IMEVUJA! CHANZO CHA MGOGORO WA MAZRUI NA ACT-WAZALENDO HIKI HAPA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 48

  • @Pemba680
    @Pemba680 หลายเดือนก่อน +2

    Wazanzibari siasa za porojo tumechoka nazo ss tunachotaka kwasasa ni MAENDELEO tu
    Na kusema LA ukweli Dr.MWINYI amefanya kazi nzuri.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 หลายเดือนก่อน

      Hayo majendeleo ndio maendeleo yenyewe unayoyasema?

    • @kassim1262
      @kassim1262 หลายเดือนก่อน

      Sw tumekuelew kabla znzb haijapata maendeleo ilikua una hali gani ykimaisha nasaiv znzb imeendelea umepiga htua gani na umepata nini hasa kwenye hayo maendeleo yliopo znzbr 😂😂😂😂

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 10 วันที่ผ่านมา

      Samahani ndugu huenda ikawa kazi nzuri labda kaifanya kwako ila kwetu wengine njaa kali

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 หลายเดือนก่อน +2

    Mazungumzo ya chama ni tofauti na serikali, acheni kujitafutia hoja za fitna, ukiongelea maendeleo usisahau pia kuongelea maendeleo ya deni na mkopo isoolipika

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 หลายเดือนก่อน +2

    Sisi wananchi tumechoshwa na ccm yaan hata ifanye nn kwetu nisawa na mtu anaejamba mtoni tu
    Kwakwel tunahitaji chama chengine chochote kiongoze nchi ili tuone na wao watafanya nini

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanataka nchi yao mstuletee mambo ya kizamani zama izo zimeisha msibabaishe watu mazrui sio zanzibar kazaliwa kaikuta na ataiwacha zanzibar na wazanzibari ndio muhimu na kauli yao wanataka nchi yao nyie zungukeni lkn hio ndio habari

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 หลายเดือนก่อน +3

    sasa unatakaje viongozi wa Act wamsifu mwinyi wakati aliahid hajatekeleza ata moja nchi ameifanya mlango wa duka lao na familia zao

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน +1

    Anafanya vizuri lakini wakati wake ukifika na hajapata voti basi awaachiye chama chengine. Bila ya kuiba au kuuwa Wananchi.

  • @Mazrui22
    @Mazrui22 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu peku tu ccm wameishiwa hiyo ndio imekuwa sera yao hawana jambo la kusema watu wanataka mafanikio ya maisha yatokane na juhudi za serikali sio kwa kugaiwa pesa na mkopo

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz 8 วันที่ผ่านมา

    tumeyaona mengi uyoo mazurui mshampiga acheni unafiki

  • @SalimAhmedAbdullaSalimAbdulla
    @SalimAhmedAbdullaSalimAbdulla หลายเดือนก่อน +1

    Wacha unafiki Act ihaiyumbi hayo si matusi mwizi anaitwa mwizi ukweli so matusi.wacha kupotosha.

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge หลายเดือนก่อน +1

    Mika 60 mnatudanganya na barabar maji tumechoka

  • @HassanMohd-cx5rv
    @HassanMohd-cx5rv หลายเดือนก่อน

    Uchawa unawasumbua hajui wazanzibari wanataka nini pimbi atabaki kuwa pimbi

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 หลายเดือนก่อน +2

    HUYO MSEMAJI NI KIPOVU CHAMKOJO ,MUHISHMIA Mazruwi HADONDIKI (M+J+O+J D+SH+....)WANAZO RADI ZA MARHUMU M SEIF. ...

  • @feiz3180
    @feiz3180 หลายเดือนก่อน +1

    HAMNA MPYA. ccm MUTALALA TU HAMNA MPANGO.

  • @Saidykj
    @Saidykj หลายเดือนก่อน

    Huyu mshenzi anaezungumza anatokea wapi? Kasahau alofanya Othman Masoud kwenye bunge? Fitna mkubwq huyu.

