ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Jamani tunaomba mtoe maoni yenu hapa ili tuweze kuyafanyia kazi katika series yetu hii ya #keshoyangu maoni yenu ni muhimu sana ❤🥰
Much love from saudi 😢😢😢😢
😢😢😢😢😢
Achia psd 11 kaka keven, dakika ndogo kuliko mala ya kwanza?❤
😢😢😢😢
Hongera laveness
haki kevin hanatoka hili hanaingia lingine😂😂😂😂.hamujakosea kabisa maisha yako hivo.kuwa mnatuongezea mda tafadhari❤❤❤❤❤.tunawapenda sana
Number 1 much love from BURUNDI 🇧🇮💪 gong likes 5 Guys Km unaipenda team Kelvin ❤
Asante kwake loveness. .kakuwa open...kwa Kelvin...umejenga wala hujabomoa....Asante Mungu...kiendacho kwa mganga hakirudi.....Mungu si Adhumani
Dada loveness perfect job thanks😅😅 I liked that part
Wanao mkubali Kelvin na team yake gonga like hapa tukisonga ❤❤❤ much love from kenya
Wakwanzaa leoo jomn from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲natazamaa
Lovenes umefanya kazi nzuli sana
Nini kilibadilisha lav mawazo 😂😂 namujuwa lAV vizuri 😂 asha anza kumupenda Kelvin,❤❤❤❤🎉
😂😂😂😂😂
😂😂😂eti ee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Very nice one araka mulete sehemu la 11 big up guys good 👌
Kaka kazi nzuri leta next episode
Kunambi acha roho mbaya achana na Kelvin🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Movi ni nzuri mnacheza kwa kutulia ila mda haujatulia kwa iyo mnaenda tofauti na mda jaribun kubalance!
E inanifurahicha ira unacerewa kudupatiya❤🇧🇮🇧🇮
Wakwanj jama 🇧🇮naomba like zenu
Burundi juu❤❤
Juuuuu🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪💪
Juuuuu zaïdi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Uandishi mzuri. Story kali. Aidia pia nayo ni nzuri.
Nmechelewa wa Bali Kenya 💖💓❤️
La vie est un combat. Courage Kelvin 🇨🇩
Kaka Kaz nzuri sana sana na Ina mafunzoni ila changamoto Moja ni kwamba mnachelewesha sana episode
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Hakika mnatuelimisha vijana kazi yenu ni Nzuri Sana. Mnatuamsha Vijana 👏👏👏👏👏
Hongera loveness ubarikiwe milele kwa kutofanya kulingana na maagizo ya kunambi
Nakubali kazi zenu nnzuri🎉🎉🎉
Much love from mombasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mnajua sana ila naomba muwe mnawai kutoa series mapema
Kazi nzuri sana kaza uhusika mna uvaa vzr so ongezeni ubunifu👍
Mko vizuri sana mimi binafsi nawakubali sana
Muakikishe Kelvin na nasra wamefunga ndoa na kunambi afeli na akufe maskini tunawapenda saaana na muongeze dakika na mukuwe araka kutowa ma épisode
😁
Hongereni sana kwa kazi nzuri na kwa kutuelewa, Pamoja sana
Nimetokea kuielewa hii movie ❤
Ujawai feli ndugu🎉
Penda zan lavu
Oooh very nice for this series❤❤❤
Jaman nimekua wakwanza leo naombeni likes zang
Maoni yangu nikwamba mtuongeze mda Kwani mda ni mdogo saana ❤❤❤❤ nawapenda from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nawakubali sana 🎉
Napenda kazi ya lavness hongera🎉
Kevini kazizako nizuri sana smakevi unachelewa sana kaka 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉pamoja sana kazi nizuri
Mtu kaomba ushauli nyie mnaomba like daa😂😂 bongo nyoko
Maoni yetu ni video Kali sana iyi
Wooow amazing 🤩 mshsmkubuka legend wetu nyashniski kwa iyoh goma unamuibia nazra
Hii movi naipenda sana,I nafundisha uvumilivu katika changamoto za maisha
Nimependa sanaaa malaikaaa iyo nipoa mkitukumbuka nasi wakenya 🇰🇪🇰🇪
umetisha Baba❤
Bu🇧🇮 gonga like hapa
Naikubal San tunasubil next ep😊😊
Hapo sasa nazid kukipenda kazi zur kipenz unazidi kutuchanganya mashabiki zako
Hi wapendwa good sana yani nyiyi
Ssf San lov hongera
Gd work love
Asante love kwa msimamo.
