hakika umeonesha kukomaa kidemokrasia kwa kukubali kuachia madaraka bila kujari kama tuhuma zilizokuwa zikikukabili zilikuwa za ukweli au laa.hakika we ni mfano wa kuingwa miongoni mwa viongozi wachache wa africa mungu akutie nguvu upende kusema ukweli kila wakati
stupidity of Tanzania politics,wewe uchaguzi bado miezi 5,kuvunjwa kwa bunge miezi 2 tu.Zitto hakuna mwanasiasa ambaye anapenda uchaguzi ukiona ambaye anakimbilia kurudi kwenye uchaguzi huyo ana lengo la kweenda kugawanya kura.
Leo unashirikiana nao katika madudu yao ya uchochezi huna akili kaka yangu mimi binafsi nakubali ulikuwa mfano mzuri kwangu ila now nimeishusha thamani yako
Na kweli Mungu akipenda mtakuwa wote
Namkubari sana hyu mwamba
Raisi ajaye
hakika umeonesha kukomaa kidemokrasia kwa kukubali kuachia madaraka bila kujari kama tuhuma zilizokuwa zikikukabili zilikuwa za ukweli au laa.hakika we ni mfano wa kuingwa miongoni mwa viongozi wachache wa africa mungu akutie nguvu upende kusema ukweli kila wakati
2020,,,,watarud wachache sna bungen kutoka chadema ,uhakik zitto atarudi
nahisi wewe ni wanaume shujaa hakika maamuzi uliyo chukua upo sahihi mungu akujazie ujasir mwingine wa kuweza kufanya jambo ulilo lipanga.
Big up zitto kabwe na unafaa xna kuwa mfano wa kuigwa.
Sawa Mkuu kwaheri
Maamuzi yalio na busara
stupidity of Tanzania politics,wewe uchaguzi bado miezi 5,kuvunjwa kwa bunge miezi 2 tu.Zitto hakuna mwanasiasa ambaye anapenda uchaguzi ukiona ambaye anakimbilia kurudi kwenye uchaguzi huyo ana lengo la kweenda kugawanya kura.
Ndio
Yaani wewe ni Jembe kama Lowasa, kukubali KIUME.
Kitaz
G
ujue watu hawajui kwamb zitto kabwe ni mnafiki xubilini
zitto kichwa ,,,,najua kisirisiri chadema wanajuta kumtendea yasiyofaa
maamuz ya kiume
Nakukubali xana zitto pamoja na lisu nyie ndio pekee ambao mkomaa kidemokraxia.
Leo unashirikiana nao katika madudu yao ya uchochezi huna akili kaka yangu mimi binafsi nakubali ulikuwa mfano mzuri kwangu ila now nimeishusha thamani yako