KUMEKUCHA MBETO AMJIBU JUSSA SAKATA LA MH MAZRUI MBONA HAKUSHIRIKI MKUTANO WENU KUNA NENO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • #tifutv
    web.
    x.com/tifutvza...
    www.tiktok.com...
    www.instagram....

ความคิดเห็น • 84

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana. Mazroui Mungu amhifadhi akisifu hakuna teno unaweza kusifu hata kwa maaduwi zako, anaijuwa siasa vizuri pia ni mtu mwenye heshma na adabu na UWAMINIFU mkubwa kama Waziri hapo Unguja.Yalomkuta Kwa CCM siyo madogo. Watu wanakaa kwa HADHARI.

  • @BonifaceBuliba
    @BonifaceBuliba หลายเดือนก่อน +9

    Mbetto ameshikwa kweli naona amekuwa mweusi hakika Jussa ni Professional Mbung'o.

  • @Hilali-ff5ul
    @Hilali-ff5ul หลายเดือนก่อน +2

    Duhh kwel ccm ime kwisha mpka mbeto una mtaka mazrui😂

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq หลายเดือนก่อน +3

    Mboto sikiliza walikuwepo zaidi ya mazurui wakatoka nabado hatujatetereka si tatizo hata akitoka ss bado tupo palepale tuuu ccm hamna lolote

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j หลายเดือนก่อน

    Wee mnyamwezi wacha unafik. Mazurui alikua hayupo siku ile. Na mikutano mingi huwa si sana Mazurui kuwepo. Usiropoke tu.
    Wasifu Mawaziri wenu wa ccm au wanaboronga? Mazurui ni ACT na tunawaambia 2025 tutafanya mazuri sana na mfano ndio huo waziri wetu Mazurui. Wazanzibari maisha magumuuuu. Mwinyi mwiziiiii mbona na yeye haji kujibu unamjibia wewe.?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน +1

    Mazrui ni kiongozi anayejitambua, huwezi kumfananisha na jussa au omo

    • @osmanha6915
      @osmanha6915 หลายเดือนก่อน

      Ila CCM haijitambuwi

  • @mshiraziahmad9633
    @mshiraziahmad9633 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe jussa ndio dawa yenu

  • @masoudkhamisthaiboxing1011
    @masoudkhamisthaiboxing1011 หลายเดือนก่อน +2

    Sindano zinafanya kazi tena ya wiki tu je dozi ikiwa marambili kwa wiki ingekuwaje ?

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l หลายเดือนก่อน +1

    Mnajuwa ccm hawana sera wala ilani na hawana mpango wa kuwafanyia wananyi wakala milo 3 na kuishi ktk nchi ya haki.sasa kinacho tendeka wakipata jambo hulishikilia ili act wazalendo wasiwe na muda ya kutumia zile dakika zao ktk majukwa mnazan ccm hawajuwi km mazurui papa havulik kwa dema.hufanya hivyo yale masaa walio pangiwa ktk mkutano yaende ktk kubishana upuuzi.ushauri wangu act wapige kazi

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi wengi wa CCM Ssiwaelewi ni watu ambao hawana hoja,hawajui kijibi hoja,hawajibidishi kusoma Wala kuenda na wakati

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed8725 หลายเดือนก่อน +4

    Katika viongozi mambumbu katika c.c.n zanzibar hakuna kama mbeto na dimwa kiwango chao ni sawa na baraka shamte na hamza hasan

    • @jombadulla
      @jombadulla หลายเดือนก่อน +1

      mbeto na dimwa hawajui kuongea mdomo tu mwingi, mazrui anaweza kuongea vile ni technic tu, alf Yule ni wazir samtime inamfanya awe vile