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j หลายเดือนก่อน

    ACT hatudanganyiki tunataka mamlaka kamili ya nchi yetu. Dhiki ya maisha imezidi sisi hatuli barabara wala majumba.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Kafanye Kazi njaa itaondoka, hakuna serikali itakayokuwa inakuwekea fedha mfukoni

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Kafanye Kazi njaa itaondoka, hakuna serikali itakayokuwa inakuwekea fedha mfukoni

  • @shekhkombomasjidhawwaa4387
    @shekhkombomasjidhawwaa4387 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana mpasuko wowote hapo

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน +2

    Mawaziri wote wangekuwa Kama Mh. Mazroui basi Zanzibar ingekuwa ina Baraka zake. Lakini Mazroui peke yake ndio wa kupigiwa mfano.

  • @mustafaismail5622
    @mustafaismail5622 หลายเดือนก่อน

    Kweli hiyo nafasi ilikuwa ya mzee juma duni

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir หลายเดือนก่อน

    Si tusubirie kwanza afanye maamuzi!! Naona munaanza kujihashua tena wanaume wazimaaa

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx หลายเดือนก่อน +1

    Ameshashiba huyondio maana akasifia ccm

  • @user-gy5ii3ig1d
    @user-gy5ii3ig1d หลายเดือนก่อน

    Wacheni propaganda nyinyi saiv watu wapo macho hawadanganywi hvo

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm หลายเดือนก่อน

    Mm simuamini tena hata asemevip kwenye siasa

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf หลายเดือนก่อน +1

    WENYEWE WANASEMA PAPA HAVULIWI KWA DEMA. KESHO TAREHE 13 WANACHAMA WA ACT WAZALENDO WANATARAJIA KUSIKIA NENO KUTOKA KWA MAZRUI JE NA YEYE KAMSALIT ALMATHUM MAALIM SEIF SHARIF?.. HAMAD

  • @Hilali-ff5ul
    @Hilali-ff5ul หลายเดือนก่อน

    Kauli ya masrui hatoki act kamwe ,ila nyny muna potesha W2 😂😂

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน

    Rais Samia kila siku anatukanwa vibaya yeye na alipo toka lakini ni Muungwana anawaachiya wenyewe matusi Yao.

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwenye kuzunguza .
    Haipendi zanzibar .
    Ni ftna wala hana haya .hana imani .hajui vibaya.
    (Mla kuku wa mwenziwe miguu humuelekea)

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam หลายเดือนก่อน

    Mazurui Leo mwema kwasababu kawagusa ndio tunasubir siku yakukabidhiwa kadi na magwanda ya kijani

  • @MussaMussa-tq9vv
    @MussaMussa-tq9vv หลายเดือนก่อน +1

    Upumbavu huo hiyo kafu inatafutwa huruma

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER หลายเดือนก่อน

    Wee Ali karume hunajipya mumechiwa cuf imewashinda sasa muna babaika

  • @user-st9me2jn7o
    @user-st9me2jn7o หลายเดือนก่อน

    Mazrui sio naibu katibu mkuuuu

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm หลายเดือนก่อน

    Wasiulishe watu badae wakajitia muafaka wakanemeka na femilia zao huku watu washakufa wengi

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm หลายเดือนก่อน

    Kamanimuukwana naerejeshe kadi yawatu

  • @kitosio
    @kitosio หลายเดือนก่อน

    Kasaidia nini

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 หลายเดือนก่อน

    Hamna akili

  • @user-js9lz8nc1w
    @user-js9lz8nc1w หลายเดือนก่อน

    Hoja za kitoto hizo

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 หลายเดือนก่อน

    Wewe mpumbavu

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim หลายเดือนก่อน

    Porojo za kifitna

  • @mustafaismail5622
    @mustafaismail5622 หลายเดือนก่อน

    Kweli kaka yangu ali makame nakusapoti sana nafasi hiyo ilikuwa ya mzee duni

  • @stonetown578
    @stonetown578 หลายเดือนก่อน

    Pumbavu mmeishiwa nyie.

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 หลายเดือนก่อน

    Wacha ubaradhuli wewe fitna unayo wewe na familia yako

  • @amanmohd9435
    @amanmohd9435 หลายเดือนก่อน

    Stupid kabisa

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv หลายเดือนก่อน

    Mpasuko mkubwa ni ubaguzi, wapemba ndio wanaoongoza Act. Na Hawa watu wa unguja hawana chao wamekuwa hawana say yoyote , kuanzia kwenye shina mpaka juu wote wapemba.
    Mtakasirika lakini ukweli ndio huo.