EXCLUSIVE: MJUE "ABDURAHMAN KINANA" MAKAMU MWENYEKITI na KIGAGULA wa CCM/MKE/WATOTO/UMRI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 พ.ค. 2024
- #cloudsmedia #efm #exclusive #history #dullysantz #wasafimedia #simulizinasauti #millardayo #santzmedia #kinana#ccm #simulizi
HUU NDIO WASIFU WA ABDURAHMAN KINANA MWANZO MWISHO - บันเทิง
Nchi yetu hatuwezi kuendelea kulingana na nature ya viongozi tulionao
Aishie Tu.
Historia ya huyu haina LADHA !
Dah;! Kumbe ni msomali kabisa jamaa;!
Sio mkoani Moshi..ni Kilimanjaro
Msomalia kumbe haende kwao
😆😆😆
Hapo nimechoka sana
😆
Nchi hii tunasumbuana na wakimbiz kumbe
Nonsense i remember nothing good, I remember the best Dr Bashiru Ally
😥😥😥
Kupata vyeo Vingi duniani havina maana bila kutenda haki kwani mambo yote yanabaki duniani.
Sahihi kabisa
umesahau kusema kuwa aliuza ardhi ya tz kwa wafalme wa kiarabu huko loliondo gorge
Vyote hivyo katika Wasifu wake hatujaviona "Imekuwa Vizuri na wewe kuelezea hisia zako"
NAIJUA HIYO KINANA NI MSOMALI,TENA SHAWELEY.hawa kija zamani Tanzania babaake alikuja kabla ya uhuru lkn ktiba ina sema mtoto mzazi wake akiwa si mtanzania na yeye si raia
😆
Generali ulimwengu pure bantu anazinguliwa uraia wake wakina kinana wanapeta
😂😂😂 😂 lakini kumbuka kinana Amezaliwa Arusha " hvy katika umri Aliokuwa nao ,Alikuwa na uwezo wa kuchagua Uraia ni nchi gani Angependa kuishi
Ichi yenyewe ni mashoga na wauza madawa ya kulevya duniani maskini wa akili mdomo mrefu
Kumbe ni jizi toka somalia linaifilisi sana nchi yetu
🤓🤓
Jizi mama yako msenge wewe mbaguzi huyu ni mwafrika mwenzako mbona waraarb na wahindi mnawalamba matako shenzi sana
umesahau kutaja biashara yake ya meli na ile iliyompatia utajiri mkubwa ya kuuza pembe za ndovu nje kama ilivyo kawaida ya wasomali wenzie
😂😂 Hayo Sisi Hatuyafahamu !!
@@Santzmediakwani ni uongo Iko wazi haramia likubwa hili
@MiriamAbdallah Asante kwa kutujulisha,uwe tayari tu kutoa ushahidi mahakamani pale tutakapokuhitaji.
Tutakuomba utoe ushirikiano ili haki ibainike
Ccm ili ifanikiwe lazima iongozwe na majizi kama kinana
Punguza ukali wa maneno " Hauko peke yako
Kakuibia nini?
Eti Mkoani MOSHI,Daaaaah Kweli We FALA Ni KILAZA
🫣
Kweli kilaza
pia umesahau kusema kuwa mama yake ni msomali pure nababa pia
Ukisikiliza Vizuri Mwanzoni mwa Makala hii Tumemuelezea Vizuri "Baba Yake Mh; kinana
Mfanya biashara zipi??
``Kama tulivyosema Awali ,Kinana Mala nyingi huwa Hapendi kuweka vitu vyake hadharani,hivyo Sisi tunaheshimu maamuzi yake
Mkoani Moshi ndio wapi, mazuzu kama nyie ndio mnaochangia wanafunzi wetu kufeli
Jitahidi kutumia lugha salama hata Kwa kizazi chako cha baadae pindi watakapo Iona video hii , wakisoma kitu kupitia comment wajifunze kitu kupitia wewe nasio Utumbo uliouandika hapo
Huu utamaduni wageni au sijui niite wahamiaji kupewa madaraka makubwa hapa nchini kwetu ulianza miaka mingi, nakumbuka tulikuwa na waziri wa fedha mhindi watu wazima wanafahamu. Na wapo wengine wenye madaraka makubwa tu, siyo wazawa. Mimi ndiyo nafahamu leo kwamba Kinana siyo mzawa..!!! Haya bana mi sielewi..
Kinana Amezaliwa Tanzania " Mzee wake ndio mtu kutokea Somalia" hivyo kinana Alikuwa na option Achague kuwa Mtanzania au Awe Raia wa Somalia!!!
We acha ubaguzi msenge nini kwani msomali si mwafrika mkundu we mbona mnawakaribisha wahindi na wa arabu
Msomali ni mtu hodari na wala hawaogopi ni majemedari
Heh, basi yaishe jamani matusi ya nini Tena..!!! Kumbe nimechokoza mijichawa..🤣🤣🤣🤣...samahani nimekoma sirudii Tena..!!!
@@jumakisailo8496 Ndo ukome leo watanzania tukichunguzana wazawa watakua wachache sana hasa tunao pakana na nchi jirani
Hakuna mkoa unaoitwa Moshi acha upumbavu
Sawa