MWANANCHI WA CHAANI AMPONGEZA WAZIRI MAZRUI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 62

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubukumu wew nadir nenda kwenu humo India toka Zanzibar yetu

  • @AhmedSalum-s9m
    @AhmedSalum-s9m 2 หลายเดือนก่อน

    Njaa na tamaa inakufezehesha

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 หลายเดือนก่อน +2

    Msimchezee mbungooo Jussa hamumuweziii

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i 3 หลายเดือนก่อน

      WACHA UJINGA JUSSA NANI KWENYE NCHI HII. SI BASI TU

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 2 หลายเดือนก่อน

    Babu wew nadir nenda kwenu India ukaabudie mbuzi

  • @mohamedjuma1331
    @mohamedjuma1331 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwrnyezi mungu atakuhukumu hapa hapa duniani watu wote watakuone wewe mnafiki mkubwa zalimu

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe chawa ,,usiniharibie siku

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wazanzibari kiu ni kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili kk

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani Mazrui hataki mamlaka kamili?

  • @AhmedSalum-s9m
    @AhmedSalum-s9m 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe nadir mnafiki mwishowako mbaya

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe kumbaro ndio mwenye ubaguzi nakila mzanzibar anakujua umepewa unaibu uwaziri umebaki kusifia kila pabovu

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i 3 หลายเดือนก่อน

      JUSSA NDIE KUMBARO MKUBWA MUUZA VYUNGU ONZA NA YEYE KWANZA

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kichwa km belungi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mazrui anajitambua

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน

      Mwacheni asifu Waziri ni kutoka ACT wazalendo.

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nyinyi kk nadir mnajua dhati kwamba viti mulivyokalia kwamba hamukukaa kwa ridhaa ya wananchi wa Zanzibar

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dr. Hussein ungewapata MaWarizi watano tuu tokea hapo mwanzo kutoka ACT Wazalendo basi ungekuwa huna wasiwasi kwenye Serikali. Sifa kubwa kwa Waziri Nassor AlMazroui kutoka ACT Wazalendo kwa uwaminifu kwenye kazi yake.

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nadir shika adabu yako tafadhali,maana sasa unazidi kutovukwa na adabu,jitathmini

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 3 หลายเดือนก่อน +2

    Usijitie kutaja mungu wajulikanwa

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mazrui kasema yote hayo kwasababu ya kuogopa CCM isije kumpiga na kumpoteza tena ... Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha kumbe dozi kk nadir huwa zinawafikaaa 😂😂😂😂

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157 3 หลายเดือนก่อน +1

    Zuzu huyo ajijenga kwa mwabwana zake.

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 3 หลายเดือนก่อน

    Usipitali zinajengwa kweli lakini huduma hakuna wagonjwa wa Sugar kila siku wana okotwa barabarani kwa sababu hawana uwezo kununua vipima sugar ilitakiwa wa gonjwa wa sugar wapewe bure ili wanapotembea njiani wakijisikia tafurani waweze kujipima sugari

  • @KHAMISMOHAMMED-fj4bs
    @KHAMISMOHAMMED-fj4bs 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimechelewa kuchangia nilimuamini sana huhu ila ndio mnafiki lazima ajitokeze kapigwa sana huyu na mm namuahidi Mazurui nitampinga milele tayari anaonesha ndio walokua wanamzunguka Malimu Seif

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe Kallie ukalale

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo hamna la kusema sasa Kila mmoja mazurui mbona mlipo mpiga hamkumpa pole Wala kwenda kumkagua ninachokiona kwenu CCM ni unafiki TU na ni watu wa sifa yaani msifiwe TU mkikosolewa manongwa

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe Nadir lazima umsifu Mwinyi kwasababu alipoingia tu Juma wa Juma kapotezwa ukae wewe ... funika kombe shetani apite

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo hakufanya mwinyi kk aliyefanya ni rais dkt Samia suluhu Hassan na sie mwinyiiii

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +1

      Asante Rais wa Muungano wa jamhuri ya Tanzania 🇹🇿 Samia Suluhu.

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mazurui aogopa kuchapwa

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mazrui kama anampigia kampeni mwinyi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mabasi wakodiye wewe kumbaro mjinga

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 maajabu ya Zanzibar baada ya Beit la Jaibu. Hizo Spitali.