Jamani mimi ni mukongomani wa kwanza tena nipeni like 100 tu
jmn hi muvie naipenda sana kweli tuletey yakufatiy bas✨💞💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Merci beaucoup mon frère Kevin pour cette bonne chose
Mubalikiwe kwa kazi zuri ❤❤❤🎉🎉🎉
Much love from zambia kucholo 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Wakwanza kukomet naomba like zangu ❤🎉😂
Mungu amsaidie kelvin wetu atoke salama
Nakupenda lavnes jaman 🎉🎉🎉🎉🎉
Mpaka kesho kalvin upo vizuri sana broh
Maoni yangu kwenu naomba vipande vuweviwili au vitatu maana nitamu mno👌👌😘
Nimeipenda sana hii series jamn ❤❤❤❤japo sipendelei lake❤
Kelvin kijana jasiri wapi likes naombeni mfike pale kwangu#kevoboy038
Mnafanya vzur sn nawakubali . Nyie endeleeni hvyhvy . Alf natak kuliza kelvin na lovenes nyie ni wapenzi
Kwangu mimi maoni yani ni kazi yenu ni nzuri hila mnaajia mbali sana 😢
Iyo couple ya Kelvin na nasra iko mwaaaaest 💋 much love from team hamam🎉
Jaman mimi huwa nakuwa wa mwisho tu naombeni hata like 5 tu
Good nice one job 🎉🎉🎉❤
Much love from Kenya ❤️❤️ we love you guys.
Tungejua kesho zetu wengine tusingeamka😢😢😢😢 pole Kelvin,, Na ukweli umueka mtu huru Mbn Nasra kumbe muongo tu
Asante sana Kelven unananipa madini yasiyo na mfano.
Lovenes naomba like hata 5 tuu
Oyooooo🎉 wakwanza mm tenaa❤❤❤❤❤❤ much love DONTA TV 🎉🎉🎉
Jmni nmekuwa wa Kati cjui ntapewa like 🙄🙄😔
Chuma kimerudi kwa hewa nakubali kelvin❤❤❤🎉🎉🎉
Mnatishaaa sanaa wazeee imenitoa tiktok hadi huku🎉🏹🌎
Mko vizuri mno❤❤❤
Ila nyie mnajua jaman dah haya yalishawah nikuta ila tofauti kidogo mnacheza maisha halisi kabisa
Oya hiyo kesho yangu nibonge sana hii movie
Duh Kelvin ndo anabakwa 😢😂😂😂😂
Kazi nzurii san🎉🎉
Much love from Kenya ❤❤❤
Welcome,,am coming from coming from Kenya too,,kuumbe wakenya tuko wengi kwa hii familia ya wana donta 😊😊
Tunaomkubali kelvin like apa
Jamniii mm nimezipenda kwakweli aloooooo your so talented
Kevin our hero ❤❤tunasoma mengi from you and your team 🎉😂
Bwana Julius nakukubali kwenye kuibuni tamthilia hiiHongera kutoka 🇰🇪
Fanya mwendelezo asee 1 walau hadi 15 tena mzigo uko powa sana
Wakwanza jaman like zangu naomba
Wa kwanza jmn naombeni like zangu
Daaah kelvin naaamini atafanikiwa tu
Kabisa
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻nawakubali kinoma
series iko mzuri na ina reflect ktk uhalisia thabiti wa maisha yetu yakila siku. Big up kelvin.(Ila kwa utani tuu sijamaanisha"KUNIAMBIA ANAROHO YA UKATILI SANA")
Usiniambie kelvin unaota😅 next
Kelvin kimemramba tena, hakujua anachocheza nacho/😂❤❤❤❤
Nakubli kaz mungu awatangule ktk kaz yen
Tunakpnda Sana kelvin na KAZI yako ni nzur sanaaa jitahid kutoa kila siku bas Kaz ispoeee I love you donta tv
Mmmmmh jamani Kelvin pole Sana 😭😭😭😭 from 🇧🇮 nawapenda Sana
Naipenda kesho yang inanifuza kwl
Jameni kelvin mtoto WA watu ...ameingie kwenyee shinda kubwaa Sana 😢
Wanadonta tv toen movie nyingne km ile ya penzi la dada wa kaz na msichana wa kaz
Nawapenda wapendwa ndugu zangu na dada zangu.hongela kwa Nasra kwa ufundi wake wa kufunza watu kua na roho nzuro
Jamani tunaomba mtoe maoni yenu hapa ili tuweze kuyafanyia kazi katika series yetu hii ya #keshoyangu maoni yenu ni muhimu sana ❤🥰
Much love from saudi 😢😢😢😢
😢😢😢😢😢
