au karibu

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 23 วันที่ผ่านมา

    Kazi ya kulisha wagonjwa ni ya wauguzi ndugu wanachangua kuleta chakula. Iwapo ndugu wamechelewa, muuguzi anasimama badala yake

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 22 วันที่ผ่านมา

    HONGERA, SS MASIKINI DAWA TUNANUNUA INCHI ZIMA

  • @theresiacostantine132
    @theresiacostantine132 17 วันที่ผ่านมา

    Hakika rais wa Arusha fanya kazi mioyo ya watu itulie

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 22 วันที่ผ่านมา

    Umeme unaakosaje ?

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 23 วันที่ผ่านมา

    Camera zimuoneshe makonda tu 😂😂😂😂

  • @JoramJoseph-im6qb
    @JoramJoseph-im6qb 22 วันที่ผ่านมา

    Tunahitaji rais kama makonda

  • @sangaweoswald6258
    @sangaweoswald6258 24 วันที่ผ่านมา

    KAZI YA DAKITARI ISIINGILIWE KABISA

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 23 วันที่ผ่านมา

      🙄🙄🤔🤔🤔

    • @abdulshabani6663
      @abdulshabani6663 23 วันที่ผ่านมา +1

      Makonda kipi kaingilia hapo? Yeye amesikiliza kero na ametoa ushauri wewe ndio hujui kitu kabisaaa kaa kimya

    • @FunnyHikingWaterfall-wv7dc
      @FunnyHikingWaterfall-wv7dc 23 วันที่ผ่านมา

      Kwanini asingilie