MAKONDA AFANYA UKAGUZI WA JENGO LA HOSPITAL YA WLAYA KARATU NA KUSIKILIZA KERO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 พ.ค. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kama vile Arusha Haikuwahi Kujulikana sana kama sasa!😂😂MAKONDA WA Waaa waaaaah!❤
Makonda mungu akupe nguvu unapiga kazi sana
Wakuu wa mikoa wote igeni mfano huu jamani kwa makonda msaidieni Rais Samia kazi mengine hayajui nyinyi viongozi Ndiy wa kumsaidia Rais Samia. Hongera sana Mh Makonda kazi nzuri Mungu akusimamie
Duh..! Makonda Barikiwa sana
Hii arusha nilikua nasikia kwa waty kuwawa tu Lakini sasa mashall ah ❤❤❤❤
Makonda kazi nzuri
Mama Samia laisi wetu mungu alikuongoza kumuona makonda asante
Kwa nnavyo wajua Wanasiasa Basi watamfiini MAKONDA hadi basi
Ngoja niende mazingira bora nikamsikilize my brother ......
Kweli makonda hama ulaya ya simanjiro
Hii Nchi ina madudu mengi sana,ubinadamu umeisha sana,sijui kwanin watu tumekuwa katili sana Mpaka viongozi wafike wafike hivi ni nini???
Kwa matatizo na kero kama hizi kweli watu weusi tunamatatizo sana sasa mtu ukija saa moja kumuona mgonjwa shida iko wapi? Mambo mengine hayana mashiko kabisa
Bro kazi ya kupeana chakula ni kwa nasi.
Shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe, maneno ya mwenda zake raise Moi. Yaani mwafrika mwenzako amesomeshwa na kodi unayolipa anakuwa daktari halafu anakuwa ndiyo anakuwa shinda kwa wanaichi. Roho ya utu ulienda wapi
Haipendezi madaktari kuwa hivyo ni aibu sana
Arusha bana hospital hamunaga dawa
Mike zenu muwe mnaweka karibu na Makonda tumsikie vizuri ndo tunataka kumsikia
Safi makonda
Dawa mahospitalini hakuna.
Ijengwe hospitali nyingine Endabash au karibu
Kazi ya kulisha wagonjwa ni ya wauguzi ndugu wanachangua kuleta chakula. Iwapo ndugu wamechelewa, muuguzi anasimama badala yake
HONGERA, SS MASIKINI DAWA TUNANUNUA INCHI ZIMA
Hakika rais wa Arusha fanya kazi mioyo ya watu itulie
Umeme unaakosaje ?
Camera zimuoneshe makonda tu 😂😂😂😂
😄😄
Tunahitaji rais kama makonda
KAZI YA DAKITARI ISIINGILIWE KABISA
🙄🙄🤔🤔🤔
Makonda kipi kaingilia hapo? Yeye amesikiliza kero na ametoa ushauri wewe ndio hujui kitu kabisaaa kaa kimya
Kwanini asingilie