Achia psd 11 kaka keven, dakika ndogo kuliko mala ya kwanza?❤
😢😢😢😢
Hongera laveness
haki kevin hanatoka hili hanaingia lingine😂😂😂😂.hamujakosea kabisa maisha yako hivo.kuwa mnatuongezea mda tafadhari❤❤❤❤❤.tunawapenda sana
Number 1 much love from BURUNDI 🇧🇮💪 gong likes 5 Guys Km unaipenda team Kelvin ❤
Asante kwake loveness. .kakuwa open...kwa Kelvin...umejenga wala hujabomoa....Asante Mungu...kiendacho kwa mganga hakirudi.....Mungu si Adhumani
Dada loveness perfect job thanks😅😅 I liked that part
Wanao mkubali Kelvin na team yake gonga like hapa tukisonga ❤❤❤ much love from kenya
Wakwanzaa leoo jomn from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲natazamaa
Lovenes umefanya kazi nzuli sana
Nini kilibadilisha lav mawazo 😂😂 namujuwa lAV vizuri 😂 asha anza kumupenda Kelvin,❤❤❤❤🎉
😂😂😂😂😂
😂😂😂eti ee
😂😂😂😂😂😂😂😂
Very nice one araka mulete sehemu la 11 big up guys good 👌
Kaka kazi nzuri leta next episode
Kunambi acha roho mbaya achana na Kelvin🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Movi ni nzuri mnacheza kwa kutulia ila mda haujatulia kwa iyo mnaenda tofauti na mda jaribun kubalance!
E inanifurahicha ira unacerewa kudupatiya❤🇧🇮🇧🇮
Wakwanj jama 🇧🇮naomba like zenu
Burundi juu❤❤
Juuuuu🇧🇮🇧🇮💪💪💪💪💪💪
Juuuuu zaïdi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Uandishi mzuri. Story kali. Aidia pia nayo ni nzuri.
Nmechelewa wa Bali Kenya 💖💓❤️
La vie est un combat. Courage Kelvin 🇨🇩
Kaka Kaz nzuri sana sana na Ina mafunzoni ila changamoto Moja ni kwamba mnachelewesha sana episode
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Hakika mnatuelimisha vijana kazi yenu ni Nzuri Sana. Mnatuamsha Vijana 👏👏👏👏👏
Hongera loveness ubarikiwe milele kwa kutofanya kulingana na maagizo ya kunambi
Nakubali kazi zenu nnzuri🎉🎉🎉
Much love from mombasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mnajua sana ila naomba muwe mnawai kutoa series mapema
Kazi nzuri sana kaza uhusika mna uvaa vzr so ongezeni ubunifu👍
Mko vizuri sana mimi binafsi nawakubali sana
Muakikishe Kelvin na nasra wamefunga ndoa na kunambi afeli na akufe maskini tunawapenda saaana na muongeze dakika na mukuwe araka kutowa ma épisode
😁
Hongereni sana kwa kazi nzuri na kwa kutuelewa,
Pamoja sana
Nimetokea kuielewa hii movie ❤
Ujawai feli ndugu🎉
Penda zan lavu
Oooh very nice for this series❤❤❤
Jaman nimekua wakwanza leo naombeni likes zang
Maoni yangu nikwamba mtuongeze mda Kwani mda ni mdogo saana ❤❤❤❤ nawapenda from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nawakubali sana 🎉
Napenda kazi ya lavness hongera🎉
Kevini kazizako nizuri sana smakevi unachelewa sana kaka 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉pamoja sana kazi nizuri
Mtu kaomba ushauli nyie mnaomba like daa😂😂 bongo nyoko
Maoni yetu ni video Kali sana iyi
Wooow amazing 🤩 mshsmkubuka legend wetu nyashniski kwa iyoh goma unamuibia nazra
Hii movi naipenda sana,I nafundisha uvumilivu katika changamoto za maisha
Nimependa sanaaa malaikaaa iyo nipoa mkitukumbuka nasi wakenya 🇰🇪🇰🇪
umetisha Baba❤
Bu🇧🇮 gonga like hapa
Naikubal San tunasubil next ep😊😊
Hapo sasa nazid kukipenda kazi zur kipenz unazidi kutuchanganya mashabiki zako
Hi wapendwa good sana yani nyiyi
Ssf San lov hongera
Gd work love
Asante love kwa msimamo.
