EXCLUSIVE: MJUE "ABDURAHMAN KINANA" MAKAMU MWENYEKITI na KIGAGULA wa CCM/MKE/WATOTO/UMRI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 พ.ค. 2024
  • #cloudsmedia #efm #exclusive #history #dullysantz #wasafimedia #simulizinasauti #millardayo #santzmedia #kinana#ccm #simulizi
    HUU NDIO WASIFU WA ABDURAHMAN KINANA MWANZO MWISHO
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 50

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 17 วันที่ผ่านมา +2

    Nchi yetu hatuwezi kuendelea kulingana na nature ya viongozi tulionao

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 10 วันที่ผ่านมา +1

    Aishie Tu.

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 17 วันที่ผ่านมา +2

    Historia ya huyu haina LADHA !

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dah;! Kumbe ni msomali kabisa jamaa;!

  • @ahamadarashid8797
    @ahamadarashid8797 8 วันที่ผ่านมา +1

    Sio mkoani Moshi..ni Kilimanjaro

  • @nuhumwaisanila2217
    @nuhumwaisanila2217 15 วันที่ผ่านมา +2

    Msomalia kumbe haende kwao

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  15 วันที่ผ่านมา +1

      😆😆😆

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo nimechoka sana

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      😆

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi hii tunasumbuana na wakimbiz kumbe

  • @nestor384
    @nestor384 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nonsense i remember nothing good, I remember the best Dr Bashiru Ally

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      😥😥😥

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kupata vyeo Vingi duniani havina maana bila kutenda haki kwani mambo yote yanabaki duniani.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน

      Sahihi kabisa

  • @d15355
    @d15355 2 หลายเดือนก่อน +2

    umesahau kusema kuwa aliuza ardhi ya tz kwa wafalme wa kiarabu huko loliondo gorge

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +2

      Vyote hivyo katika Wasifu wake hatujaviona "Imekuwa Vizuri na wewe kuelezea hisia zako"

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 2 หลายเดือนก่อน +1

    NAIJUA HIYO KINANA NI MSOMALI,TENA SHAWELEY.hawa kija zamani Tanzania babaake alikuja kabla ya uhuru lkn ktiba ina sema mtoto mzazi wake akiwa si mtanzania na yeye si raia

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      😆

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 หลายเดือนก่อน +2

    Generali ulimwengu pure bantu anazinguliwa uraia wake wakina kinana wanapeta

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 😂 lakini kumbuka kinana Amezaliwa Arusha " hvy katika umri Aliokuwa nao ,Alikuwa na uwezo wa kuchagua Uraia ni nchi gani Angependa kuishi

    • @alimuse6980
      @alimuse6980 2 หลายเดือนก่อน

      Ichi yenyewe ni mashoga na wauza madawa ya kulevya duniani maskini wa akili mdomo mrefu

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe ni jizi toka somalia linaifilisi sana nchi yetu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      🤓🤓

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 28 วันที่ผ่านมา

      Jizi mama yako msenge wewe mbaguzi huyu ni mwafrika mwenzako mbona waraarb na wahindi mnawalamba matako shenzi sana

  • @d15355
    @d15355 2 หลายเดือนก่อน +2

    umesahau kutaja biashara yake ya meli na ile iliyompatia utajiri mkubwa ya kuuza pembe za ndovu nje kama ilivyo kawaida ya wasomali wenzie

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂 Hayo Sisi Hatuyafahamu !!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Santzmediakwani ni uongo Iko wazi haramia likubwa hili

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 22 วันที่ผ่านมา

      ​@MiriamAbdallah Asante kwa kutujulisha,uwe tayari tu kutoa ushahidi mahakamani pale tutakapokuhitaji.
      Tutakuomba utoe ushirikiano ili haki ibainike

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ccm ili ifanikiwe lazima iongozwe na majizi kama kinana

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Punguza ukali wa maneno " Hauko peke yako

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 22 วันที่ผ่านมา

      Kakuibia nini?

  • @chazjerome9999
    @chazjerome9999 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eti Mkoani MOSHI,Daaaaah Kweli We FALA Ni KILAZA

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      🫣

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kilaza

  • @d15355
    @d15355 2 หลายเดือนก่อน +1

    pia umesahau kusema kuwa mama yake ni msomali pure nababa pia

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +2

      Ukisikiliza Vizuri Mwanzoni mwa Makala hii Tumemuelezea Vizuri "Baba Yake Mh; kinana

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mfanya biashara zipi??

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      ``Kama tulivyosema Awali ,Kinana Mala nyingi huwa Hapendi kuweka vitu vyake hadharani,hivyo Sisi tunaheshimu maamuzi yake

  • @Masele85207
    @Masele85207 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mkoani Moshi ndio wapi, mazuzu kama nyie ndio mnaochangia wanafunzi wetu kufeli

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน

      Jitahidi kutumia lugha salama hata Kwa kizazi chako cha baadae pindi watakapo Iona video hii , wakisoma kitu kupitia comment wajifunze kitu kupitia wewe nasio Utumbo uliouandika hapo

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huu utamaduni wageni au sijui niite wahamiaji kupewa madaraka makubwa hapa nchini kwetu ulianza miaka mingi, nakumbuka tulikuwa na waziri wa fedha mhindi watu wazima wanafahamu. Na wapo wengine wenye madaraka makubwa tu, siyo wazawa. Mimi ndiyo nafahamu leo kwamba Kinana siyo mzawa..!!! Haya bana mi sielewi..

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      Kinana Amezaliwa Tanzania " Mzee wake ndio mtu kutokea Somalia" hivyo kinana Alikuwa na option Achague kuwa Mtanzania au Awe Raia wa Somalia!!!

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 28 วันที่ผ่านมา

      We acha ubaguzi msenge nini kwani msomali si mwafrika mkundu we mbona mnawakaribisha wahindi na wa arabu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 28 วันที่ผ่านมา

      Msomali ni mtu hodari na wala hawaogopi ni majemedari

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 27 วันที่ผ่านมา

      Heh, basi yaishe jamani matusi ya nini Tena..!!! Kumbe nimechokoza mijichawa..🤣🤣🤣🤣...samahani nimekoma sirudii Tena..!!!

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 27 วันที่ผ่านมา

      @@jumakisailo8496 Ndo ukome leo watanzania tukichunguzana wazawa watakua wachache sana hasa tunao pakana na nchi jirani

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mkoa unaoitwa Moshi acha upumbavu