  • @MustaphAbdi-x3k
    @MustaphAbdi-x3k 3 หลายเดือนก่อน +1

    na ww ni miongn mwa wtu wanafiki wanao tia chuku n ubaguzi ktk nchi yetu

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbaro kumbaro unampongeza mtu kwa maslahi

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i 3 หลายเดือนก่อน

      KUMBARO MKUBWA JUSSA

  • @TajoSeif
    @TajoSeif 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unataka kukodi mabasi wakati jimboni kwako watu hata mlo mmoja hawapati

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani ni ushamba mkubwa😂😂😂😂 Aibu khasa kwa hapo Zanzibar mtu kusema hivyo……akodi mabasi kwa ajili ya watu kwenda kutizama 🏥 hospitals imekuwa kama makumbusho… amakweli spitali zimekuwa kitu cha AJABU hapo Unguja na Pemba. 😂😂😂

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน

    Nadir yuko wapi Juma wa Juma? Usituletee porojo hapa

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyote wafanya biashara marogi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muongo kumbaro

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i 3 หลายเดือนก่อน

      MKWELI NANI. TULIAMBIWA TUTAFURAHI SIKU MBILI TU. MBONA HUKUMWAMBIA NI MUONGO

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe hiyo sekta unayo ongoza kipi kipya wizara zenye kufanya vizuri sana zote mbili mawaziri ni ACT wazalendo

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 3 หลายเดือนก่อน

    Mambo gani kazienu unaguzi tu Pba hamuifanyii haki

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 3 หลายเดือนก่อน

    Aah huyu

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hujielewi ww unouza znz Kwa kupewa uwazir haliyakua watu wanateka kwanjaa ww umeshiba unaju tunaishi vipi jilewe ww acha ujinga unashadidia TU tumechoka na ccm kilasiku Barabara kula basi kamazinalika

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini ww unam domo sana ww ukisimama kwenye majikwaa una ubaguzi bakuzi falini hivi jamii ina kupenda lakini anglia mdomo wako

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 3 หลายเดือนก่อน

    Imekua Ajenda Rasmi sasa

  • @faykasalum9725
    @faykasalum9725 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie kwasababu mna maslahi yenu ktk ccm muna mabiashara yenu hamuna wasi wasi na maisha yenu jee hamu wafikirii watu wasio kuwa na kitu hata mlo mmoja mtu unamshinda makodi makubwa makubwa mkisha pata nyie ndio watu wote wamepata?

    • @faykasalum9725
      @faykasalum9725 3 หลายเดือนก่อน +1

      Munafikiria matumbo yenu na familia zenu Tu hao wengine waende wapi na hapo ndio kwao?

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu หลายเดือนก่อน

    Ukiwemo ww huna hata sifa ya uongozi jambazi ww

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน

    Haya yote wanafanyiwa wazanzibara kwasababu wao ndio wenye nchi sasa .. wazanzibari wote wanahama kwa dhulma ya kusudi ili nchi iwashinde wahame kwao

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 หลายเดือนก่อน

    Hayo yote. Kama unataka Wana Wanchi wawe radhi basi uchaguzi uwe wa haki hapo Zanzibar. Kama unavyo sema wewe Muislam. Na unajuwa hapo Zanzibar siku za uchaguzi kunakuwa vita. Watu wanaomba uchaguzi uwe wa haki na salama bila yakuuliwa Wananchi na atakae shinda ndio ashike Nchi.

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np 3 หลายเดือนก่อน

    kama siw alie kua saa zotee anawachamba ccm leo umepewe cheo yanakutoka tuh

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ndume la kuwili saivi anasifia serekali

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wa Chaani tunakuuliza Nadir YUKO WAPI JUMA WA JUMA?

  • @نوفل-س5ر
    @نوفل-س5ر 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muuaji ,unakula dhulma tu ,ila itakutokea puani io , na akili zenu za kuku izo

  • @AhmedSalum-s9m
    @AhmedSalum-s9m 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe Nadiya mwisho wako mbaya tunawalakin kuhusu wewe

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 3 หลายเดือนก่อน

    WELL DONE. DEPUTY MINISTER, KEEP IT UP

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni Mjinga namba moja kazi yako matusi tu jifunze kutoka Kwa wenzio Fisadi wewe ni Muislam mbona unasema uongo fisadi wewe nyamaza