KESHO YANGU PART 33 | Final Episode 💞 Love Story

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2024
  • #keshoyangu #episode33 #finalepisode
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  16 วันที่ผ่านมา +568

    Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️

    • @rodgersmwagu239
      @rodgersmwagu239 16 วันที่ผ่านมา +12

      Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise

    • @josurenjoyo6371
      @josurenjoyo6371 16 วันที่ผ่านมา +2

      🙌🙌

    • @user-pj4ii7wx7f
      @user-pj4ii7wx7f 16 วันที่ผ่านมา +5

      Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏

    • @aminaabdalla-uo9zq
      @aminaabdalla-uo9zq 16 วันที่ผ่านมา +4

      Penda bure

    • @rodgersmwagu239
      @rodgersmwagu239 16 วันที่ผ่านมา +3

      Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda

  • @hassanmoh6601
    @hassanmoh6601 16 วันที่ผ่านมา +347

    Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 16 วันที่ผ่านมา +161

    Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 16 วันที่ผ่านมา +67

    Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏

  • @tha_lyrics01
    @tha_lyrics01 16 วันที่ผ่านมา +109

    Finally part yenye tumewait Sana
    Alf pia mm mnipe likes zangu🙏

  • @IssaJaphe
    @IssaJaphe 16 วันที่ผ่านมา +80

    Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV

    • @OzanaMtwangi
      @OzanaMtwangi 15 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @JohnMwiguru
      @JohnMwiguru 13 วันที่ผ่านมา

      ❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v 16 วันที่ผ่านมา +69

    Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣

  • @KhamisiMumbo
    @KhamisiMumbo 16 วันที่ผ่านมา +25

    Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa

    • @MwanaiddMasoud-qk4hb
      @MwanaiddMasoud-qk4hb 16 วันที่ผ่านมา

      Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin

  • @user-zg7yv2bm6z
    @user-zg7yv2bm6z 16 วันที่ผ่านมา +20

    Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa

  • @MartinEmmanuel-eh7fu
    @MartinEmmanuel-eh7fu 16 วันที่ผ่านมา +35

    Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Kailasjr178
    @Kailasjr178 16 วันที่ผ่านมา +21

    😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊

  • @mobastian5050
    @mobastian5050 16 วันที่ผ่านมา +22

    Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee TH-cam bhana❤❤🎉

  • @user-cl8lf1qb6v
    @user-cl8lf1qb6v 16 วันที่ผ่านมา +20

    Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v 16 วันที่ผ่านมา +23

    Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq 16 วันที่ผ่านมา +26

    Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @FemiahJamesMbewepiston
    @FemiahJamesMbewepiston 16 วันที่ผ่านมา +26

    Wakwanza mm like zangu

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 16 วันที่ผ่านมา +21

    Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame

    • @MwanaiddMasoud-qk4hb
      @MwanaiddMasoud-qk4hb 16 วันที่ผ่านมา

      Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa

    • @user-xq7fy2pp3y
      @user-xq7fy2pp3y 14 วันที่ผ่านมา

      Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri

  • @FatmakhamisHamad-pj6bm
    @FatmakhamisHamad-pj6bm 16 วันที่ผ่านมา +19

    Wa kwanz Leo kuangalia

  • @user-lk1dc7pf5v
    @user-lk1dc7pf5v 16 วันที่ผ่านมา +36

    Like zangu jmn wakwanza

  • @user-yw4wv9wq7q
    @user-yw4wv9wq7q 16 วันที่ผ่านมา +12

    allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AllySaidy-tn4iu
    @AllySaidy-tn4iu 16 วันที่ผ่านมา +14

    Wakwanza movie mzuri sana

  • @PIERETV501
    @PIERETV501 16 วันที่ผ่านมา +3

    Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g 16 วันที่ผ่านมา +10

    Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉

  • @SelemaniAbdulMadjid
    @SelemaniAbdulMadjid 16 วันที่ผ่านมา +8

    Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri

  • @user-xy1qn6ib3f
    @user-xy1qn6ib3f 16 วันที่ผ่านมา +11

    Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚

  • @HappyCorgi-le5lp
    @HappyCorgi-le5lp 16 วันที่ผ่านมา +11

    Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 16 วันที่ผ่านมา +12

    Jamani jamani njooni kesho yangu imewasili njoooni tuzidi kujifunza kitu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @user-hm6hy6rr1h
      @user-hm6hy6rr1h 16 วันที่ผ่านมา

      Tumefik mway tumefurah tuangalie mwisho wak keshaingia chakike uyu bwan hhhhhh

    • @user-pq4rv4jm3j
      @user-pq4rv4jm3j 16 วันที่ผ่านมา

      Tumelejea 🎉

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 16 วันที่ผ่านมา

      Asanteni ❤

  • @josptsaruni-gi5tx
    @josptsaruni-gi5tx 16 วันที่ผ่านมา +10

    Am the first in kenya more likes🎉🎉

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 16 วันที่ผ่านมา +11

    Number one naomba like za final

  • @OmaryGandi
    @OmaryGandi 16 วันที่ผ่านมา +10

    Wakwanza jamani anzeni apa in 🇿🇦 😢😢😢😢

  • @user-te6qu3fx9z
    @user-te6qu3fx9z 16 วันที่ผ่านมา +4

    Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.