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa หลายเดือนก่อน

      ​abisa umenena

  • @suleimanseif3290
    @suleimanseif3290 หลายเดือนก่อน +1

    Takataka hii sisi letu moja tu ni malaka kamili

  • @delasdiego6537
    @delasdiego6537 หลายเดือนก่อน

    Ww mpuuzi sana kama unajua ccm tunavyoichukia kiukwer tu jiandaeni tena na mauaji ila ujinga ujinga wenu sasa basssssssssi

  • @OmarMassoud-xy3ot
    @OmarMassoud-xy3ot หลายเดือนก่อน

    Yani ccm sisi ni watu wapumbavu sana katika hi chin mnavichekeshoa na bado ndozi hina tibu ACT yooooo

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j หลายเดือนก่อน

    Mbetto na wewe mwambie Mwinyi ajibu mwenyewe hoja za Jussa. Sio unajibu wewe.

  • @Jal210
    @Jal210 หลายเดือนก่อน

    ACT wapimbavu sana

    • @selemaninyundo3363
      @selemaninyundo3363 10 วันที่ผ่านมา

      Pumbavu ww unaetombwa kwakudanganywa kazi

    • @selemaninyundo3363
      @selemaninyundo3363 10 วันที่ผ่านมา

      Pumbavu ww unaetombwa kwakudanganywa kazi

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 หลายเดือนก่อน

    Kumbe yanawauma ya jussa jussa wape daw hao mmbo bado

  • @saidsalum1419
    @saidsalum1419 หลายเดือนก่อน

    Mazrui ni mwarabu mbona

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 หลายเดือนก่อน

    Uyu mbetto kwani ni kijana au ni mzee? Naona sura haielewek kama polepole!!

  • @salimbinshaks1385
    @salimbinshaks1385 หลายเดือนก่อน

    Ccm bawana akili bora kuku lakini kaongea aliloliona rais alililolifanya

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam หลายเดือนก่อน

    Tunasubir siku ambayo Mazrui atakayopokelewa na CCM na kupewa kadi

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 หลายเดือนก่อน +2

    Ccm hakuna mtu mwnye akili na kama yupo baci hakuna mweny marifa nyot nyny pangu pakavu tia mchuz mali uteleze inshaallah 2025 tunawakabiz zanzibar viongoz wenye akili marf uweledi wa kazi na so nyny majuha

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi mwanaACT kwa hili nna shaka na makamo wangu Jusa.Mazrui alipaswa kuwepo kwenye mkutano atupashe. Lipo jambo

    • @w4058
      @w4058 หลายเดือนก่อน

      Hakupaswa kuwapo hapo na nyi msijifanye wizi wa fadhila wacheni kutaka kumdhalilisha Mazrui hebu kuweni waungwana

    • @w4058
      @w4058 หลายเดือนก่อน

      Ingekuwa wewe uko kwenye nafasi kama ya kwake ungemsifu hivyo na zaidi kuliko alivyofanya mmeka kama wafinyu wa akili

    • @w4058
      @w4058 หลายเดือนก่อน

      Sipotezi tima yangu kusikiliza mwanamume mzima kujibu jibu wasting my time

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge หลายเดือนก่อน

    Tafuteni Cha kutudanganyia siomaji Barbara mara umeme mara shule mara masoko zimepitwa na wakati

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 หลายเดือนก่อน +2

    mbeto kwan kura ni zahir ?? Ukipiga hisab zanzibar kuna ccm wengi tu lakin kila uchaguzi ukija minapigwa na chini je kura ni dhahir ??

  • @user-hj4zt1kw4i
    @user-hj4zt1kw4i หลายเดือนก่อน

    Sasa mchukueni Mazrui halafu wekeni uchaguzi uliohuru.
    Msiweke mazombi yenu halafu muone kama mtaambulia kitu.