Jamani mimi ni mukongomani wa kwanza tena nipeni like 100 tu
jmn hi muvie naipenda sana kweli tuletey yakufatiy bas✨💞💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Merci beaucoup mon frère Kevin pour cette bonne chose
Mubalikiwe kwa kazi zuri ❤❤❤🎉🎉🎉
Much love from zambia kucholo 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Wakwanza kukomet naomba like zangu ❤🎉😂
Mungu amsaidie kelvin wetu atoke salama
Nakupenda lavnes jaman 🎉🎉🎉🎉🎉
Mpaka kesho kalvin upo vizuri sana broh
Maoni yangu kwenu naomba vipande vuweviwili au vitatu maana nitamu mno👌👌😘
Nimeipenda sana hii series jamn ❤❤❤❤japo sipendelei lake❤
Kelvin kijana jasiri wapi likes naombeni mfike pale kwangu#kevoboy038
Mnafanya vzur sn nawakubali . Nyie endeleeni hvyhvy . Alf natak kuliza kelvin na lovenes nyie ni wapenzi
Kwangu mimi maoni yani ni kazi yenu ni nzuri hila mnaajia mbali sana 😢
Iyo couple ya Kelvin na nasra iko mwaaaaest 💋 much love from team hamam🎉
Jaman mimi huwa nakuwa wa mwisho tu naombeni hata like 5 tu
Good nice one job 🎉🎉🎉❤
Much love from Kenya ❤️❤️ we love you guys.
Tungejua kesho zetu wengine tusingeamka😢😢😢😢 pole Kelvin,, Na ukweli umueka mtu huru Mbn Nasra kumbe muongo tu
Asante sana Kelven unananipa madini yasiyo na mfano.
Lovenes naomba like hata 5 tuu
Oyooooo🎉 wakwanza mm tenaa❤❤❤❤❤❤ much love DONTA TV 🎉🎉🎉
Jmni nmekuwa wa Kati cjui ntapewa like 🙄🙄😔
Chuma kimerudi kwa hewa nakubali kelvin❤❤❤🎉🎉🎉
Mnatishaaa sanaa wazeee imenitoa tiktok hadi huku🎉🏹🌎
Mko vizuri mno❤❤❤
Ila nyie mnajua jaman dah haya yalishawah nikuta ila tofauti kidogo mnacheza maisha halisi kabisa
Oya hiyo kesho yangu nibonge sana hii movie
Duh Kelvin ndo anabakwa 😢😂😂😂😂
Kazi nzurii san🎉🎉
Much love from Kenya ❤❤❤
Welcome,,am coming from coming from Kenya too,,kuumbe wakenya tuko wengi kwa hii familia ya wana donta 😊😊
Tunaomkubali kelvin like apa
Jamniii mm nimezipenda kwakweli aloooooo your so talented
Kevin our hero ❤❤tunasoma mengi from you and your team 🎉😂
Bwana Julius nakukubali kwenye kuibuni tamthilia hii
Hongera kutoka 🇰🇪
Fanya mwendelezo asee 1 walau hadi 15 tena mzigo uko powa sana
Wakwanza jaman like zangu naomba
Wa kwanza jmn naombeni like zangu
Daaah kelvin naaamini atafanikiwa tu
Kabisa
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻nawakubali kinoma
series iko mzuri na ina reflect ktk uhalisia thabiti wa maisha yetu yakila siku.
Big up kelvin.
(Ila kwa utani tuu sijamaanisha"KUNIAMBIA ANAROHO YA UKATILI SANA")
Usiniambie kelvin unaota😅 next
Kelvin kimemramba tena, hakujua anachocheza nacho/😂❤❤❤❤
Nakubli kaz mungu awatangule ktk kaz yen
Tunakpnda Sana kelvin na KAZI yako ni nzur sanaaa jitahid kutoa kila siku bas Kaz ispoeee I love you donta tv
Mmmmmh jamani Kelvin pole Sana 😭😭😭😭 from 🇧🇮 nawapenda Sana
Naipenda kesho yang inanifuza kwl
Jameni kelvin mtoto WA watu ...ameingie kwenyee shinda kubwaa Sana 😢
Wanadonta tv toen movie nyingne km ile ya penzi la dada wa kaz na msichana wa kaz
Nawapenda wapendwa ndugu zangu na dada zangu.hongela kwa Nasra kwa ufundi wake wa kufunza watu kua na roho nzuro