  • @stephenrobert7899
    @stephenrobert7899 16 วันที่ผ่านมา +10

    Wakwanza leo

  • @valentineonyoni9065
    @valentineonyoni9065 16 วันที่ผ่านมา +7

    40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘

  • @TeddyAmos-go9qq
    @TeddyAmos-go9qq 16 วันที่ผ่านมา +17

    Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale

  • @malickberry4563
    @malickberry4563 16 วันที่ผ่านมา +28

    Number 1 🔥

  • @MaulidAmri-zt2gv
    @MaulidAmri-zt2gv 16 วันที่ผ่านมา +7

    Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤

  • @Norah-dee
    @Norah-dee 16 วันที่ผ่านมา +23

    Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉

  • @Heiskmb
    @Heiskmb 16 วันที่ผ่านมา +8

    Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉

  • @user-po4jx2dl9x
    @user-po4jx2dl9x 16 วันที่ผ่านมา +5

    Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw 16 วันที่ผ่านมา +17

    Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂

  • @HamisErnest
    @HamisErnest 16 วันที่ผ่านมา +17

    Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e 16 วันที่ผ่านมา +9

    Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya

  • @vonpizzoychapuu6
    @vonpizzoychapuu6 16 วันที่ผ่านมา +2

    Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙

  • @user-ly5pg4ot1s
    @user-ly5pg4ot1s 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI

  • @KomboSaid-fz2ky
    @KomboSaid-fz2ky 16 วันที่ผ่านมา +19

    Team donta tugonge like

  • @Collokenya
    @Collokenya 16 วันที่ผ่านมา +5

    Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏

  • @puritynzilaniofficial
    @puritynzilaniofficial 16 วันที่ผ่านมา +18

    Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞

  • @mishikesi7882
    @mishikesi7882 16 วันที่ผ่านมา +13

    Am the first naomba like waugwana❤

  • @user-ok5qg1ig6x
    @user-ok5qg1ig6x 16 วันที่ผ่านมา +4

    Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-zc8bk5tu4i
    @user-zc8bk5tu4i 16 วันที่ผ่านมา +9

    😂😂wakwanzaaa kabisaaa

  • @user-pq4rv4jm3j
    @user-pq4rv4jm3j 16 วันที่ผ่านมา +2

    Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤

  • @user-ew5ur2nj4d
    @user-ew5ur2nj4d 16 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.

  • @TBrownMusic-uw2ut
    @TBrownMusic-uw2ut 16 วันที่ผ่านมา +14

    Donta family yang

  • @samsonlazaro2590
    @samsonlazaro2590 16 วันที่ผ่านมา +11

    Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii

  • @UkhtyShemsa
    @UkhtyShemsa 16 วันที่ผ่านมา +2

    Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤

  • @BeatriceMukakabanda
    @BeatriceMukakabanda 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha

  • @user-nn3mo1kg4q
    @user-nn3mo1kg4q 16 วันที่ผ่านมา +5

    Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤

  • @user-rl4ii9xj5n
    @user-rl4ii9xj5n 16 วันที่ผ่านมา +3

    Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤

  • @EsdrasKambale
    @EsdrasKambale 16 วันที่ผ่านมา +10

    Mi wakwanza,like zangu badii

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 16 วันที่ผ่านมา +2

    Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa

  • @SPORAJACKSONMWINUKA
    @SPORAJACKSONMWINUKA 16 วันที่ผ่านมา +10

    Wa kwaza jaman like

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 16 วันที่ผ่านมา +4

    Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪

  • @AmosMbiko
    @AmosMbiko 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-tx7je4wp9d
    @user-tx7je4wp9d 16 วันที่ผ่านมา +5

    Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 16 วันที่ผ่านมา +2

    Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @aymyalsadyaymyalsady884
    @aymyalsadyaymyalsady884 16 วันที่ผ่านมา +3

    Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂

  • @MahadMfiyome
    @MahadMfiyome 16 วันที่ผ่านมา +1

    Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾

  • @JustinBonaneharerimana-zg1td
    @JustinBonaneharerimana-zg1td 16 วันที่ผ่านมา +2

    nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 16 วันที่ผ่านมา +5

    Namkubali sana brother Nyuki❤❤

  • @avekikibombo6559
    @avekikibombo6559 16 วันที่ผ่านมา +3

    mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho

  • @MarkoLaandare
    @MarkoLaandare 16 วันที่ผ่านมา +6

    Wakwanza leo❤❤❤

  • @sikunzallah4843
    @sikunzallah4843 16 วันที่ผ่านมา +3

    Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne

  • @user-zc8bk5tu4i
    @user-zc8bk5tu4i 16 วันที่ผ่านมา +7

    Nilitaman iendelee sana daah

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 16 วันที่ผ่านมา +7

    Much love from kenya 🇰🇪 ❤️

  • @user-td6tc4jo1h
    @user-td6tc4jo1h 16 วันที่ผ่านมา +2

    Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘

  • @sikujuakigwada3146
    @sikujuakigwada3146 16 วันที่ผ่านมา +2

    Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉

  • @user-gz1ke3tl8l
    @user-gz1ke3tl8l 16 วันที่ผ่านมา +5

    nilijua tuu ilivyochelewa n final

  • @godnhohenry7779
    @godnhohenry7779 16 วันที่ผ่านมา +8

    Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 16 วันที่ผ่านมา +2

    Yakwaza kabisa waja mm niwashukuru sana ogereni sana movie safi sana waaah nani aliogopa kaa mm nirifikilia kizeja atauliwa mle ndani lakini poa sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SmilingBreadLoaf-pi8sb
    @SmilingBreadLoaf-pi8sb 16 วันที่ผ่านมา +9

    Kz njema

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 16 วันที่ผ่านมา +3

    Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas

  • @EvelineMungele-sr5tw
    @EvelineMungele-sr5tw 16 วันที่ผ่านมา +10

    James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️

  • @methodnkundumukiza6367
    @methodnkundumukiza6367 16 วันที่ผ่านมา +2

    Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮

  • @MathewSupeet-nn1by
    @MathewSupeet-nn1by 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 16 วันที่ผ่านมา +4

    Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,

  • @user-dj3fz6bz7s
    @user-dj3fz6bz7s 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mmechelewesha sana bwana

  • @neemakarisa6117
    @neemakarisa6117 16 วันที่ผ่านมา +2

    Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤

  • @user-co5ed6xr5c
    @user-co5ed6xr5c 16 วันที่ผ่านมา +1

    Walioanza kesho yangu adi mwisho gonga like hapa tumejifunza kitu kikubwa sana congratulations 🎊 🎉🎉 Kelvin and your time ❤❤❤

  • @eliasisack7351
    @eliasisack7351 16 วันที่ผ่านมา +8

    Jamn wa pili like zangu ❤❤❤

  • @user-ox1rt3lc6e
    @user-ox1rt3lc6e 16 วันที่ผ่านมา +12

    Namba 28

    • @NdayisabaJeanClaude-mp8gg
      @NdayisabaJeanClaude-mp8gg 15 วันที่ผ่านมา

      Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m 5 วันที่ผ่านมา +1

    Much love from Kenya guys like back wapi like za Kevin na nyuki ❤❤❤❤ nimejifunza Sana ❤

  • @aminahissaa5551
    @aminahissaa5551 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii

  • @user-jv8xd6kg7z
    @user-jv8xd6kg7z 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mas força aí irmão kelvy gostou muito dos teus episódios

  • @BarakaChacha-xo7gw
    @BarakaChacha-xo7gw 16 วันที่ผ่านมา +4

    Bonge LA season km umeguswa gong 👍

  • @emiliapasco
    @emiliapasco 16 วันที่ผ่านมา +2

    nzuri sana wema ni akiba

  • @HalimaMasudi-kn1gf
    @HalimaMasudi-kn1gf 16 วันที่ผ่านมา +2

    Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya

  • @user-ml8id4po2n
    @user-ml8id4po2n 16 วันที่ผ่านมา +7

    Wakwanza leo wap like zangu 😅

  • @Yahyaali-dg8eu
    @Yahyaali-dg8eu 16 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤wa kwaza leo

  • @SHAURI_JR
    @SHAURI_JR 10 วันที่ผ่านมา +1

    Watubaada yaku jifunza kutoa ushauri kushukuru kwa darasa nzuri kazi nikuonba like😂 ziwapeleke wapi

  • @RehemaMataka-vf1oh
    @RehemaMataka-vf1oh 16 วันที่ผ่านมา +2

    Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