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 หลายเดือนก่อน

    Pumvavuuuu

  • @kassim1262
    @kassim1262 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi ccm ndio munatufanya wznzb km wtoto au wjinga pua km chura wznzbar ndio tunaopiga kura co mazurui kura ymazuruia nimoja lkn wznzbar niwengi kuliko mazurui ukitka kuamini hilo tuombe mungu ifike 2025 km hmujaua wtu nakujeruhi bc ushindi hmunao 😅😅😅

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 หลายเดือนก่อน

    Kwani kila anaekusifia huwa ndio anakupenda kweli ccm hamna jipya munasubiri mtu akosee ndio mupate mada

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx หลายเดือนก่อน

    Ww ni shetani mweusi

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx หลายเดือนก่อน

    Yan huyu mtu mweusi hana adabu hata kidogo

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l หลายเดือนก่อน

    Mnyamwezi Mmakomde ndio waliofika mwanzo Unguja kuliko wewe uliokuja kufuta Barbara za darajani ukadhani umefika Ulaya .

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 หลายเดือนก่อน

    Kwani kusifu maendeleo ndio kuasi chama?Wewe huna haki ya kuongea kuhusu Mazrui,mwachie mwenyewe atamke atakayo.Wacheni uchochezi na fitina

  • @osmanha6915
    @osmanha6915 หลายเดือนก่อน

    Kwa iyo mbeto ndio pimbi?

  • @SaidAbdala-f7p
    @SaidAbdala-f7p หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna kitu hapo. Huyu ni. Netanyahu mweusi.

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli kama kuongea lolote alipaswa aende mwenyewe. Mazruii😂😂😂

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np หลายเดือนก่อน +2

    yani hiliii halina akilii ataa kidog ccm inakosaa mvuto kwa watu km hawaa boraa mabodi alikua kichwa

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157 หลายเดือนก่อน

    Muongo sio mikutano yote mazurui anakuwepo ikisha wema haudandiwi

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq หลายเดือนก่อน

    Wewe,mwenyewe,unajisuta,mznz,Gani,anataka,ccm

  • @GenttileZanzibar
    @GenttileZanzibar หลายเดือนก่อน

    Hamna kt hp jichwa kama take nan anotaka ccm

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba kama ashakula kijiti vile

    • @kassim1262
      @kassim1262 หลายเดือนก่อน

      😅😂😂😂😂

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER หลายเดือนก่อน

    Hunajipya ww ondoweni hii njaa kwanza hamu lolote jichwa kubwa akili kidogo

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go หลายเดือนก่อน

    Jambo kubwa ambalo CCM mnapigwa bao ni mamlaka kamili ya Zanzibar hapo ndio mnapigwa bao
    Wazanzibari Tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili na kila sehemu duniani tuitwe kwa jina letu Wazanzibari sio Watanzania

  • @user-rv1vn9zj5w
    @user-rv1vn9zj5w หลายเดือนก่อน

    Wewe mjinga mzanzibar na ccm sahau

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani kutumia Google serekali inalipa,

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo หลายเดือนก่อน

    Its very stupidity ideal!

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kichwa chake ni mzigo tu wa shingo😂

  • @user-cy2hc2og6l
    @user-cy2hc2og6l หลายเดือนก่อน +1

    Bunju bunju tu 😃😃😃

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 หลายเดือนก่อน

    Skuelew unachosema

  • @user-te9to1nc5t
    @user-te9to1nc5t หลายเดือนก่อน

    Kumbe wewe pimbi kweli kweli ... kwa uchimi gani wa zanzibar hadi kuwa na mfumo kama huo.. mfumo huu unahitajika kwa nchi zenye uchumi mkubwa sio kama zanzibar yetu ambayo uchimi wake ni mdogo sana kugharamia mfumo kama huo.. hii ni dalili Tosha serekali imeshindwa kudhibiti fedha za walipa kodi masikini....

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa หลายเดือนก่อน

    Napita nkucheka

  • @w4058
    @w4058 หลายเดือนก่อน

    Hakuna sakata lolote msitupozee muda

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 หลายเดือนก่อน +1

    ANANUKA POMBE👁️👀👁️🤣🤣🤣

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo หลายเดือนก่อน

    Pumbavu kweli

  • @IdirisaKhamis
    @IdirisaKhamis หลายเดือนก่อน

    Mh hapa hamna kitu

  • @masoudsalum
    @masoudsalum หลายเดือนก่อน

    Uchumi nzima ni trioni moja pamoja na bakuli hizo trions duh

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 หลายเดือนก่อน +1

      Masoud hawa jamaa CCM ,wanafikiri kwamba watu wote wa Zanzibar wanauwelewa mdogo sana wa kutafakari mambo kumbe sivyo ilivyo.sisi Zanzibar hatukupaswa kuwa hapa tulipo kimaendeleo ni maendeleo madogo sana ukilinganisha na nchi nyingine za visiwa kama sisi, hata uchumi wetu ni mdogo sana katika nchi za Visiwa ndio sisi wengine tunaumizwa na hilo tulipaswa kuwa mbali zaidi ndio baadhi ya sisi Wazanzibar tunaona nyinyi CCM mumeshindwa kuongoza visiwa hivi kwa kuvipeleka mbele kimaendeleo tukashindana na nchi nyingine za visiwa kama Morishazi ,Capved na nchi nyingine zisizokuwa za visiwa . Trilioni tano bajeti wakati trilioni tatu za kukopa sisi wengine inatuuma Zanzibar .

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 หลายเดือนก่อน

    Mh kura ni siri kwa maana yk

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np หลายเดือนก่อน +1

    fanyeni mkutano na nyie tuone km mtapat watu km walee

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 หลายเดือนก่อน +1

    "WANA CCM WANA AKILI"
    WANAKUBALI
    UKOLONI WA TANGANYIKA
    Baadhi ya Wana CCM wa Zanzibar wana akili ya Wizi wa Kura na Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar.
    Waliuwa Waislam 21 wa Unguja na Pemba ili Hussein Ali awe Kiongozi baada Kuchagua Dodoma na Pombe kwa faida ya Kanisa Katoliki pq

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 หลายเดือนก่อน

      Nyerere ameipanga vizuri sana zanzibari ikamezwa kimacho macho wala haitapata uhuru kama alivyo wapa mwengerza hapo 63

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 หลายเดือนก่อน

      CHAMA CHA MAPINDUZI
      NA
      NEMBO YA BENDERA YAKE✝️
      @alialamoudi9729 Disemba 10, 1963 ilikuwa ni UHURU WA WAZANZIBARI.🙏☪️
      LAKINI
      Januari 12, 1964 ilikuwa ni UHURU WA WAKIRISTO✝️

    • @kassim1262
      @kassim1262 หลายเดือนก่อน

      Ccm wtnganyika wanalinda chama chao ccm wznzb wnalinda maslahi yamatumbo yao wnaletwa nawtnagnyika kuja kuilinda ccm znzbr 😂😂😂😂

    • @selemaninyundo3363
      @selemaninyundo3363 10 วันที่ผ่านมา

      Akili zenu ziko chupini tu kutomba cc wenzenu mukiwapa kadi mukidanganya kazi wakati mamazenu nababazenu hawana pumbavu zenu kwendraa

    • @selemaninyundo3363
      @selemaninyundo3363 10 วันที่ผ่านมา

      Kwataarifa fupi mara hii mukimwaga damu twawachemsha kama supu yakongoro ujinga ujinga sasa basi vijana tumeamua

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l หลายเดือนก่อน

    Mboto achana na huyo GORLANA ameishiwa . Kapata kichochoro Cha kuishi hata huko kwao hajulikani . Maskini Jusa pole sana .

    • @kassim1262
      @kassim1262 หลายเดือนก่อน

      Nyinyi wenyewe kwenu hmujuilikani mumetok tanganyika kuja kuilinda ccm znzbr munajiita wznzbar znzbr hkuna ccm ndio maana ccm haijawahi kushinda znzbr hata viongozi wccm wnakiri hilo 😂😂😂